Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 950
- 2,066
Watu wa Soka,
Leo nimeleta habari njema kwa vijana wenye vipaji.
Singida Big Stars tumeanza kutengeneza timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20. Kama una vigezo njoo utuoneshe uwezo wako au mlete kijana wako, tukiridhika na kiwango tunasajili.
Majaribio yatafanyika Jumamosi 30/07/2022 hadi tarehe 06/08/2022 kuanzia saa 2 hadi 5 asubuhi katika uwanja wa Bombadia uliopo Halmashauri ya Manispaa - Singida.
Majaribio yatahamia wilayani Iramba katika uwanja wa CCM Kiomboi tarehe 08/08/2022 kuanzia saa 2 hadi 5 asubuhi.
Katika kipindi hiki cha majaribio, timu haitahusika na gharama za chakula na malazi. Kila anayekuja kwa majaribio atalazimika kujigharamia hadi pale atakapobahatika kupata nafasi ya kuchaguliwa.
Kila la kheri!
Leo nimeleta habari njema kwa vijana wenye vipaji.
Singida Big Stars tumeanza kutengeneza timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20. Kama una vigezo njoo utuoneshe uwezo wako au mlete kijana wako, tukiridhika na kiwango tunasajili.
Majaribio yatafanyika Jumamosi 30/07/2022 hadi tarehe 06/08/2022 kuanzia saa 2 hadi 5 asubuhi katika uwanja wa Bombadia uliopo Halmashauri ya Manispaa - Singida.
Majaribio yatahamia wilayani Iramba katika uwanja wa CCM Kiomboi tarehe 08/08/2022 kuanzia saa 2 hadi 5 asubuhi.
Katika kipindi hiki cha majaribio, timu haitahusika na gharama za chakula na malazi. Kila anayekuja kwa majaribio atalazimika kujigharamia hadi pale atakapobahatika kupata nafasi ya kuchaguliwa.
Kila la kheri!