Sina hamu naye tena!

We Phlagiey unamuongezea mwenzio mawazo mweeeh!

Mwanzoni nilimwambia ni mgeni wa mapenzi nimasaidie cha kufanya akanibishia, kinamwambia tena wewe mwanamke akifika kileleni hauna uwezo wa kujua maana ni mgeni akanibishia,,basi nikaona isiwe shida nikamkusanyia maelezo yake yote ajionee kama ushahidi....
 
Last edited by a moderator:
mpake mafuta ya olive mwili mzima fanya masage alafu unaanza kidogo afu chochea sana afu,unamkatia stimu afu tena chochea kama mara 4 mfululiZO utaskia kama mashine inasukumwa itoke ukiitoa kwa haraka ni mvua waaaaa he he wanadatAga

We sema taratibu....
 
Usisahau kupatumia kule chumvini atafunguka tuuu
 

Kumbe wanaonyonya mshundundo ndo malaya😱😱
 
hebu nipm namba yake kisha nitajua Kweli unamfikisha au la...
 
Kaa naye faragha jadilini kwa kina kuhusu tatizo hilo,Mapenzi hayanogi bwana endapo hakuna maafikianno juu jinsi ya kupeana mautamu.
 
ila jua tu whata goes around comes around,kama unaona wazi anajitahidi kukufurahisha unamuacha kwa nini,?she cant be everything u want her to be..utamuumiza ,enewei comment yako imenikumbusha kitu

Nahisi ana ka mchepuko ambako kanamridhisha ndo maana hana haja ya kuongea na mimi kuhusu hili.
Imekukumbusha kitu gani?
 
Kaa naye faragha jadilini kwa kina kuhusu tatizo hilo,Mapenzi hayanogi bwana endapo hakuna maafikianno juu jinsi ya kupeana mautamu.

Hili hataki kuliongelea, nikiliongelea anakuja juu anadai ata ajui kukojoa ndo habari gani. Wakati hii ni relation yake ya tatu kwa mujibu wake binafsi.
 

This time tomorrow!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…