Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
- Thread starter
- #41
Sehemu ya 39.
"Mdogo wangu kukaguliwa ndiyo sitaki, lakini kweli nilikuwa na jamaa fulani sehemu," Eliza alininong'oneza sikioni.
"Wapi?"
"Mabibo."
"Jamaa mwenyewe siyo shemeji?"
Nilimuona Eliza akijiumauma huku akishindwa kuniangalia.
"Enhe vipi?" shemeji alitokea.
Eliza na shemeji walipoangaliana macho, kila mmoja alionesha tabasamu laini. Kama dada Light angekuwepo naamini pale pale angeisoma hali fulani na pale pale ndio ingekuwa mwanzo wa uchunguzi wake.
Itaendelea.....
"Mdogo wangu kukaguliwa ndiyo sitaki, lakini kweli nilikuwa na jamaa fulani sehemu," Eliza alininong'oneza sikioni.
"Wapi?"
"Mabibo."
"Jamaa mwenyewe siyo shemeji?"
Nilimuona Eliza akijiumauma huku akishindwa kuniangalia.
"Enhe vipi?" shemeji alitokea.
Eliza na shemeji walipoangaliana macho, kila mmoja alionesha tabasamu laini. Kama dada Light angekuwepo naamini pale pale angeisoma hali fulani na pale pale ndio ingekuwa mwanzo wa uchunguzi wake.
Itaendelea.....