SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Leo usiku wa saa ngapi sasa
Jana alieweka mida ya kesho kasoro(saa sita kasoro hivi) au anaweza akaweka usiku wakesho saa sita au Saba haeleweki anapenda tuchunguliechungulie🤓

Na akina Higgno Wizzzy atuchungulii hata sura.

Ila naamini mida ya saa nne usiku huwakika
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA: “mama… usisahau zawadi yangu… toka kwa kijana mpole” alisema Soraya kwa sauti iliyozidiwa kilevi na kumshangaza Higgno aliekuwa anamuweka vizuri Soraya kwenye gari, “nime kuchukulia mwanangu” alisema mama Soraya huku anafunga mlango wa gari lake, “haya mwanangu ingia twende” alisema mama Soraya baada ya kuingia kwenye gari, “hapana mama ninakaa mbali wacha tu niwahi” alisema Higgno ambae hakujuwa anaongea na mama tajiri mke wa bwana Mahamud, yule aliemsaidia asikabwe na majambazi, “jamani mwanangu nitakupatia dereva akupeleke mpaka nyumbani” alisema mama Soraya kwa kubembeleza na kusihi …… ENDELEA NAYO SASA

Hapo Elvis akamtazama yule alielala chini yaani dereva wa taxi, akamuona akiwa bado ametulia chini akajumlisha kulewa kwa soraya, akakumbuka swali la mwenzie yupo wapi, akajiongezea swali endapo mschana yule kule alikotoka amefanyiwa jambo baya, hapo akapata wasi wasi kuwa inaweza kuwa ni mtego wa kwamba aende nyumbani kwa huyu mama ambae atapiga simu polisi waje wamchukuwe, “nisikusumbue mama, wacha niwahi nyumbani wanaweza kuniibia, maana kibanda changu hakina mlango mzuri” alisema Higgno kwa sauti ya upole huku akijichekesha, “sasa nwanangu nimekurupuka tu sina hata shilingi moja ya mkoloni, nitakupa nini sasa kama asante” alisema mama Soraya akijaribu kujipapasa na kukagua dash board, lakini Higgno hakushawishika, “usijali mama sijafanya haya kwa malipo nimemsaidia tu dada yangu” alisema Higgno na kumshangaza mama Soraya, ambae aliamini kuwa kijana huyu atakuwa anamfahamu, “sawa basi ukiwa na shida yoyote usisite kuja nyumbani nitakusaidia” alisema mama Soraya, ambae alikuwa anaamini kuwa kijana huyu mpole ana fahamu yeye ni nani na anakaa wapi pia aliamini kuwa alikuwa anamfahamu na mwanae Soraya, Higgno pia akampatia mama Soraya simu ya binti yake na mama Soraya akaondoka kwa gari kurudi mjini huku simu yake ikianza kuita, alipoitazama alikuwa ni mume wake ndie aliekuwa anapigia.********

Yap! Idd pale Kuchile bar, Idd akiwa pamoja na yule mwana dada muhudumu wa pale Kuchile bar, wakinywa pombe na kuongea hili na lile, huku wametawanya vinywaji kwa fujo mezani kwao, ambavyo walivinywa kwa fujo ungesema wamepewa bure, huku wanafanyiana matendo madogo madogo ya kimapenzi, “unajua nilikuwa napasikia tu hapa, kumbe pazuri usiku” alisema Idd ambae sasa alikuwa anainywa chupa ya pili, na sasa ilikuwa imeshabakia kidogo sana kuisha na ikionekana kumuingia vizuri kichwani mwake, “we! ukija tu nitafute wangu, mbona utafaidi sana” alisema yule mwanamke, huku akiendelea kuiminya minya dudu ya Idd iliyokuwa bado ipo ndani ya suruali, “nisikutafute tena, yaani nikuache mrembo kama wewe ili iweje tena” alisema Idd, ambae masaa machache yaliyopita, alikuwa anamuona mschana huyu kama kituko fulani, “na leo nitakupa mpaka uchoke mwenyewe, yaani nataka siku nyingine ukija unitafute mwenywe, alisema yule mwanamke huku anaendelea kuchezea dudu ya mwenzie, “wewe unacheza mimi ndie nitakufanyia mambo mpaka utatamani kila siku nije” alisema Idd, huku anazungusha mkono shingoni kwa mwanamke huyu, ambae kabla ya kulewa Idd alimuona kuwa ni mkomavu na kuanza kuminya minya sehemu hizo za shingo, hapo yule mwanamke ambae hakuwahi kukutana na mwanaume halafu akafanya nae mapenzi, zaidi ya kutoa huduma ya kitumbua kisha kupewa alichopewa kama ni bia au fedha kidogo kutokana na daraja lake, akahisi anaelekezwa jambo fulani, kwanza alichukuwa chupa ya bia ambazo alikuwa anazinywa kwa fujo, maana ni muda mrefu hakuwahi kupata offer kama hii, kisha akaiweka chupa mezani na kuanza kufungua vishikizo vya suruali ya Idd, “unataka hapa hapa?” aliuliza Idd huku akichomoa sigara kwenye pakiti yake na kuiweka mdomoni, kisha akachukuwa kibiriti na kuiwasha, yule mwanamke hakujibu kitu zaidi aliitoa dudu ya Idd kwenye bukta na kupeleka mkono wake mdomoni kama alitoa kitu fulani, kisha akainamisha mdomo wake kwenye dudu ya Idd nakuidumbukiza mdomoni na kuanza kuimung’unya na kumfanya Idd aliekuwa amekunywa chupa mbili za pombe kali ahisi msisimko wa ajabu, “una mdomo mzuri utadhani wa mtoto” alisema Idd pasipo kujuwa ni kwanini mdomo ule una mtekenya namna ile kiasi cha kuto kuisikia simu iliyo kuwa inapigwa mara kwa mara.********
Mzee Mahamud aliingia nyumbani kwake na kukuta papo kimya, maana mida hii ya saa mbili kasoro dakika chache ange waona mkewe na mwanae Soraya, wakiwa wamekaa kwenye chumba cha ibada wanasubiri adhana ili waanze kuswali, zaidi aliwaona wafanya kazi wake wakiwa wanajiandaa na swala, Mzee mahamud akaingia chumbani kwake kwaajili ya kuelekea bafuni kuchukuwa udhu, lakini tegemeo la pili likiwa ni kumkuta mke wake lakini akaona kimya kabisa, ikabidi atoke na kurudi sebuleni, “et mama Soraya yupo wapi?” aliuliza baba Soraya yaani tajiri Mahmud kwa sauti ya sitomfahamu, huku ana mtazama Subira mmoja wa wafanyakazi wa pale nyumbani, “mama ametoka sasa hivi” alijibu yule mfanyakazi wakike aliekuwa anaelekea kwenye chumba cha ibada, mh! anatokaje bila kunijulisha” aliwaza mzee Mahamud, kabla haja muuliza tena yule mfanyakazi, “alisema anaenda wapi?” aliuliza mzee Mahamud, huku akilini mwake akishangaa kwanini mke wake alitoka bila kumjulisha, “kweli mama alivyotoka hakusema anaenda wapi, ila alionekana kama amepigiwa simu ya taarifa mbaya” alisema yule mdada wa kazi, hapo Mzee Mahamud alishtuka na kuvuta kumbu kumbu, “unajuwa hawa vijana nchi za wenzetu zina wavuruga sana, lakini sina shaka na shekhe atakaa chini na kijana wake, maana tikiwaacha tutakosa maimamu wa baadae” ni maneno ya mmoja kati ya waumini wenzake pale msikitini walipokuwa wanaongelea swala la kuonekana kwa gari la bwana Mahadhi pele Mitini Pub, “hivi Soraya nae amesha rudi?” aliuliza mzee Mahmuda huku anatoa simu yake na kuanza kubofya, “Dah Soraya sijamuona, nadhani bado hajarudi” mpaka dada wakazi anajibu hivyo tayari Mahmud alikuwa amesha piga simu na kuweka sikioni, alikuwa anampigia mke wake, simu iliita mara tatu ikapokelewa, “hallow mume wangu upo wapi?” bwana Mahamud alimsikia mke wake akiuliza, ungesema yeye ndie aliepiga, “nikuulize wewe upo wapi, maana nimefika nyumbani sijakukuta” aliuliza baba Soraya, huku akili yake ikicheza mara mbili, maana hata mwanae Soraya alikuwa hajarudi, “yaani we acha tu, kilichotokea ni zaidi ya balaah, nitakusimulia nikifika nina karibia hapa nyumbani, naomba uwaambie hao wafanya kazi waingie chumba cha ibada ila Subira azunguke mlango wa uwani na wewe mwenyewe nikukute huko” aliongea mama Soraya kwa sauti ya fadhaha, “kuna nini mama Soraya hebu nieleze hata kifupi, aliuliza mzee Mahamud huku akili yake akiipeleka kwa mwanae Soraya, “hata mimi mwenyewe nashindwa kuelewa, yaani Soraya amelewa hajitambui” alisema mama Soraya kwa sauti ya nusu kuchanganyikiwa, “eti unasema Soraya amelewa?”aliuliza mzee Mahamud kwa sauti ya chini iliyojaa mshangao na mshtuko mkubwa, “ndiyo na kitu cha ajabu hanuki pombe ya aina yoyote” alisema mama Soraya kwa sauti ile ile ya nusu kuchanganyikiwa, “nilijuwa tu, kweli Idd sio kijana mwema, upo nae huyo mshenzi” aliuliza mzee Mahamud kwa sauti ya chini safari hii ikiwa imechanganyika na hasira, “hata najuwa yupo wapi basi, ngoja nitakusimulia nimeshafika nipo hapa getini” alisema mama Soraya na wakati huo mzee Mahamud akasikia mlio wa honi ya gari la mke wake, akakata simu “Subiraaa” aliita mzee Mahamud, “abee baba” aliitikia Subira sauti ikitokea chumba cha ibada.*****
Wakati hayo yanaendelea nyumbani kwa mzee Mahadhi huku nako Mfaranyaki, nyumbani kwa bwana Mahadhi Salum alikuwa amekaa sebuleni kwake ana waza na kutafakari tabia ya mwanae Idd, ambayo sasa imeshaanza kuonekana mtaani na kumchafulia jina, ikionekana kuwa gari lake linaonekana kwenye nyumba za starehe, “huyu mpuuzi sijui yupo wapi nampigia simu mara zote hizi hata hapokei, ina maana haoni au ameshalewa?” alijiuliza bwana Mahadhi, huku anajaribu tena kupiga simu ikiwa ni mara ya kumi na tisa toka ameanza kupiga simu kwa mwanae Idd ili aongee nae juu ya kile anacho kifanya na kumsababishia aibu, lakini licha ya kupiga simu mpaka inakatika haikupokelewa, “mwenzetu vipi mbona swala inakupita hata haushtuki?” mzee Mahadhi aligutushwa na sauti ya mke wake, aliekuwa anatoka kuswali, hapo bwana Mahadhi aliinuka bila kusema chochote na kueleka bafuni kuchukuwa udhu.*******
Baada ya mama Soraya kupotelea barabara kuu, Higgno alijipapasa na kuugundua kuwa hakuwa na hela nyingine zaidi ya ile elfu mbili aliyompatia dereva wa Taxi, hivyo akamsogelea na kumsachi akakuta kitita cha fedha, akachambua elfu mbili yake na alipoipata akaichomoa na kuiweka mfukoni kisha akambeba yule dereva wa Taxi aliekuwa bado amezimia na kumpakiza kwenye gari lake akimuweka seat ya nyuma, pale alipokuwa amelala Soraya, hakusahau na lile panga lake kisha akamfungia mlango wa gari na kuanza kuondoka zake kueleka barabarani kusubiri daladala, hazikupita dakika tano gari likaja akaingia ndani ya gari lile lenye abiria wachache na safari ikaanza kuelekea nje ya mji upande wa mashariki mwa mji wa songea.
Akiwa amekaa kwenye seat ya peke yake Higno alionekana kujawa na mawazo mengi sana, “sijui nina mkosi gani?” alijuliza Higgno, ambae akiwaza mambo yaliyo mtokea kwa Hilda na vituko vyake, anakuja kuchaguliwa mchumba “eti Joan” aliwaza Higgno na kujicheka kidogo, “ina maana mimi ndio wakuchaguliwa mwanamke wa hovyo hovyo” aliwaza Higgno akimlaumu shangazi yake na kuona kwamba amemdharau vibaya sana, kiasi cha kumuona yeye ndie wakuoa mwanamke kama Joan mvuta bangi, pombe sigara?” alijiuliza Higgno, ambae alichoka zaidi baada ya kukutana na yule mwanamke mweupe ambae alikuwa amelewa kilevi sicho na harufu yoyote, “sijui nani kamlewesha yule mwanamke, halafu wanaonekana kwao ni matajiri, sijui yule kama ni mama yake kweli” aliwaza Higgno ambae alindelea kuwaza juu ya tukio lile, “halafu amelewa mpaka anaona kama ananifahamu” aliwaza Higgno, huku akimkumbuka binti mmoja aliewahi kumsaidia asibakwe na wanafunzi wa Songea Boyz miaka mingi iliyopita, lakini akapuuzia kumbukumbu hizo, maana zisinge msaidia kitu kwasababu licha ya kupita miaka mingi, pia mschana yule alikuwa ametokea kwenye maisha ya hali ya juu sana yeye angefaa kuwa mfanyakazi wa ndani.*****
Naam mara baada ya kufanikiwa kumuingiza Soraya ndani, wakisaidiana mama Soraya na Subira mfanyakazi wa Soraya, bila wafanyakazi wengine kujua na kumlaza kitandani kwake, ndipo mama Soraya alipo muambia Subira aondoke na yeye akabakia na mume wake akianza kumsimulia kilichotokea, kuanzia kupigiwa simu kwa namba ya Soraya na kusikia maongezi marefu ya dereva wa Taxi na kijana mpole aliekuwa anapigania usalama wa Soraya asitendewe uovu na dereva wa Taxi, “ni kijana wa ajabu, sijawahi kumuona kijana mwenye moyo kama ule, nilimsikia akibishana na huyo dereva, na kuhakikisha awamfunui hata niqab” alisimulia mama Soraya, ambae aliendelea kueleza mpaka alipoenda pale NPF na kukuta kijana yule amesha mtwanga dereva wa Taxi, ambae alikuwa amelala chini hajitambui, “amekataa kabisa kuja nyumbani, nilitaka aje nimpatie hela kidogo kama asante, akasema kuwa ajafanya haya kwaajili ya malipo yeye amemsaidia dada yake tu!” alisema mama Soraya akimaliza simulizi yake, “na hiki kimfuko umemkuta nacho Soraya?” aliuliza baba Soraya huku akionyesha kile kijimfuko cha zawadi, “mh! hapo sijaelewa, sijui alipewa na Idd” alijibu mama Soraya, “uliweza kumfahamu huyo kijana hata kwa jina” aliuliza mzee Mahamud, “hapana ila Soraya ni kama anamfahamu yule kijana, kwa jinsi alivyo kuwa anamuita” alisema mama Soraya, “naweza kusema kuwa vijana watatu waliowahi kutusaidia yaani yule wa kule TTC, yule wa kule msamala alienisaidia mimi nisiibiwe fedha na huyu wa leo, wote kama wanaendana kitabia ni wapole wana moyo wakuisaidia, pia ni hodari kwenye kupigana” alisema Mahamud, “sitompigia Mahadhi mpaka Soraya aamke na kusimulia kilichotokea” alijishauri mzee Mahamud.
Naam baada ya kumaliza kuelezea mama Soraya, mzee Mahamud nae akaanza simulizi yake, “inabidi ifikie muda tumuachie Soraya mwenyewe katika maamuzi yake ya kuchagua mchumba, umesia habari za huyu Idd?” alisema bwana Mahamud, “Idd ana nini tena” aliuliza mama Soraya kwa mshangao wa kustaajabu, “kumbe kazi yake ni kushinda kwenye bar, kwanza si unaona tu kutoka na Soraya siku mbili leo ana rudi kalewa” alisema Mahamud, na kusimulia maongezi aliyo yasikia kule msikitini, “mimi naona wacha nikaswali japo muda umepita, ila wewe utulie peke yako mkague mtoto kwa umakini mkubwa kama hajafanyiwa mambo ya ajabu, maana anaweza kuwa alimkimbia Idd akanasa na huyo kijana, sidhani kama kuna kijana anaweza kuwa mstaarabu mbele ya uzuri wa Soraya” alisema Mahamud huku anatoka chumbani kwa Soraya, akaenda sebuleni ambako alimkuta Talib, akiwa amezani anafakamia msosi, “Talib, siku hizi sikuoni hapa nyumbani au unashinda kwenye biashara zako?” aliuliza Mahamud pasipo kusimama, hivyo Talib hakujibu kitu na kubakia anajichekesha chekesha, mpaka mjomba wake alieonekana kuwa na mawazo ya jambo lililo mtokea Soraya alipopita pale sebuleni.
Ukweli mzee Mahamud alikuwa ameingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa mwanae, mana hajuwi aliwezaje kuondoka mbele ya Idd, akiwa amesha fanyiwa vitendo vya aibu au lah!, pia alimfikiria sana kijana aliemsaidia, “kwanini alikataa kuja nyumbani, inawezekana Idd alimnywesha pombe na yeye akaamua kumfanyia vitendo viovu” aliwaza Mahamud ambae kama kweli mwanae amefanyiwa vitendo hivyo basi ni aibu kubwa sana kwake na famiia yake kwa ujumla, “lakini si angemtelekeza na kuondoka zake, kwanini alipiga simu na kuhitaji Soraya akachukuliwe” aliwaza mzee Mahamud ambae alimfikiria sana kijana huyu aliemsaidia binti yake, kijana ambae anafanana kwa mambo mengi na yule aliewahi kumsaidia yeye mwaka mmoja uliopita na yule aliemsaiidia binti yake miaka zaidi ya sita iliyopita, “ila Mahadhi kama anaifahamu tabia ya kijana wake, halafu ana nishawishi amuowe nwanangu atakuwa amenikosea sana” aliwaza Mahamud ambae alielekea chumbani kwake na kupitiliza bafuni na kutia udhu tayari kwenda kuswali.
Upande wa mama Sorya kule chumbani alijaribu kumwamsha binti yake mara kadhaa kwa lengo la kuzungumza nae lakini Soraya hakushtuka hata kidogo, alionekana ametopea kwenye usingizi mzito hivyo akaanza akumvua nguo moja baada ya nyingine huku anamkagua, akamvua gauni lake refu akifuatia shidiria, ambapo aligusa maziwa ya binti yake na kuyaona yana dalili ya mschana ambae bado hajaingiliwa, akafuatia kwenye nguo ya chini yaani chupi, akamvua nguo hiyo na kuanza kumkagua kwenye kitumbua akaona mschana huyu alikuwa salama, yaani bado hakukuwa na dalili ya kitumbuwa hicho kuliwa, akamkaguwa upande wa pili na sehemu zote ambazo zinaweza kufanyiwa uhuni akaona kuwa binti yake yupo salama.********
Saa mbili na nusu, ndio muda ambao mzee Frank alifika nyumbani na kumsimulia mke wake kilichotokea, “makubwa, sasa ina maana wifi nae alikuwa hajuwi tabia za huyo binti, si kumtafutia matatizo mtoto huko” alisema mama Higgno, kwa sauti ya masikitiko na fadhaha, “hata mimi amenishangaza sana, yaani tulikuwa tuna ruka haja ndogo tunakanyaka ile kubwa” alisema mzee Frank, ambae kwa kifupi alishukuru sana kugundua tabia ya mschana yule mapema, “kilicho ni shangaza kuwa ni rafiki wa Hilda, kwahiyo tabia zao zinaendana kabisa” alisema mama Higgno, ambae baadae aliuliza kuhusu Higno mwenyewe, “yeye aliondoka mapema na sijaonana nae mpaka sasa” alisema mzee Frank,ila na yeye sasa ajitahidi atafute yeye mwenye” alishauri mama Higgno, “nitaongea nae kesho nimueleze juu ya hilo, maana hii kutafutiana tunaweza kulaumiana baadae” alisema mzee Frank.******
Naam saa moja na robo ndio muda ambao Idd alishtuka toka usingizi, akiamshwa na harufu nzito ya haja kubwa, tena hajakubwa ya mlevi na kujikuta yupo ndani ya chumba cha hotel hii maarufu mjini songea ya Kuchile, akakumbuka kuwa jana usiku alikuwa na mwana mke mmoja aliekutana nae pale pale bar, ni baada ya kutorokwa na Soraya, akakumbuka mambo waliyofanya na yule mwanamke ambae alikuwa amejifunika shuka na kuonekana kuwa amelala fofofo,
Japo Idd alisikia ile harufu ya hajakubwa iliyo tokana na kufanya mapenzi tofauti na wanavyo fanyaga wengine, na sio kwamba walikosea kutokana na ulevi hapana walikubaliana kabisa ikiwa ni sehemu ya kufurahia mapenzi yao, Idd alikumbuka jinsi alivyo mburudisha mpenzi wake huyu kwa kumuonyesha ufundi wa hali ya juu kwa kumnyonya sehemu zake za siri kwa ufundi mkubwa, maana hata yule mwanamke alionekana ni fundi wa kunyonya.
Idd alitamani kupata cha asubuhi, kabla hajaondoka lakini aliona itakuwa vyema kama wakioga kwanza ili kuondoa uchafu uliowajaa miilini mwao, hivyo idd akainuka toka kitandani, ile anakanyaga chini akakutana na meno manne ya bandia ya pamoja, tena machafu kwa rangi yake, hapo akashtuka na kugeuka kumtazama mwanamke huyu alielala kitandani, akamsogelea na kumfunua shuka, kwanza kabisa macho yake yalitua kwenye makalio madogo ya mschana huyu ambae licha ya kuchafuka kwa kinyesi pia vilionekana vidonda vingi vilivyo pauka kweli kweli, vikishindana ukubwa na upya, “mama yangu nipo salama kweli” alijiuliza Idd huku ana jishika kichwa kwa masikitiko…………. ITAENDELEA
 
Iddrisa dogo Idd ubaya ubwela udugu umala achorile kachora kumkomalira nyani jiradi usoni.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THELATHINI: Idd alitamani kupata cha asubuhi kabla hajaondoka lakini aliona itakuwa vyema kama wakioga kwanza ilikuondoa uchafu uliowajaa miilini mwao, hivyo idd akainuka toka kitandani ila anakanyaga chini akakutana na meno manne ya bandia ya pamoja tena machafu kwa rangi yake, hapo akashtuka na kugeuka kumtazama mwanamke huyu alielala kitandani, akamsogelea na kumfunua shuka, kwanza kabisa macho yake yalitua kwenye makalio madogo ya mschana huyu ambae licha ya kuchafuka kwa kinyesi pia vilionekana vidonda vingi vilivyo pauka kweli kweli, vikishindana ukubwa na upya, “mama yangu nipo salama kweli” alijiuliza Idd huku ana jishika kichwa kwa masikitiko……… ENDELEA SASA
Akageuka na kuelekea bafuni huku akikanyaga tena yale meno ya plastic na safari hii akiyavunja kabisa na kujiumiza unyayoni kwa waya ulio baniwa yale meno, “ass kum.. make...” alilalamika Idd huku anainua mguu mmoja ule ulioumia na kujishika kwa kujipooza huku anaruka ruka kwa mguu mmoja, ambao pia alishtuka akinasa kwenye nguo fulani ambayo mwanzo hakuitambua na kuanguka chini, akainasua na kuinuka nayo ikiwa mkononi, ndipo alipoitazama, mwanzo alidhania kuwa kuna kitambaa cha kufutia vumbi madirishani kiliachwa mule chumbani kwa bahati mbaya, jinsi kilivyo kwa uchafu wake, maana licha ya kuwa kime kakamaa kama vile kilinyunyuziwa uji wa kupikia pombe ya kienyeji, wao wanaita ubaga, au uji wa mhogo, Idd akashawishika kukitazama kile kijinguo na kilicho mvuta au kumshawishi kukiangalia ni harufi yake mbaya kama vile nyama iliyo sahaulika na kuanza kuonza, “mamaaaa” alipiga kelele Idd huku anaitupa chini ile nguo, ilikuwa ni chupi ya kike ambayo muonekanano wake ungesema kuna mtu aliipengea kamasi week nzima bila kuiosha, hapo Idd akashika pua yake kwa haraka sana na kuitupa chini, “huff!!! masikini mimi nimeokota weee! lakini leo nimeokotwa” alijisemea Idd huku anaelekea bafuni kuoga.*******
Saa moja na nusu siku hii ya ijumaa, mida ambayo Soraya alisha maliza kuoga na kujilaza kitandani kwake huku kichwa chake kikiwa kizito kidogo, akiwa anatafakari mambo yaliyo mtokea jana, hasa akivuta kumbukumbu alivyo kutana na yule kijana aliemtafuta kwa muda mrefu, hata alivyo msaidia kwa mara nyingine na kumfikisha nyumbani, maana alipokuwa anaoga alijikagua na kujiona kuwa yupo salama kabisa, “ina maana hanipendi, mbona hakuonyesha kunipenda?” alijiuliza Soraya kabla hajajipatia jibu, “Hooo! nilivaa niqab, ina maana hakunifunua! ni heshima kiasi gani aliyo nayo yule mwanaume?” alijiuliza Soraya, “sasa itakuwaje wakati mimi nampenda jamani” safari hii Soraya aliwaza kwa sauti, “kama hakunitambua mbona aliniachia zawadi” aliwaza Soraya, ambae sasa alikumbuka kile kijifuko cha zawadi na kukichukuwa kisha akalala nacho kitandani na kukifungua,kisha akaingiza mkono na kutoa kitu kimoja baada ya kingine huku akijikuta anatabasamu kwa kila kile alichokitoa ndani ya mfuko, “ananipenda ndio maana ameniletea chupi” aliwaza Soraya ambae huku anaachia tabasamu lililochanganyika na aibu fulani kutokana na aina ya ile chupi, hakujuwa kuwa ile chupi sidiria na uwaridi vyote vya rangi nyekundu havikuwa vya kwake, ila ni kama alivipora kwa mwenyewe Kijana mpole, Soraya alijikuta akitabasamu kwa furaha, “inamaana aliniona toka siku ile nilivyoenda na Idd ndio akaamua kuninunulia zawadi, sasa mbona hakuonyesha kama ananijuwa au ameshikwa na wivu, alidhania Idd ni mchumba wangu?” aliwaza Soraya, ambae hakuwaza jambo alilofanyiwa na Idd kuwekewa kilevi kwenye juice ya mabungo, “mama atakuwa ameshanifahamu, hivyo rahisi mimi kumpata” aliwaza Soraya na wakati huo huo mlango wachumba chake, ukagongwa “ingia” alisema Soraya na mlango ukafunguliwa na mama Soraya akaingia chumbani kwa Soraya na kumkuta binti yake huyu ameshaoga na kujilaza kitandani, akionekana kutafakari jambo kwa kina, “assalaam alaykum” alisalimia mama Soraya huku anakaa kwenye kitanda cha Soraya, “waalaykum salaam, shikamoo mama” aliitikia Soraya huku anajiinua na kukaa kitandani pembeni ya mama yake, “marhaba pole mwanangu, unajisikiaje sasa?” aliuliza mama Soraya, huku akiweka kiganja chake cha mkono kwenye paji la uso la binti yake na kuligusa kama anatazama joto la mwili, “nipo safi mama, japo kichwa bado kizito kidogo” alijibu Soraya kwa sauti tulivu, na kabla mama Soraya hajauliza kitu, Soraya akawahi kuuliza, “samahani mama ulikutana na yule kijana mpole?” aliuliza Soraya kwa sauti iliyojaa shauku, “mh! sijawahi kuona kijana mstaarabu kama yule, hivi unamfahamu toka zamani?” aliuliza mama Soraya kabla hajajibu swali la mwanae, “kwahiyo ulimwambiaje?” aliuliza Soraya kwa shauku, “mh! nilimwambia aje nyumbani nimpe japo hela kidogo ya ansante, lakini alikataa alisema anawahi nyumbani kwao kibanda chake hakina mlango anaogopa wataiba” alijibu mama Soraya, akionyesha kupenda tabia ya Kijana mpole, “kwahiyo mama ulimwambiaje?” aliuliza tena Soraya akionyesha kuhitaji sana habari za kijana mpole kuliko yaliyotokea jana akiwa na Idd, “nilimwambia aje nyumbani achukuwe japo fedha kidogo za shukurani, lakini alikataa alisema haitaji malipo kwasababu alikusaidia kama dada yake” alijibu mama Soraya, akionyesha alistaajabishwa na tabia ya kijana mpole, “kwahiyo mama huku chukuwa hata namba yake ya simu?” aliuliza Soraya kwa sauti ya kulalamika, “mh! mama nisamehe kwanza ningeanzaje, maana niliogopa jinsi nilivyopakuta pale, yaani nimekuta amempiga yule kijana mwenye lile Taxi, amelala chini hajiwezi” alisema mama Soraya, na hapo Soraya akacheka kidogo, “mshenzi yule eti alikuwa anamwambia yule mvulana kuwa mjinga bora anifanye” alisema Soraya,”kwani ilikuwaje ulewe vile mpaka ukakutana na yule kijana wakati ulikuwa na Idd?” aliuliza mama Soraya na kutaka kujuwa kila kitu kilivyo kuwa, “yaani mama, msiniambie tena kuhusu kumsindikiza kaka Idd, kwanza anakunywa mipombe halafu sijui aliniwekea nini kwenye juice” Soraya alimsimulia mama yake, kuanzia alipo muona yule kijana wakati anavuka barabara na kupanda pikipiki, na walipoenda kunywa juice ya mabungo ambayo iliwekewa kilevi, huku akigundua kuwa maji aliyokuwa anakunywa Idd yalikuwa sio maji ni pombe, alieleza jinsi alivyo toka pale bar na kukutana na Kijana mpole, ambae alimsaidia mpaka akafika salama, pia alimueleza mama yake kuwa kijana huyu mpole ndie yule aliewahi kumsaidia miaka iliyopita asibakwe na wanafunzi watukutu wa songea boys, “tena Idd amebakia na mkoba wangu kwenye gari lake na una hela zangu na vitambulisho” alimaliza kusimulia Soraya, “kumbe Idd mshenzi kwa hiyo alitaka akufanye nini?” aliuliza mama Soraya kwa sauti iliyojaa Hasira, huku anainuka toka kitandani na kutoka nje ya chumba cha Soraya.
Moja kwa moja akaelekea chumbani kwake ambako alimkuta mume wake akiwa anajiandaa kuelekea kwenye kalakana ya uchoraji na upakaji wa ragi magari ya Mbogo Edgar CAR SHINE COMP, ambako magari yake yalikuwa yana pigwa chapa ya kampuni yake, ikiwa na maandishi makubwa ya SORAYA EXPRESS, na rangi waliyoichagua blue yenye fito nyekundu na nyeupe kwa upande wa nyuma “baba Soraya, naomba iwe mwisho kumkaribisha Idd hapa nyumbani, kwa kitendo alichokifanya jana anaweza kuja hata kutuibia hapa nyumbani” alisema mama Soraya, kwa sautiliyojaa jazba, “vipi amemuharibu mtoto?” aliuliza mzee Mahamud huku anasogea kwenye kabati lake na kuvuta drow akitoa bastora yake, “hata kama hajamuharibu we unadhani kilichokuwa kina fuatia ni kitu gani?” alisema mama Soraya, na kumsimulia mume wake kama alivyo simuliwa na Soraya, “kwahiyo huyo kijana ndiyo yule aliemsaidiaga kipindi kile” alisema mzee Mahamud, huku anachukuwa simu yake na kumpigia Mahadhi ……….. ITAENDELEA


TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THELATHINI: “baba Soraya naomba iwe mwisho kumkaribisha Idd hapa nyumbani, kwa kitendo alichokifanya jana anaweza kuja hata kutuibia hapa nyumbani” alisema mama Soraya, kwa saut iliyojaa jazba, “vipi amemuharibu mtoto?” aliuliza mzee Mahamud huku anasogea kwenye kabati lake na kuvuta drow akitoa bastora yake, “hata kama hajamuharibu we unadhani kilicho kuwa kina fuatia ni kitu gani?” alisema mama Soraya, na kumsimulia mume wake kama alivyo simuliwa na Soraya, “kwahiyo huyo kijana ndiyo yule aliemsaidiaga kipindi kile” alisema mzee Mahamud huku anachukuwa simu yake na kumpigia Mahadhi……….. ENDELEA NAYO SASA

Huku anaweka bastora yake mezani, simu iliita mpaka inakatika yenyewe pasipo kupokelewa, “hawezi kupokea simu kwasababu anajuwa alicho kifanya huyo mlevi wake” alisema mzee Mahamud huku anapiga tena simu kwa namba hiyo hiyo, lakini safari hii akaambiwa simu ile ilikuwa inatumika, “mpuuzi sana, anajifanya anatumika nitakunasa kwenye ibada” alisema mzee Mahamud ambae alionekana kujawa na hasira, “kwani ulitaka kumuambia nini?” aliuliza mke wa bwana Mahamud, “kwanza atume mtu alete begi la Soraya, pili sihitaji yeye wala mwanae wakanyage hapa nyumbani wala kujenga mazoea ya kijinga” hakika Mahamud hakuwahi kuonekana mwenye hasira za wazi kama alivyoonekana wakati huo, hakika cheza na kitu chochote lakini sio mwanae Soraya, “mume wangu unahitaji kupunguza hasira, cha kushukuru ni kwamba Soraya yupo salama” alisema mama Soraya, kwa sauti ya upole akijaribu kumtuliza mume wake, “lakini kwanini huyu kijana amekataa kuja hapa nyumbani, amenisaidia mara mbili na bado hataki hata kitu chochote cha shukrani?” aliuliza mzee Mahamud kwa sauti ya kutia shaka, “hata mimi nilishangaa kwa kweli, eti anawahi kwake kibanda chake hakina mlango, ila nimemwambia akiwa na shida aje hapa nyumbani” alisema mama Soraya, “unajuwa bado sijaelewa ni kwanini kijana huyu aliweza kutoa msaada kwa Soraya pasipo kuomba wala kukubali kitu chochote kama ahsante?” aliuliza Mahamud, akimtazama mke wake ambae sasa alimsogelea na kuanza kumsaidia kumfunga vishkizo vya shati, “tena kwa vijana wa sasa na hivi wanavyo mtamani huyu mtoto jamani, huyu kijana sijui ana moyo wa aina gani, yaani msaada alioutoa kijana huyu naweza kusema ni zaidi ya ambavyo kaka angepaswa kumfanyia dada yake au mume kumfanyia mke wake, yaani alikuwa makini sana” alisema mama Soraya kwa msisitizo” alisema mama Soraya na hapo kikapita kimya kidogo, kabla mzee Mhamud hajasema “siku akipatikana huyu kijana nitamuuliza swali, nikiridhika na jibu lake itabidi tumjengee nyumba ndogo nzuri, na kama akiwa ni fundi au dereva basi nitampatia kazi, maana inaonyesha kuwa ni muaminifu” alisema mzee Mahamud, huku anaendelea kujiandaa.******
Idd alimaliza kuoga, huku muda wote akijilaumu kwa kilealichokifanya usiku kucha, hasa kitendo cha kuonyesha ufundi wa kumnyonya kitumbua cha mwanamke huyu, ambacho ni wazi kabisa kina tatizo kutokana na muonekanano wa sehemu za siri za mwanamke mwenyewe, alijilaumu kwa kuingia njia isiyo rasmi na kuacha kitumbua, maana huku kwa jirani ndio tatizo kubwa, hapo akajikuta akitema mate kama mjazito, yaani mara kwa mara, kwasababu alikuwa na uhakika kuwa alishabugia sana uchafu wa mwanamke huyu, wakati akimuingilia kinyume na maumbile yake, hasa kipindi alipokuwa ana toa dudu yake kwenye makalio ya mwanamke huyu na kupakaza mate kisha kuendelea, hapo angepump mara kadhaa kisha angefanya tena hivyo na alifanya hivyo mara kwa mara pasipo kujuwa kuwa alikuwa anabugia uchafu ambao alipoamka aliukuta umetapakaa kila kona ya mwili wake na kuchafua mashuka ya chumba kile cha hotel.
Ile anatoka bafuni akakimbilia kwenye nguo zake ambazo nazo zilikuwa chini akazizoa zoa na kuanza kuvaa kwa pupa, hakutaka tena kumtazama yule mwanamke ambae bado alikuwa amelala kwa kujifunika gubi gubi pale kitandani, na wakati anavaa suruali ndipo aliposikia simu yake inatetemeka, akagundua kuwa ilikuwa inaita akaitoa haraka huku mapigo yake ya moyo yanaenda kasi, akihofia kukutana na simu toka kwa Soraya au baba yake au mama yake, lakini alipoitazama akakuta kuwa ilikuwa ni simu toka kwa baba yake hivyo akaipokea haraka huku “ndio baba kuna usalama huko” aliuliza Idd kwa sauti iliyojaa wasi wasi na pupa, huku anaendelea kuvaa, “usalama utoke wapi wakati mpaka sasa hujarudi nyumbani toka jana jioni, halafu ulitoka na mtoto wa watu baba yake amenipigia simu nimeshindwa kuipokea” alisema mzee Mahadhi kwa sauti ya chini, kama vile hakuwa anahitaji mtu mwingine asikie, “dah! baba ni story ndefu, sijui tunafanyaje, yaani kuna mchezo nilitaka kumchezea Soraya sasa umeferi, halafu akanitoroka, sasa sijui kama aliweza kufika nyumbani kwao maana mchezo wenyewe ulikuwa wa hatari vibaya sana” alisema Idd ambae sasa alikuwa anamilizia kuvaa viatu ili aondoke zake, “bwasheee! umesha vuruga kila kitu, unadhani mzee yule atanielewa kweli, njoo haraka tupange jinsi ya kumaliza tatizo” alisema Mahadhi ambae alionekana wazi kuwa upande wa mwanae, kama walivyo wazazi wengi wa sasa ambao hujitahidi kuwasaidia vijana wao, pale wanapo kuwa wameingia kwenye matatizo, hata kama alie ya sababisha ni kijana mwenyewe, “nakuja sasa hivi” alisema Idd na kukata simu, kisha akamaliza kuvaa na kuinuka tayari kuondoka, lakini ile anainuka tu akashangaa ameshikwa bega na kutulizwa kidogo, “mpehi habar ya asupuhi” ilisikika sauti ambayo mwanzo, Idd hakuwa ameelewa ina maanisha nini, akageuka na kutazama huyu aliemshika bega ambae yeye alikuwa anajuwa kuwa ni yule mwanamke alielala nae usiku kucha, alipo geuka na kumtazama akakutana na sura ya ajabu, ambayo hakutegemea kama ndiyo ya mtu aliekuwa amelala pale kitandani, “weeee! yule mwanamke niliekuwa nae jana usiku aliondoka?” aliuliza Idd kwa mshangao na kuinuka haraka kwa mshtuko toka pale kitandani alipokuwa amekaa akivaa viatu, huku macho yamemtoka kwa kumtazama yule mwanamke mzee mwenye sura iliyozeeka kweli kweli, ambayo sasa ilikuwa katika muonekano fulani ambao Idd hakujuwa kuwa lilikuwa ni tabasamu, zaidi yeye alizidi kushtushwa na muonekano ule, ambao ulimfanya atambue kuwa mwana mama huyu hakuwa na meno ya mbele, “mpehi upigi ya asuhuhi” aliuliza tena yule mwanamke, akishindwa kutamka kiufasaha, kuwa “mpenzi haupigi cha asubuhi” kutokana na kukosa meno ya mbele ambayo mpaka sasa yalisha tawanyika pale chini kwa kukanyagwa na Idd, hapo Idd hakujibu kitu zaidi alianza kutembea kuufuata mlango, “bai nihaie ela ya upu” alisema yule mwanamke akimaanisha “basi niachie hela ya supu” lakini Idd sijui hakumuelewa au alifanya makusudi, maana aliondoka zake bila kugeuka nyuma akafungua mlango na kutoka zake.
Moja kwa moja Idd alienda kwenye gari lake na kuingia ndani akaliwasha na kuondoka zake, huku anawaza mambo yaliyo mtokea jana usiku, “niliwezaje kugonga yule mwanamke tena usiku kucha” aliendelea kuwaza Idd akijilaumu kwa kile alicho kifanya, na wakati huo akatazama pembeni ya seat yake akaona mkoba wa Soraya, na hapo ndipo lilipomjia wazo la kuwa ana jambo la kujibu kwa mzee Mahamud, hasa endapo binti yake hakufika nyumbani kwake salama jana usiku, maana kuhusu kulewa hilo alikuwa na uwezo wa kujibu, tena jibu ambalo lingemtetea hata yeye mwenyewe, lakini je aliweza kufika nyumbani na kama alifika, alifika fikaje, yaani alifika salama? hilo ndilo swali lililo mchanganya Idd, kwasababu kwa kilevi alicho muekea Idd alishawahi kuwafanyia hivyo wanawake kadhaa na wote alifanikiwa kulala nao akiwafanyia michezo, michafu kuliko uchafu aliouacha chumba cha hotel, “ila leo nimeingia choo cha wanawake” aliwaza Idd, ambae hofu yake ilikuwa kubwa sana juu ya afya yake kutokana na muonekano wa mwanamke yule, usiulize kuhusu kutumia mipira, huo haukuwa utamuduni wa Idd kutumia vitu kama hivyo.******
Mida ya saa nne Laylah, aliingia nyumbani kwa boss wake akiwa amevaa gauni lake refu baibui, tayari kwa kueleka msikitini hapo baadae kabla hawajaenda shamba kupeleka na kupanda miti ile ya matunda waliyoichukuwa lumecha, akipishana na Talib mlangoni, “vipi kaka Talib, mbona siku hizi hutumii gari lako” aliuliza Laylah, mara baada ya kusalimia na Talib aliekuwa anatoka nje ya geti, “wakati mwingine nahitaji kujizowesha kutembea kwa miguu, si unajuwa magari yenyewe ya watu haya” alisema Talib huku anatabasamu, akionyesha kijiuso cha urafiki, “mh! ni kweli lakini kwa jinsi mjomba wako anavyokupenda hawezi kukunyang’anya” alisema Laylah, ambae alianza kutembea kuingia ndani, “subiri kwanza Laylah, hivi mwenzio jana kilimtokea nini?” aliuliza Talib kwa sauti ya chini, huku akimtazama Laylah na kumsogelea pale aliposimama, “mh! kumtokea nini!, saa ngapi, maana tulivyo toka Lumecha mimi nilienda nyumbani” alisema Laylah, maongezi yao yakiwa ni ya sauti ya chini, “jioni bwana si alitoka na yule fala aliekimbiliaa south” alisema Talib kwa dharau, “nani Idd, ndio alitoka nae, walitumwa bomba mbili, kwani kimetokea nini?” aliuliza Laylah, , ambae sasa hofu ilianza kumtawala moyoni kwake, kwasababu yeye ndie wa kwanza kujuwa kuwa Idd sio kijana mwema, “hata mimi naelewa basi naona vikao vya siri tu, halafu hata Soraya mwenyewe sijamuona toka jana usiku” alisema Talib kwa sauti ya kutokujari, “mh! Idd…” aliguna Laylah, huku anaanza tena kutembea, lakini Talib akamzuwia tena, “mtaenda shambani kweli leo” aliuliza Talib, kwa sauti ile ile ya chini, “kwa kweli sijui, kama kuna jambo baya lilimtokea nadhani hatutoweza kwenda shambani” alisema Laylah kwa sauti ya kutia shaka, “poa basi kama mutaenda shamba utanijulisha nikuagize matogoro, mchana nitakuwa pale chumbani kwangu” alisema Talib, kwa kusisitiza kisha huyooo akaondoka zake na kutokomea mitaani, huku akilini mwake akipanga kutekeleza mpango wake haraka iwezekanavyo.
Wakati Laylah yeye alitembea haraka kuufuata mlango wa nyumba kubwa ya mzee Mahamud, huku moyoni mwake akiwaza ni jambo gani lilimkuta Soraya, Laylah alipomuulizia boss wake nae akaenda kujulishwa, ndipo Soraya akaagiza kuwa Laylah aingie chumbani kwake, ni mara chache sana hutokea Laylah kuingia chumbani kwa Soraya, labda itokee Soraya anaumwa au kuna kitu cha kupeleka, “nimekutana na Talib hapo nje akaniuliza eti Soraya amepatwa na nini?” alisema Laylah, mara baada ya Soraya kumaliza kumsimulia kilicho tokea jana, “kumbe Idd ni mshenzi, kwa hiyo alitaka ukilewa akufanyeje?” aliuliza Laylah, na hapo wote wakacheka kidogo, “ameshindwa na hanipati ng’o” alisema Soraya, ambae sasa alikuwa anamuamini Laylah kuwa ndie rafiki wa pekee aliebakia nae, “kwahiyo una uhakika kuwa yule mkaka ndie mwenyewe kabisa” aliuliza Laylah, “tena sjui hata kwanini najikuta nampenda tu yule mkaka, lakini kwanini anajifanya hanijui” aliuliza Soraya, kwa sauti ya masikitiko, “Dah! Soraya si umesema kuwa ulikuwa umevaa niqab” aliuliza Laylah, na hapo ni kama Soraya alikumbuka jambo, “kweliii nilivaa niqab, ina maana hakunifunua kunitazama usoni” aliuliza Soraya kwa masikitiko, “mh! hata hivyo unadhani akikuona mara moja atajuwa kama wewe ni mtoto wa Mahamud, ujuwe ni watu wachache sana ndio wanajuwa hivyo” alisema Laylah akimgutua Soraya, “mh! kweli Laylah, sasa inabidi leo tusiende shambani tutaenda jumapili, baada yake leo na kesho tuzunguke mitaani, kumsaka huyu kijana” alisema Soraya, hapo Laylah akatabasamu kidogo, “ukimpata utamwambia nini?” aliuliza Laylah, na hapo Soraya akatulia kidogo kama anafikiria cha kumuambia kijana huyo mara atakapo kutana nae, akitumia sekunde kadhaa kisha akaongea akiwa ametazama chini, “hata mimi sijui” alijibu Soraya, kisha hapo kikapita kimya tena, kabla Soraya hajaongea tena, “kwani mimi si mzuri?” aliuliza Soraya, “hakuna asiefahamu hilo, alijibu Lalyah, ambae akauliza swali ambalo Soraya hakulitegemea, “kwahiyo unampenda yule kijana na upo tayari kuwa nae?” aliuliza Laylah kwa sauti tulivu huku akimtazama Soraya usoni, lakini Soraya hakuweza kumtazama Laylah, hata kuitikia kwake aliitikia kwa kichwa akikubari kuwa alikuwa anampenda kijana mpole, “kama amesha oa, itakuwaje?” aliuliza Laylah, “sijui itakuwaje” alijibu Soraya kwa sauti iliyo jaa unyonge.********
Idd alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake akiwa ametulia sebuleni anamsubiri, “haya nieleze imekuwaje, maana nimeshindwa kupokea simu ya bwana Mahamud, kwasababu sijui lolote, na wewe hukuniambia chochote, alisema mzee Mahadhi Salum, mara baada ya mwanae kuingia ndani, “asikuambie mtu baba, ni tatizo lakini nimesha pata jibu” alisema Idd, na kuanza kumueleza kuhusu jinsi ilivyokuwa na ukweli ni kwamba hakuficha hata kitu kimoja, zaidi ya ule ushenzi alioufanya kwa mwamamke muhudumu, pia akampa wazo lake yaani njia ya kutatua lile tatizo, “hapo baba inabidi usimame kama kiungo namba nane ili kuhakikisha mzee Mahamud, anaelewa somo” alisema Idd baada ya kumpa mbinu baba yake, “wala usiwe na wasi wasi, tena mbinu hiyo itaniondoa kwenye aibu kubwa” alisema Mahadhi akiukubali mpango wa mwanae Idd, mpango ambao aliamini ungefaa katika kuweka mambo sawa, “sasa mpigie kabisa mzee Mahamud” alisema Idd, ambae alijihisi kuwa bado anatoa harufu mbaya kwa uchafu alioupata kule Hotelini, “lakini na wewe wakati mwingine, unapo fanya kitu lazima uwe makini bwana” alisema mzee Mahadhi huku anachukuwa simu yake na kupiga kwa mzee Mahamud.*******
Naam habari ya kununuliwa baisker kwa mzee Frank, zilitapakaa mtaa mzima wa Luhila seko, wapo waliomuita mwenye bahati, wapo walio msema vibaya kwamba alisukumwa kidogo na kudai fidia akimuonea yule mschana mdogo mwenye kujiziba uso, hakuna aliemfahamu yule mschana kuwa ni mtoto wa mzee Mahamud, kama ujuwavyo siku zote mschana huyu hujificha sana, kiasi cha watu wengi kutokumfahamu zaidi ya watu wa pale mjini.
Taarifa hizi hazikuwa nzuri kwa mzee Komba na familia yake, sijui kwanini walijikuta wanaichukia baiskeli wanamchukia mzee Komba pia wanamchukia hata mke wa mzee Frank, hawakumbakiza kijana wao, hawakuacha kuwaombea mabaya kila kukicha, walitamani hata siku moja waamke wakute mzee huyu amefilisika na kubakia masikini zaidi yao, hakika maombi yao yalikuwa makubwa sana kiasi kwamba wangetumia kujiombea wao wenyewe ili wafanikiwe yangewasaidia sana.
“Mama Hilda hivi unadhani haya yanayotukuta kuhusu Hilda ni kawaida kweli?” aliuliza mzee Komba aliekuwa na mke wake wanatoka shambani, “mwenzio nilishajuwa mapema sana, tatizo letu huwa tuna tangaza mapema mafanikio yetu, tunasahau kuna watu wanatuonea vijicho” alisema mke wa mzee Komba, yaani mama Hilda, “inabidi na sisi tuhangaike haiwezekani kila mtoto anapo patana na mwenzie wanavurugana ghafla namna hii” alisema mzee Komba akiongea kwa sauti iliyojaa chuki na kuonyesha kuwa alikuwa katika maamuzi ya ukweli, “yaani baba Hilda, sio siri na nikimbaini anaefanya hivyo hakika nitamwambia mganga ampe pigo takatifu” alisema mama Hilda akionyesha kukamia pia, “sio akimbaini, kwani mpaka sasa hatumjui, hapa dawa ni kwenda kwa mganga na kumueleza kuwa amtungue tu” alisema mzee Komba aliekuwa ametangulia mbele mke wake aliebeba vijikuni akifatia kwa nyuma, “kwani wewe unamuhisi nani?” aliuliza mama Hilda kama vile anamtega mumewe, “kuna mwingine zaidi ya wale chuma ulete waliojaza ndondocha dukani” aliongea mzee Komba kwa sauti iliyojaa chuki, akimaanisha ni mzee Frank na familia yake, “hapo umepatia, mi jioni nitaenda kule kwa Mabudi akamkaange mtu!” alisema mama Hilda, akionyesha kuwa alipania kumchawia mzee Frank na familia yake.*****
Kikawaida siku ya ijumaa familia ya mzee Mahamud na wafanyakazi wake wote hutumia gari moja aina ya Toyota hiace kwenda msikitini, kuna wakati dereva anaweza kuwa mama Soraya, au Soraya au baba Soraya huku wengine wote pamoja na Laylah hukaa kama abiria wengine, yaani wale wafanyakazi wa ndani.
Naam leo ikiwa ni siku ya pekee, baada ya kupita miezi mingi sana pasipo kuhudhuria swala yoyote pamoja na familia hii, nae leo alikuwa mmoja kati ya watu waliokuwepo pale nyumbani wakijiandaa kuingia kwenye gari safari ya msikitini, huyu alikuwa ni Talib ambae muda wote alikuwa karibu na Laylah, akivizia kupata habari za safari yao ya kwenda shamba, maana ilikuwa kawaida kwa Soraya kwenda shamba mara baada ya kutoka msikitini, “vipi mtaenda shamba kweli?” aliuliza Talib wakiwa nje ya nyumba hii kubwa ya kifahari ya mzee, wanawasubiria wakina mzee Mahamud mke wake pamoja na Soraya, “leo hatuendi, tutakuwa hapa hapa mjini” alisema Laylah, ambae hakujuwa kuwa lengo la kuulizia kwa Talib halikuwa jema, maana tayari alisha andaa mpango wa hatari dhidi ya Soraya, “kwahiyo mutaenda lini?” aliuliza Talib, kwa sauti ya chini, “amesema tutaeda jumapili” alisema Laylah, na hapo wakakubaliana kuwa kama kweli wataenda jumapili basi Talib atamuagizia Laylah kitu fulani ambacho hakukitaja, “poa basi utanishtua nikupe hela” alisema Talib, wakiendelea kuwasubiri wengine waje ili waondoke.
Wakati mzee Mahamud anatoka ndani ndio muda ambao alisikia simu yake inaita, alipotazama akaona kuwa mpigaji alikuwa ni bwana Mahadhi, kwanza akamtazama mke wake ambae alikuwa anaongozana nae kutoka nje, “Mahadhi huyo anapiga simu” alisema Mahamud kwa sauti ya kuhitaji ushauri, “pokea msikilize anataka kusema nini, mimi nilitaka tumfumanie huko huko msikitini” alisema mama Soraya, ambao sasa walikuwa wametokea nje na kuwakuta wakina Talib wakiwa wana subiria kuingia kwenye gari………… ITAENDELEA
 
Team Idd tunakuja na mpango mwingine mara hii hachomoki soraya, japo kuwa team idd kunahitaji moyo walai 😅 sina muda nitaungana na Mahimbo Jr kuwa team mzee komba.
Sasahivi nahakikisha nakuwa upande wa watu wenye akili.
Kuna mda nshawahi jichanganya nikaenda na jamaa anajiita Sangoro, mtu wa matukio hatumii akili hata kidogo.

Sasa unaanzaje kumshabikia Idd anagonga vikongwe🤣😂🤣😂🤣😂🤣
 
N
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THELATHINI: Idd alitamani kupata cha asubuhi kabla hajaondoka lakini aliona itakuwa vyema kama wakioga kwanza ilikuondoa uchafu uliowajaa miilini mwao, hivyo idd akainuka toka kitandani ila anakanyaga chini akakutana na meno manne ya bandia ya pamoja tena machafu kwa rangi yake, hapo akashtuka na kugeuka kumtazama mwanamke huyu alielala kitandani, akamsogelea na kumfunua shuka, kwanza kabisa macho yake yalitua kwenye makalio madogo ya mschana huyu ambae licha ya kuchafuka kwa kinyesi pia vilionekana vidonda vingi vilivyo pauka kweli kweli, vikishindana ukubwa na upya, “mama yangu nipo salama kweli” alijiuliza Idd huku ana jishika kichwa kwa masikitiko……… ENDELEA SASA
Akageuka na kuelekea bafuni huku akikanyaga tena yale meno ya plastic na safari hii akiyavunja kabisa na kujiumiza unyayoni kwa waya ulio baniwa yale meno, “ass kum.. make...” alilalamika Idd huku anainua mguu mmoja ule ulioumia na kujishika kwa kujipooza huku anaruka ruka kwa mguu mmoja, ambao pia alishtuka akinasa kwenye nguo fulani ambayo mwanzo hakuitambua na kuanguka chini, akainasua na kuinuka nayo ikiwa mkononi, ndipo alipoitazama, mwanzo alidhania kuwa kuna kitambaa cha kufutia vumbi madirishani kiliachwa mule chumbani kwa bahati mbaya, jinsi kilivyo kwa uchafu wake, maana licha ya kuwa kime kakamaa kama vile kilinyunyuziwa uji wa kupikia pombe ya kienyeji, wao wanaita ubaga, au uji wa mhogo, Idd akashawishika kukitazama kile kijinguo na kilicho mvuta au kumshawishi kukiangalia ni harufi yake mbaya kama vile nyama iliyo sahaulika na kuanza kuonza, “mamaaaa” alipiga kelele Idd huku anaitupa chini ile nguo, ilikuwa ni chupi ya kike ambayo muonekanano wake ungesema kuna mtu aliipengea kamasi week nzima bila kuiosha, hapo Idd akashika pua yake kwa haraka sana na kuitupa chini, “huff!!! masikini mimi nimeokota weee! lakini leo nimeokotwa” alijisemea Idd huku anaelekea bafuni kuoga.*******
Saa moja na nusu siku hii ya ijumaa, mida ambayo Soraya alisha maliza kuoga na kujilaza kitandani kwake huku kichwa chake kikiwa kizito kidogo, akiwa anatafakari mambo yaliyo mtokea jana, hasa akivuta kumbukumbu alivyo kutana na yule kijana aliemtafuta kwa muda mrefu, hata alivyo msaidia kwa mara nyingine na kumfikisha nyumbani, maana alipokuwa anaoga alijikagua na kujiona kuwa yupo salama kabisa, “ina maana hanipendi, mbona hakuonyesha kunipenda?” alijiuliza Soraya kabla hajajipatia jibu, “Hooo! nilivaa niqab, ina maana hakunifunua! ni heshima kiasi gani aliyo nayo yule mwanaume?” alijiuliza Soraya, “sasa itakuwaje wakati mimi nampenda jamani” safari hii Soraya aliwaza kwa sauti, “kama hakunitambua mbona aliniachia zawadi” aliwaza Soraya, ambae sasa alikumbuka kile kijifuko cha zawadi na kukichukuwa kisha akalala nacho kitandani na kukifungua,kisha akaingiza mkono na kutoa kitu kimoja baada ya kingine huku akijikuta anatabasamu kwa kila kile alichokitoa ndani ya mfuko, “ananipenda ndio maana ameniletea chupi” aliwaza Soraya ambae huku anaachia tabasamu lililochanganyika na aibu fulani kutokana na aina ya ile chupi, hakujuwa kuwa ile chupi sidiria na uwaridi vyote vya rangi nyekundu havikuwa vya kwake, ila ni kama alivipora kwa mwenyewe Kijana mpole, Soraya alijikuta akitabasamu kwa furaha, “inamaana aliniona toka siku ile nilivyoenda na Idd ndio akaamua kuninunulia zawadi, sasa mbona hakuonyesha kama ananijuwa au ameshikwa na wivu, alidhania Idd ni mchumba wangu?” aliwaza Soraya, ambae hakuwaza jambo alilofanyiwa na Idd kuwekewa kilevi kwenye juice ya mabungo, “mama atakuwa ameshanifahamu, hivyo rahisi mimi kumpata” aliwaza Soraya na wakati huo huo mlango wachumba chake, ukagongwa “ingia” alisema Soraya na mlango ukafunguliwa na mama Soraya akaingia chumbani kwa Soraya na kumkuta binti yake huyu ameshaoga na kujilaza kitandani, akionekana kutafakari jambo kwa kina, “assalaam alaykum” alisalimia mama Soraya huku anakaa kwenye kitanda cha Soraya, “waalaykum salaam, shikamoo mama” aliitikia Soraya huku anajiinua na kukaa kitandani pembeni ya mama yake, “marhaba pole mwanangu, unajisikiaje sasa?” aliuliza mama Soraya, huku akiweka kiganja chake cha mkono kwenye paji la uso la binti yake na kuligusa kama anatazama joto la mwili, “nipo safi mama, japo kichwa bado kizito kidogo” alijibu Soraya kwa sauti tulivu, na kabla mama Soraya hajauliza kitu, Soraya akawahi kuuliza, “samahani mama ulikutana na yule kijana mpole?” aliuliza Soraya kwa sauti iliyojaa shauku, “mh! sijawahi kuona kijana mstaarabu kama yule, hivi unamfahamu toka zamani?” aliuliza mama Soraya kabla hajajibu swali la mwanae, “kwahiyo ulimwambiaje?” aliuliza Soraya kwa shauku, “mh! nilimwambia aje nyumbani nimpe japo hela kidogo ya ansante, lakini alikataa alisema anawahi nyumbani kwao kibanda chake hakina mlango anaogopa wataiba” alijibu mama Soraya, akionyesha kupenda tabia ya Kijana mpole, “kwahiyo mama ulimwambiaje?” aliuliza tena Soraya akionyesha kuhitaji sana habari za kijana mpole kuliko yaliyotokea jana akiwa na Idd, “nilimwambia aje nyumbani achukuwe japo fedha kidogo za shukurani, lakini alikataa alisema haitaji malipo kwasababu alikusaidia kama dada yake” alijibu mama Soraya, akionyesha alistaajabishwa na tabia ya kijana mpole, “kwahiyo mama huku chukuwa hata namba yake ya simu?” aliuliza Soraya kwa sauti ya kulalamika, “mh! mama nisamehe kwanza ningeanzaje, maana niliogopa jinsi nilivyopakuta pale, yaani nimekuta amempiga yule kijana mwenye lile Taxi, amelala chini hajiwezi” alisema mama Soraya, na hapo Soraya akacheka kidogo, “mshenzi yule eti alikuwa anamwambia yule mvulana kuwa mjinga bora anifanye” alisema Soraya,”kwani ilikuwaje ulewe vile mpaka ukakutana na yule kijana wakati ulikuwa na Idd?” aliuliza mama Soraya na kutaka kujuwa kila kitu kilivyo kuwa, “yaani mama, msiniambie tena kuhusu kumsindikiza kaka Idd, kwanza anakunywa mipombe halafu sijui aliniwekea nini kwenye juice” Soraya alimsimulia mama yake, kuanzia alipo muona yule kijana wakati anavuka barabara na kupanda pikipiki, na walipoenda kunywa juice ya mabungo ambayo iliwekewa kilevi, huku akigundua kuwa maji aliyokuwa anakunywa Idd yalikuwa sio maji ni pombe, alieleza jinsi alivyo toka pale bar na kukutana na Kijana mpole, ambae alimsaidia mpaka akafika salama, pia alimueleza mama yake kuwa kijana huyu mpole ndie yule aliewahi kumsaidia miaka iliyopita asibakwe na wanafunzi watukutu wa songea boys, “tena Idd amebakia na mkoba wangu kwenye gari lake na una hela zangu na vitambulisho” alimaliza kusimulia Soraya, “kumbe Idd mshenzi kwa hiyo alitaka akufanye nini?” aliuliza mama Soraya kwa sauti iliyojaa Hasira, huku anainuka toka kitandani na kutoka nje ya chumba cha Soraya.
Moja kwa moja akaelekea chumbani kwake ambako alimkuta mume wake akiwa anajiandaa kuelekea kwenye kalakana ya uchoraji na upakaji wa ragi magari ya Mbogo Edgar CAR SHINE COMP, ambako magari yake yalikuwa yana pigwa chapa ya kampuni yake, ikiwa na maandishi makubwa ya SORAYA EXPRESS, na rangi waliyoichagua blue yenye fito nyekundu na nyeupe kwa upande wa nyuma “baba Soraya, naomba iwe mwisho kumkaribisha Idd hapa nyumbani, kwa kitendo alichokifanya jana anaweza kuja hata kutuibia hapa nyumbani” alisema mama Soraya, kwa sautiliyojaa jazba, “vipi amemuharibu mtoto?” aliuliza mzee Mahamud huku anasogea kwenye kabati lake na kuvuta drow akitoa bastora yake, “hata kama hajamuharibu we unadhani kilichokuwa kina fuatia ni kitu gani?” alisema mama Soraya, na kumsimulia mume wake kama alivyo simuliwa na Soraya, “kwahiyo huyo kijana ndiyo yule aliemsaidiaga kipindi kile” alisema mzee Mahamud, huku anachukuwa simu yake na kumpigia Mahadhi ……….. ITAENDELEA


TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA THELATHINI: “baba Soraya naomba iwe mwisho kumkaribisha Idd hapa nyumbani, kwa kitendo alichokifanya jana anaweza kuja hata kutuibia hapa nyumbani” alisema mama Soraya, kwa saut iliyojaa jazba, “vipi amemuharibu mtoto?” aliuliza mzee Mahamud huku anasogea kwenye kabati lake na kuvuta drow akitoa bastora yake, “hata kama hajamuharibu we unadhani kilicho kuwa kina fuatia ni kitu gani?” alisema mama Soraya, na kumsimulia mume wake kama alivyo simuliwa na Soraya, “kwahiyo huyo kijana ndiyo yule aliemsaidiaga kipindi kile” alisema mzee Mahamud huku anachukuwa simu yake na kumpigia Mahadhi……….. ENDELEA NAYO SASA

Huku anaweka bastora yake mezani, simu iliita mpaka inakatika yenyewe pasipo kupokelewa, “hawezi kupokea simu kwasababu anajuwa alicho kifanya huyo mlevi wake” alisema mzee Mahamud huku anapiga tena simu kwa namba hiyo hiyo, lakini safari hii akaambiwa simu ile ilikuwa inatumika, “mpuuzi sana, anajifanya anatumika nitakunasa kwenye ibada” alisema mzee Mahamud ambae alionekana kujawa na hasira, “kwani ulitaka kumuambia nini?” aliuliza mke wa bwana Mahamud, “kwanza atume mtu alete begi la Soraya, pili sihitaji yeye wala mwanae wakanyage hapa nyumbani wala kujenga mazoea ya kijinga” hakika Mahamud hakuwahi kuonekana mwenye hasira za wazi kama alivyoonekana wakati huo, hakika cheza na kitu chochote lakini sio mwanae Soraya, “mume wangu unahitaji kupunguza hasira, cha kushukuru ni kwamba Soraya yupo salama” alisema mama Soraya, kwa sauti ya upole akijaribu kumtuliza mume wake, “lakini kwanini huyu kijana amekataa kuja hapa nyumbani, amenisaidia mara mbili na bado hataki hata kitu chochote cha shukrani?” aliuliza mzee Mahamud kwa sauti ya kutia shaka, “hata mimi nilishangaa kwa kweli, eti anawahi kwake kibanda chake hakina mlango, ila nimemwambia akiwa na shida aje hapa nyumbani” alisema mama Soraya, “unajuwa bado sijaelewa ni kwanini kijana huyu aliweza kutoa msaada kwa Soraya pasipo kuomba wala kukubali kitu chochote kama ahsante?” aliuliza Mahamud, akimtazama mke wake ambae sasa alimsogelea na kuanza kumsaidia kumfunga vishkizo vya shati, “tena kwa vijana wa sasa na hivi wanavyo mtamani huyu mtoto jamani, huyu kijana sijui ana moyo wa aina gani, yaani msaada alioutoa kijana huyu naweza kusema ni zaidi ya ambavyo kaka angepaswa kumfanyia dada yake au mume kumfanyia mke wake, yaani alikuwa makini sana” alisema mama Soraya kwa msisitizo” alisema mama Soraya na hapo kikapita kimya kidogo, kabla mzee Mhamud hajasema “siku akipatikana huyu kijana nitamuuliza swali, nikiridhika na jibu lake itabidi tumjengee nyumba ndogo nzuri, na kama akiwa ni fundi au dereva basi nitampatia kazi, maana inaonyesha kuwa ni muaminifu” alisema mzee Mahamud, huku anaendelea kujiandaa.******
Idd alimaliza kuoga, huku muda wote akijilaumu kwa kilealichokifanya usiku kucha, hasa kitendo cha kuonyesha ufundi wa kumnyonya kitumbua cha mwanamke huyu, ambacho ni wazi kabisa kina tatizo kutokana na muonekanano wa sehemu za siri za mwanamke mwenyewe, alijilaumu kwa kuingia njia isiyo rasmi na kuacha kitumbua, maana huku kwa jirani ndio tatizo kubwa, hapo akajikuta akitema mate kama mjazito, yaani mara kwa mara, kwasababu alikuwa na uhakika kuwa alishabugia sana uchafu wa mwanamke huyu, wakati akimuingilia kinyume na maumbile yake, hasa kipindi alipokuwa ana toa dudu yake kwenye makalio ya mwanamke huyu na kupakaza mate kisha kuendelea, hapo angepump mara kadhaa kisha angefanya tena hivyo na alifanya hivyo mara kwa mara pasipo kujuwa kuwa alikuwa anabugia uchafu ambao alipoamka aliukuta umetapakaa kila kona ya mwili wake na kuchafua mashuka ya chumba kile cha hotel.
Ile anatoka bafuni akakimbilia kwenye nguo zake ambazo nazo zilikuwa chini akazizoa zoa na kuanza kuvaa kwa pupa, hakutaka tena kumtazama yule mwanamke ambae bado alikuwa amelala kwa kujifunika gubi gubi pale kitandani, na wakati anavaa suruali ndipo aliposikia simu yake inatetemeka, akagundua kuwa ilikuwa inaita akaitoa haraka huku mapigo yake ya moyo yanaenda kasi, akihofia kukutana na simu toka kwa Soraya au baba yake au mama yake, lakini alipoitazama akakuta kuwa ilikuwa ni simu toka kwa baba yake hivyo akaipokea haraka huku “ndio baba kuna usalama huko” aliuliza Idd kwa sauti iliyojaa wasi wasi na pupa, huku anaendelea kuvaa, “usalama utoke wapi wakati mpaka sasa hujarudi nyumbani toka jana jioni, halafu ulitoka na mtoto wa watu baba yake amenipigia simu nimeshindwa kuipokea” alisema mzee Mahadhi kwa sauti ya chini, kama vile hakuwa anahitaji mtu mwingine asikie, “dah! baba ni story ndefu, sijui tunafanyaje, yaani kuna mchezo nilitaka kumchezea Soraya sasa umeferi, halafu akanitoroka, sasa sijui kama aliweza kufika nyumbani kwao maana mchezo wenyewe ulikuwa wa hatari vibaya sana” alisema Idd ambae sasa alikuwa anamilizia kuvaa viatu ili aondoke zake, “bwasheee! umesha vuruga kila kitu, unadhani mzee yule atanielewa kweli, njoo haraka tupange jinsi ya kumaliza tatizo” alisema Mahadhi ambae alionekana wazi kuwa upande wa mwanae, kama walivyo wazazi wengi wa sasa ambao hujitahidi kuwasaidia vijana wao, pale wanapo kuwa wameingia kwenye matatizo, hata kama alie ya sababisha ni kijana mwenyewe, “nakuja sasa hivi” alisema Idd na kukata simu, kisha akamaliza kuvaa na kuinuka tayari kuondoka, lakini ile anainuka tu akashangaa ameshikwa bega na kutulizwa kidogo, “mpehi habar ya asupuhi” ilisikika sauti ambayo mwanzo, Idd hakuwa ameelewa ina maanisha nini, akageuka na kutazama huyu aliemshika bega ambae yeye alikuwa anajuwa kuwa ni yule mwanamke alielala nae usiku kucha, alipo geuka na kumtazama akakutana na sura ya ajabu, ambayo hakutegemea kama ndiyo ya mtu aliekuwa amelala pale kitandani, “weeee! yule mwanamke niliekuwa nae jana usiku aliondoka?” aliuliza Idd kwa mshangao na kuinuka haraka kwa mshtuko toka pale kitandani alipokuwa amekaa akivaa viatu, huku macho yamemtoka kwa kumtazama yule mwanamke mzee mwenye sura iliyozeeka kweli kweli, ambayo sasa ilikuwa katika muonekano fulani ambao Idd hakujuwa kuwa lilikuwa ni tabasamu, zaidi yeye alizidi kushtushwa na muonekano ule, ambao ulimfanya atambue kuwa mwana mama huyu hakuwa na meno ya mbele, “mpehi upigi ya asuhuhi” aliuliza tena yule mwanamke, akishindwa kutamka kiufasaha, kuwa “mpenzi haupigi cha asubuhi” kutokana na kukosa meno ya mbele ambayo mpaka sasa yalisha tawanyika pale chini kwa kukanyagwa na Idd, hapo Idd hakujibu kitu zaidi alianza kutembea kuufuata mlango, “bai nihaie ela ya upu” alisema yule mwanamke akimaanisha “basi niachie hela ya supu” lakini Idd sijui hakumuelewa au alifanya makusudi, maana aliondoka zake bila kugeuka nyuma akafungua mlango na kutoka zake.
Moja kwa moja Idd alienda kwenye gari lake na kuingia ndani akaliwasha na kuondoka zake, huku anawaza mambo yaliyo mtokea jana usiku, “niliwezaje kugonga yule mwanamke tena usiku kucha” aliendelea kuwaza Idd akijilaumu kwa kile alicho kifanya, na wakati huo akatazama pembeni ya seat yake akaona mkoba wa Soraya, na hapo ndipo lilipomjia wazo la kuwa ana jambo la kujibu kwa mzee Mahamud, hasa endapo binti yake hakufika nyumbani kwake salama jana usiku, maana kuhusu kulewa hilo alikuwa na uwezo wa kujibu, tena jibu ambalo lingemtetea hata yeye mwenyewe, lakini je aliweza kufika nyumbani na kama alifika, alifika fikaje, yaani alifika salama? hilo ndilo swali lililo mchanganya Idd, kwasababu kwa kilevi alicho muekea Idd alishawahi kuwafanyia hivyo wanawake kadhaa na wote alifanikiwa kulala nao akiwafanyia michezo, michafu kuliko uchafu aliouacha chumba cha hotel, “ila leo nimeingia choo cha wanawake” aliwaza Idd, ambae hofu yake ilikuwa kubwa sana juu ya afya yake kutokana na muonekano wa mwanamke yule, usiulize kuhusu kutumia mipira, huo haukuwa utamuduni wa Idd kutumia vitu kama hivyo.******
Mida ya saa nne Laylah, aliingia nyumbani kwa boss wake akiwa amevaa gauni lake refu baibui, tayari kwa kueleka msikitini hapo baadae kabla hawajaenda shamba kupeleka na kupanda miti ile ya matunda waliyoichukuwa lumecha, akipishana na Talib mlangoni, “vipi kaka Talib, mbona siku hizi hutumii gari lako” aliuliza Laylah, mara baada ya kusalimia na Talib aliekuwa anatoka nje ya geti, “wakati mwingine nahitaji kujizowesha kutembea kwa miguu, si unajuwa magari yenyewe ya watu haya” alisema Talib huku anatabasamu, akionyesha kijiuso cha urafiki, “mh! ni kweli lakini kwa jinsi mjomba wako anavyokupenda hawezi kukunyang’anya” alisema Laylah, ambae alianza kutembea kuingia ndani, “subiri kwanza Laylah, hivi mwenzio jana kilimtokea nini?” aliuliza Talib kwa sauti ya chini, huku akimtazama Laylah na kumsogelea pale aliposimama, “mh! kumtokea nini!, saa ngapi, maana tulivyo toka Lumecha mimi nilienda nyumbani” alisema Laylah, maongezi yao yakiwa ni ya sauti ya chini, “jioni bwana si alitoka na yule fala aliekimbiliaa south” alisema Talib kwa dharau, “nani Idd, ndio alitoka nae, walitumwa bomba mbili, kwani kimetokea nini?” aliuliza Laylah, , ambae sasa hofu ilianza kumtawala moyoni kwake, kwasababu yeye ndie wa kwanza kujuwa kuwa Idd sio kijana mwema, “hata mimi naelewa basi naona vikao vya siri tu, halafu hata Soraya mwenyewe sijamuona toka jana usiku” alisema Talib kwa sauti ya kutokujari, “mh! Idd…” aliguna Laylah, huku anaanza tena kutembea, lakini Talib akamzuwia tena, “mtaenda shambani kweli leo” aliuliza Talib, kwa sauti ile ile ya chini, “kwa kweli sijui, kama kuna jambo baya lilimtokea nadhani hatutoweza kwenda shambani” alisema Laylah kwa sauti ya kutia shaka, “poa basi kama mutaenda shamba utanijulisha nikuagize matogoro, mchana nitakuwa pale chumbani kwangu” alisema Talib, kwa kusisitiza kisha huyooo akaondoka zake na kutokomea mitaani, huku akilini mwake akipanga kutekeleza mpango wake haraka iwezekanavyo.
Wakati Laylah yeye alitembea haraka kuufuata mlango wa nyumba kubwa ya mzee Mahamud, huku moyoni mwake akiwaza ni jambo gani lilimkuta Soraya, Laylah alipomuulizia boss wake nae akaenda kujulishwa, ndipo Soraya akaagiza kuwa Laylah aingie chumbani kwake, ni mara chache sana hutokea Laylah kuingia chumbani kwa Soraya, labda itokee Soraya anaumwa au kuna kitu cha kupeleka, “nimekutana na Talib hapo nje akaniuliza eti Soraya amepatwa na nini?” alisema Laylah, mara baada ya Soraya kumaliza kumsimulia kilicho tokea jana, “kumbe Idd ni mshenzi, kwa hiyo alitaka ukilewa akufanyeje?” aliuliza Laylah, na hapo wote wakacheka kidogo, “ameshindwa na hanipati ng’o” alisema Soraya, ambae sasa alikuwa anamuamini Laylah kuwa ndie rafiki wa pekee aliebakia nae, “kwahiyo una uhakika kuwa yule mkaka ndie mwenyewe kabisa” aliuliza Laylah, “tena sjui hata kwanini najikuta nampenda tu yule mkaka, lakini kwanini anajifanya hanijui” aliuliza Soraya, kwa sauti ya masikitiko, “Dah! Soraya si umesema kuwa ulikuwa umevaa niqab” aliuliza Laylah, na hapo ni kama Soraya alikumbuka jambo, “kweliii nilivaa niqab, ina maana hakunifunua kunitazama usoni” aliuliza Soraya kwa masikitiko, “mh! hata hivyo unadhani akikuona mara moja atajuwa kama wewe ni mtoto wa Mahamud, ujuwe ni watu wachache sana ndio wanajuwa hivyo” alisema Laylah akimgutua Soraya, “mh! kweli Laylah, sasa inabidi leo tusiende shambani tutaenda jumapili, baada yake leo na kesho tuzunguke mitaani, kumsaka huyu kijana” alisema Soraya, hapo Laylah akatabasamu kidogo, “ukimpata utamwambia nini?” aliuliza Laylah, na hapo Soraya akatulia kidogo kama anafikiria cha kumuambia kijana huyo mara atakapo kutana nae, akitumia sekunde kadhaa kisha akaongea akiwa ametazama chini, “hata mimi sijui” alijibu Soraya, kisha hapo kikapita kimya tena, kabla Soraya hajaongea tena, “kwani mimi si mzuri?” aliuliza Soraya, “hakuna asiefahamu hilo, alijibu Lalyah, ambae akauliza swali ambalo Soraya hakulitegemea, “kwahiyo unampenda yule kijana na upo tayari kuwa nae?” aliuliza Laylah kwa sauti tulivu huku akimtazama Soraya usoni, lakini Soraya hakuweza kumtazama Laylah, hata kuitikia kwake aliitikia kwa kichwa akikubari kuwa alikuwa anampenda kijana mpole, “kama amesha oa, itakuwaje?” aliuliza Laylah, “sijui itakuwaje” alijibu Soraya kwa sauti iliyo jaa unyonge.********
Idd alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake akiwa ametulia sebuleni anamsubiri, “haya nieleze imekuwaje, maana nimeshindwa kupokea simu ya bwana Mahamud, kwasababu sijui lolote, na wewe hukuniambia chochote, alisema mzee Mahadhi Salum, mara baada ya mwanae kuingia ndani, “asikuambie mtu baba, ni tatizo lakini nimesha pata jibu” alisema Idd, na kuanza kumueleza kuhusu jinsi ilivyokuwa na ukweli ni kwamba hakuficha hata kitu kimoja, zaidi ya ule ushenzi alioufanya kwa mwamamke muhudumu, pia akampa wazo lake yaani njia ya kutatua lile tatizo, “hapo baba inabidi usimame kama kiungo namba nane ili kuhakikisha mzee Mahamud, anaelewa somo” alisema Idd baada ya kumpa mbinu baba yake, “wala usiwe na wasi wasi, tena mbinu hiyo itaniondoa kwenye aibu kubwa” alisema Mahadhi akiukubali mpango wa mwanae Idd, mpango ambao aliamini ungefaa katika kuweka mambo sawa, “sasa mpigie kabisa mzee Mahamud” alisema Idd, ambae alijihisi kuwa bado anatoa harufu mbaya kwa uchafu alioupata kule Hotelini, “lakini na wewe wakati mwingine, unapo fanya kitu lazima uwe makini bwana” alisema mzee Mahadhi huku anachukuwa simu yake na kupiga kwa mzee Mahamud.*******
Naam habari ya kununuliwa baisker kwa mzee Frank, zilitapakaa mtaa mzima wa Luhila seko, wapo waliomuita mwenye bahati, wapo walio msema vibaya kwamba alisukumwa kidogo na kudai fidia akimuonea yule mschana mdogo mwenye kujiziba uso, hakuna aliemfahamu yule mschana kuwa ni mtoto wa mzee Mahamud, kama ujuwavyo siku zote mschana huyu hujificha sana, kiasi cha watu wengi kutokumfahamu zaidi ya watu wa pale mjini.
Taarifa hizi hazikuwa nzuri kwa mzee Komba na familia yake, sijui kwanini walijikuta wanaichukia baiskeli wanamchukia mzee Komba pia wanamchukia hata mke wa mzee Frank, hawakumbakiza kijana wao, hawakuacha kuwaombea mabaya kila kukicha, walitamani hata siku moja waamke wakute mzee huyu amefilisika na kubakia masikini zaidi yao, hakika maombi yao yalikuwa makubwa sana kiasi kwamba wangetumia kujiombea wao wenyewe ili wafanikiwe yangewasaidia sana.
“Mama Hilda hivi unadhani haya yanayotukuta kuhusu Hilda ni kawaida kweli?” aliuliza mzee Komba aliekuwa na mke wake wanatoka shambani, “mwenzio nilishajuwa mapema sana, tatizo letu huwa tuna tangaza mapema mafanikio yetu, tunasahau kuna watu wanatuonea vijicho” alisema mke wa mzee Komba, yaani mama Hilda, “inabidi na sisi tuhangaike haiwezekani kila mtoto anapo patana na mwenzie wanavurugana ghafla namna hii” alisema mzee Komba akiongea kwa sauti iliyojaa chuki na kuonyesha kuwa alikuwa katika maamuzi ya ukweli, “yaani baba Hilda, sio siri na nikimbaini anaefanya hivyo hakika nitamwambia mganga ampe pigo takatifu” alisema mama Hilda akionyesha kukamia pia, “sio akimbaini, kwani mpaka sasa hatumjui, hapa dawa ni kwenda kwa mganga na kumueleza kuwa amtungue tu” alisema mzee Komba aliekuwa ametangulia mbele mke wake aliebeba vijikuni akifatia kwa nyuma, “kwani wewe unamuhisi nani?” aliuliza mama Hilda kama vile anamtega mumewe, “kuna mwingine zaidi ya wale chuma ulete waliojaza ndondocha dukani” aliongea mzee Komba kwa sauti iliyojaa chuki, akimaanisha ni mzee Frank na familia yake, “hapo umepatia, mi jioni nitaenda kule kwa Mabudi akamkaange mtu!” alisema mama Hilda, akionyesha kuwa alipania kumchawia mzee Frank na familia yake.*****
Kikawaida siku ya ijumaa familia ya mzee Mahamud na wafanyakazi wake wote hutumia gari moja aina ya Toyota hiace kwenda msikitini, kuna wakati dereva anaweza kuwa mama Soraya, au Soraya au baba Soraya huku wengine wote pamoja na Laylah hukaa kama abiria wengine, yaani wale wafanyakazi wa ndani.
Naam leo ikiwa ni siku ya pekee, baada ya kupita miezi mingi sana pasipo kuhudhuria swala yoyote pamoja na familia hii, nae leo alikuwa mmoja kati ya watu waliokuwepo pale nyumbani wakijiandaa kuingia kwenye gari safari ya msikitini, huyu alikuwa ni Talib ambae muda wote alikuwa karibu na Laylah, akivizia kupata habari za safari yao ya kwenda shamba, maana ilikuwa kawaida kwa Soraya kwenda shamba mara baada ya kutoka msikitini, “vipi mtaenda shamba kweli?” aliuliza Talib wakiwa nje ya nyumba hii kubwa ya kifahari ya mzee, wanawasubiria wakina mzee Mahamud mke wake pamoja na Soraya, “leo hatuendi, tutakuwa hapa hapa mjini” alisema Laylah, ambae hakujuwa kuwa lengo la kuulizia kwa Talib halikuwa jema, maana tayari alisha andaa mpango wa hatari dhidi ya Soraya, “kwahiyo mutaenda lini?” aliuliza Talib, kwa sauti ya chini, “amesema tutaeda jumapili” alisema Laylah, na hapo wakakubaliana kuwa kama kweli wataenda jumapili basi Talib atamuagizia Laylah kitu fulani ambacho hakukitaja, “poa basi utanishtua nikupe hela” alisema Talib, wakiendelea kuwasubiri wengine waje ili waondoke.
Wakati mzee Mahamud anatoka ndani ndio muda ambao alisikia simu yake inaita, alipotazama akaona kuwa mpigaji alikuwa ni bwana Mahadhi, kwanza akamtazama mke wake ambae alikuwa anaongozana nae kutoka nje, “Mahadhi huyo anapiga simu” alisema Mahamud kwa sauti ya kuhitaji ushauri, “pokea msikilize anataka kusema nini, mimi nilitaka tumfumanie huko huko msikitini” alisema mama Soraya, ambao sasa walikuwa wametokea nje na kuwakuta wakina Talib wakiwa wana subiria kuingia kwenye gari………… ITAENDELEA
Nasubiria kitumbua cha soraya hapa mpka kieleweke😂
 
Back
Top Bottom