Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,591
Line za simu na hizo simu walizotumia hawakuzitupa!Ilikuwaje mpaka wakaanza kukamatwa...wapi walikosea?
Line za simu na hizo simu walizotumia hawakuzitupa!Ilikuwaje mpaka wakaanza kukamatwa...wapi walikosea?
Sazingine wapelelezi hufanya kazi yao vzuri sana.Nishawahi kushudia polisi wakiwa msibani wakijifanya ni wapishi wanapika pilau kumbe wapo kazini[emoji23] [emoji23]
Lakini hata upande wa mashtaka nao wana hela pia,mshtaki na mshtakiwa wote mabilioneaSazingine wapelelezi hufanya kazi yao vzuri sana.
Kwa mfano katika kesi hii, kuna mshitakiwa alinaswa kwa mganga wa kienyeji akioga 'ndagu' za kuzuia kukamatwa.
Kumbe kati ya wale wateja wenziye aliokuwa nao pale walikuwa ni polisi wakimfuatilia.
Tatizo linakuja kwa waandaaji wa mashitaka. Wale wakihongwa hujifanya mambumbumbu na kuacha mianya kibao ya kisheria, inayompa taafifu mtuhumiwa kwenye hukumu.
Hata kesi hii, nina wasiwasi sana matokeo yavrufaa, kama washitakiwa watakata rufaa, tunaweza kusikia mengine.
Watu kama wewe huwa siwaelewagiii.Simu walizotumia Ndo zimewaponza.Fatilia Uzi au mfate twenty 4seven anaujua mkasa wote.
Sasa u nataka MTU akiua aachiwe coz Marehemu hatarudi.
What a poor mind!!!!!
hakuna watu wenye ilmu kule ya kuandikia script mambo kama hayaNB: Bongo Movie hizi ndo stori za filamu. Acheni mambo ya mvulana wa kimasikini kapendwa na msichana wa kitajir
Hasa unalinganisha wamerekani na wabongo jomba????Endelea kujidanganya.
Osama alikuwa hatumii simu kabisa ila alipatiakana. Kaangalie operation Neptune osama alikuwa na zaidi ya miaka 10 anatumia barua kama njia ya mawasiliano ila sasa hivi imebaki history.
Hahah! Lete nyuzi hizo tujifunze banaUna sh ngap nikuletee nyuzi zote za huo msala?
Salaam wakuu!
Naomba mwenye taarifa kuhusu kifo cha huyu Ndg. Anayeitwa Bilionea Msuya. Nmekuwa nasikia habari zake sana kwenye magazeti na kesi yake ni moja kati ya kesi zinazofuatiliwa sana.
1.Aliuwawaje?
2.Nini kipo nyuma ya kifo chake?
3.Mkewe na dada yake wanahusika vipi?
4.Kwa nini matajiri wengi wa Arusha wanauawa kikatili sana?
Karibuni
Duh! Ko kumbe mkuu ni kama yale magenge ya drug dealers kule Mexico na south America?Inshort! Huyu bwana alikua tapeli na mpigaji wa madini yani anauza madini akikupatia basi jua usiku hufiki mbali eidha utavamiwa au utaporwa na pengine kuuwawa..Wenzake walimuonya akawa mbishi...Mkewe akachapiwa akapewa ngwe'ngwe! akajua mchezo hata siku anauwawa alionywa kuhusu utapeli na upigaji..inshort best friends wake waliamua kumkomesha kwa kukodi "special squad" kwa aajili hiyo tu..na wale mabwana walipomtwanga risasi pale Mirerani wakakimbili Same Milimani kula bata..walidakwa kama kuku!
Nina mengi, Tatizo muda!
PS: Nilikwenda kufanya "Tafiti" fulani kuhusu hii kesi..Aisee machalii ya chuga acha nayo!
Najua mkuu, ila ukiangalia maswali yangu hapo juu kuna vitu sijui na ningependa kujuaDuh mkuu uko nchi hii kweli? Mbona kesi ishafungwa na mtu tano wamehukumiwa kunyongwa jombii
Big up mkuuInshort! Huyu bwana alikua tapeli na mpigaji wa madini yani anauza madini akikupatia basi jua usiku hufiki mbali eidha utavamiwa au utaporwa na pengine kuuwawa..Wenzake walimuonya akawa mbishi...Mkewe akachapiwa akapewa ngwe'ngwe! akajua mchezo hata siku anauwawa alionywa kuhusu utapeli na upigaji..inshort best friends wake waliamua kumkomesha kwa kukodi "special squad" kwa aajili hiyo tu..na wale mabwana walipomtwanga risasi pale Mirerani wakakimbili Same Milimani kula bata..walidakwa kama kuku!
Nina mengi, Tatizo muda!
PS: Nilikwenda kufanya "Tafiti" fulani kuhusu hii kesi..Aisee machalii ya chuga acha nayo!
Aiseee mwaga nondo mkuu " kumbe jamaa nayeye alikuwa ni mafia ..Mimi nilidhani alionewa tuInshort! Huyu bwana alikua tapeli na mpigaji wa madini yani anauza madini akikupatia basi jua usiku hufiki mbali eidha utavamiwa au utaporwa na pengine kuuwawa..Wenzake walimuonya akawa mbishi...Mkewe akachapiwa akapewa ngwe'ngwe! akajua mchezo hata siku anauwawa alionywa kuhusu utapeli na upigaji..inshort best friends wake waliamua kumkomesha kwa kukodi "special squad" kwa aajili hiyo tu..na wale mabwana walipomtwanga risasi pale Mirerani wakakimbili Same Milimani kula bata..walidakwa kama kuku!
Nina mengi, Tatizo muda!
PS: Nilikwenda kufanya "Tafiti" fulani kuhusu hii kesi..Aisee machalii ya chuga acha nayo!