FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 2,232
- 4,388
- Thread starter
- #481
AsanteShukrani mkuu na pole
AsanteShukrani mkuu na pole
Appreciated brother 🔥Daaaah you deserve to be best author [emoji1363][emoji1363] nice work
Yamefika mkuuAsante pokea maua yako FEBIANI BABUYA
Amina mkuu, karibu sana.Much respect to you FEBIANI BABUYA hakika umejua kutuburudisha Sana. Kazi yako ni njema mno
Roger that sir ✅Febian Babuya.... Respect mkuu
mkuu nieleze kuhusu hiyo coin ndio kitu gani kama ni hela ni sawa na shilingi ngapi na unalipaje ni kwa M pesa na tigo pesa au.? au hizo coin ndio sarafu za digital kina cryptocurrency ama.?Habarini za asubuhi!!!!!!!
Wale ambao mnasomea Fasihinet kwa coin baadhi ya simulizi zetu ni hizo hapo.
Kasome haraka simulizi ambazo haujazisoma kwa utulivu upate burudani ya kutosha huko. Link 👇
FasihiNet - Kiswahili Simulizi & Riwaya 📚
Explore captivating simulizi, hadithi, and riwaya in Kiswahili on FasihiNet.www.fasihinet.com
Coin ni mfumo wa malipo ambao unatumiwa na Fasihinet.mkuu nieleze kuhusu hiyo coin ndio kitu gani kama ni hela ni sawa na shilingi ngapi na unalipaje ni kwa M pesa na tigo pesa au.? au hizo coin ndio sarafu za digital kina cryptocurrency ama.?
Hiyo fasihinet yenyewe naipataje iko play store au? FEBIANI BABUYACoin ni mfumo wa malipo ambao unatumiwa na Fasihinet.
Coin ni sarafu ambayo unaitumia kununulia (kusomea simulizi).
Coin Moja ni sawa na tsh 100.
Sasa ukibonyeza link ya Fasihinet, unregister jina lako na kuweka password unakuwa na account tayari.
Baada ya hapo unaenda kwenye dashboard yako.... Hapo kuna sehemu imeandikwa pata sarafu unaingia hapo na unakutana na thamani ya coin kama picha zinavyo onyesha hapo chini 👇
Hapo wewe ili uweze kununua maana yake unatakiwa kuwa na pesa kwenye laini yako ya mtandao wowote ule ambao unautumia.
Ukibonyeza hapo itakuelekeza yenyewe namna ya kumaliza mpaka sehemu ya kuverify pesa yako kuwa kwenye mfumo wa coin.
Ukifanikisha hilo basi unaweza kuanza kusoma simulizi ambapo episode Moja ni coin 1.
Ukiwa na coin unaweza kwenda kwenye simulizi husika na unapofungua episode yenyewe itapunguza coin kwenye hifadhi yako unaendelea kusoma.
Ukifeli mahali unaweza ukauliza hapa hapa au ukanicheki kwa namba yangu.
Gusa link kaiweka juu pene maelezo apoooHiyo fasihinet yenyewe naipataje iko play store au? FEBIANI BABUYA
Kwa sasa haipo huko inapatikana kwa website tu ambapo ukibonyeza link itakupeleka Moja kwa Moja.Hiyo fasihinet yenyewe naipataje iko play store au? FEBIANI BABUYA
Shukrani kwa maelekezo 🔥Gusa link kaiweka juu pene maelezo apooo
kwanini tena mkuu wakati inaelekea mwisho au unataka kuunganisha mwendelezo wake.? kama ni hivyo si bora uanze uzi mpya kama ulivyofanya hii season two baada ya kumaliza ile seasion one iliitwaje sijui ilee.!Mods naombeni mnibadilishie title ya huu uzi iitwe SAFARI YA GAVIN LUCA.
Mi nashauri iendelee hapa hapa!kwanini tena mkuu wakati inaelekea mwisho au unataka kuunganisha mwendelezo wake.? kama ni hivyo si bora uanze uzi mpya kama ulivyofanya hii season two baada ya kumaliza ile seasion one iliitwaje sijui ilee.!
Hii haielekei mwisho Bali IDAIWE MAITI YANGU Imefika mwisho labda kama haujaisoma yote.kwanini tena mkuu wakati inaelekea mwisho au unataka kuunganisha mwendelezo wake.? kama ni hivyo si bora uanze uzi mpya kama ulivyofanya hii season two baada ya kumaliza ile seasion one iliitwaje sijui ilee.!
Tutaangalia maana mods naona wapo kimya...Mi nashauri iendelee hapa hapa!