Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,543
- 663
Kwa siku Meli 60???? Kwa siku Makontena 91,000??? Really??
Nadhani bandari zinazoheshimika kwa ufanisi kama Felixstowe, Barcelona na HIT zinapaswa kujifunza kutoka kwa hawa jamaa.
Bandari haiwezi hudumia meli 60 au kontena 91,000 kwa siku (nadhani ikimaanisha 91000TEUs) afu ikawa inachangia only 7% ya pato la taifa. Sijui lakini..... kuna maajabu mengi sana siku hizi duniani.
Taarifa zipo sana kwenye mitandao zinazoonyeshwa nafasi na uwezo wa mashine mbalimbali zikiwemo bandari.
Kwa mujibu wa "webpage" hii Plan to double Singapore port’s container capacity - Newspaper - DAWN.COM waalikuwa wanazidi kiasi cha kontainer 91,000 kwa siku kama inavyoonekana hapa:
Plan to double Singapore port’s container capacity
SINGAPORE plans to almost double its container port capacity after Shanghai overtook the nation to become the world’s busiest harbour. …………………………………………………………………………………………………………………..........................
The deepwater port will eventually have capacity for 65 million standard 20-foot containers a year, according to Transport Minister Lui Tuck Yew. The PSA International Ltd., Singapore’s biggest container-port operator, says it can handle 35 million on the island currently. The maritime industry contributes about seven per cent of gross domestic product, a government website shows. Terminals from Asia to Europe face the need for deeper ports and bigger cranes as carriers roll out ever larger ships.
Located at the southern end of the 600-mile (965-kilometer) Malacca Strait, Singapore handled almost 32 million containers in 2012. That’s the most in the world after Shanghai, data from London-based periodical Containerisation International shows.