Kasema yuko bize,na its abt 3 days only,nwy wacha nifanye yangu
Kama kawa,penzi kiti cha basi mkuu
mpe siku mbili zaidi, kama ataendelea kukuzingua ni PM. Wewe si mtoto wa kusumbuliwa na watu wasiojua kupenda wala kupendwa.Kasema yuko bize,na its abt 3 days only,nwy wacha nifanye yangu
achana nae,ijumaa twende ukapoze machungu na Anaconda,nothing but truthhaha ha azote unaharibu shosti,potezea wanaume wenyewe wachache so tunagawana umaskini
mpe siku mbili zaidi, kama ataendelea kukuzingua ni PM. Wewe si mtoto wa kusumbuliwa na watu wasiojua kupenda wala kupendwa.
achana nae,ijumaa twende ukapoze machungu na Anaconda,nothing but truth
Kwi kwi kwi?? Vipi tena we mtoto wa kichagga? Ni kyi kyi se?kwi kwi kwi..........
Thanx lyagwa,ila tulikubaliana terms and cndts since day1,xaxa hayo ya future yanatoka wapi?nilikuwa nimeanza zoea mikuno yake so ntamtafuta tuyaweke xawa
Wazani naweza mtema basi?sijui amenipa kizizi yani am not the same aisiiii