Sina mapenzi na mama yangu

Nyie mnaomlaumu mshkaji sio kwamba anamchukia la hasha! Mimi ni mhanga was Jambo linafanana na hilo Sana lkn Mama yangu alifariki nikiwa na 3yrs kwa hiyo Sina kumbukumbu naye na naona matukio tu kwenye picha. Mzee wetu alioa tena. Mama mlezi alitulea vizuri tu bila issue lkn binafsi yangu simjui mtu yeyote toka kwa upande wa mama, sijawahi muona ht akija home ingawa tukienda kilaji Kuna mjomba alikuwa anakuja home alikuwa mkorofi halafu baba mdogo always alikuwa akimuonya kuhusu Mambo ya ushirikina kuhusu kutudhuru Sasa hatuna bond yoyote na upande wa mama. Halafu kutokana na hi situation. Kikubwa hapa jamaa anamuona mama yake km stranger tu hayupo moyoni.
 
Pole Sana mtoa mada naelewa unachokipitiaTuna share tatizo Ila Tofauti ni kuwa wewe huna mapenzi na Mama Mimi Sina Mapenzi Na BABA MZAZI,

Nina umri wa miaka zaidi ya 30 now. Jitihada zimeshafanywa na ndugu na marafiki ili kurudisha uhusiano wangu na Baba but ni kama Imeshimdika. Binafsi hiki kitu kinanitesa sana, na kinachonitesa zaidi ni kuona watoto wangu hawamfahamu Babu yao hata kwa sura hata sauti wakati yupo hai hata miaka 60 hajafikisha.
Mi nasema wanaoelewa hii situation ni waliyopitia. Upande wangu kwa baba ndo kabisa hata hisia za kama yupo haziji, same as u watoto ndo hawajui hata kama wana babu na bibi, bibi yangu ndo wanamuita bibi na at the same time wanajua bibi ni mama yangu. Ukija hisia za mama napambana kuzitafta sababu nimekulia kwa bb wa mama lkn the worst ni mama ambae yy hata hayupo tayar kuupokea upendo wngu japo nami naulazimisha.
Kuna wakat nabaki najiuliza walizinguana nini na mzee mpk impact inakua kwangu. Maana nahis mama akiniona anakumbuka sijui machungu yake hata sielew
 
Nyie mnaomlaumu mshkaji sio kwamba anamchukia la hasha! Mimi ni mhanga was Jambo linafanana na hilo Sana lkn Mama yangu alifariki nikiwa na 3yrs kwa hiyo Sina kumbukumbu naye na naona matukio tu kwenye picha. Mzee wetu alioa tena. Mama mlezi alitulea vizuri tu bila issue lkn binafsi yangu simjui mtu yeyote toka kwa upande wa mama, sijawahi muona ht akija home ingawa tukienda kilaji Kuna mjomba alikuwa anakuja home alikuwa mkorofi halafu baba mdogo always alikuwa akimuonya kuhusu Mambo ya ushirikina kuhusu kutudhuru Sasa hatuna bond yoyote na upande wa mama. Halafu kutokana na hi situation. Kikubwa hapa jamaa anamuona mama yake km stranger tu hayupo moyoni.
Uko sahihi. Kuna watu wanajitia humu lawama sijui Jamaa siyo mature Mara ohh Hana upendo. Wakati wao wamelelewa na wazazi Hadi wakajitegemea.. bond ya Mtoto kwa mzazi inatengenezwa Akiwa mdogo bado..
 
Mi nasema wanaoelewa hii situation ni waliyopitia. Upande wangu kwa baba ndo kabisa hata hisia za kama yupo haziji, same as u watoto ndo hawajui hata kama wana babu na bibi, bibi yangu ndo wanamuita bibi na at the same time wanajua bibi ni mama yangu. Ukija hisia za mama napambana kuzitafta sababu nimekulia kwa bb wa mama lkn the worst ni mama ambae yy hata hayupo tayar kuupokea upendo wngu japo nami naulazimisha.
Kuna wakat nabaki najiuliza walizinguana nini na mzee mpk impact inakua kwangu. Maana nahis mama akiniona anakumbuka sijui machungu yake hata sielew
Uko sawa.. Kuna kipindi unajitajidi kujipendekeza Kwa mzazi ili aelewe unampenda au wewe huhusiki na ugomvi au Tofauti zao Lakini Aaa wapi hakuelewi Sasa Utajipendekeza Hadi lini? Ilimradi huhusiki na umeingizwa kwenye chain unaacha tu maisha yaendelee.
 
Utafute kwanza ukweli ndipo unaweza kushughulika na hilo tatizo.
 
Mashangazi ndo maana wengi wao hawapendwi kutwa viroho papo kwenye ndoa za kaka zao
 
Daah, mkuu pole lakini naomba nikupe ushauri huu inategemea na Imani yako lakini, Maandiko yanaweka wazi kuwa wazazi waliokuzaa ni Mungu wa pili kutoka kwa Mungu wa miungu.

Ombi langu moja naona wewe na mdogo wako ndio Kuna kitu mshaaminishwa ama kupandikizwa huko mlipo lelewa so please omba rehema kwa Mungu rudisha mapenzi kwa mama, Mama anabaki kuwa mama tu hata aweje ni mama tu na baraka zako anazo yeye kwa nusu yake kutoka kwa wazazi wote baba na mama.

Najua Kama si mtu wa Imani huwezi nielewa hapa na naomba unisamehe Kama nimekukwaza, fanya hima ya kufanya toba kwa Mungu na kuonana na mama muombe msamaha mpende muonyeshe kuwa ni yeye tu duniani na Wala hakuna mwingine mfano wa mama, ukiona mzazi anaongea kwa uchungu kuwa akifa msiende basi ana maumivu na hiyo itakuwa laana kwenu please fanya hima kujua umuhimu wa Mama haijalishi hajakulea Ila ni mama ambae alikubeba miezi tisa tumboni usiku na mchana alihangaika kwa ajili yako wewe utoke salama.

Wapo ambao mama zao hawajahi kuwatia machoni ama kuwaona wanatamani siku moja wawaone lakini imekuwa kitendawili kwao😢😢😢😢, wapo tuliobahatika kupata malezi kutoka kwa mama zetu lakini walipotutoka tunatamani uwepo wao lakini hatuwezi kuwaona Tena😭😭😭😭😭😭 ndugu yangu usiache mama akafa kabla hamjapatana fanya hima popote ulipo muone mama muombe msamaha na mpende na furahia uwepo wake duniani.
 
Daah, mkuu pole lakini naomba nikupe ushauri huu inategemea na Imani yako lakini, Maandiko yanaweka wazi kuwa wazazi waliokuzaa ni Mungu wa pili kutoka kwa Mungu wa miungu.

Ombi langu moja naona wewe na mdogo wako ndio Kuna kitu mshaaminishwa ama kupandikizwa huko mlipo lelewa so please omba rehema kwa Mungu rudisha mapenzi kwa mama, Mama anabaki kuwa mama tu hata aweje ni mama tu na baraka zako anazo yeye kwa nusu yake kutoka kwa wazazi wote baba na mama.

Najua Kama si mtu wa Imani huwezi nielewa hapa na naomba unisamehe Kama nimekukwaza, fanya hima ya kufanya toba kwa Mungu na kuonana na mama muombe msamaha mpende muonyeshe kuwa ni yeye tu duniani na Wala hakuna mwingine mfano wa mama, ukiona mzazi anaongea kwa uchungu kuwa akifa msiende basi ana maumivu na hiyo itakuwa laana kwenu please fanya hima kujua umuhimu wa Mama haijalishi hajakulea Ila ni mama ambae alikubeba miezi tisa tumboni usiku na mchana alihangaika kwa ajili yako wewe utoke salama.

Wapo ambao mama zao hawajahi kuwatia machoni ama kuwaona wanatamani siku moja wawaone lakini imekuwa kitendawili kwao😢😢😢😢, wapo tuliobahatika kupata malezi kutoka kwa mama zetu lakini walipotutoka tunatamani uwepo wao lakini hatuwezi kuwaona Tena😭😭😭😭😭😭 ndugu yangu usiache mama akafa kabla hamjapatana fanya hima popote ulipo muone mama muombe msamaha na mpende na furahia uwepo
Daah, mkuu pole lakini naomba nikupe ushauri huu inategemea na Imani yako lakini, Maandiko yanaweka wazi kuwa wazazi waliokuzaa ni Mungu wa pili kutoka kwa Mungu wa miungu.

Ombi langu moja naona wewe na mdogo wako ndio Kuna kitu mshaaminishwa ama kupandikizwa huko mlipo lelewa so please omba rehema kwa Mungu rudisha mapenzi kwa mama, Mama anabaki kuwa mama tu hata aweje ni mama tu na baraka zako anazo yeye kwa nusu yake kutoka kwa wazazi wote baba na mama.

Najua Kama si mtu wa Imani huwezi nielewa hapa na naomba unisamehe Kama nimekukwaza, fanya hima ya kufanya toba kwa Mungu na kuonana na mama muombe msamaha mpende muonyeshe kuwa ni yeye tu duniani na Wala hakuna mwingine mfano wa mama, ukiona mzazi anaongea kwa uchungu kuwa akifa msiende basi ana maumivu na hiyo itakuwa laana kwenu please fanya hima kujua umuhimu wa Mama haijalishi hajakulea Ila ni mama ambae alikubeba miezi tisa tumboni usiku na mchana alihangaika kwa ajili yako wewe utoke salama.

Wapo ambao mama zao hawajahi kuwatia machoni ama kuwaona wanatamani siku moja wawaone lakini imekuwa kitendawili kwao😢😢😢😢, wapo tuliobahatika kupata malezi kutoka kwa mama zetu lakini walipotutoka tunatamani uwepo wao lakini hatuwezi kuwaona Tena😭😭😭😭😭😭 ndugu yangu usiache mama akafa kabla hamjapatana fanya hima popote ulipo muone mama muombe msamaha na mpende na furahia uwepo wake d
Tatizo hapa ni kutengeneza bond ukubwani. Hata kama hakuna issue yoyote inakuwa shughuli kutengeneza bond ukubwani. Kama hii haijakukumba huwezi kuelewa hata kidogo. Kama ulilelewa na bibi au mtu mwingine utampenda kuliko mama yako. Unaweza ukawa unamsaidia vizuri lakini hakuna bond kati yenu. Unamwona wakawaida tu. Hata mambo yako mengi huwezi kumshirikisha maana hujazoea. Mtoto anahitaji muda wa mzazi ili kujenga bond. Hata kama unaprovide material things bado hiyo haijengi bond kama huna muda wa kukaa nae. Jitahidi kukaa na watoto wajo ili ujenge bond vingenevyo wakiwa wakubwa utaanza kulaumu sijui wanafundishwa na mama yao, shangazi etc
 
duh...beki 3 noma....
anyway bro, kuna wakati inabidi ufute the past...msogelee MUNGU zaidi.......mwambie haja ya MOYO wako......hata kama mama yako ni mlozi......msogelee MUNGU for the sake of your loved mom........usiachee, usichonge......waadui wawe nje sio ndani...MAMA yako ni wa ndani kabisa ya moyo wako...she got your bond......be strong blaza....tafuta zawadi nzuri mpelekee....kataa hizo sumu unazosikia...
 
duh...beki 3 noma....
anyway bro, kuna wakati inabidi ufute the past...msogelee MUNGU zaidi.......mwambie haja ya MOYO wako......hata kama mama yako ni mlozi......msogelee MUNGU for the sake of your loved mom........usiachee, usichonge......waadui wawe nje sio ndani...MAMA yako ni wa ndani kabisa ya moyo wako...she got your bond......be strong blaza....tafuta zawadi nzuri mpelekee....kataa hizo sumu unazosikia...
Mi sina ugomvi na mama kbs Ila siioni kama ni mama yaani Ile kumchukia serious ndo hamna yaani namuona kama mtu mwngne Tu baki vile Ila si kwamba mi namchukia au Nina ugomvi Naye hapana kbs labda yeye ndo awe na ugomvi na Mimi tena mm nna hasira sn na shangaz zangu kuliko yeyote Yule maana ndio wamechangia kuvuruga familia yetu lakini mama sina inshu Naye ya bifu kbs moyo mweupe Ila sina mapenz Naye tu
 
Tatizo hapa ni kutengeneza bond ukubwani. Hata kama hakuna issue yoyote inakuwa shughuli kutengeneza bond ukubwani. Kama hii haijakukumba huwezi kuelewa hata kidogo. Kama ulilelewa na bibi au mtu mwingine utampenda kuliko mama yako. Unaweza ukawa unamsaidia vizuri lakini hakuna bond kati yenu. Unamwona wakawaida tu. Hata mambo yako mengi huwezi kumshirikisha maana hujazoea. Mtoto anahitaji muda wa mzazi ili kujenga bond. Hata kama unaprovide material things bado hiyo haijengi bond kama huna muda wa kukaa nae. Jitahidi kukaa na watoto wajo ili ujenge bond vingenevyo wakiwa wakubwa utaanza kulaumu sijui wanafundishwa na mama yao, shangazi etc
Hakuna Kitu kisichotengenezeka Kama Kuna utayari (Willingness)...

Kama watu mnakutana ukubwani na mnapendana kimapenzi na mnaoana kwanini usipendane na Mzazi wako ukubwani?


Mimi nimepitia maisha ya kulelewa na mama Sana na baba yangu nilikuwa simpendi hata kidogo. Kila nikimuona nakimbia.

Ila Sasa hivi ukubwani tuko pamoja vizuri kabisa. Huwa nikikumbuka yaliyopita siamini Kama leo naweza kuongea nae kwa simu nusu saa nzima.


Cha msingi ni kusonga mbele maisha ni mafupi haya
 
Ndugu pole sana kwa hilo nikuombe tu kwa unyeyekevu jaribu kwa njia yoyote ile kwa kadiri itakavyo wezekana uongee na Mama yako ana kwa ana ili mliweke sawa hili maana akitangulia mbele za haki mtihani wake ni mkubwa sana na hauwezi kuukabili kirahisi.
Imeandikwa waheshimu MAMA NA BABA UPATE MIAKA MINGI NA HERI DUNIANI.
Mungu aliumba dunia katika hali ya wema na ukamilifu. Hivyo hata alipotoa amri zake ni katika ideal situation ya wema ie. mzazi amemzaa mwanaye na kumlea vyema na hajamfanyia ubaya wowote. Huwezi mlazimisha mtu ambaye mama yake anamfanyia ubaya eti amheshimu na kuwa karibu naye sababu tu ya amri ya Mungu.

Mungu yu hai, na anajua kila kitu. Ni imani yangu kwenye sintofahamu anafanya exceptions.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom