Kama Simba na mashabiki wake tutaendelea kua vipofu Kwa sababu tu ya ushindi wa bahati bahati.
Basi Mechi ya Marudio na Yanga Lig kuu, Jamaa watatupiga Goli nyingi sana kuzidi hata zile 5.
Simba mwanzo mwisho anacheza huoni km ana plan ya kutafuta goli, goli za Simba ni Penati, Faulo, na Bahati mbaya yaan imetokea pigapiga goooo.