Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Oooh! Nishamuelewa !Anamaanisha avatar broh![]()
Wasalimie waluguru aisee!
Oooh! Nishamuelewa !Anamaanisha avatar broh![]()
Simlaumu labda kwakuwa yupo katika hali mbaya ila mwenye makosa ni mm sijaleta taarifa kwa ndugu zetu, amepata misiba miwili ndani ya siku 2,Aniambie wapi?Vibaya hivyo jamani.
Msiba gani huo wa kwenu wenyewe?
Ukawa wanaleta presha Jimboni, ila hawajui nyani mzee nina mbinu nyingi za kutetea jimbo langu![]()
![]()
![]()
nimeipenda hii.
Umeamua kumficha bibie...
Kweli wewe ndio mmiliki halali![]()
MhhhhhhOooh! Nishamuelewa !
Wasalimie waluguru aisee!

Zaidi ya serious, kuna vitu si vya kuletea utani shem,Johnson![]()
![]()
Hii ni serious au utani?
Oh dear jamani kumbe ndio maana simuoni?Zaidi ya serious, kuna vitu si vya kuletea utani shem,
Hebu check nae nadhani simu yake unayo
Oh dear jamani kumbe ndio maana simuoni?
Mpe pole sana...nitamcheki.
Zimefika japo si kwa wakati maana yupo busy hatari

Wewe nae ulikosea,kama mtu wake wa karibu ulitakiwa utoe taarifa kwetu mapema kama wanafamilia.![]()
![]()
Zimefika japo si kwa wakati maana yupo busy hatari
![]()
![]()
Huwezi amini sijaingia kule tangu jana natamani kuingia lakini mda sina, na ubaya wa kule ukiingia na kutoka unapoteza conversation za nyuma, ule mchezo wa ku scroll unakera sanaMkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.

Nisameheni,Wewe nae ulikosea,kama mtu wake wa karibu ulitakiwa utoe taarifa kwetu mapema kama wanafamilia.
,Si hiyo sijui mnaita avatar.Picha ipi mkuu?
Wewe wasema.Sema kabisa ! Ma ni mariam
Hiyo ingize simalizii..! Hahaaa![]()

Poleni kwa matatizo mkuu. Mola awafanyie wepesi ktk kipindi hiki kigumu.Simlaumu labda kwakuwa yupo katika hali mbaya ila mwenye makosa ni mm sijaleta taarifa kwa ndugu zetu, amepata misiba miwili ndani ya siku 2,
So sad kwa kweli Clkey
Nimekimbia nusura nivunje hiki sijui mnaitaje nikitaka kuona huko kwetu Kilakala vipi. Nakutana na haya madrug dealerMkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.

ambayo Drump atawakomesha. Hahaha.Poleni kwa matatizo mkuu. Mola awafanyie wepesi ktk kipindi hiki kigumu.
AminaNitarudi nikiwa nimetulia mda huu sio fresh kwangu. Asante kwa info.Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.