MnooooooSimulizi zisizoisha Zinakera
Nahisi wanafanya makusudi, dawa ni kuiacha ukijifanya kuanza kuisoma utajiumiza mwenyeweMnoooooo
Kazi nzuri
Na Ole wako uilete tena ng'ombe ww
Inabidi uwe na roho ngumu kufuatilia simulizi za humu!Simulizi zisizoisha Zinakera
Mkuu usikate tamaa,jamaa kasema kesho itaendelea,hivyo tuendelee kusubiria, kesho ikifika ndo tutajua kama imeiva au imeunguaSimulizi zisizoisha Zinakera