Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Rapunzel

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
1,079
Reaction score
601
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?
 
Pole. Mambo matatu yanatakiwa: (a) Mumeo kutubu na kuwa na nia ya dhati kuacha ufuska (b) wewe kumsamehe kikamilifu na (3) Muda ili picha hiyo iache kukuathiri katika mahusiano yenu. Iwapo mawili ya kwanza hayatatokea shida itaendelea.
 
Pole mamito najua kuifuta hiyo kichwani ni kazi sana lakini kama una lengo la kuendelea kuishinae ni vema uifute na uanze upya, lakini vipi alikiri kosa na kuomba msamaha? maana viumbe awa anaweza bado akakataa kosa japo umemfumania mwenyewe, vp huyo Secretary wake bado yupo? kama bado wapo wote hapo naomba huyo mume atafute uhamisho ahame hiyo office vinginevo najua ata wewe hautamani tena kukanyaga ofisini kwa mmeo kwa sababu ya tukio hilo, All in All kama hauna mpango wa kuishia naomba ufute kumbukumbu hii na mjali mumeo kabla huyo Secretary hajapangiwa upande magomeni
 
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'

Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.
 
Ulikosea sana siku ile ulitakiwa uvue nguo na wewe hapo hapo awapige wote mashine huku ukimuonyesha kuwa wewe ni mtamu kuliko huyo Secretary.
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini, siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpk leo ,mume wangu amemuinamisha secretary wake wakihave sex,kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena bcoz ile picha iko ndani ya ubongo wangu yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex ,nifanyeje jamani

Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! BAD! VERY BAD!
 
Back
Top Bottom