kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
babriiiii
Yoòoooo!!..Kwi kwiii...kaishiwa swaga
babriiiii
Info nshapata:Vipi hujui kama kafunga ....... ratiba hii hapa.
1. Chanika 7/7/2016.
2.Nairobi Kenya. 10/7/2016
3.Gongo la mboto. 14/7/2016.
4.Ukonga. 21/7/2016.
5.Kigamboni. 28/7/2016.
6.Tegeta. 5/8/2016.
7.Geita. 13/8/2016.
8.Tunduru. 20/8/2016.
9.Kisarawe. 26/8/2016.
10.Mkuranga. 4/9/2016.
11.Lindi mjini.11/9/2016.
For more info mcheki meneja wake, booking now kama mji wako haupo kwenye list.
Nilidhani kuna shule za kata tu kumbe hadi show za kata zipoVipi hujui kama kafunga ....... ratiba hii hapa.
1. Chanika 7/7/2016.
2.Nairobi Kenya. 10/7/2016
3.Gongo la mboto. 14/7/2016.
4.Ukonga. 21/7/2016.
5.Kigamboni. 28/7/2016.
6.Tegeta. 5/8/2016.
7.Geita. 13/8/2016.
8.Tunduru. 20/8/2016.
9.Kisarawe. 26/8/2016.
10.Mkuranga. 4/9/2016.
11.Lindi mjini.11/9/2016.
For more info mcheki meneja wake, booking now kama mji wako haupo kwenye list.
Hahahahh!! huku kutafuta ugomvi sasa mkuu..Yani kabisa kabisa aje ikusanye watu kwa show....!??
kuna nyimbo za show.
Hahahahah!! Daaaahh waswahili tuna maneno sisiAu anajiangusha makusudi ili aje kusema naamka tena
Nadhani atakuwa anapungukiwa ugaliAsipopiga shoo unapungukiwa chakula mezani kwako?
ushindwe na ulegee,thawaAisee Kiba nampenda ngoja nae nianze kumfukuzia
show inaumuhimu kiongoz wang,kupitia show ndipo fans tunpata mda wa kukutana na cerebritz wetu katka vibes za kiburudanNadhani atakuwa anapungukiwa ugali
acha kukaza jiongeze,ongea point za msing,km ni grammar ama typing error itengue kwny bongo akoRileasing ndo nini?