SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Ameshagundua wazazi wake hawamsikilizi na kutilia maanani yale anayoyasema, hivyo ameacha washuhudie wenyewe, kwa mfano issue ya kuvuta bangi Mama Soraya alimkalipia Soraya ni mpaka aliposhuhudia mwenyewe.

Ilipofika Twalib atakamatwa maana akina Zindo wako mikononi mwa shemeji polisi watatapika ukweli tu kule
Hao wazee wake soraya wepesi sana kuhadaika.
 
wepesi mno ni waoga waoga kuchukua action, si unaona hata suala la Idd kutaka kumbaka Soraya wamekaa nalo licha ya kupewa ushahidi na Dada sina mengi, ndio maana unaona Soraya amechukua hatua za kuzuia tukio pengine angesema asingeaminiwa na wangepigwa
Simulizi nzima, ambaye kashikilia misimamo ni Talib, yaani bange inavutwa haswa.
Baba Soraya ndie haeleweki kabisaa
 
Naaaaaaammmm! Wapenzi na wafuatiliaji wa simulizi za mtunzi wako hodari mahiri kutokea nchi ya mbogoland na sie mwingne ni Edgar Mbogo, baada ya ukimya wa muda mrefu sasa tumerejea tena na kigongo kitaaaaaaamuuuu cha kusisimua kitachokujia hapa hapa Jamii Forums, kina kwenda kwa jina laaaaaa (TEMBELE LA UWANI) ni kwanini la uwaniiiiii? Baki na mimi msimuliaji wako Abou Shaymaa mwanzo mwishooooo.
Naaam simulizi yetu inaanzia huko manispaa ya songea mkoa wa ruvuma huko mnamo mwaka 1997 twende pamoja tukiwa na Mmea Jr moneytalk Firdaus9 Curtain_mastertz Its Pancho mhanuzi wangu Gerrardgerry Che mittoga Daudi 1 aggyd Trimmer Nephew Antoine001 ephen_ Donnie Charlie mbuzi wa mshenga Kacheda mjasiliamali woodpecker24 Mr passion al Majiid Karibuni Sana na sasa tuanze.


UWE SASA UNAJISOMEA SOMEA ILI UWEZE KUTUNGA HADITHI ZA WATU WENYE AKILI. HIZI UNATUNGA ZA KUSOMA MABEKI TATU NA VILAZA WENGINEO.
 
UWE SASA UNAJISOMEA SOMEA ILI UWEZE KUTUNGA HADITHI ZA WATU WENYE AKILI. HIZI UNATUNGA ZA KUSOMA MABEKI TATU NA VILAZA WENGINEO.
Hii ndo inaitwa nyumba ya shetani mwendawazimu kaingiaje! ukiona shughuri haikuhusu busara ni kupita tu kimya kimya, zaidi ya hapo naona hapa umekuja kujichoresha ili upate umaarufu ambao hauna.
 
Back
Top Bottom