Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 2,117
- 5,240
na nimesimama kidete kuhakikisha hii gurudumu la burudani hapa Luhila linaendeleaSisi km wanakijiji tunakutemea sana
Yeah, mbogoland na tz imetosha twende kwa WANYARWANDANishakuja aisee, unajua simulizi ipo mwishon sasa nawaza hapa tuhame nchi kama vepe
Ewaaaaaaaa yaan sisi tuko pamoja na wwNishakuja aisee, unajua simulizi ipo mwishon sasa nawaza hapa tuhame nchi kama vepe
Eeeh kazoea kuchumia tembele la uani na haogopi jua🤣🤣🤣Kwahiyo unataka kusema Abou Shaymaa Kazoea?
Na hakuna kupingwailete hiyo iliyo mwishoni, tumalizie ndo tujue tunaenda wapi, Mwenyekit nishasema
Ila huyu Abou Shaymaa nae ifike wkt atuambie tu, kuwa chai ataleta saa 6 wakati jua limeshakuwa kali ili tubabue ulimi.na ailete mapema kabla ya saa kumi
Ulienda kanisani lakn! haya basi jipange kwa heshima tumpokee Abou Shaymaa.Ewaaaaaaaa yaan sisi tuko pamoja na ww
Ulipo tupo nikiwa na kijana mpole Mani Fabian pamoja na mwenyekiti wetu kipenzi @Daud1 hatuwez kukuangusha
Tusubiri tuoneShida Soraya sio mtoto wa mwenyekiti, mwenye mtoto amesharuhusu walete mahari na akawaambia kuhusu dini wataona wao wenyewe wafanyeje, wakisema ndoa iwe ya mahakamani kila mtu aendelee na dini yake kuna shido?
Mm nipo tayar na mauwa nimesha nunuaUlienda kanisani lakn! haya basi jipange kwa heshima tumpokee Abou Shaymaa.
Ameshaleta hapo chai tamu kabisaIla huyu Abou Shaymaa nae ifike wkt atuambie tu, kuwa chai ataleta saa 6 wakati jua limeshakuwa kali ili tubabue ulimi.
Ewaaah hilo ndio jina langu sasaEwaaaaaaaa yaan sisi tuko pamoja na ww
Ulipo tupo nikiwa na kijana mpole Mani Fabian pamoja na mwenyekiti wetu kipenzi @Daud1 hatuwez kukuangusha
Hahaha Twalib unasahau kuwa anakamatwa muda si mrefu, haujaona anayoyawaza Idd kule akijitetea Twalib anatokaje?Natamani kurudi timu talib sio kwa mipango hii konk
Nakuona nakuonaEwaaah hilo ndio jina langu sasa
Talib hata akikamatwa ni mwamba sana huyuHahaha Twalib unasahau kuwa anakamatwa muda si mrefu, haujaona anayoyawaza Idd kule akijitetea Twalib anatokaje?
Ila soraya nae sijuwi yupo! baada ya kugundua talib anakula mneli pale pale ilibidi aseme, ila yeye akakaa tu anaifuga tabia mbaya! mpaka imekua, matokeo ndo haya tunayoyaona shetani na ibilisi wameungana.Ameshaleta hapo chai tamu kabisa
Twalib anawachanganya Anko na Ant yake
Mwenyekiti umeona nini tenaNakuona nakuona
Ameshagundua wazazi wake hawamsikilizi na kutilia maanani yale anayoyasema, hivyo ameacha washuhudie wenyewe, kwa mfano issue ya kuvuta bangi Mama Soraya alimkalipia Soraya ni mpaka aliposhuhudia mwenyewe.Ila soraya nae sijuwi yupo! baada ya kugundua talib anakula mneli pale pale ilibidi aseme, ila yeye akakaa tu anaifuga! mpaka imekua, matokeo ndo haya tunayoyaona shetani na ibilisi wameungana.