Singapore kuboresha Bandari ya Dar

Singapore kuboresha Bandari ya Dar

Kwa siku Meli 60???? Kwa siku Makontena 91,000??? Really??

Nadhani bandari zinazoheshimika kwa ufanisi kama Felixstowe, Barcelona na HIT zinapaswa kujifunza kutoka kwa hawa jamaa.

Bandari haiwezi hudumia meli 60 au kontena 91,000 kwa siku (nadhani ikimaanisha 91000TEUs) afu ikawa inachangia only 7% ya pato la taifa. Sijui lakini..... kuna maajabu mengi sana siku hizi duniani.
Wewe inawezekana una uelewa zaidi wa haya mambo LAKINI mimi ninachojua ni kuwa SINGAPORE ndiyo nchi inayoongoza kwa productivity Duniani. Mataifa makubwa kama Japan na Marekani huwapeleka watu wao kwenda kujifunza productivity Singapore.

Kama inawezekana Singapore ijenge chuo hapa nchini ili kuwafundisha Watanzania productivity maana mpaka sasa ipo chini sana. Tena kama Singapore itawekeza nchini, serikali kwa kuanzia iruhusu makampuni hayo ya Singapore yawalete wafanyakazi wengi toka Singapore ambao watapunguzwa taratibu, lengo ni kuwafanya watanzania wajifunze jinsi kazi zinavyoweza kufanyika kwa speed na accuracy. Watanzania accuracy yetu ni ndogo, speed ndogo, kuthamini muda ni zero, kulalamika na majungu 90%, matumizi -na kutanua 100%.

Note: Productivity = Tija= speed + accuracy
 
Wewe inawezekana una uelewa zaidi wa haya mambo LAKINI mimi ninachojua ni kuwa SINGAPORE ndiyo nchi inayoongoza kwa productivity Duniani. Mataifa makubwa kama Japan na Marekani huwapeleka watu wao kwenda kujifunza productivity Singapore.

Kama inawezekana Singapore ijenge chuo hapa nchini ili kuwafundisha Watanzania productivity maana mpaka sasa ipo chini sana. Tena kama Singapore itawekeza nchini, serikali kwa kuanzia iruhusu makampuni hayo ya Singapore yawalete wafanyakazi wengi toka Singapore ambao watapunguzwa taratibu, lengo ni kuwafanya watanzania wajifunze jinsi kazi zinavyoweza kufanyika kwa speed na accuracy. Watanzania accuracy yetu ni ndogo, speed ndogo, kuthamini muda ni zero, kulalamika na majungu 90%, matumizi -na kutanua 100%.

Note: Productivity = Tija= speed + accuracy
Well said!!!
 
Singapore wapo mbali sana kuriko unavyowadhania izo meli nadhani zimepungua kutokana na kushuka kwa soko la China...
 
Hatujachelewa sana, tujifunze kutoka kwao waliotangulia.
 
miaka 40 nyuma Singapore ilikua nchi masikini zaidi yetu lakin leo hii wanakuja kutupa msaada, sijui n nan katuloga
 
Sure itakuwa busy sana. Mi mshangao wangu ni huu wa kuhudumia meli 60 kwa siku. Hizi meli zitakuwa zinaingia kama ndege kwenye busiest aiport.... Meli 60?? Meli 60 zinapokuwa kwenye port moja lazuma kuna ports kadhaa zitakuwa hazina meli wallah.
Mkuu Asprin, hii siyo Bandari moja bali ni Bandari zote zilizo Pwani mwa Singapore.

Fungua hizi link.
How Singapore's port helped change the country's economy

Bofyo hii link kisha fungua link ya Terminals.
Port of Singapore - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Sure itakuwa busy sana. Mi mshangao wangu ni huu wa kuhudumia meli 60 kwa siku. Hizi meli zitakuwa zinaingia kama ndege kwenye busiest aiport.... Meli 60?? Meli 60 zinapokuwa kwenye port moja lazuma kuna ports kadhaa zitakuwa hazina meli wallah.
Okay, lemme me put it this... Port of Singapore ni collection ya bandari zote zilizopo Singapore pamoja na container terminals zilizopo... yaani ni tofauti na Bandari ya Dar es salaam kwamba ukipanda gari ukateremka Station kisha ukashuka Bondeni; tayari unakuwa umeshafika the only Port of Dar es salaam! Port of Singapore haipo hivyo.

Hata hivyo, si kwamba hizo bandari tofauti tofauti ndo zipo mbali mbali sana; no! Chukua mfano wa ilipo Bandari ya Dar es salaam. Labda Ocean Road kungekuwa na second port, Coco Beach third Port, Sea Cliff Fourth n.k lakini zote hizi collectively zinaitwa The Port of Dar es salaam ingawaje sisi wenyewe kungekuwa na individual port names kv Bandari ya Kurasini, Ocean Rd, Coco Beach n.k!

Remember, Singapore as country bado ni ndogo sana hata kuilinganisha na Dar es salaam kwahiyo unaweza ku-figure out the distance between one port to another na kuna bandari kati ya 3-5 (not sure exact figure).

Likewise, wingi wa meli na container handling nilivyozungumza hapo kabla, pamoja na mambo mengine unachangiwa na kuwa transhipment port. Lango la Bahari la Singapore ndilo linaunganisha Bahari ya Pacific na Indian Ocean. Sasa basi, meli nyingi zinazotoka Far East including East Asia na zile zinazotoka Ulaya na America huwa zinafaulisha mzigo Singapore!

Kwa mfano, meli kutoka Japan yenye mzigo unaoenda Europe, inaweza kushusha huo mzigo Singapore ambao utaingizwa kwenye meli inayotoka hapo Singapore kuelekea Europe (Transhipment).
 
Kwa siku Meli 60???? Kwa siku Makontena 91,000??? Really??

Nadhani bandari zinazoheshimika kwa ufanisi kama Felixstowe, Barcelona na HIT zinapaswa kujifunza kutoka kwa hawa jamaa.

Bandari haiwezi hudumia meli 60 au kontena 91,000 kwa siku (nadhani ikimaanisha 91000TEUs) afu ikawa inachangia only 7% ya pato la taifa. Sijui lakini..... kuna maajabu mengi sana siku hizi duniani.

In 2015, PSA Singapore Terminals handled 30.62 million TEUs of containers. PSA is:
  • World's Busiest Transhipment Hub – accounting for almost one-seventh of the world's total container transhipment throughput and more than 4% of global container throughput.
  • One of the World's Largest Refrigerated Container (Reefer) Ports – more than 9,000 reefer points; handled over 1.7 million TEUs of reefers in 2015.
  • Excellent Connectivity – connected to 600 ports, with daily sailings to every major port in the world.
 
Shida 1 kubwa niliyonayo binafsi ni hi; wabongo tukiendaga nje ya nchi kufanya kazi hua tunapiga KAZI hadi jamaa wa huko wanajua kweli wamepata wafanyakazi na nina hakika hao watu wa Bandari wakienda Singapole, Wasingapole watajiuliza, "Hawa wamekuja kujifunza nini? Mbona kila kitu wanaelewa" Wakirudi sasa nyumbani, utashangaa kama hawa ni wale wale walikwenda Singapole au kivuli chao? Hili jambo hua silielewi kabisa.
 
miaka 40 nyuma Singapore ilikua nchi masikini zaidi yetu lakin leo hii wanakuja kutupa msaada, sijui n nan katuloga
Tumejiloga wenyewe.
1. Ufisadi, Uvivu.
2. Ufisadi, Uvivu.
3. Ufisadi, Uvivu.
 
Safi sana tukiimarisha na miundo mbinu ya nchi kavu kama reli na barabara tunaweza kufanya vizuri sana. Cha uhimu wataalam na wanasiasa wetu watumie vizuri akili zao katika maamuzi ili nchi yetu ipae kiuchumi
 
Kanchi kadogo kama Singapore kanatushinda na eti kunakuja kutupa msaada shame on our country
Hivi wewe zinakutosha? Unafikiri kama nchi imejaa watu wajinga kama wewe itasonga mbele. Nani kakwambia ukbwa kwa eneo ndiyo chachu ya maendeleo pekee?
Tukiongeza watu wenye maarifa ya kutumia rasilimali zetu kwa tija. Serikali imeliona hilo na sasa itapeleka watu kuongeza maarifa ya kutumia bandari kwa tija katika mazingira ya sasa ya kiushindani.
Kwa akili yako ya kujali ukubwa wa nchi,,hata miaka mia hatutafanikiwa. Hivyo usipobadilika utakuwa mzigo kwa taifa. Acha kulalamika toa majawabu ya matatizo yetu.
 
Tanzania mmeshajenga barabara ngapi hadi kufikiri kwenda kujenga DRC? Kuna kampuni ngapi za Kitanzania ambazo zina uwezo wa kujenga barabara zaidi ya 100 km?
Ndio tatizo tulilonalo hilo, tunafikiria karibu mno, ukijenga Barabara moja ya Km 100 DRC, profit yake unaweza kujenga kumi za aina hiyo Tanzania
 
Tanzania mmeshajenga barabara ngapi hadi kufikiri kwenda kujenga DRC? Kuna kampuni ngapi za Kitanzania ambazo zina uwezo wa kujenga barabara zaidi ya 100 km?
Poor thinking.
 
Mkuu, una maana gani unaposema kanchi kadogo? Una maana udogo wa eneo au kipato?

Eneo kiongozi, tuna maeneo makubwa ya kuwekeza lakini cha kushangaza serikali kama imefumba macho inasubiri wazungu waje ndo ishituke
 
Ndugu hawa jamaa ni kama vile sisi pale port ya Zanzibar tuifanyie maboresho makubwa pamoja na kuipanua kisha unaifanya inakuwa free port hvyo meli nyingi zinaweza kuwa zinashusha mzigo zenj zinaendelea na safar bila ulazima wa kuja dar port then huo mzgo wa dar utafatwa na meli ndogo
 
Sure itakuwa busy sana. Mi mshangao wangu ni huu wa kuhudumia meli 60 kwa siku. Hizi meli zitakuwa zinaingia kama ndege kwenye busiest aiport.... Meli 60?? Meli 60 zinapokuwa kwenye port moja lazuma kuna ports kadhaa zitakuwa hazina meli wallah.
Ni kweli kabisa bandar za karbu zilizo chovu lazima ziwe feeder port
 
Kama tunataka ufanisi na faida kwenye bandari zetu lazima tujifunze kutoka The Port of Singapore Authority.

Hawa jamaa wanawezesha asilimia zaidi 7 za pato la taifa kupatikana kwa njia ya maritime industry. Wanashughulika kwa ufanisi na meli zaidi ya 60 kwa siku, makontena zaidi ya 91,000 kwa siku.
Wenzetu wanatumia one-stop-centre katika documentation za makontena na hakuna rushwa, uzembe na urasimu.

Sisi bandari zetu zinanuka uzembe, rushwa na ufisadi kuanzia wafagiaji mpaka top level management.
Ikumbukwe, Singapore ilikuwa ni nchi masikini sawa na Tanzania kwenye miaka ya 1970 lakini kwa sasa ni moja kati ya nchi tajiri duniani.

Where there is will there is a way!
Hivi tokea 1970 mpaka sasa ni serikali ya chama gani inatawala?
 
Back
Top Bottom