TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO
MTUNZI
Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THELATHINI NA NNE: “haya simama mjukuu wangu” alisema babu Mabudi, huku na yeye anasimama na kusogea kwenye mkoba mmoja uliotundikwa kwenue mti uliokuwepo katikati ya kibanda kile, “vua nguo zote mjukuu wangu wala usiogope” alisema babu Mabudi, ambae hakugeuka nyuma zaidi kuanza kupekuwa mkoba wake na kuibuka na kisu kidogo na kijifuko fulani kidogo kilichofungwa pia, kisha akageuka na kumtazama Hilda ambae alikuwa amevua gauni lake na kubakia na chupi na sidiria, mjukuu wangu wala usiogope vua tu tukamilishe dawa” alisema babu Mabudi huku anasogea pale alipokuwepo Hilda, ambae alikuwa anajiuliza avue au asivue…. ENDELEA
Lakini hakuwa na sababu ya kuacha kuvua nguo zake mbele ya babu mabudi, kwasababu ukiachilia alishawahi kuvua nguo zake mbele ya wanaume wengi sana, pia alitakiwa kuvua nguo kwasababu ya kumpata mwanaume ambae atamsaidia kwenye maisha yake, hivyo akavua mara moja bila kusita sita, kisha akamtazama Babu Mabudi, akamuona anaenda kwenye kona ya chumba kile ambapo palikuwa na mtungi akaufunua na kutoa chupa fulani chenye maji yenye rangi nyekundu ya kupauka, ambayo aliifungua na kuinywa kwa kuigugumia kidogo kwa awamu mbili, kisha akaifunga na kuiweka ndani ya kile chungu, halafu akachukuwa kipande fulani cha mzizi na kuking’ata kidogo na kuanza kutafuna kama vile mtu atafunavyo muwa, yaani akimeza mate yake na sio mzizi wenyewe, (ATAKAETAKA HUO MZIZI MI NINAO NAUZA) huku akiondoa kilichobakia akakirudisha kwenye mtungi, halafu akarudi kwa Hilda aliekuwa amesimama huku akiwa uchi wa mnyama, akafungua kile kijifuko mkononi mwake ambacho kilikuwa na vitu kama unga fulani mweusi ambao babu alijipakaza mikononi mwake, “haya tanua mikono” alisema babu, na Hilda akanyayua mikono yake na kuacha kwapa zake zikiwa wazi na kumfanya babu Mabudi ashuhudie msitu wa nywele kwenye kwapa za mwanamke huyu, lakini hakuzijali yeye akaanza kazi yake.
Kwanza babu alianza kutembeza viganja vyake kwenye kwapa za Hilda akipaka ule unga mweusi, na kuanza kumpaka Hilda kwenye makwapa yake, akitembeza mkono taratibu huku Hilda akisikilizia mikono hiyo ambayo katika hali asiyoielewa, akaanza kusikia mtekenyo fulani ambao ulimpa msisimko uliosababisha raha ambayo hakuitarajia katika mazingira yale, hakujuwa kama ile hali aliyoisikia ilikuwa mwanzo tu, na alikuja kuligundua hilo mara baada ya babu kupakaza tena ule unga mweusi kwenye viganya vyake na kuhamia kifuani ambapo alipeleka mikono kwenye maziwa ya Hilda ambayo muonekano wake na umri wake vilikuwa tofauti, maana tayari yalishafanana na vile viatu vya kuogea.
Hilda akiwa bado ameinuwa kwapa zake aliweza kuhisi msisimko zaidi, ambao ulifanya ashushe mikono yake maana alihisi kuchoka kwa msisimko ambao ulishuka kuanzia shingoni kupitia kwenye uti wa mgongo mpaka kwenye makalio na kuzungukia kwenye kitumbua chake, hivyo akajikuta akihisi kitu kama mkojo ukimbana na kumfanya abane miguu yake hasa sehemu za mapaja ambazo ndizo zilizofuatia kupakwa dawa.
Sasa basi wakati babu anapaka dawa kwenye mapaja ya Hilda, Hilda mwenyewe alijikuta akitanua miguu na kumpa nafasi nzuri babu apake dawa huku Hilda akiomba japo babu aguse kitumbua chake hata kwa bahati mbaya, pengine angekisugua na kumpuguzia ile hali aliyokuwa anaisikia, lakini babu hakufanya hivyo baada yake alipitisha mikono kwenye uvungu wa Hilda na kutemmbeza taratibu huku akiendelea kutafuna kijiti chake kama anakula bazoka, hakika Hilda aliona wazi kuwa anahitaji dudu kwa wakati ule, hivyo akajikuta yeye mwenyewe anapeleka mkono kwenye usawa wa kile kijinguo cha babu alichojifunga kiunoni na kupapasa kwenye dudu akaikuta ilisha simama, “babu kumbe na wewe umo” alisema Hilda kwa sauti ya chini, yaani ya kunong’ona huku anapekenyuwa kile kijinguo na kuikamata dudu yenyewe, kisha akaanza kuichezea, “vipi mjukuu wangu, unataka hogo?” aliuliza babu huku anapitisha mkono kwenye mpasuko wa kitumbua na hapo ni kama alikuwa amemchokoza Hilda, ambae alianza kuchezesha kiuno chake na kusababisha kitumbua chake kijisugue kwenye mkono mkomavu wenye dawa wa babu Mabudi.*******
Higgno alifika salama kule shambani na kuanza kutembelea mitego yake, huku akiendelea kuwaza na kuchanganua maneno ya baba yake kuhusu kupata mwanamke “kwahiyo hata kama sina hela kama wakina Talib nitaweza kupata mwanamke mzuri” alijisema Higgno, ambae alikumbuka yule mwanamke ambae alionyesha kumzoea kwa ghafla jana jioni pale alipomsaidia, mschana ambae baadae aligundua kuwa nyumbani kwao wanauwezo mkubwa kifedha, “ningempataga yule mwanamke wa siku zile pale TTC, halafu ndiyo anakuwa demu wangu, mbona ningejisikia raha sana” aliwaza Higgno akiendelea kukagua mitego yake ambayo ilionyesha kuwa alikuwa amenasa mawindo yake kwa wingi sana, akimkumbuka mschana wa kiarabu ambae alimsaidia miaka mingi iliyopita, “lakini yule hata ukimuonyesha unampenda yeye ataanzaje kukupenda na vile walivyo matajiri” alijisemea Higgno, ambae mpaka anamaliza kukagua mitego yake alikuwa amenasa kanga kumi wa porini wote wakiwa wazima, samaki wakubwa wa kawaida sita na kambale wanne, huku wadogo wadogo wakiwa zaidi ya ishirini, hakika ilikuwa kazi kubwa kidogo, ambayo aliikamilisha saa mbili za usiku na kuwahifadhi wale kanga wa porini, huku akianza kuwabanika wale samaki kwenye moto mdogo, alifanya hivyo kwasababu alihitaji kuwa hifadhi vizuri mpaka juma tatu jioni akitoka kwenye maombi ya kazi, maana kesho asingeweza kwenda nyumbani kuwapelekea mboga kwa kuwa jumapili alipanga iwe siku ya maandalizi ya siku inayofuata ya kwenda kwenye masailiano, (interveiw)
Higgno alikaa kibandani kwake akisimamia ukaushaji wa samaki, huku wale kanga akiwa amewafungia kwenye banda dogo ambalo lilitengenezwa maalumu kwaajili ya kuku, huku anasikiliza redio yake na kuendelea kuwaza jinsi maisha yake mapya yatakavyokuwa mara baada ya kupata kazi kwa mwarabu tajiri, ambae alisha ahidi kumpatia kazi mwaka mmoja uliopita, ni mara baada ya kumsaidia kumuokoa toka kwa wanyang’anyi, “sijui atanikumbuka yule mzee” aliwaza Higgno akiona kuwa ni muda mrefu umepita toka akutane na Mahamud.******
Higgno aliwaza mengi sana pale nje ya kibanda chake, huku akiwaza zaidi kuhusu kupata mwanamke na sura ya mwanamke mzuri ambayo ilimjia ni ile ya mschana mzuri aliekuwa anataka kubakwa na yeye akamsaidia, “ninge kuwa na gari langu pale ningemwambia ingia kwenye gari huku nawapiga wale jamaa” aliwaza Higgno, huku akivuta picha kuwa amekaa pembeni ya yule mschana wa kiarabu kwenye gari, Higgno akajicheka kidogo huku anainuwa uso wake na kutazama mwezi, “tena kama nikipata safari za dar, natafute mwanamke mzuri kama yule mtoto wa kiarabu, yule mwarabu dah! sijui huko aliko alishaolewa au hajaolewa, sijui amelala peke yake au na yeye anatazama mwezi kama mimi” yalikuwa mawazo ya kipuuzi ya bwana Higgno, ambae bado alikuwa amekaa pale nje anatazama mwezi uliokuwa unaangaza vyema kabisa katika usiku wenye amani tele.******
Kule Ngwindimba yaani kwa babu Mabudi, hatukujua kilichoendelea mule ndani ya kibanda, zaidi ni kwamba Dakika kumi zilitosha kwa Hilda kupewa dawa mule ndani ya kibanda cha babu Mabudi, ambae aliwapatia pia dawa ya kwenda kumwaga karibu na nyumba ya bwana Frank, akimtaka mama Hilda kurudi tena jumapili, yaani siku ya pili iliyofuata ili wakamilishe dawa.
Hilda na mama yake pamoja na mtoto mdogo waliondoka zao kurudi kijijini, huku mama Hilda akiamini kuwa muda mfupi ujao wataanza kuyaona mafanikio, kabla yeye hajarudi kukamilisha dawa, “amekuchanja wapi na wapi?” aliuliza mama Hilda wakiwa njiani wanarudi, “amenichanja kwenye kwapa kifuani na kwenye mapaja” alisema Hilda, akimdanganya mama yake akichelea kumueleza ukweli kuwa alipakwa dawa ambayo ilimwongezea hamu ya kupewa dudu na akapewa dudu na yule babu mganga Mabudi, “huyu babu namuamini sana yaani akikuambia kitu kina kuwa hivyo hivyo” alisifia mama Hilda pasipo kujuwa kuwa mwanae alikuwa anatafakari utamu alioupata siku ile mule ndani ya kibanda kile, “anaonekana yupo vizuri” alichangia Hilda, huku safari inaendelea, Hilda akivuta kumbukumbu jinsi yule babu alivyomshika na kumgeuza atazame mbele kisha kumwambia ainame huku yeye akitamani dudu kuliko kitu kingine utadhani mfungwa wa kike alietoka gerezani, Hilda hakusuburi babu aongee mara mbili aliinama kwanguvu akibidua vijikalio vyake na kutanua miguu kwa nguvu kiasi cha kitumbua kile kufunguka ungesema babu anataka kuchungulia tumboni, na babu ambae alishajiandaa kwaajili ya mechi hii ya ghafla, akajipimia uroda bila kujivunga, japo shughuri ilikuwa ya muda mfupi lakini ukweli Hilda alifurahia show kiasi cha kutamani ile nafasi ya mama yake ya kurudi kwa babu jumapili kule Ngwendimba ingekuwa ya kwake ili akapewe tena dudu, laiti angelijua sasas.
Hata walipofika nyumbani mida ya saa mbili za usiku wakimkuta mzee Komba akiwa anasubiri kwa hamu wampe habari za kwa Mabudi, nao waliunga nae wakitumia ile efu moja iliyobakia kununua ulanzi na kuanza kuunywa, huku wakisimuliana habari za huko, “yaani amesema hilo kwake tatizo dogo sana, muda mfupi wanapukutisha mali zote wanabakia weupe” alisema mama Hilda huku akimueleza pia mume wake juu ya uamuzi waliouchukuwa wa kumpumbaza Higgno ampende Hilda, “hapo mmecheza maana watakoma na roho zao, wao si walimuona Hilda hafai” aliunga mkono bwana Komba, “tena kesho kutwa ameniambia nirudi kumalizia dawa” alikumbusha mama Hilda pasipo kujuwa kilichomtokea mwanae Hilda kule kwa babu Mabudi, “haina tatizo mke wangu hata akisema ulale huko huko haina shida ilimradi hawa watu wakome na kushika adabu” alisema mzee Komba pasipo kujuwa kitakachoenda kumkuta mke wake.******
Bwana Mahamud hakuweza kukaa kimya, huku akiwaza peke yake juu ya ushauri wa mwenyekiti wa baraza la wazee wa dini la kuja kutoa posa kwa ajili ya Soraya, ukiwa ni mpango ambao wao waliubariki hapo mwanzo kabla ya tukio la jana, na baada ya kukaa kwa muda mrefu juu ya kitanda akiwaza juu ya mambo yale huku mke wake anaanza kuutafuta usingizi ndipo alipo amua kuvunja ukimya na kumueleza mke wake kama walivyo jadili kule baraza la wazee, “kwa kweli nimeshidwa kukataa, kwasababu kila mmoja anaamini kuwa Soraya na Idd waliwekewa dawa na sio kwamba Idd aliweka dawa kwenye juice” alisema mzee Mahamud kwa sauti tulivu iliyozidiwa na uchovu wa kufikiria kwa muda mrefu, “mh! kama wamesema wale wazee kwa kweli hapo inabidi tuwe makini katika kutoa maamuzi, maana tunaweza kuonekana tuna mnyima mtoto haki yake ya kuolewa, na kama tukimuachia Soraya mwenywe atoe maamuzi, itaonekana kuwa tumeshindwa kumlea mtoto kimaadili na kwamba maamuzi yote ni ya kwake na sisi hatuna maamuzi na mtoto” alisema mama Soraya kwa sauti ya kuishiwa pose, “lakini naamini kama Soraya ataongea kwa kuweka pingamizi mbele ya wazee wa baraza lazima atakuwa na point ambazo zitawafanya wazee hao wakubaliane nae” alisema mzee Mahamud, “mh! ila kumbuka pia Soraya hajawahi kukutana na wazee wale katika maamuzi kama haya, hivyo anaweza kujikuta anakubali pasipo kutegemea” alisema mama Soraya na bada ya mjadala wa muda mrefu wakakubaliana hivi, “tumuache tuone ataamua nini, hata akiolewa na Idd akimshinda basi atarudi nyumbani” alisema baba Soraya “lakini kumbuka binti alijitunza muda mrefu kwaajili ya mwanaume mwenye upendo wa dhati na mwenye kujiheshimu” alikumbusha mama Soraya akionyesha msisitizo, “mke wangu kilichobakia tumuombe mwenyezi mungu kila kitu kiende kwa haki” alisema bwana Mahamud, huku wakipanga kufanya siku ile kuwa kama surprise kwa Soraya, hawakutaka kumuuza roho yake kwa muda siku mbili nzima akiwaza ujio wa wazee hao, hivyo wakapanga kuwa siku ya jumapili kumuacha Soraya aende shambani huku nyuma yaanze maandalizi ya wageni, atakaporudi saa saba kwaajili ya swala ya saa saba anakutana na wageni, hapo ndipo tutakapo msikia atasemaje” alisema Mahamud.******
Wakati baba na mama wanawaza hayo huku nako Soraya alikuwa chumbani kwake amejilaza kitandani, uwa jekundu likiwa kifuani kwake, katikati ya maziwa yake mazuri yaliyosimama vyema na chuchu za kuchingoka, amezima taa na wala haja washa TV kama kawaida yake, macho yapo dirishani anatazama mwezi mkubwa uliokuwa unaangaza vyema kabisa na kufanya miale ya nuru zake kupenya dirishani na kumpiga usoni, nadhani na yeye atakuwa anauona huu mwanga wa mbala mwezi, maana nyumba yake haina mlango, si ndivyo alivyo mueleza mama” aliwaza Soraya, ambae mara kwa mara alikuwa anajitabasamulia peke yake, akionyesha kujawa na matumaini fulani, “kesho pia nitaingilia upande wa majengo mpaka mfaranyaki pengine nitamuona” aliwaza Soraya ambae kuna wakati alikuwa anashangaa kwanini kijana yule hakuwahi hata kuota kama kuna mschana anampenda na kujaribu kumfuatilia, ina maana toka miaka ile hajui mimi ni nani na ninakaa wapi, japo aje abishe hodi na kusema kuwa nimekuja kumuoa Soraya?” alijiuliza Soraya ambae mara kwa mara alikuwa anarudisha macho yake kwenye dirisha na kutazama mwezi, ambao ulikuwa umetulia kutokana na utulivu wa anga usiku ule, lakini naamini nitamuona tu, kama nilivyo muona jana” alisema Soraya, au mpaka nipate tatizo jingine ndipo nimuone tena?” aliwaza Soraya na kucheka kidogo, “kwanini isiwe kwenye wakati wa raha, maana wanasema rafiki wa kweli ni yule akufaae kwa dhiki na faraja, sasa mtu mwenyewe kazi yake ni kunisaidia kwenye matatizo tu!” alilalamika Soraya ambae aliona siku inayofuata inachelewa kukucha ili aingie mtaani kumsaka kijana mpole wakati ukweli higgno hana ratiba ya kutoka siku hiyo.******
Siku iliyofuata yaani siku ya jumamos, ilipita kwa haraka sana kila mmoja akiendelea na shughuli zake, wakati Talib alienda mwembe chai kupanga mpango kabambe wa jumapili juu ya kumteka na kumuuwa Soraya wakiwa wameshapata fedha, lengo likiwa ni kumpatia nafasi Taliba ya kuwa mtu pekee wakutegemewa katika familia ya bwana Mahamud, huku Higgno akimalizia kulima kipande kidogo cha shamba huku akiendelea kukausha samaki, Soraya yeye alikuwa anazunguka mtaani akitumia gari lake aina ya Disicovery Land Rover, akiendeshwa na Laylah, walizunguka karibu mji mzima wa songea mjini pasipo mafanikio, wakiambulia mengine kabisa ambayo hawa kuyategemea, kama vile kuna wakati walikuwa wanakatiza maeneo ya mwembe chai wakitokea Lizborn, wakamuona Talib akiwa na vijana watatu wakiwa wamesimama pembeni ya kituo cha daladala cha mwenye chai, huko wote wakiwa na sigara zao mkononi, “mh! kumbe Talib bado anavuta sigara?” aliuliza Laylah, kwa mshangao, “we unajua leo, mwenzio nimejua siku nyingi kuwa anavuta mpaka bangi” alisema Soraya, ambae hakuacha kutazama huku na huko kuangalia kama anaweza kumuona kijana mpole akiwa katika matembezi yake, “weeee! kumbe ujuwe ameniambia kuwa kesho anataka kuniagiza shamba” alisema Laylah kwa mshangao, “hawezi kukuagiza upuuzi wake, we msikilize tu” alisema Soraya akimuondoa wasi wasi dereva na rafiki yake Laylah, hiyo ilikuwa ni safari ya kurudi nyumbani maana muda ulishaenda sana.
Hilda yeye hakuwa na shida zaidi ya kwenda kwenye kilabu cha ulanzi na kujiegesha, maana alijuwa fika lazima atapata mwanaume wa kumnunulia ulanzi, kisha na yeye alipie fadhila, Higgno yeye jioni aliishia kufanya mazoezi na kuendelea kubanika samaki wake akipanga kesho kuwa akitoka kwenye usail atengeneze wale kanga na wengine apeleke nyumbani kwa baba yake.
Wakati huo upande wa bwana Mahadhi na kijana wake Idd walikuwa katika mipango ya kufanya utaratibu wa kupelekea barua ya posa nyumbani kwa bwana Mahamud, pamoja na wazee wa baraza huku mipango ikiwa mingi sana, “yaani wewe nakukubali sana, unajuwa kuweka mambo sawa, sio toto lingine linavuruga halafu linakaa kimya, haliwezi hata kutoa ushauri au mbinu ambayo tunaweza kutumia kuweka mambo sawa” alisema Mahadhi, “lakini baba tusubiri kesho tuone inakuwaje?” alishauri Idd, ambae alikuwa na kachupa kake kadogo ka pombe wanyewe wanaita kaschana, akikakamua pale pale nyumbani kama alivyo shauriwa na baba yake kuepuka macho ya watu, “weweee, unamjuwa yule mwenyekiti atatoa aya pale hata kama mtoto analega lega yeye mwenyewe ataelewa somo na kukubali tu” alisema mzee Mahadhi Salum kwa kujisifu, ambae alionekana kuwa na asilimia zote za kufanikisha mpango ule, “lakini usije kunifanyie ujinga, mimi nahangaika hapa halafu unafanikiwa unanisahau, hakika nitakupiga uchizi” alisema Mahadhi akitania.********
Naam ulikuwa mchana ukawa usiku, ikawa asubuhi, hatimae siku ya jumapili siku ambayo kuna watu walikuwa wanaisubiri kwa hamu sana, sijakutaja msomaji ila ni wakina Talib na wenzake, ambao walipanga siku hiyo isipite bila kukamilisha mpango wao wa kumteka Soraya, wengine waliokuwa wanatamani sana, siku hii ifike ni Mahadhi na kijana wake Idd, ambao waliamini kuwa ungekuwa mwanzo wa mafanikio ya maisha ya Idd, babu Mabudi pia aliitamani siku hii kwa kuwa ni siku nzuri kwake, kwasababu alitarajia mgeni toka Luhila mbae ni mke wa bwana Komba yaani mama Hilda, wapo pia walioisubiri kwa hamu siku hii kwa sababu zao binafsi, siku ambayo naomba niisimulie vyema pasipo kurukaruka kama juma mosi, ahsanteni wale ambao mumetuwezesha leo kuwepo hewani, kama kuna yule ambae angependa kuendelea kutuwezesha kwaajili ya jioni na kuendelea siku zijazo anaweza kutuchangia chochote kwa kuanzia Tsh 500/= kwa namba 0717924403 asanteni kwa msaada wenu wasomaji ndio wadhamini wetu..., Endelea Kufuatilia mkasa huu hapa hapa
jamii forums ujue nini kilijiri siku ya jumapili.