Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 618
- 1,565
Sina iyo kumbukumbu labda mwenye nayo atujuze, hat trick kwenye derby sio jambo la kitoto eti ni mpaka uwe Bora aswaa na uwe fiti kwa 100%.
Mchezaji aliyekamilika atapimwa kwenye mechi ngumu Kama hizi za Yanga na Azam, ama Yanga na Simba, maana ni mechi ambazo uwezi pewa nafasi na mpinzani utambe unavyotaka ukibahatisha kuscore labda kagoli kamoja na kenyewe uwe umefanya kazi ya ziada!
Sasa Mwamba wa wagadugu Stephen Aziz key Leo KATHIBITISHA kwamba ni level nyingine, ni kipaji plus uwezo plus akili kubwa ya kuufanyia mpira uuone Kama vile ni mchezo rahisi tu, alijitafuta na amejipata na uyu ndiye yule aliyekuwa Asec mimosas!
Kufunga hat trick unaweza kwenye mechi za wakina coast union ama mtibwa sugar na sio derby wazee!
N:B KAMA KUFUNGA HAT TRICK KWENYE DERBY BASI MWAKAROBO TUNAWASUBILIA KWA HAMU MUIVUNJE REKODI YA MWAMBA WA WAGADUGU🗝️🗝️🗝️🔑🔑📌📌📌📌
Mchezaji aliyekamilika atapimwa kwenye mechi ngumu Kama hizi za Yanga na Azam, ama Yanga na Simba, maana ni mechi ambazo uwezi pewa nafasi na mpinzani utambe unavyotaka ukibahatisha kuscore labda kagoli kamoja na kenyewe uwe umefanya kazi ya ziada!
Sasa Mwamba wa wagadugu Stephen Aziz key Leo KATHIBITISHA kwamba ni level nyingine, ni kipaji plus uwezo plus akili kubwa ya kuufanyia mpira uuone Kama vile ni mchezo rahisi tu, alijitafuta na amejipata na uyu ndiye yule aliyekuwa Asec mimosas!
Kufunga hat trick unaweza kwenye mechi za wakina coast union ama mtibwa sugar na sio derby wazee!
N:B KAMA KUFUNGA HAT TRICK KWENYE DERBY BASI MWAKAROBO TUNAWASUBILIA KWA HAMU MUIVUNJE REKODI YA MWAMBA WA WAGADUGU🗝️🗝️🗝️🔑🔑📌📌📌📌