Sina Hamu Ya Tendo La Ndoa.

Sina Hamu Ya Tendo La Ndoa.

Kwa hawa mabinti wa sasa??? Unamdanganya mwenzio.... binti lazima atagawa kitumbua kwa wajanja.

Lol inawezekana, mradi awe na hela,mabinti wa siku hizi wanapenda hela kuliko hata hilo tendo lenyewe, ngoja nitype taratibu atoto asisikie
 
Last edited by a moderator:
Lol inawezekana, mradi awe na hela,mabinti wa siku hizi wanapenda hela kuliko hata hilo tendo lenyewe, ngoja nitype taratibu atoto asisikie

Duh umekaita hako kambea..... ngoja nisepe maana hakachelewi kuniharibia.

Hivi kinachopendwa zaidi siyo gegedo? Mbona visista du kibao vinagongwa na madereva wa bodaboda wakati vina maboifrendi zao BOT??
 
Pole Sana kijana, Mi pia nmetendwa Lakini nkipata show napiga mzgo kwa nguvu zote kuondoa stress kwa mda

Nilijaribu sana kuifanya hiyo kazi lakini nilishindwa sababu ya kauli zangu
 
Duh umekaita hako kambea..... ngoja nisepe maana hakachelewi kuniharibia.

Hivi kinachopendwa zaidi siyo gegedo? Mbona visista du kibao vinagongwa na madereva wa bodaboda wakati vina maboifrendi zao BOT??

Lakini ukimwambia amuache wa BOT ahamishie majeshi kwa wa bodaboda hawezi kubali ila ni rahisi kukubali kumuacha wa bodaboda akabaki na wa BOT bila usaidizi, hapana chezea nguvu ya pesa.
 
Anywe kwa mdomo upi????

Mwenzio naona gegedo limelogwa na madokta wa miti shamba Majaliwa kawapiga kurufuma

tatizo sio gegedo, tatizo ni kumbukumbu mbaya nilizopitia katika mahusiano.. Ninauwezo wa kuwagonga nitakavyo lakini ya nini niwatende watu Wasio na hatia?
 
Wasalaam

wana Jf......

Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu.


Ni kweli mimi ni mwanaume lijali na kunawakati huwa nahitaji kuwa na mpenzi. Lakini nina tatizo kubwa. Tatizo lenyewe lilianza kipindi ambacho nilikumbwa na Misukosuko Ya kimahusiano na Kimapenzi. Misukosuko niliyopitia katika Mahusiano Ya kimapenzi niliyopitia nadhani ndio Sababu kubwa Ya Kutokewa na Hali hii ya Kutokutamani Tunda.

Nimejaribu kuingia katika Mahusiano kadhaa wa kadhaa na katika mahusiano hayo nimejikuta nikiwa mkali, mkorofi na Jeuri kwa niliyenae. Inafikia kipindi nashindwa hata kuitawala hasira yangu.. Nakuwa na Majibu ambayo hata wakati mwingine yananishangaza mpaka mimi Mwenyewe.

Naweza Nikawa naingia katika Mahusiano Ya kimapenzi lakini linapofikia Suala la Kugegeda nakuwa mtu tofauti kabisa.. Naonekana kama mtu ambaye sikuwa katika hali hiyo.. Kila msichana ambaye nilifanikiwa kuwa nae katika kipindi ambacho nilitoka kuumizwa nilijikuta nikishindwa kukutana nao kimwili kwa kuwa sikuwa nahisia kabisa juu ya Mapenzi.... Nilikuwa nikiwaonea huruma waliokuwa Wanalia kwa Ajili Yangu. Nilikuwa nikijaribu kwa hali na Mali kuondokana na Hali hii lakini Nimeshindwa...

Nahitaji kuingia katika Mahusiano lakini naogopa kumuumiza mtu

natamani kuwa na mpenzi kwasasa, lakini naogopa kutesa hisia za mtu...

Nimekuwa Ibrah wa Ajabu, nimekuwa Ibrah wakujitenga na Watoto wa kike... Imefikia hatua kuna binti anakuja mpaka kwangu na kuingia ndani. Atafanya kila Aina Ya kitu lakini Bado ibrah nitabaki kumuangalia tu... Atanifanyia kila kitu huku akiliona gegedo likiwa wima lakini kuna Maneno niliyowahi kutamkiwa katika mahusiano niliyopitia nikikumbuka tu basi palepale roho huingia nyongo na Kutamani kumfukuza.

Nateswa na Hali hii, nasumbuliwa na Hali hii. Nahitaji msaada wa kitaalamu au ushauri utakaonifanya niondokane na Hili tatizo kwani kunakipindi natamani kuwa na Mtu lakini maneno ya Kejeli na dharau kwa waliokuwa wapenzi Wangu yananiumiza na Kunitesa sana.

Nahitaji kutoka ndani Ya Minyororo Hii lakini nashindwa. Nashindwa kusimama kwa miguu Yangu naombeni msaada Wenu katika Hili.....

Hasira, dharau, kiburi vinanifanya nionekane ni mwanaume watofauti...

Naombeni Wana Jf wenzangu mnisaidie kunitoa katika hali hii..nahitaji kuwa na mwenza lakini sipo tayari kumuumiza Mwanamke aliyenipenda kwa Moyo Wake Wote...

Ingawa moyo Wangu Unahisia juu Ya Mapenzi lakini Kwenye Suala la Tendo ndio Sina Hamu kabisa

NITATOKAJE KATIKA HALI HII?

Wasalaam

Wakuu na wanajukwaa wote.

Nimekaa nyumbani nikiwa nimekosa raha kabisaa. Nimeumia na kuumia sana, sina furaha tena katika maisha yangu kuanzia leo. Mwanamke niliyewahi kumpenda na kuishi naye kwa miaka miwili akaja kuondoka Tanzania akaniaga kuwa anakwenda kusoma Saudi arabia leo nimeliona jina lake kwenye gazeti akiwa ni mmoja wa wanawake waliohukumiwa gerezani miaka tisa kwa kujihusisha na Biashara ya madawa ya kulevya.

Imeniuma na kunichanganya Sana, natamani kumuona, natamani japo niongee nae. Natamani kumuuliza inakuwaje lakini nashindwa pa kuanzia. Nini kilikusibu Shadia mpaka ujiingize Huko? Hayo ndio masomo kweli?

Nimekosa furaha, nimepoteza furaha na sijui kama nitakuwa na furaha kwa kipindi hiki.

Nisamehe Mpenzi wangu huu ndio ukweli.

MOYO WANGU UMEUMIA KUPITA KIASI


Dogo inaelekea una majanga sana na hawa wanadamu wa jinsia Ke.
 
Wewe ni mgonjwa na huna budi kuonana na daktari haraka. Hakuna dunia bila MMU!
 
Lakini ukimwambia amuache wa BOT ahamishie majeshi kwa wa bodaboda hawezi kubali ila ni rahisi kukubali kumuacha wa bodaboda akabaki na wa BOT bila usaidizi, hapana chezea nguvu ya pesa.

licha ya kumuacha wa bodaboda lakini akikutana na huduma mbovu za kitandani hurudi kwa bodaboda. Nina uwezo wa kuwa marafiki lakini nitakuwa nampotezee muda wake
 
Lakini ukimwambia amuache wa BOT ahamishie majeshi kwa wa bodaboda hawezi kubali ila ni rahisi kukubali kumuacha wa bodaboda akabaki na wa BOT bila usaidizi, hapana chezea nguvu ya pesa.

Hakyamama atamwacha wa bodaboda kwa kuzuga tu. Akipata nafasi lazima ampelekee tunda akalichokonoe.
 
Una tatizo la kisaikolojia tafuta wataalam mapema kabla halijawa sugu
 
Hakyamama atamwacha wa bodaboda kwa kuzuga tu. Akipata nafasi lazima ampelekee tunda akalichokonoe.

Hahahaa lakini umekubali pesa ina nguvu zaidi enh?ndo maana kwa bodaboda ataenda kwa kuibia ila kwa BOT lazma ajiweke full time
 
Dogo inaelekea una majanga sana na hawa wanadamu wa jinsia Ke.

nikisema kuwa sina hamu namaanisha kweli babu... Bora huyo kuna mmoja alichonifanyia ndicho kilichonifanya niwe najibu ovyo kwa baadhi ya jinsia hiyo
 
Hahahaa lakini umekubali pesa ina nguvu zaidi enh?ndo maana kwa bodaboda ataenda kwa kuibia ila kwa BOT lazma ajiweke full time

Akikolezwa vizuri... BOT ataisoma namba bila shuruti. Hapana chezeya pawa ya gegedo nakuambia
 
Back
Top Bottom