Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Naandika kukanusha uvumi,uzushi na ungo uliosambazwa kwamba mimi Ben Saanane na Afisa Habari wa Chama Chetu tutawatangazia mwelekeo wa msimamo wa chama kuhusiana na matokeo ya uchaguzi mkuu.
Mimi binafsi(Sitamzungumzia mwingine),Napenda kuweka kumbukumbu sawa . Sina mamlaka ya kutoa msimamo wa chama katika suala hili.Ingekuwa suala la kisera na kiutafiti ningekuwa na mandate ya kusema.Tuna nidhamu na Itifaki...!
Viongozi wakuu wa UKAWA wameshasema na watasema kwa niaba ya UKAWA
Kauli ya viongozi waKuu na Mgombea Urais wa Muungano Edward Lowassa na Mgombea Urais Zanzibar Maalim Seif inatosha na itatosha
Maoni binafsi nitayasema kupitia page yangu bila woga kama ambavyo nimekua nikiyasema kupitia page yangu na mitandao,Mikutano ya hadhara,magazeti na vyombo vingine vya habari bila hofu
Uzushi wa kuhusisha jina langu unafanywa kwa makusudi maalumu.Ni mkakati tu....
It's amazing how malicious,Vicious,bitter and ridiculous some people can be.
Tusitoke nje ya Mstari katika struggle hii.
Haki ya Watanzania Kwanza.Wazanzibari walindiwe haki yao.Tuwe tayari kuilinda Demomrasia muda wote
Aluta continua,Victory Ascerta...
Ben Saanane
Mimi binafsi(Sitamzungumzia mwingine),Napenda kuweka kumbukumbu sawa . Sina mamlaka ya kutoa msimamo wa chama katika suala hili.Ingekuwa suala la kisera na kiutafiti ningekuwa na mandate ya kusema.Tuna nidhamu na Itifaki...!
Viongozi wakuu wa UKAWA wameshasema na watasema kwa niaba ya UKAWA
Kauli ya viongozi waKuu na Mgombea Urais wa Muungano Edward Lowassa na Mgombea Urais Zanzibar Maalim Seif inatosha na itatosha
Maoni binafsi nitayasema kupitia page yangu bila woga kama ambavyo nimekua nikiyasema kupitia page yangu na mitandao,Mikutano ya hadhara,magazeti na vyombo vingine vya habari bila hofu
Uzushi wa kuhusisha jina langu unafanywa kwa makusudi maalumu.Ni mkakati tu....
It's amazing how malicious,Vicious,bitter and ridiculous some people can be.
Tusitoke nje ya Mstari katika struggle hii.
Haki ya Watanzania Kwanza.Wazanzibari walindiwe haki yao.Tuwe tayari kuilinda Demomrasia muda wote
Aluta continua,Victory Ascerta...
Ben Saanane