Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
nilishawahi kuwa na mabinti wawili katika muda tofauti na kila mmoja aliahidi kulibeba hilo lakini Mambo Yalipowazidi Waliamua kuondoka. Kuna kipindi najisikiaga Huruma Juu Ya kile ninachowasema lakini sitilii manani
amua kutoka moyoni utaweza tu