Kwi kwi kwi?? Vipi tena we mtoto wa kichagga? Ni kyi kyi se?
Habari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma lingine,wanajamvi nifanyeje?na mie nivute kitu kipya fasta ama nimsikilizie?amenifanya nipoteze interest na kazi siku 3 hizi,naomba maoni yenu.
Habari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma lingine,wanajamvi nifanyeje?na mie nivute kitu kipya fasta ama nimsikilizie?amenifanya nipoteze interest na kazi siku 3 hizi,naomba maoni yenu.
kwa nini usimfuate home kwake?unaogopa mkewe eeh.achana na mme wa mtuNilitaka nimpotezee ila kila nikikumbuka maujanja yake kunako najikuta namcall ka leo nimemcall more than ten timez,tulipanga niende naye huko ila mwenzangu kanichunia gafla,kesho namfata job kwake nikajue moja
kama home kwako hafiki basi yupo home kwake may be amechoka kushea bed yako hebu kashee naye yake uone......!!!!
mpe siku mbili zaidi, kama ataendelea kukuzingua ni PM. Wewe si mtoto wa kusumbuliwa na watu wasiojua kupenda wala kupendwa.
Mmeshayazungumza?....kitu kipya hakitamakiza huo msongo.....tulizana,,,,talk to Sir God........think ur future,,,, huyo mlikuwa mnashereheshana tuu....usjie kuwa kiburudisho cha wageni.....haha ha nilijua lazima upige dongo,si awe muwazi basi mie cna neno sema nilianza kumzoea,so nivute kitu kipya?
Kuna kijiununda umemfanyia na sasa yuko kwenye mgomo baridi jirekebisha atarudi halafu jaribu kumpatia kiji out cha kwenda bagamoyo makae siku mbili tatu ukimlainishaHabari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma lingine,wanajamvi nifanyeje?na mie nivute kitu kipya fasta ama nimsikilizie?amenifanya nipoteze interest na kazi siku 3 hizi,naomba maoni yenu.
ha haaa, umeona eeh!Chezeya kupenda na kupendwa weye nikiwe!!!! siku ya tatu kazi zimelala!!!
CC: @FP
oh really... :confused2: :noidea:
oohh, I get it now. loljuzi kati si ndo ulipost ule uzi wa sms za mwizi?! umeuona jamaa ameomba PM kama yule sista akiendelea kuzinguliwa na jamaa yake?! akaongezea na maneno ya kunogesha nogesha! chek utaona!!