Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 2,117
- 5,240
- Thread starter
- #721
Bonus
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA SABA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA SITA: Swali hilo liligawika kwa pande mbili kimtazamo, wakati wengine wakiliona ni swali la kipuuzi huku wengine wakiliona ni swali muhimu, “kwani ile messeji imesemaje, si anatimiza mashariti ya mganga” alisema mmoja wa wajumbe kwa sauti iliyojaa uhakika, “nadhani mjumbe hujui, kwanini nasema hivi, kwasababu kwa yoyote anaemjua Mahamud, lazima atafahamu kuwa utajiri wa Mahamud umetoakana na tajiri Abdurkarim wa huko Oman, hakika ni tajiri mkubwa sana na katika ndugu zake Abdulkarim Mahamud ndie masikini, maana kaka zake na dada zake ni matajiri wakubwa sana huko kwao, sasa huo ushirikina unatokea wapi, wakati chanzo cha mali zake kina fahamika wazi wazi?” aliuliza mwenyekiti, na swali lile lilimshangaza na kumshtua Mahadhi ambae hakutegemea utambulisho ule wa utajiri wa Mahamud .......ENDELEA………
Watu wote wakatazamana kwa mshangao na viulizo vingi, hasa wale walioshupalia kuwa Mahamud anafanya ngono na binti yake kwaajili ya utajiri, kasoro mmoja tu ambae ni mmoja kati ya wale waliopewa lifti na Mahadhi siku ile, “lakini mwenyekiti, huwezi kujua akili ya mtu, anaweza kuwa na mali za urithi lakini bado akaingiwa tamaa ya kuongeza utajiri na kuamua kutumia ushirikina, hebu ona juzi ameongeza migari kibao” alisema mjumbe huyo na hapo ni kama aliwapa watu kitu cha kusema, na kuanza kuchangia hoja kwa kumshutumu Mahamud kuwa anafanya hivyo, ndio maana hataki binti yake aolewe, “sawa jamani, kama ni kweli Mahamud anafanya hivyo sasa tuna fanyaje?” aliuliza mwenyekiti wa baraza la wazee na mjumbe mmoja akanyoosha mkono, “ mimi nashauri kwanza kabisa aitwe hapa barazani, vitu vya kuambiwa ni kwamba aombe msamaha kwa baraza, pili aache kufanya vitendo hivyo vichafu na binti yake, tatu amuombe radhi bwana Mahamud na kijana wake kwa kitendo alicho wafanyia cha udharirishaji, nne akubali kupokea barua ya posa kwa binti yake ili kukomesha kutembea nae” alisema mjumbe huyo huku bwana Mahadhi na kijana wake wakitabasamulia mioyoni mwao kuombea swala lile likubaliwe na mwenyekiti, “ata mimi naunga mkono, Mahamud aje kuomba msamaha na aambiwe kuwa lazima akubali posa ya binti yake, vinginevyo atengwe na msikiti” asilimia kubwa ikaunga mkono na wachache waliobakia walishindwa kupinga swala hilo, “ok! lakini kumbukeni kuwa, bado hatujamjua aliesambaza sms hizi, na pia lazima Mahamud apewe nafasi ya kujieleza” alisema mwenyeiti na wakakubaliana hivyo, “tutafikisha ujumbe kwa Mahamud, kisha tutawajulisha siku ya kukutana” alisema mwenyekiti, kisha wakatawanyika, “baba we ni noma sana, yaani mambo yana jipa kama yalivyopangwa” alisema Idd wakiwa njiani ndani ya gari yeye na baba yake, “we jiande kumiliki fedha ya maana na mschana mzuri, najua lazima ataamua kukubali umuoe Soraya kwaajili ya kukwepa lawama, hapo ndipo utakapo jichukulia mke kiulaini kabisa” alisema Mahadhi, “lakini anaweza kututajia mahari kubwa ili tushindwe kuoa” alisema Idd kwa sauti ya mashaka, “weweee kwanza kumbuka kuwa mahari huwa sio lazima umalize kulipa, halafu akitaja kiwango kikubwa cha kuanza kulipwa na sisi tuna ongezea kuwa ni njama yake ya kumzuia binti yake asiolewe” alisema Mahadhi na hapo yeye na kijana wake wakacheka kwa nguvu, “nakuaminia baba” alisifia Idd.********
Yap! saa saba mchana tayari mzee Frank alishatoka kituo cha polisi cha mabatini, yaan matogoro, kutoa taarifa ya kuunguliwa ambapo alipokelewa na A-insp Joanes Kihiwili, ambae alimtambua mzee huyu kuwa ni baba wa rafiki yake wa zamani Higgno, ambae walitengana baada ya joanes kumaliza shule na kwenda chuo cha mafunzo ya kujiunga na jeshi la nafasi aliyoipata kutokana na umahili wake katika mchezo wa karate.
Alimsaidia vizuri mzee Frank na kufungua jarida, huku akimkatia RB (Report Book) na kumueleza kuwa endapo atamuona au kumtambua jina lake au sehemu anayoishi mtu huyo anaemuhisi, basi atoe taarifa na yeye akiwa kama mkuu wa kituo atahakikisha anakamatwa haraka sana.
Baada ya hapo mzee Frank alienda dukani na kunua mifuko minne ya simenti akawatafuta mafundi ambao walianza ujenzi mara moja, wakitumia tofari za udongo zilizo chomwa kwa moto mkari, huku akiongeza mifuko mingine na kuagizia vifaa vingine vya ujenzi kama mbao bati misumali na vitu vingine vingi tu, ambavyo vilihitajika kwenye ujenzi, muda wote alimsifu mschana chotara kwa kumsaidia na kumsifu kijana aliebahatika kukubaliana uchumba na mschana huyu, huku akijiapiza kuwa atamsaidia kwa kile alichokihitaji, yaani kuwa mshenga katika uchumba wao.******
Mzee komba na mke wake siku hii ya leo ya jumanne wakiwa wenye furaha isio na kifani chake, walizunguka nyumba mmoja baada ya nyingine wakiwatembelea marafiki zao hasa wale ambao waliamini kuwa hawakuwa wanampenda bwana Frank na familia yake,l wakisifu kitendo cha kuungua kwa duka, huku wakidai kuwa bwana Frank alikosea mashariti ya mgnga ndio maana duka lile ungua, “hiyo ndio faida ya uchawi, unadhani lile duka lilikuwa la hivi hivi” alisema Mzee Komba na bwana Ngongi akashangaa, “unasema.. inamaana lile duka ni la ushirikina?” aliuliza mzee Ngongi kwa mshangao, “sasa je, yaani pale ulikuwa ukipita saa sita au saa saba za usiku, unasikia watu wanalialia mule ndani ya duka” alisema mama Hilda yani mke wa mzee Komba, ambae leo alikuwa anatembea vizuri kabisa, “dah! basi itakuwa ni mandondocha yake ndiyo ya mechoma moto duka lake” alisema Ngongi, akionyesha kujihakikishia kwa maneno ya mzee Komba, “na utaona jinsi anavyo kuwa masikini, pengine hata nyumba yake ikaungua au akauza, si unajuwa mali za uchawi zinavyopukutika?” alisma mzee Komba huku kichwani kwake akiamini kuwa safari ya binti yake kule kwa babu Mabudi ingeleta jibu jingine muda mfupi ujao, “natamani kumuona jinsi alivyo maanika, kwanini tisiwapitie wakina Ngonyani ili tujifanye tunaenda kumpa pole halafu tukamsanifu?” aliuliza Ngongi na mke wa mzee Komba akaunga mkono, “ni kweli jamani, ili akituona limshuke” alisema mama Hilda na mzee Komba akadakia, “sasa sio mida hii inabidi tuwe tumesha utwika ulanzi ili akileta za kuleta na sisi tunamtolea mbovu pale pale” alishauri mzee Komba na wakakubaliana wahamasishane na wengine ili wafanye hivyo.******
Naam, Siku ya leo ilikuwa ngumu sana kwa mschana Sina, yaani Sinamengi, maana licha ya kwenda kwa yule fundi wake alie unganisha meno yake kwa waya, lakini leo ni kama aliunga vibaya, kwasababu alihisi kiwaya kikimsumbua kwenye fizi zake na kumpa usumbu usio wa kaiwaida, na kila alipopata usmbufu huo alimkumbuka yule kijana alie ya vunja meno haya kwa mara ya kwanza, siku alipolala nae na kumkimbia subuhi pasipo kumpa hela ya supu kama alivyoiita mwenyewe, japo ndio fedha ambayo ingemsaidia kwa kutwa nzima, “songea ni ndogo sana hii, ipo siku nitakutana nae tu huyu mshenzi, na nikimuona lazima anilipe meno yangu” alijiapiza Sina, ambae historia yake ni kwamba mwana mama huyu miaka saba iliyopita, mama huyu alikuwa anaishi kijiji cha Mpandangindo na mume wake, ambae alikuwa fundi baiskeri maarufu sana kijijini pale, ambae alishazaa nae watoto wawili wakike.
Lakini ndoa yao iliingiliwa na jini mkata kamba katika msimu mmoja wa mavuno, baada ya mwana mama Sinamengi kipindi hicho akiwa ni mschana kukutana na kijana mmoja aliekuja kununua mazao ya nafaka, ambae alimlaghai Sinamengi kwa ahadi ya kuondoka nae kule kijijini na kumpeleka mjini, sehemu ambayo ilikuwa ni ndoto ya Sinamengi kwenda kuishi, ukweli Sinamengi akashawishika na kumgawia kitumbua chake kijana yule, ikiwa ni hatua ya kupalilia ahadi ya kupelekwa mjini, ghafla Sinameni alijikuta akizama kwenye penzi lile la ulaghai na kusahau familia yake akianza kumdharau mume wake na kushindwa kuwapikia wanae wawili ambao aliwazaa kwa kufukuzana wanaita bila mpango wa uzazi, akimuacha mume wake anahangaika nao, ilifikia kipindi Sinamengi akaachana na mumewake ambae hata yeye alikuwa anafahamu kuwa alikuwa anampenda sana na kwenda kuishi na kijana mnunuzi wa mazao, hata mume wake alipojaribu kumsihi lakini ilikuwa kazi bure Sinamengi hakuelewa somo, mume wake akaona awatumie watu wazima kwenda kumsihi Sinamengi arudi kwa mume wake lakini haikuwa rahisi kumshawishi Sina, ambae alikataa katakata na kuendelea kuishi na kijana mnunuzi katika penzi lenye mfano wa lile la kihindi, huku wakiongozana kila sehemu, sokoni na kwenye vilabu vya pombe, hasa za kienyeji na kuonyesha mbele za watu jinsi walivyo pendana, wazazi wa Sina walijaribu kumsihi binti yao lakini haikusaidia, licha ya kumtenga kifamilia na kumueleza kuwa endapo ataachika asije akarudi pale nyumbani lakini Sina hakuonyesha kushtuka.
Lakini miezi sita mbele mambo yalibadilika, ni mara baada ya kijana mnunuzi kukamilisha kazi yake na kuagiza gari lililokuja kuchukuwa mzigo wa nafaka na kuondoka nao kuelekea mjini, akiahidi kuwa angekuja kununua mazao kwa mara ya pili na ndipo wange ondoka pamoja, lakini haikuwa hivyo, Sina alikaa kwa rafiki yake mmoja wa kike akimsubiri mnunuzi, ikapita miezi mitatu Sina hakuweza kuona dalili ya ujio wa kijana mnunuzi.
ikiwa ni msimu wa kilimo, ambao ni msimu mgumu sana kwa watu wa vijijini na pengine hata mjini, hali ilikuwa ngumu kuanzia chakula hata fedha za kujikimu kiasi kwamba rafiki yake Sina hakuweza kuendelea kumlea, hivyo kumtaka aondoke, sasa Sina hakuwa na ujanja akaanza kupanga kurudi kwa mumewake akipanga kwenda kuomba msamaha, huku akiamini kuwa kutokana na jinsi alivyo kuwa anampenda na kuomba arudi nyumbani kwake, basi ingekuwa rahisi kwa yeye kumsamehe.
Saa nne usiku ndio mida ambayo kwa hapa Pandangindo ni kama usiku sana, maana tayari watu huwa wamesha jifungia ndani na kuusaka usingizi kuelekea kesho, ndio mida ambayo Sina alienda nyumbani kwa mume wake na kugonga mlango, ukweli hakugonga sana akasikia sauti ya mume wake ikiuliza, “nani wewe usiku huu?” hapo kwa sauti ya kutetemeka Sina akajibu, “ni mimi mkeo Sina” “hoo! mbona usiku kuna tatizo?” aliuliza mume wa sina, “nime rudi mme wangu tuongee” alisema Sina hapo akasikia nyayo za mtu zikichakata kuja mlangoni na kisha mlango ukaanza kufunguliwa, hapo Sina akatabasamu kidogo, maana aliona dalili za kupokelewa na mume wake, “atatoa wapi jeuri ya kunitimua” alijiwazia Sina, nikiingia na kumtanulia miguu tu yameisha, na hivi atakuwa hajatomb** muda mrefu atapapatikia kama mwenye kiu alieona maji jangwani”alijiwazia Sinamengi, lakini sekunde chache mbele Sina alijikujta akikunja uso kwa mshangao, ni mara baada ya mlango kufunguka na kumuona mschana mmoja mrembo kweli kweli, ambae hakuwa mgeni machoni pake, ila kilicho mshangaza ni kumuona yupo hapa nyumbani kwa mume wake, tena amevalia upande wa kanga, “ticha unafanya nini hapa na mume wangu?” aliuliza Sinamengi kwa sauti ya mshangao na mshtuko mkubwa.
Kitu ambacho Sina hakukifahamu ni kwamba, mara baada ya yeye kukataa katakata kurudi nyumbani kwa mume wake, huku habari zikizidi kusambaa mitaani na kuwafikia wengi ambao walianza kuona kwa macho yao jinsi Sina anavyo mfanyia mume wake na kutembea na kijana mnunuzi, ndipo habari hizi zilimfikia mschana Suzie, ambae ni mwalimu wa shule ya msingi mpandangindo, ukiachilia sifa za upole na ukarimu lakini pia alikuwa ni mzuri wa umbo na sura kiasi cha kuwavutia wanaume wengi pale kijijini na vijiji vya jirani, mwalimu huyu wa shule ambayo watoto wa Sina walikuwa wanasoma, yaani Suzi ambae uzuri wake usingeweza kuufananisha na ule wa Sinamengi, aliposhuhudia jinsi watoto wale walivyo kuwa wanapata shida kwa kukosa malezi ya mama, wakilazimika kujitegemea kwa mambo muhimu kama kujipikia na kujifulia, ndipo alipoamua kuwasaidia kwa kazi hizo na kupelekea kuzoeana na baba yao kisha kuanzisha mahusiano ya siri, ambapo mwalimu Suzi alikuwa anaingia pale nyumbani saa mbili za usiku na kutoka mapema, wakisubiri kuhalalisha penzi lao kwa ndoa halali, kwasababu hata Sina nae hakuwa amefunga ndoa na mume wake wa zamani, nasema toka nje we Malaya kabla sijakuharibu sura” alisema Sinamengi kwa hasira na ghazab huku anaishika ile kanga ya Suzi na kuivuta kwa nguvu, nayo ikaachia mwili,
na kumuacha mschana huyu mtupu kabisa, ambae alikimbilia ndani haraka sana kuona hivyo Sinamengi ambae kitendo cha kumkuta mwanamke hapa nyumbani kilimuuma sana, aliingia ndani haraka na kumfuata Suzie, ambae alikimbilia alipokaa mume wake ambae nae alikuwa anainuka ili kumzuia Sinamengi ili asimdhuru mpenzi wake mpya.
Wakati huo binti zao wawili walikuwa wameshalala, japo walikuwa wanafahamu mahusiano mapya ya baba na mwalimu wao, wale walikuwa wanamuita hivyo hivyo mwalimu, ambae alikuwa anawapenda sana na kuwarejeshea furaha yao pamoja na ya baba yao, “nasema niache nimfundishe huyu Malaya mwizi wa waume wa watu” alipiga kelele Sinamengi, huku akijipapatua toka kwa mume wake wa zamani, wakati huo mwalimu Suzie akichomoka kukimbilia chumbani akiwa uchi wa mnyama, ile kujipapatua Sina akawahi kichuma cha baiskeri kilichokuwepo chini, ambacho kitaaluma kinaitwa peda, kilichoungana na kisahani kile chenye meno katika baiskeri hutumika kama gia, akavulumisha kwa lengo la kumrushia mwalimu Suzie, aliekuwa ana karibia mlango wa chumbani, lakini mume wake au mzazi mwenzie kama tunavyoweza kumuita akawahi na kuzuia kikiishia kumgonga mkononi na kuanguka chini, na hapo ndipo hasira zilipo mpanda mzazi mwenzie ambae aliachia kichwa kimoja cha maana kilichotua kwenye mgongo wa pua wa Sinamengi, ambae alishikwa na kizungu zungu cha ghafla na kuyumba yumba kama mlevi kabla haja aanguka chini akitanguliza mdomo, ambao ulienda kukita kwenye chuma lile la baiskeri, hata mzazi mwenzie hakujuwa kilicho mtokea mwanamke huyu, ambae aligundua kuwa yale mapenzi na ulofa wa jamaa huyu ulikuwa umeshaisha, damu nyingi zilikuwa zina mchuruzika mdomoni mwake huku akihisi ganzi mdomoni mwake.
Sina alijiinua na kukimbilia nje kama mule ndani ameliona jinni, moja kwa moja Sina akaenda kwa mjumbe ambae kwa bahati ambaya alikuwa anafahamu kisa chake na mume wake, akamshauri aende kwa mshenga bila aibu akaenda usiku ule ule kwa mshenga ambako aliambiwa aende kwa wazazi wake kisha arudi asubuhi, ukweli Sina hakuweza kwenda kwa wazazi wake, maana alishaga nyea kambi hivyo akarudi kwa rafiki yake ambae alimpa sharti la kulala usiku mmoja kisha kesho atafute pakwenda.
Siku ya pili mapema sana, Sina akaenda tena kwa mshenga, akiwa amesha fahamu kuwa alipoteza meno manne pale alipoangukia kile kichuma cha baiskeri, domo lilikuwa limevimba kweli kweli, akidai anataka akapatanishwe na mume wake, ikiwa na kumstakia kuwa mume wake ameingiza mwanamke nyumbani kwao, yaan kwake yeye na mume wake, “lakini unakumbuka kuwa wewe ndie ulieondoka kwa mume wako, na tulipo kusihi urudi kwake ulikataa katakata?” aliuliza mshenga, “lakini mimi namjuwa mume wangu bado ananipenda ni huyu mwanamke amempumbaza ili anichukie” alilalamika Sinamengi huku akishindwa kuunga maneno vizuri kwasababu ya ukibogoyo wake, “kama uliwaji kumuwekea limbwata nadhani litakuwa limeshaisha, sidhani kama inawezekana kukurudia, na mimi mwenyewe kutokana na ujinga ulioufanya mwenyewe siwezi kufanya upambuvu huo wa kwenda kukupatanisha na mumeo, labda nenda kwa wazazi wako” alisema mshenga na kumtimua Sinamengi, ambae alirudi kwa rafiki yake na kumuomba makazi ya muda wakati anatafuta la kufanya, nae akamkubalia lakini kwa shariti la kuwa pale anapata sehemu ya kulala tu kuhusu chakula na mahitaji mengine atajitegemea mwenyewe.
Wa kwanza kuona meno manne sakafuni nyumbani kwa mzazi mwenzie wa Sinamengi alikuwa ni mtoto wa kwanza wa Sina, wakati wanamsubiri mwalimu awapitie kwenda shuleni, ndio ulikuwa utaratibu wa kila siku, ni mara baada ya mwalimu kutoka mapema kwenda kujiandaa kisha angewapitia watoto wa mpenzi wake, hayo ndio yalikuwa maisha yao ya kila siku.
Huku Sina mengi akianza maisha mapya ambayo yalimlazimu kujilengesha kwa wanaume ili apate fedha ya kula na mahitaji mengine, na kutokana na hali ya uso wake alikosa soko la biashara aliyo mianzisha ya kuuza kitumbua chake, ambacho ndio mali pekee aliyobakia nayo, Sina akabuni mbinu mpya ya kuwasaka walevi, ambao kiukweli alifanikiwa kuwanasa kila kukicha, ambao walimpa fedha na pombe yakiwa malipo ya Kitumbua,m chake, ambacho hakukionea huruma kwa jinsi kilivyo kuwa kinatumika, wakati mwingine alikuwa akiwaibia wateja wake.
Kuna siku alifanikiwa kumuibia mteja wake mmoja alikuwa ameuza mkaa wa jumla, gunia kama hamsini hivi na kujipatia elfu sabini na tano, na yeye kufanikiwa kumuibia elfu arobaini na kutoroka usiku ule ule kueleka mjini, ambako mpaka sasa yupo anafanya kazi ya bar, huku akiuza kitumbua chake kila inapotokea kupata mteja, na huku mjini kiukweli alijifunza mengi zaidi, ni baada ya wateja wengi aliowapata kudai wanataka njia ya pili, wakidai kuwa hakuwa na mvuto wa kwenda nae kitumbuani, nae hakuwa na budi kukubali na kuuzoea mchezo huo, kwasababu ndio njia ambayo ingemfanya aishi, na hata fedha ya kuwekea meno ya bandia ya plastic aliipata kwa njia hiyo.
Mpaka sasa yupo Songea mjini anaendelea na maisha yake hakuwa na mpango wa kurudi kijijini, kwasababa alisha haribu na hakuwa na pakufikia.*******
Nusu saa iliyopita babu Mabudi alikuwa amesha toka porini akiwa na chupa iliyojaa maji maji ya rangi ya njano iliyofifia, huku anatafuna kipande fulani cha mti, ungeweza kusema mzizi wa mti fulani,(Anae uhitajia huo mzizi nauza) akimkuta Hilda anakula mihogo ambayo ilikuwa imeshaiva, kwa maana alisha chemsha na kuivisha, “pole mjukuu nimekuacha muda mrefu sana” alisema babu mabudi ambae tembea yake huwa anapinda mgongo kidogo, yaani kibiongo, huku sehemu zake za siri zikionekana kuinua kile kijinguo chake, ikionyesha dudu imeshatutumka na kusimama kweli kweli kwasababu ya ule mzizi, kitu hicho Hilda alikiona, “mh! huyu babu anawaza nini mbona mb**o yake imesimama au amesha kumbuka tulivyo fanya siku ile?” aliwaza Hilda, alieiona dudu ilivyo shupaa, “wala usijari babu, mwenzio nimekaa najilia mihogo hapa” alisema Hilda huku anaitazama chupa mkononi kwa babu, “naona unaitazama dawa yako, nimekuletea ili kusafisha bahati zako na kuondoa mikosi, yule kijana akikuona tena atang’ang’ania kuondoka na wewe” alisema babu mabudi huku anampatia ile chupa Hilda, “kunywa hii usinywe nyingi sana” alisema babu mabudi na Hilda akapokea ile chupa na kuinywa kidogo kama vile anaionja, “mmmmmh! babu kwanini ninywe kidogo, jamani mbona tamu sana” alisema Hilda huku akirudia kuiweka mdomoni, hakika aliiona ni tamu sana, “nitamu sawa lakini usinywe nyingi sana utatamani sana mjukuu” alisema babu aliekuwa anaingia ndani pasipo Hilda kuelekwa maana ya babu, yeye akaendelea kunywa Juice akisokomezea mihogo na kuifanya kama chai pasipo kujuwa leo atafahamu kwanini mama yake alishindwa kutembea kwa siku mbili……, bado tunaendelea kuhamasisha michango kwasababu unapochangia una tuwezesha kukuhudumia na kukupatia simulizi kila siku hapa JamiiForums namba ni 0717924403…. ITAENDELEA MUWE NA USIKU MWEMA...
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA SABA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA SITA: Swali hilo liligawika kwa pande mbili kimtazamo, wakati wengine wakiliona ni swali la kipuuzi huku wengine wakiliona ni swali muhimu, “kwani ile messeji imesemaje, si anatimiza mashariti ya mganga” alisema mmoja wa wajumbe kwa sauti iliyojaa uhakika, “nadhani mjumbe hujui, kwanini nasema hivi, kwasababu kwa yoyote anaemjua Mahamud, lazima atafahamu kuwa utajiri wa Mahamud umetoakana na tajiri Abdurkarim wa huko Oman, hakika ni tajiri mkubwa sana na katika ndugu zake Abdulkarim Mahamud ndie masikini, maana kaka zake na dada zake ni matajiri wakubwa sana huko kwao, sasa huo ushirikina unatokea wapi, wakati chanzo cha mali zake kina fahamika wazi wazi?” aliuliza mwenyekiti, na swali lile lilimshangaza na kumshtua Mahadhi ambae hakutegemea utambulisho ule wa utajiri wa Mahamud .......ENDELEA………
Watu wote wakatazamana kwa mshangao na viulizo vingi, hasa wale walioshupalia kuwa Mahamud anafanya ngono na binti yake kwaajili ya utajiri, kasoro mmoja tu ambae ni mmoja kati ya wale waliopewa lifti na Mahadhi siku ile, “lakini mwenyekiti, huwezi kujua akili ya mtu, anaweza kuwa na mali za urithi lakini bado akaingiwa tamaa ya kuongeza utajiri na kuamua kutumia ushirikina, hebu ona juzi ameongeza migari kibao” alisema mjumbe huyo na hapo ni kama aliwapa watu kitu cha kusema, na kuanza kuchangia hoja kwa kumshutumu Mahamud kuwa anafanya hivyo, ndio maana hataki binti yake aolewe, “sawa jamani, kama ni kweli Mahamud anafanya hivyo sasa tuna fanyaje?” aliuliza mwenyekiti wa baraza la wazee na mjumbe mmoja akanyoosha mkono, “ mimi nashauri kwanza kabisa aitwe hapa barazani, vitu vya kuambiwa ni kwamba aombe msamaha kwa baraza, pili aache kufanya vitendo hivyo vichafu na binti yake, tatu amuombe radhi bwana Mahamud na kijana wake kwa kitendo alicho wafanyia cha udharirishaji, nne akubali kupokea barua ya posa kwa binti yake ili kukomesha kutembea nae” alisema mjumbe huyo huku bwana Mahadhi na kijana wake wakitabasamulia mioyoni mwao kuombea swala lile likubaliwe na mwenyekiti, “ata mimi naunga mkono, Mahamud aje kuomba msamaha na aambiwe kuwa lazima akubali posa ya binti yake, vinginevyo atengwe na msikiti” asilimia kubwa ikaunga mkono na wachache waliobakia walishindwa kupinga swala hilo, “ok! lakini kumbukeni kuwa, bado hatujamjua aliesambaza sms hizi, na pia lazima Mahamud apewe nafasi ya kujieleza” alisema mwenyeiti na wakakubaliana hivyo, “tutafikisha ujumbe kwa Mahamud, kisha tutawajulisha siku ya kukutana” alisema mwenyekiti, kisha wakatawanyika, “baba we ni noma sana, yaani mambo yana jipa kama yalivyopangwa” alisema Idd wakiwa njiani ndani ya gari yeye na baba yake, “we jiande kumiliki fedha ya maana na mschana mzuri, najua lazima ataamua kukubali umuoe Soraya kwaajili ya kukwepa lawama, hapo ndipo utakapo jichukulia mke kiulaini kabisa” alisema Mahadhi, “lakini anaweza kututajia mahari kubwa ili tushindwe kuoa” alisema Idd kwa sauti ya mashaka, “weweee kwanza kumbuka kuwa mahari huwa sio lazima umalize kulipa, halafu akitaja kiwango kikubwa cha kuanza kulipwa na sisi tuna ongezea kuwa ni njama yake ya kumzuia binti yake asiolewe” alisema Mahadhi na hapo yeye na kijana wake wakacheka kwa nguvu, “nakuaminia baba” alisifia Idd.********
Yap! saa saba mchana tayari mzee Frank alishatoka kituo cha polisi cha mabatini, yaan matogoro, kutoa taarifa ya kuunguliwa ambapo alipokelewa na A-insp Joanes Kihiwili, ambae alimtambua mzee huyu kuwa ni baba wa rafiki yake wa zamani Higgno, ambae walitengana baada ya joanes kumaliza shule na kwenda chuo cha mafunzo ya kujiunga na jeshi la nafasi aliyoipata kutokana na umahili wake katika mchezo wa karate.
Alimsaidia vizuri mzee Frank na kufungua jarida, huku akimkatia RB (Report Book) na kumueleza kuwa endapo atamuona au kumtambua jina lake au sehemu anayoishi mtu huyo anaemuhisi, basi atoe taarifa na yeye akiwa kama mkuu wa kituo atahakikisha anakamatwa haraka sana.
Baada ya hapo mzee Frank alienda dukani na kunua mifuko minne ya simenti akawatafuta mafundi ambao walianza ujenzi mara moja, wakitumia tofari za udongo zilizo chomwa kwa moto mkari, huku akiongeza mifuko mingine na kuagizia vifaa vingine vya ujenzi kama mbao bati misumali na vitu vingine vingi tu, ambavyo vilihitajika kwenye ujenzi, muda wote alimsifu mschana chotara kwa kumsaidia na kumsifu kijana aliebahatika kukubaliana uchumba na mschana huyu, huku akijiapiza kuwa atamsaidia kwa kile alichokihitaji, yaani kuwa mshenga katika uchumba wao.******
Mzee komba na mke wake siku hii ya leo ya jumanne wakiwa wenye furaha isio na kifani chake, walizunguka nyumba mmoja baada ya nyingine wakiwatembelea marafiki zao hasa wale ambao waliamini kuwa hawakuwa wanampenda bwana Frank na familia yake,l wakisifu kitendo cha kuungua kwa duka, huku wakidai kuwa bwana Frank alikosea mashariti ya mgnga ndio maana duka lile ungua, “hiyo ndio faida ya uchawi, unadhani lile duka lilikuwa la hivi hivi” alisema Mzee Komba na bwana Ngongi akashangaa, “unasema.. inamaana lile duka ni la ushirikina?” aliuliza mzee Ngongi kwa mshangao, “sasa je, yaani pale ulikuwa ukipita saa sita au saa saba za usiku, unasikia watu wanalialia mule ndani ya duka” alisema mama Hilda yani mke wa mzee Komba, ambae leo alikuwa anatembea vizuri kabisa, “dah! basi itakuwa ni mandondocha yake ndiyo ya mechoma moto duka lake” alisema Ngongi, akionyesha kujihakikishia kwa maneno ya mzee Komba, “na utaona jinsi anavyo kuwa masikini, pengine hata nyumba yake ikaungua au akauza, si unajuwa mali za uchawi zinavyopukutika?” alisma mzee Komba huku kichwani kwake akiamini kuwa safari ya binti yake kule kwa babu Mabudi ingeleta jibu jingine muda mfupi ujao, “natamani kumuona jinsi alivyo maanika, kwanini tisiwapitie wakina Ngonyani ili tujifanye tunaenda kumpa pole halafu tukamsanifu?” aliuliza Ngongi na mke wa mzee Komba akaunga mkono, “ni kweli jamani, ili akituona limshuke” alisema mama Hilda na mzee Komba akadakia, “sasa sio mida hii inabidi tuwe tumesha utwika ulanzi ili akileta za kuleta na sisi tunamtolea mbovu pale pale” alishauri mzee Komba na wakakubaliana wahamasishane na wengine ili wafanye hivyo.******
Naam, Siku ya leo ilikuwa ngumu sana kwa mschana Sina, yaani Sinamengi, maana licha ya kwenda kwa yule fundi wake alie unganisha meno yake kwa waya, lakini leo ni kama aliunga vibaya, kwasababu alihisi kiwaya kikimsumbua kwenye fizi zake na kumpa usumbu usio wa kaiwaida, na kila alipopata usmbufu huo alimkumbuka yule kijana alie ya vunja meno haya kwa mara ya kwanza, siku alipolala nae na kumkimbia subuhi pasipo kumpa hela ya supu kama alivyoiita mwenyewe, japo ndio fedha ambayo ingemsaidia kwa kutwa nzima, “songea ni ndogo sana hii, ipo siku nitakutana nae tu huyu mshenzi, na nikimuona lazima anilipe meno yangu” alijiapiza Sina, ambae historia yake ni kwamba mwana mama huyu miaka saba iliyopita, mama huyu alikuwa anaishi kijiji cha Mpandangindo na mume wake, ambae alikuwa fundi baiskeri maarufu sana kijijini pale, ambae alishazaa nae watoto wawili wakike.
Lakini ndoa yao iliingiliwa na jini mkata kamba katika msimu mmoja wa mavuno, baada ya mwana mama Sinamengi kipindi hicho akiwa ni mschana kukutana na kijana mmoja aliekuja kununua mazao ya nafaka, ambae alimlaghai Sinamengi kwa ahadi ya kuondoka nae kule kijijini na kumpeleka mjini, sehemu ambayo ilikuwa ni ndoto ya Sinamengi kwenda kuishi, ukweli Sinamengi akashawishika na kumgawia kitumbua chake kijana yule, ikiwa ni hatua ya kupalilia ahadi ya kupelekwa mjini, ghafla Sinameni alijikuta akizama kwenye penzi lile la ulaghai na kusahau familia yake akianza kumdharau mume wake na kushindwa kuwapikia wanae wawili ambao aliwazaa kwa kufukuzana wanaita bila mpango wa uzazi, akimuacha mume wake anahangaika nao, ilifikia kipindi Sinamengi akaachana na mumewake ambae hata yeye alikuwa anafahamu kuwa alikuwa anampenda sana na kwenda kuishi na kijana mnunuzi wa mazao, hata mume wake alipojaribu kumsihi lakini ilikuwa kazi bure Sinamengi hakuelewa somo, mume wake akaona awatumie watu wazima kwenda kumsihi Sinamengi arudi kwa mume wake lakini haikuwa rahisi kumshawishi Sina, ambae alikataa katakata na kuendelea kuishi na kijana mnunuzi katika penzi lenye mfano wa lile la kihindi, huku wakiongozana kila sehemu, sokoni na kwenye vilabu vya pombe, hasa za kienyeji na kuonyesha mbele za watu jinsi walivyo pendana, wazazi wa Sina walijaribu kumsihi binti yao lakini haikusaidia, licha ya kumtenga kifamilia na kumueleza kuwa endapo ataachika asije akarudi pale nyumbani lakini Sina hakuonyesha kushtuka.
Lakini miezi sita mbele mambo yalibadilika, ni mara baada ya kijana mnunuzi kukamilisha kazi yake na kuagiza gari lililokuja kuchukuwa mzigo wa nafaka na kuondoka nao kuelekea mjini, akiahidi kuwa angekuja kununua mazao kwa mara ya pili na ndipo wange ondoka pamoja, lakini haikuwa hivyo, Sina alikaa kwa rafiki yake mmoja wa kike akimsubiri mnunuzi, ikapita miezi mitatu Sina hakuweza kuona dalili ya ujio wa kijana mnunuzi.
ikiwa ni msimu wa kilimo, ambao ni msimu mgumu sana kwa watu wa vijijini na pengine hata mjini, hali ilikuwa ngumu kuanzia chakula hata fedha za kujikimu kiasi kwamba rafiki yake Sina hakuweza kuendelea kumlea, hivyo kumtaka aondoke, sasa Sina hakuwa na ujanja akaanza kupanga kurudi kwa mumewake akipanga kwenda kuomba msamaha, huku akiamini kuwa kutokana na jinsi alivyo kuwa anampenda na kuomba arudi nyumbani kwake, basi ingekuwa rahisi kwa yeye kumsamehe.
Saa nne usiku ndio mida ambayo kwa hapa Pandangindo ni kama usiku sana, maana tayari watu huwa wamesha jifungia ndani na kuusaka usingizi kuelekea kesho, ndio mida ambayo Sina alienda nyumbani kwa mume wake na kugonga mlango, ukweli hakugonga sana akasikia sauti ya mume wake ikiuliza, “nani wewe usiku huu?” hapo kwa sauti ya kutetemeka Sina akajibu, “ni mimi mkeo Sina” “hoo! mbona usiku kuna tatizo?” aliuliza mume wa sina, “nime rudi mme wangu tuongee” alisema Sina hapo akasikia nyayo za mtu zikichakata kuja mlangoni na kisha mlango ukaanza kufunguliwa, hapo Sina akatabasamu kidogo, maana aliona dalili za kupokelewa na mume wake, “atatoa wapi jeuri ya kunitimua” alijiwazia Sina, nikiingia na kumtanulia miguu tu yameisha, na hivi atakuwa hajatomb** muda mrefu atapapatikia kama mwenye kiu alieona maji jangwani”alijiwazia Sinamengi, lakini sekunde chache mbele Sina alijikujta akikunja uso kwa mshangao, ni mara baada ya mlango kufunguka na kumuona mschana mmoja mrembo kweli kweli, ambae hakuwa mgeni machoni pake, ila kilicho mshangaza ni kumuona yupo hapa nyumbani kwa mume wake, tena amevalia upande wa kanga, “ticha unafanya nini hapa na mume wangu?” aliuliza Sinamengi kwa sauti ya mshangao na mshtuko mkubwa.
Kitu ambacho Sina hakukifahamu ni kwamba, mara baada ya yeye kukataa katakata kurudi nyumbani kwa mume wake, huku habari zikizidi kusambaa mitaani na kuwafikia wengi ambao walianza kuona kwa macho yao jinsi Sina anavyo mfanyia mume wake na kutembea na kijana mnunuzi, ndipo habari hizi zilimfikia mschana Suzie, ambae ni mwalimu wa shule ya msingi mpandangindo, ukiachilia sifa za upole na ukarimu lakini pia alikuwa ni mzuri wa umbo na sura kiasi cha kuwavutia wanaume wengi pale kijijini na vijiji vya jirani, mwalimu huyu wa shule ambayo watoto wa Sina walikuwa wanasoma, yaani Suzi ambae uzuri wake usingeweza kuufananisha na ule wa Sinamengi, aliposhuhudia jinsi watoto wale walivyo kuwa wanapata shida kwa kukosa malezi ya mama, wakilazimika kujitegemea kwa mambo muhimu kama kujipikia na kujifulia, ndipo alipoamua kuwasaidia kwa kazi hizo na kupelekea kuzoeana na baba yao kisha kuanzisha mahusiano ya siri, ambapo mwalimu Suzi alikuwa anaingia pale nyumbani saa mbili za usiku na kutoka mapema, wakisubiri kuhalalisha penzi lao kwa ndoa halali, kwasababu hata Sina nae hakuwa amefunga ndoa na mume wake wa zamani, nasema toka nje we Malaya kabla sijakuharibu sura” alisema Sinamengi kwa hasira na ghazab huku anaishika ile kanga ya Suzi na kuivuta kwa nguvu, nayo ikaachia mwili,
na kumuacha mschana huyu mtupu kabisa, ambae alikimbilia ndani haraka sana kuona hivyo Sinamengi ambae kitendo cha kumkuta mwanamke hapa nyumbani kilimuuma sana, aliingia ndani haraka na kumfuata Suzie, ambae alikimbilia alipokaa mume wake ambae nae alikuwa anainuka ili kumzuia Sinamengi ili asimdhuru mpenzi wake mpya.
Wakati huo binti zao wawili walikuwa wameshalala, japo walikuwa wanafahamu mahusiano mapya ya baba na mwalimu wao, wale walikuwa wanamuita hivyo hivyo mwalimu, ambae alikuwa anawapenda sana na kuwarejeshea furaha yao pamoja na ya baba yao, “nasema niache nimfundishe huyu Malaya mwizi wa waume wa watu” alipiga kelele Sinamengi, huku akijipapatua toka kwa mume wake wa zamani, wakati huo mwalimu Suzie akichomoka kukimbilia chumbani akiwa uchi wa mnyama, ile kujipapatua Sina akawahi kichuma cha baiskeri kilichokuwepo chini, ambacho kitaaluma kinaitwa peda, kilichoungana na kisahani kile chenye meno katika baiskeri hutumika kama gia, akavulumisha kwa lengo la kumrushia mwalimu Suzie, aliekuwa ana karibia mlango wa chumbani, lakini mume wake au mzazi mwenzie kama tunavyoweza kumuita akawahi na kuzuia kikiishia kumgonga mkononi na kuanguka chini, na hapo ndipo hasira zilipo mpanda mzazi mwenzie ambae aliachia kichwa kimoja cha maana kilichotua kwenye mgongo wa pua wa Sinamengi, ambae alishikwa na kizungu zungu cha ghafla na kuyumba yumba kama mlevi kabla haja aanguka chini akitanguliza mdomo, ambao ulienda kukita kwenye chuma lile la baiskeri, hata mzazi mwenzie hakujuwa kilicho mtokea mwanamke huyu, ambae aligundua kuwa yale mapenzi na ulofa wa jamaa huyu ulikuwa umeshaisha, damu nyingi zilikuwa zina mchuruzika mdomoni mwake huku akihisi ganzi mdomoni mwake.
Sina alijiinua na kukimbilia nje kama mule ndani ameliona jinni, moja kwa moja Sina akaenda kwa mjumbe ambae kwa bahati ambaya alikuwa anafahamu kisa chake na mume wake, akamshauri aende kwa mshenga bila aibu akaenda usiku ule ule kwa mshenga ambako aliambiwa aende kwa wazazi wake kisha arudi asubuhi, ukweli Sina hakuweza kwenda kwa wazazi wake, maana alishaga nyea kambi hivyo akarudi kwa rafiki yake ambae alimpa sharti la kulala usiku mmoja kisha kesho atafute pakwenda.
Siku ya pili mapema sana, Sina akaenda tena kwa mshenga, akiwa amesha fahamu kuwa alipoteza meno manne pale alipoangukia kile kichuma cha baiskeri, domo lilikuwa limevimba kweli kweli, akidai anataka akapatanishwe na mume wake, ikiwa na kumstakia kuwa mume wake ameingiza mwanamke nyumbani kwao, yaan kwake yeye na mume wake, “lakini unakumbuka kuwa wewe ndie ulieondoka kwa mume wako, na tulipo kusihi urudi kwake ulikataa katakata?” aliuliza mshenga, “lakini mimi namjuwa mume wangu bado ananipenda ni huyu mwanamke amempumbaza ili anichukie” alilalamika Sinamengi huku akishindwa kuunga maneno vizuri kwasababu ya ukibogoyo wake, “kama uliwaji kumuwekea limbwata nadhani litakuwa limeshaisha, sidhani kama inawezekana kukurudia, na mimi mwenyewe kutokana na ujinga ulioufanya mwenyewe siwezi kufanya upambuvu huo wa kwenda kukupatanisha na mumeo, labda nenda kwa wazazi wako” alisema mshenga na kumtimua Sinamengi, ambae alirudi kwa rafiki yake na kumuomba makazi ya muda wakati anatafuta la kufanya, nae akamkubalia lakini kwa shariti la kuwa pale anapata sehemu ya kulala tu kuhusu chakula na mahitaji mengine atajitegemea mwenyewe.
Wa kwanza kuona meno manne sakafuni nyumbani kwa mzazi mwenzie wa Sinamengi alikuwa ni mtoto wa kwanza wa Sina, wakati wanamsubiri mwalimu awapitie kwenda shuleni, ndio ulikuwa utaratibu wa kila siku, ni mara baada ya mwalimu kutoka mapema kwenda kujiandaa kisha angewapitia watoto wa mpenzi wake, hayo ndio yalikuwa maisha yao ya kila siku.
Huku Sina mengi akianza maisha mapya ambayo yalimlazimu kujilengesha kwa wanaume ili apate fedha ya kula na mahitaji mengine, na kutokana na hali ya uso wake alikosa soko la biashara aliyo mianzisha ya kuuza kitumbua chake, ambacho ndio mali pekee aliyobakia nayo, Sina akabuni mbinu mpya ya kuwasaka walevi, ambao kiukweli alifanikiwa kuwanasa kila kukicha, ambao walimpa fedha na pombe yakiwa malipo ya Kitumbua,m chake, ambacho hakukionea huruma kwa jinsi kilivyo kuwa kinatumika, wakati mwingine alikuwa akiwaibia wateja wake.
Kuna siku alifanikiwa kumuibia mteja wake mmoja alikuwa ameuza mkaa wa jumla, gunia kama hamsini hivi na kujipatia elfu sabini na tano, na yeye kufanikiwa kumuibia elfu arobaini na kutoroka usiku ule ule kueleka mjini, ambako mpaka sasa yupo anafanya kazi ya bar, huku akiuza kitumbua chake kila inapotokea kupata mteja, na huku mjini kiukweli alijifunza mengi zaidi, ni baada ya wateja wengi aliowapata kudai wanataka njia ya pili, wakidai kuwa hakuwa na mvuto wa kwenda nae kitumbuani, nae hakuwa na budi kukubali na kuuzoea mchezo huo, kwasababu ndio njia ambayo ingemfanya aishi, na hata fedha ya kuwekea meno ya bandia ya plastic aliipata kwa njia hiyo.
Mpaka sasa yupo Songea mjini anaendelea na maisha yake hakuwa na mpango wa kurudi kijijini, kwasababa alisha haribu na hakuwa na pakufikia.*******
Nusu saa iliyopita babu Mabudi alikuwa amesha toka porini akiwa na chupa iliyojaa maji maji ya rangi ya njano iliyofifia, huku anatafuna kipande fulani cha mti, ungeweza kusema mzizi wa mti fulani,(Anae uhitajia huo mzizi nauza) akimkuta Hilda anakula mihogo ambayo ilikuwa imeshaiva, kwa maana alisha chemsha na kuivisha, “pole mjukuu nimekuacha muda mrefu sana” alisema babu mabudi ambae tembea yake huwa anapinda mgongo kidogo, yaani kibiongo, huku sehemu zake za siri zikionekana kuinua kile kijinguo chake, ikionyesha dudu imeshatutumka na kusimama kweli kweli kwasababu ya ule mzizi, kitu hicho Hilda alikiona, “mh! huyu babu anawaza nini mbona mb**o yake imesimama au amesha kumbuka tulivyo fanya siku ile?” aliwaza Hilda, alieiona dudu ilivyo shupaa, “wala usijari babu, mwenzio nimekaa najilia mihogo hapa” alisema Hilda huku anaitazama chupa mkononi kwa babu, “naona unaitazama dawa yako, nimekuletea ili kusafisha bahati zako na kuondoa mikosi, yule kijana akikuona tena atang’ang’ania kuondoka na wewe” alisema babu mabudi huku anampatia ile chupa Hilda, “kunywa hii usinywe nyingi sana” alisema babu mabudi na Hilda akapokea ile chupa na kuinywa kidogo kama vile anaionja, “mmmmmh! babu kwanini ninywe kidogo, jamani mbona tamu sana” alisema Hilda huku akirudia kuiweka mdomoni, hakika aliiona ni tamu sana, “nitamu sawa lakini usinywe nyingi sana utatamani sana mjukuu” alisema babu aliekuwa anaingia ndani pasipo Hilda kuelekwa maana ya babu, yeye akaendelea kunywa Juice akisokomezea mihogo na kuifanya kama chai pasipo kujuwa leo atafahamu kwanini mama yake alishindwa kutembea kwa siku mbili……, bado tunaendelea kuhamasisha michango kwasababu unapochangia una tuwezesha kukuhudumia na kukupatia simulizi kila siku hapa JamiiForums namba ni 0717924403…. ITAENDELEA MUWE NA USIKU MWEMA...