Sina imani na NECTA kwa upande wa Private Candidate!

Sina imani na NECTA kwa upande wa Private Candidate!

Uwezekano wa kupata A upo na wanatoa bila shida ila ishu ni kumtanguliza Mungu tu kwan hata wao ni binadamu na si malaika wanaosahihisha mitihani nimefanya mwaka jana literature in eng nimepata A
 
Si kweli mkuu necta A wanatoa vizuri tu mbona mimi kuna somo nimesimanisha banda na umri wangu umeenda tu mana nilimaliza form four 2009 nikapata credit moja tu . Mwaka jana nikarisit nikapata A B B D D
Sijajua wewe ni nani na unahusika na nini NECTA. Ila nikitaka niamini maneno yako, WEKA LINK YA MATOKEO HAPA.
 
Naongea kwa JAZBA, kwa kuwa mimi ndio muhusika.
Somo najiamini, nimejibu vizuri, nina uhakika kama sio A basi ni B. Eti Necta wananiwekea D au kisa mimi ni PC.

Somo ambalo sifikirii kama nitashuka chini ya A, eti wananiwekea B.

Au NECTA mmezuia kwa PC kupata A kwa somo lolote?

Na laiti NECTA wangekuwa wanaruhusu kwa PC kupata A, basi mimi ningeipata A ya Kemia na sio ile B.

Na tena hadi hii leo sijaona A ya PC kwa somo lolote kwa miaka yote, na kama ipo mtu alete link ya matokeo hapa.
Hii haimaanishi kuwa PC wote ni VILAZA, hadi washindwe kupata A, bali kuna kizuizi walichoweka Necta kwa PC.

Nilfikiria Rufaa, nikaona haifai. Ni vigumu kwa baraza hilo hilo wakuwekee D, kisha ukate rufaa wakuwekee B. Hapa nashauri Wizara ya elimu iunde BARAZA HURU LA RUFAA YA MITIHANI YA TAIFA. Ambapo hilo lisiwe chini NECTA, bali lijitegemee. Na ndio maana kuna mahakama ya mwanzo na mahakama ya rufaa.

Na laiti RUFAA ingekuwa yasahishwa kihalali, mimi ningejiandaa na rufaa!

Ama kungekuwa na uwezekano tu, wakuona karatasi yangu ya kujibia NECTA nina uhakika watakuwa wamekosea yafwatayo kati ya haya.
1. Kutosahishwa baadhi ya maswali.
2. Kujumlisha max katika mtihani mzima!
3. Kukosea kupanga daraja. Yaani badala ya kuweka B kwa max nilizopata wakeweka D.

Nina uchungu sana kiwango changu cha Phys hakifanani na D. Ambapo D naiona kama nusu F.

Nina uhakika kwa PC anayepata div 2, angefanya mtihani kama SC, ANGEPATA ONE. Na anayepata B, angepata A.

Mwisho kabisa sipendi kushauri saana, mwanafunzi aliyefeli arisiti. Ni heri arudie kidato!

Mimi ni PC mwenye UCHUNGU NA ELIMU from CSEE 2016.
Upo sahihi kabisa mkuu

PC wengi huwa hawafaulu na wanakamuaga haswa kweli.
 
Naongea kwa JAZBA, kwa kuwa mimi ndio muhusika.
Somo najiamini, nimejibu vizuri, nina uhakika kama sio A basi ni B. Eti Necta wananiwekea D au kisa mimi ni PC.

Somo ambalo sifikirii kama nitashuka chini ya A, eti wananiwekea B.

Au NECTA mmezuia kwa PC kupata A kwa somo lolote?

Na laiti NECTA wangekuwa wanaruhusu kwa PC kupata A, basi mimi ningeipata A ya Kemia na sio ile B.

Na tena hadi hii leo sijaona A ya PC kwa somo lolote kwa miaka yote, na kama ipo mtu alete link ya matokeo hapa.
Hii haimaanishi kuwa PC wote ni VILAZA, hadi washindwe kupata A, bali kuna kizuizi walichoweka Necta kwa PC.

Nilfikiria Rufaa, nikaona haifai. Ni vigumu kwa baraza hilo hilo wakuwekee D, kisha ukate rufaa wakuwekee B. Hapa nashauri Wizara ya elimu iunde BARAZA HURU LA RUFAA YA MITIHANI YA TAIFA. Ambapo hilo lisiwe chini NECTA, bali lijitegemee. Na ndio maana kuna mahakama ya mwanzo na mahakama ya rufaa.

Na laiti RUFAA ingekuwa yasahishwa kihalali, mimi ningejiandaa na rufaa!

Ama kungekuwa na uwezekano tu, wakuona karatasi yangu ya kujibia NECTA nina uhakika watakuwa wamekosea yafwatayo kati ya haya.
1. Kutosahishwa baadhi ya maswali.
2. Kujumlisha max katika mtihani mzima!
3. Kukosea kupanga daraja. Yaani badala ya kuweka B kwa max nilizopata wakeweka D.

Nina uchungu sana kiwango changu cha Phys hakifanani na D. Ambapo D naiona kama nusu F.

Nina uhakika kwa PC anayepata div 2, angefanya mtihani kama SC, ANGEPATA ONE. Na anayepata B, angepata A.

Mwisho kabisa sipendi kushauri saana, mwanafunzi aliyefeli arisiti. Ni heri arudie kidato!

Mimi ni PC mwenye UCHUNGU NA ELIMU from CSEE 2016.
Kk kwanza polee ila mtihani si wakisport sport ninavyojua PC weng huwa hawako serious wanachukua mambo poa poa tyuu uki appeal utaona madudu yako uliyofanya
 
Hata kwenye kupata Mkopo wale wanafunzi wa fm 6 walioresit pia walilalamika kuwa hawajaliwi
 
Naongea kwa JAZBA, kwa kuwa mimi ndio muhusika.
Somo najiamini, nimejibu vizuri, nina uhakika kama sio A basi ni B. Eti Necta wananiwekea D au kisa mimi ni PC.

Somo ambalo sifikirii kama nitashuka chini ya A, eti wananiwekea B.

Au NECTA mmezuia kwa PC kupata A kwa somo lolote?

Na laiti NECTA wangekuwa wanaruhusu kwa PC kupata A, basi mimi ningeipata A ya Kemia na sio ile B.

Na tena hadi hii leo sijaona A ya PC kwa somo lolote kwa miaka yote, na kama ipo mtu alete link ya matokeo hapa.
Hii haimaanishi kuwa PC wote ni VILAZA, hadi washindwe kupata A, bali kuna kizuizi walichoweka Necta kwa PC.

Nilfikiria Rufaa, nikaona haifai. Ni vigumu kwa baraza hilo hilo wakuwekee D, kisha ukate rufaa wakuwekee B. Hapa nashauri Wizara ya elimu iunde BARAZA HURU LA RUFAA YA MITIHANI YA TAIFA. Ambapo hilo lisiwe chini NECTA, bali lijitegemee. Na ndio maana kuna mahakama ya mwanzo na mahakama ya rufaa.

Na laiti RUFAA ingekuwa yasahishwa kihalali, mimi ningejiandaa na rufaa!

Ama kungekuwa na uwezekano tu, wakuona karatasi yangu ya kujibia NECTA nina uhakika watakuwa wamekosea yafwatayo kati ya haya.
1. Kutosahishwa baadhi ya maswali.
2. Kujumlisha max katika mtihani mzima!
3. Kukosea kupanga daraja. Yaani badala ya kuweka B kwa max nilizopata wakeweka D.

Nina uchungu sana kiwango changu cha Phys hakifanani na D. Ambapo D naiona kama nusu F.

Nina uhakika kwa PC anayepata div 2, angefanya mtihani kama SC, ANGEPATA ONE. Na anayepata B, angepata A.

Mwisho kabisa sipendi kushauri saana, mwanafunzi aliyefeli arisiti. Ni heri arudie kidato!

Mimi ni PC mwenye UCHUNGU NA ELIMU from CSEE 2016.
Tatizo uliingia kwenye mtihani na maswali yako sio ya necta.
 
rafiki yangu pole sana mimi umenikumbusha mbali sana miaka 2008

mimi nilimalizaga form six PGM nikapataga zero baada ya hapo nilIAMUA Nirudia pepa karibia mara mbili napata zero basi mwisho wa siku niliamua nisome certificate ,diploma sasa hivi nina degree na nashukuru nimeajiriwa .

sasa sijui wale walimu wangu ambao walikuwa wanasaisha pepa zangu nikiwa PC na kunipa grade ya ZERO sijui watakuwa wanaendeleaje na maisha ,......

NECTA NECTA sitawasahau kamweee
 
Kuna mambo makubwa mawili amboyo watunga mitihani (walimu) na wafanyamitihani (watahiniwa) hatuelewi.
1. Setting ya mitihani tangu 2007 ilishabadilika ambapo sasa mitihani hupima ujuzi (comptency ) zaidi. Kama bado mtahiniwa na mwalimu wako mtakomaa kukariri majibu na kusolve maswali bila kutaka kuchambua maarifa yaliyomo kwemye mada husika lazima utaingia chaka tu. Mitihani mingi ya sasa hupima hicho ukokotozi si mkubwa.
2. Mtihani si kukusanya maswali na kuyapa namba kisha kuwapatia watahiniwa wafanye....... hapana hapana hapana! Kuna kanuni za utunzi, kuna mambo ya kuzingatia, kuna vitu(skills) zinapimwa.
Wale waliosoma kozi ya Tathmini na Upimaji wanaelewa. Kuna majedwali ya Upimaji ambayo mtunga mtihani (mwalimu) anatakiwa kulijua. Hivyo anakusanya maswali na kuyaandika akizingatia nini kinapimwa.....siyo kukusanyakusanya tu na kuyamwaga juu karatasi.
Ndugu unayelalamika, kusolve papers kibao bado hujafanya kitu. ...je hizo papers zilikuwa na kiwango kinachokubalika? Waweza kusolve papers nyingi na ngumu kumbe ni content setup. ...watu wanaaangalia comptency.....
Anagalia ulikokuwa unasomea na chunguza walimu wako waliokufundisha......je wako comptent kiasi cha kuyajua hayo?
Mtihani ulio mgumu (wa necta) siku zote huonekana mwepesi kwa macho hasa kwa watahiniwa...ila kwa setter mzuri atakwambia hilo ni JIWE. .
 
Kk kwanza polee ila mtihani si wakisport sport ninavyojua PC weng huwa hawako serious wanachukua mambo poa poa tyuu uki appeal utaona madudu yako uliyofanya
 
Kk kwanza polee ila mtihani si wakisport sport ninavyojua PC weng huwa hawako serious wanachukua mambo poa poa tyuu uki appeal utaona madudu yako uliyofanya
Watu wengi wanawalaumu PC kuwa wanakariri, wanajifanya wanajua kumbe hawajui n.k.

Na ukitaka uonekane kilaza mbele ya watu ulalamike umeonewa na NECTA kisha hao watu wakujue kuwa wewe ni PC. Haha! Hapo ndio kashifa zitaanza ooh, nyie PC, ooh! mnakariri. Ni heri alalamike SC.

Hawakumbuki kuwa si kila PC yupo hivyo wanavyofikiri wao!

Sasa poa, naamini nitafika mbali hivyo hivyo. Tena kwa hasira japo umri wangu unaruhusu kwenda A~level, ila nitasoma advance ki-PC-PC.

Na tena laiti chuo kikuu kuna uwezo wa kusoma kama PC, ningefanya hivyo!

Na Mungu awabariki PC wote. I LOVE PC.
 
Watu wengi wanawalaumu PC kuwa wanakariri, wanajifanya wanajua kumbe hawajui n.k.

Na ukitaka uonekane kilaza mbele ya watu ulalamike umeonewa na NECTA kisha hao watu wakujue kuwa wewe ni PC. Haha! Hapo ndio kashifa zitaanza ooh, nyie PC, ooh! mnakariri. Ni heri alalamike SC.

Hawakumbuki kuwa si kila PC yupo hivyo wanavyofikiri wao!

Sasa poa, naamini nitafika mbali hivyo hivyo. Tena kwa hasira japo umri wangu unaruhusu kwenda A~level, ila nitasoma advance ki-PC-PC.

Na tena laiti chuo kikuu kuna uwezo wa kusoma kama PC, ningefanya hivyo!

Na Mungu awabariki PC wote. I LOVE PC.
Hahahhaaaaa we jamaa umenichekesha kichizi ila kiukweli mimi binafsi sijawahi kuona PC kapata A nahisi Kuna kitu nyuma ya pazia
 
SC anakuwa Na matokeo ya maendeleo yake .pia ana standardise .kwa PC hakuna ivyo vitu .ndomana PC wengi wanafeli .bt usijidanganye eti uka appeal utapotezapesa bure .ila wanasahiihisha sawa ila hatua ya kutunuku matokeo nitofauti
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa hawajali Sana wanapomark pepa za PCs, They assume that you know much sasa hamnaga fairness, kwahiyo inatakiwa upate kazi ya kujibu zaidi ya mwanafunzi..!

Na pengine mkuu umestahili kupata ulichonacho kutokana Na uharisia, pengine ulijisahau kuwa wewe Ni PC hivyo ukajibu Kama SC (ukasahau kuwa you have to Digg deep)

All in all life goes on, kamata ulichonacho kisha angalia wapi unaelekea ..!

POLE KWA MACHUNGU
Acha kupotisha usahihishaji uko sawa kwa pc na s.c tatizo la mareseaters wengi wanajiamini na matango poli yao,nasema huu ni ukweli kabisa
 
Unalodhani lilikuwa jibu sahihi huenda ikawa ni kinyume chake. Necta wanafanya kazi kisayansi na ni mara chache zikawepo errors. Nenda kakate rufaa na watafanyia kazi shida yako, ila ujiandae kisaikolojia kwa matokeo yoyote.
Aka matango pori,hawa pc wanajiamini sana kupita kawaida
 
Yawezekana we ni resister,km hujaridhika Kata rufaa,hakuna candidates wanaopendelewa haki hutendeka sawa,PC na SC.
 
Back
Top Bottom