Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

umenielewa vibaya aisee!!!!
nachoshangaaa ki vp huyu mtu kafutiwa mashttaka na DPP ? tena bila lutolewa sababu ya kimsingi.
Mkiambiwa kuna sheria mbovu kupita maelezo mnajifanya hayawahusu mnaona kurusha na kushabikia live sijui arobaini za watoto ndio vitu vya maana! Mojawapo ya sheria za hovyo ni hiyo; imepigiwa kelele miaka nenda miaka rudi! DPP hahitaji kutoa maelezo yoyote kwa yeyote anapofuta kesi YOYOTE!
 
Hii kesi imenikumbusha ile kesi ya aliekua Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Abdallah Zombe ambapo yeye, mshitakiwa wa pili Mrakibu wa Polisi (SP) Christopher Bageni, mshitakiwa wa tatu Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Ahmed Makelle na WP Jane Andrew, CPL Emmanuel Mabula, D8289 PC Michael Sonza, D 2300CPL Ebeneth Saro, D.9312D/C Rashid Lema, D4656 C/CPL Rajab Bakari na D.1367 D/CPL Festus Gwabisab, na Saad Alawi walituhumiwa kuwaua Wafanyabiashara Watatu wa Madini kutoka Mahenge, Morogoro na Dereva Teksi wa Manzese Ndg Juma Ndugu..

Katika kesi hii, wapo ambao walichomoka just because Bastola iliyotumika kuua wale wafanyabiashara ilikua ni moja tu ambae ni Koplo Saad Alawi aliekimbia, na hakukua na ushahidi wa bastola hiyo kushikwa na mtu zaidi ya mmoja either kwa pamoja au kwa kupokezana. Kwa hiyo yale mambo ya sijui kula njama au kushiriki hapa hayakuwepo, kilichotuhumiwa hapa ni "kuua" ambapo alilengwa alieshika bunduki ni nani.
Hivi kesi zombe iliisgaje naomba unikumbushe
 
Duuuh nimeamini Jeshi la Polisi wanafanya kazi, wanao beza hili jeshi hawajapata matatizo
Hakuna aliyesema hawafanyi kazi ila huwa wanafanya kazi kisiasa sana hivi waliochukua pesa kwenye sandarusi wamekamatwa lini?? Waliomtungua risasi lisu.... Waliomteka saanane na kumuua mawazo wamekamatwa lini?? Kazi wamefanya ila ushahidi wameukalia kisa tu wanaogopa kuibana serikali kwa staili hii hatutofika kokote polisi wabadilike waache double standards
 
Endelea kujidanganya.


Osama alikuwa hatumii simu kabisa ila alipatiakana. Kaangalie operation Neptune osama alikuwa na zaidi ya miaka 10 anatumia barua kama njia ya mawasiliano ila sasa hivi imebaki history.
Sasa utalinganisha teknolojia ya drone surveillance iliyomsaka masaa 24 na hawa polisi wa analojia bongo?? Tuache utani bhana
 
WAUWAJI WALILIPWA MIL 16
PESA YA MBOGA TU MNAMUUWA BNADAMU MWENZENU
RIP MSUYA
NA HII YA MKE WA MSUYA KUMUUA DADA WA MSUYA IPOJE
MTOA POST ANZISHA MOVIE NYINGINE
Sijui kakimbilia wapi nilimwomba Alianzishe Na Huku.
Ila hii kama imemshinda..Haijui vizuri
 
Wawanyonge tu na wao,ili wajuwe kuua raia mwenzio siyo issue.
 
Kwa
Hakuna aliyesema hawafanyi kazi ila huwa wanafanya kazi kisiasa sana hivi waliochukua pesa kwenye sandarusi wamekamatwa lini?? Waliomtungua risasi lisu.... Waliomteka saanane na kumuua mawazo wamekamatwa lini?? Kazi wamefanya ila ushahidi wameukalia kisa tu wanaogopa kuibana serikali kwa staili hii hatutofika kokote polisi wabadilike waache double standards
Kwahiyo matukio matatu tu, ya Lisu, sandarusi
 
Dawa kutumia satelite phone, Thuraya.
Kuna uzi wa Mshana Jr humu kuhusu mtekaji maarufu huko Nigeria yeye alikuwa anatumia hiyo simu ya Thuraya but amekamatwa na yuko lupango.
 
Hii kesi imenikumbusha ile kesi ya aliekua Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Abdallah Zombe ambapo yeye, mshitakiwa wa pili Mrakibu wa Polisi (SP) Christopher Bageni, mshitakiwa wa tatu Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Ahmed Makelle na WP Jane Andrew, CPL Emmanuel Mabula, D8289 PC Michael Sonza, D 2300CPL Ebeneth Saro, D.9312D/C Rashid Lema, D4656 C/CPL Rajab Bakari na D.1367 D/CPL Festus Gwabisab, na Saad Alawi walituhumiwa kuwaua Wafanyabiashara Watatu wa Madini kutoka Mahenge, Morogoro na Dereva Teksi wa Manzese Ndg Juma Ndugu..

Katika kesi hii, wapo ambao walichomoka just because Bastola iliyotumika kuua wale wafanyabiashara ilikua ni moja tu ambae ni Koplo Saad Alawi aliekimbia, na hakukua na ushahidi wa bastola hiyo kushikwa na mtu zaidi ya mmoja either kwa pamoja au kwa kupokezana. Kwa hiyo yale mambo ya sijui kula njama au kushiriki hapa hayakuwepo, kilichotuhumiwa hapa ni "kuua" ambapo alilengwa alieshika bunduki ni nani.
Mkuu unakumbuka mpaka majina na nyadhifa zao? Umetisha sana
 
Rufaa ni automatic kwenye hukumu ya kunyongwa, rufaa ikigoma faili laenda ikulu
 
Back
Top Bottom