Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 918
- 1,994
Watu wa Soka,
Tunapenda kuwataarifu wapenzi na mashabiki wetu kwamba Jumatatu ya Agosti 01, 2022 timu yetu iliwasili salama Makao Makuu mkoani Singida, ikitokea jijini Arusha ilikoweka kambi kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu 2022/23.
Ratiba ya mazoezi ya kuinoa timu yetu itaendelea tukiwa hapa Singida lakini pia tutaendelea na mpango wa kutengeneza timu yetu ya vijana (U20) ambayo majaribio ya kusaka vipaji yataanza rasmi Agosti 10, 2022.
Tunapenda kuwataarifu wapenzi na mashabiki wetu kwamba Jumatatu ya Agosti 01, 2022 timu yetu iliwasili salama Makao Makuu mkoani Singida, ikitokea jijini Arusha ilikoweka kambi kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu 2022/23.
Ratiba ya mazoezi ya kuinoa timu yetu itaendelea tukiwa hapa Singida lakini pia tutaendelea na mpango wa kutengeneza timu yetu ya vijana (U20) ambayo majaribio ya kusaka vipaji yataanza rasmi Agosti 10, 2022.