Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Ushauri wangu KAA mbali na simu ya mwenza wako au rafiki yako ni mapresha matupu hasa mwapo kwenye mahusiano
Nakubaliana na wewe nusu nusu!!!
Ushauri wangu KAA mbali na simu ya mwenza wako au rafiki yako ni mapresha matupu hasa mwapo kwenye mahusiano
Nitavumilia na kumsamehe tu. Pia nitamwomba asinicheat tena.
Kama haujatunga hii story basi wewe nimwanamke uliyefundwa na uliingia kwenye ndoa ukijua umefuata nini!hukukurupuka hongera sana!nakushahuri mambo mawili!an option,siyo lazima yote!1=Kama unahiitaji ndoa yako mwite rafiki yako na maarafiki wengine amba mko karibu hata marafiki wa karibu na mmeo waalike dinner wakati mmemaliza kula mnapata drinks hakikisha hayo yote yanafanyika nyumbani kwako!Wambie unajambo unataka kuwambi usimame umwambie rafiki yako,"AshaDii nakupenda sana ila nakuonya na nakuambia achana na mume wangu na kuanzia leo wewe soyo rafiki yangu tena!!mgeukie mumeo mwambie mumeo kama unanipenda achana na rafiki yangu!!nimefahamu mda mrefu sasa nimevumilia sasa basi then nyanyua glass yako make cheers"Lazima wataishiwa nguvu naka atakuwa mstaarabu anaweza kukuomba sorry!Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 29.Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Juzi nimegundua kwamba mume wangu anatembea na mmoja wa marafiki zangu. Nilimsindikiza rafiki yangu kumuona shangazi yake mgonjwa,tukiwa pale nikataka kumkumbusha mume wangu kununua baadhi ya vitu ambavyo tulikua tunahitaji nyumbani. Nikaazima simu ya rafiki yangu kwakua yangu ilikua imeisha chaji,akanipa. Nikadial namba za mume wangu bila wasiswasi,baada ya kuandika zote nikaona kwenye screen imeandikwa mpenzi. Nikajua labda nimekosea maana nilikua natoa namba kichwani kwahiyo nikadial upya,matokeo yale yale.Nikaona nipige,ikapokelewa "mambo darling" sauti ya mume wangu bila ubishi. Kigugumizi nilichopata sikuweza kutoa neno zima.Akaishia kusema "mpenzi unakatakata ngoja ntakupigia" simu ikakata. Nilichofanya nilifuta namba nilizodial alafu nikadial simu ya dada wa kazi.
Kuchungulia msg box naona zinazotoka na kwenda kwa mpenzi zimesheni. Nikamrudishia na pale pale nikaaga.Sijamuuliza yeyote kati yao wala sijaongea na rafiki yangu since.Nafikiria nini cha kufanya.Naombeni ushauri.
KWELI BIBIE INABIDI UBADILI TABIA,UTATUITAJE WANAUME HATUNA HAYA WALA AIBU???.........KUMBUKA WANAUME WA HAPA JF WALAAAAAAAAAA, HATUNA TABIA HIZO Auuuuu ulikuwa unazungumzia wanaume nje ya JF??sasa hukumuuliza shosti yako kwa nini? Ulipaswa kukata mzizi wa fitna! Shoga yako anajua kuwa huyo anayemuita mpz ni mumeo? Kama anamjua na wewe umelifumbia macho hilo swala una tatizo wewe. .
Halafu wanaume mbona hamna haya wala adabu?wanawake wote waliojaa mpaka utembee na shoga wa mkeo?
Fafanua hapa!Sijui kama wengine wamekuelewa mimi sijakuelewa!
Wote wanao cheat lazima simu iwe na pass-word na hurusiwi kupokea hata kama yeye mwenyewe hawezi kuwahi. iyo moja mbili you are lucky if you see it hanging around without his presence.Asante mwaya. Simu yake ina password, hua hapendi niguse hata kama nataka kumpigia mtu na yangu haina salio.
KWELI BIBIE INABIDI UBADILI TABIA,UTATUITAJE WANAUME HATUNA HAYA WALA AIBU???.........KUMBUKA WANAUME WA HAPA JF WALAAAAAAAAAA, HATUNA TABIA HIZO Auuuuu ulikuwa unazungumzia wanaume nje ya JF??