Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,863
- 10,347
Mim na mahiii wangu@Daudi1 kwenye kifo cha hawara tutatumia mbinu za kijasusi
Mani Fabian na Tumwesige senior hamtotupa
Mim na mahiii wangu@Daudi1 kwenye kifo cha hawara tutatumia mbinu za kijasusi
Mani Fabian na Tumwesige senior hamtotupa
Mahii mwenyewe hamsikilizi MY wakeDaudi1 Mwenyekiti njoo umusikie Mani Fabian
😭😭😭😭bora ningekua upande wa kijana mpole Mani FabianMahii mwenyewe hamsikilizi MY wake
Mkuu kwanza kabisa Asante sana Kwa simulizi hii jadidi,ukweli huna deniTEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA TISINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA TISINI “jamani jamani, hebu njooni muone huyu mtu, kweli unaweza kufanya hivi kwa ndugu yako” alilalamika mama Soraya, huku wakiwaita wakina mzee Frank nao wasogee, nao wakavutika pamoja Higgno na wakina Soraya, “huyu ni muuwaji mkubwa, na hiyo ya mwisho aliwaambia kuhusu funguo si munaona” alisema Soraya kwa sauti iliyojawa na msisitizo, “kaka atanisamehe kwahili, huyu namfunga akaozee jela maisha yake yote” alisema mama Soraya huku wanainuwa nyuso zao kumtazama Talib pale alipokuwa amesimama, hakika mtu sio panzia ya kwamba unalifunua unavyotaka………ENDELEA………
Maana wote walishangaa kuona pale alipokuwa amesimama Talib muda wote hakuwepo kabisa, ile wana tazama mlangoni ndio kwanza wakamuona Talib akimalizikia mlangoni, na kwa kasi ya ajabu akaokota viatu ambavyo sidhani kama vilikuwa vya kwake, alichojali yeye ni viatu vya kiume kisha akatokomea upande wa getini, mlinzi mgeni ambae aliwekwa pale baada ya Ndolite kuwa hospital akishindwa kumzuia kijana huyu wa mwenye nyumba akimuacha toke nje, sekunde chache wakifuatia wakina mzee Mahamud nao wakija mbio, mlinzi mzuie huyo asikimbie” alipiga kelele Mahamud, ambae alionyesha hasira za wazi kabisa juu ya Talib, “ameshaondoka mzee, alisema mlinzi huku anatoka nje na kumtazama Talib ambae alimuona akiwa anamalizikia upande wa kulia, ambako jana alikimbilia Idd, yaani kule ambako wakina Soraya jana usiku walikuwa wameegesha gari “yuleeee, alipiga kelele mlinzi, huku akimtazama Talib ambae alikuwa anapandisha upande wa kushoto kuelekea upande wa mtini pub na kutokomea zake, hata wakina Mahamud walipofika pale hawakuweza kumuona tena, zaid wali weza kuliona gari la polisi likiingia pale nyumbani kwao, likitokea upande wa soko kuu yaani upande wa kushoto wa jumba lile la kifahari la bwana Mahamud na kusimama nje ya geti, akashuka polisi kiongozi mwenye nyota moja, ambae ni Joanes Kiwili na kuwa salimia wote, kisha akeleza shida yake, samahani bwana Mahamud kuna kijana unaishi nae hapa nyumbani kwako anaitwa Talib?” aliuliza Kiwili swali ambalo lilimshangaza hata Higgno, kwasababu Talib na Kiwili walikuwa darasa moja kipindi wanahitimu elimu yao ya kidato cha nne, “ndiyo tena ametoka sasa hivi hapa munge tokea huku mungekutana nae hapo” alisema mama Soraya kwa sauti iliyojaa jazba na chuki juu ya huyu mtoto wa kaka yake, “ok! wacha tumfukuzie, kama tutamkamata tuta wajulisha, ila kwa kifupi ni kwamba yeye ni mmoja wa wanaohusika walioshiriki kupanga mipango ya kuvamia hapa nyumbani kwako jana usiku, akishirikiana na wenzie saba, mmoja ni kijana Idd Mahadhi ambae tume mkamata muda mfupi uliopita, alifafanua Kiwili wakati anataka kuingia kwenye gari ili waelekee upande ule alioelekea Talib, “bwana Polisi, naomba ufanye juu chini umkamate huyo mshenzi na mumpige haswa, maana yeye ndie aliepanga mpango wa kumteka mwanangu Soraya week iliyopita, tena alikuwa anasisitiza wamuuwe kabisa, na mukimkamata munijulishe nije nimuone kwanza sura yake, maana nahisi sikuwahi kumtazama usoni huyu muuwaji” alisema mama Soraya, kwa sauti ambayo wakina Higgno na wazazi wake na wakina Soraya, waliitafsiri kama hasira ya hali ya juu, “usiwe na wasi wasi mama yangu lazima tutamnasa” alisema Kiwili, huku anaingia kwenye gari na dereva akaondoa kuelekea upande ule, “jamani sijawahi kuona mtu kama huyu, kweli bangi ni mbaya, yaani anapanga kabisa kumuuwa dada yake, tume mvumilia kwa mengi, tume msaidia mengi leo anataka kunilipa machungu yasio na kifani, hapana lazima aende jela, hata kama atashinda kesi nitatumia gharama yoyote ile aende jela” alisemam mama Soraya wakati wanarudi ndani****
Hilda alikaa kwa muda wa dakika kumi nzima pale chini, huku anasikia watu wakijadili kuhusu tukio la mzee Frank na mke wake kufundishwa gari na wale waschana, huku habari za chini chini zikianza kuenea kuwa mmoja wa wale waschana ni mchumba wa Higgno, tena alitajwa yule mwarabu, pia moja kati ya yale magari ni la bwana Frank, wapo waliong’amua kuwa gari lile jingine alilopanda Higgno na yule mscha wa kiarabu ni la binti wa Mahamud, ambae ilidaiwa ndie mchumba wa Higgno, habari hizi ziliuchanganya moyo wa Hilda na kuivuruga akili yake, ukweli aliumia sana ungesema Higgno aliwahi kuwa mpenzi wake, na kwamba Soraya ndie aliemnyang’anya “ndio maana aliamua kumuacha Tembele kwasababu alikuwa amepata mtoto wa kiarabu” hayo yalikuwa ni maneno ya baadhi ya watu ambao hawakuwa wanajuwa ukweli wa mambo kuhusu Higgno na Hilda, “wewe hujui kitu, Tembele hakuwahi kuwa demu wa Higgno, kuna yule jamaa anaekaa kwa Mahamud aliingilia kati na kumpa mimba” alisema mwingine na hapo mwingine akauliza kwa mshangao, “ni yule jamaa mvuta bangi” swali ambalo lilizidi kumuumiza Hilda ambae mpaka muda huo alianza kuona kijiji kichungu, “ndiyo bwana nime kumbuka, tena mzee Komba na mke wake walimchezea mchezo wa ndoa ya mkeka Higgno na wakafanikiwa, sema aliekuja Kuharibu ni tembele mwenyewe, alikuja na yule mvuta bangi wake nyumbani kwa mzee Frank tena usiku, hapo mzee Frank akamtimua Tembele” alisema mmoja huku na mwingine akadakia, “halafu mama yake jana amefumaniwa, dah! yaani ametembezwa uchi uchi, yaani kumbe Tembele amerithi kwa mama yake wote Malaya” kauli hii ndio kama ilimgutusha Hilda na kuigundua tabia yake kuwa ni adui ya jamii, “lakini si huwa munaponea kwa Tembele? halafu nasikia anatoa mpaka mgongo” alisema mmoja na wote wakacheka, na hapo Hilda akainua uso wake kuwatazama wale vijana, ambao ni kama hawa kuwa wamemuona, akawaona watatu kati yao walishawahi kumuingizia dudu, nao walishamfanyia kitendo hicho kinyume na maumbile ya kawaida ya kupeana dudu, “kweli bwana yaani kama mbele tu” alisema mmoja na wote wakacheka tena.
Kwa kifupi maongezi yale yalimuumiza sana Hilda ambae aliamua kugeuka na kurudi nyumbani kwao, huku njia nzima akiwaza ataiweka wapi sura yake na ataanzaje kuingia pale na kukaa na shangazi yake, ambae lazima angemsimanga kutwa nzima kwa kitendo cha kumtelekeza baba yake, “sijui mama atakuwa bado yupo kwenye ofisi ya mwenyekiti?” alijiuliza Hilda ambae baada ya kuwaza sana akapata wazo la kwenda kukaa kwa babu mabudi kwa siku kadhaa ili kijijini papoe kidogo.
Hilda alipofika nyumbani hakuweza kumkuta shangazi yake wala mwanae, akajuwa tayari shangazi yake ameenda Zahanati kumtazama mgonjwa, hivyo akafungua mlango ambao alikuwa anaufahamu vizuri na kuchukua alichokiona kinamfaa kama vile nguo za kubadilisha zikiwepo kanga na gauni mbili, pia na shuka yake chakavu, kisha akaondoka zake kuelekea upande wa kusini wa kijiji kwa lengo la kuikamata njia ya kuelekea linjumbwi pasipo kujuwa mama yake yupo wapi.*******
Baada ya kutoka kituo cha polisi Mahadhi alienda moja kwa moja kwa mwenyekiti wa baraza la wazee na kuweleza kuhusu tukio la uvamizi jana usiku nyumbani kwa Mahamud, akaeleza kila kitu kilivyo mtokea na gari likikutwa eneo la tukio ambalo kijana wake idd amehusika moja kwa moja na sasa anashikiriwa na jeshi la polisi pamoja na wenzake, huku yeye akihojiwa na kuachiwa kwa makubarliano ya kwamba ataitwa pale atakapohitajika, “naomba unisaidie kwenda kwa Mahamud ukaongee nae yaishe, ukiachilia kuwa yeye ndie mtendewa lakini pia ni mtu mkubwa sana, ambae anaweza kuwashawishi na haya mambo yakaisha, ukichukulia mmoja kati ya watu waliopanga mpango huo ni mpwa wake Talib” alisema Mahadhi akiwa anamaliza simulizi yake, “lakini bwana Mahadhi, ifikie wakati waache walipie kwa maovu yao, kwanini waliamua kupanga tukio baya kama hili na hauoni kama itadhihirika kuwa wewe na mwanao mulipanga mambo mengi sana mabaya kuhusu familia ya Mahamud, muache ajifunze kutokana na makosa yake”alisema Mwenyekiti, akionyesha wazi kuwa hakupendezwa na kile kilichofanywa na Idd na wenzake, “lakini mzee wangu, swala hili litanichafua mimi pia litatuchafuwa sote tuliowahi kukaa na kuongea na Mahamud” alisema Mahadhi, akijaribu kumshawishi mwenyekiti, ambae alionekana kuelewa alichoambiwa, “ok! baadae saa saba tuna kikao na Mahamud, tutaongea nae ajaribu kuongea na polisi, wafunike swala hili tuje kuliongea nyumbani” alisema Mwenyekiti na wakakubaliana wakutane saa saba kule msikitini.*********
Naam kitu ambacho Hilda alikuwa hakijui ni kwamba jana usiku mama yake alitoka ofisini kwa mwenyekiti wa kijiji na kwenda nyumbani kwao ambako aliambulia kipigo na kuamua kukimbia pale nyumbani akienda kulala kwenye majengo ya shule ya msingi Luhila juu, na kuondoka pale mapema sana akielekea Linjumbwi, ambako aliamini kuwa ndio sehemu salama kwake kwa kipindi hiki kigumu kinacho mkabili, na huko Linjumbwi sio sehemu nyingine zaidi ya kwa babu Mabudi, akiwa tayari kukabiliana na chochote kitakacho mkuta kule Linjumbwi, maana alijuwa fika kuwa kwa siku atakazo kaa kule kwa Mabudi kitacho mtokea ni zaidi ya hatari kama ile siku moja tu alishindwa kutembea sasa kama akikaa siku zaidi ya moja itakuwaje, “sina la kufanya nitavumilia tu!” alisema mama Hilda ambae alitumia masaa matatu kufika nyumbani kwa Mabudi, ambako alipokelewa kwa furaha na matabasamu ya uchu na kwakuonyesha kwamba mabudu alikuwa anaisubiri bahati hii kwa hamu, ukweli hakumpa nafasi ya kupumzika mama huyu, mara moja akamchemshia viazi kisha akaingia porini kuandaa dawa yake ile ile tamu tamu, ambayo mama Hilda hupenda kuiita Juice.******
Upande wa pili nyumbani kwa Mahamud, licha ya wanafamilia walio ungana kujadili kwa kina juu ya tukio la kina Talib, pia walipanga kuhusu swala la ujenzi wa nyumba na maduka makubwa ya bwana Frank uanze mara moja, pia walijadili swala la dini kwa Soraya na Higgno, huku Soraya akiwa wa kwanza kusema kuwa yupo tayari kwa maamuzi ya Higgno, na Higgno akaomba kwa wazazi wake na kwa wazazi wa Soraya kuwa apewe muda na mwalimu ili aweze kumfundisha kuhusu dini ya kiislam, na hapo ndipo Mahamud akapiga simu kwa mwenyekiti na kumueleza kuwa asingeweza kwenda kwenye kikao walicho panga kutokana na mambo yaliyomtokea jana usiku, huku akiwaeleza kuwa kuhusu dini kijana Higgno alishaamua kubadili dini na kuwa muislam.*****
Talib baada ya kukimbia nyumbani kwa mjomba wake hakufika mbali kabla hajakamatwa na polisi na kupelekwa kituoni akifungiwa na wenzake wakina Idd, akikabiliwa na kesi ya kupanga njama za kuvamia kwa mjomba wake, pia kwa kosa la kupanga na kumteka Soraya.*****
Hilda alifika nyumbani kwa Mabudi akipokelewa na miguno ya mahaba na alipochungulia ndani ya kibanda akakutana na mziki mzito ambao mama yake alikuwa anapewa na kibabu kile chenye meno kama muhindi uliokosa mbolea, lakini hakuwa na ujanja na yeye alisubiri mpaka walipo maliza na kuingia ndani, ambapo alipokelewa kama alivyo pokelewa mama yake na kukubali maisha ya kuwa mke mwenzake na mama yake, huku wakigundua mbinu mpya ya kuweza kumkabili mzee Mabudi ambayo ni kufanya mapenzi kwa pamoja, iliwalazimu kwasababu hawakuwa na sehemu ya kwenda, miezi miwili mbele walijigunduwa kuwa walikuwa wana ujauzito.******
Miezi mitatu mbele Talibu na wenzake walihukumiwa kwenda jela miaka sita kila mmoja, huku mzee Komba akitoka zahanati akiwa amepooza mkono mmoja na mguu mmoja, matibabu yake yalisimamiwa na kugharamiwa na mzee Frank, ambae kwa sasa alikuwa ni mmoja wa watu wenye fedha upande wa songea mashariki, aliendelea kuwa mkarimu na msikivu kwa kila mtu, alimsaidia mwenyeshida na alijitolea kwa wenye uhitaji, pia alikuwa anamsaidia kwa hali na mali mzee Komba ambae alimtafutia mschana wa kazi na kuhakikisha kuwa anampatia kila kitu kama mahitaji yake ya kila siku pamoja na kumlipa mschana wa kazi, pia alimchukuwa mjukuu wa mzee Komba na kukaa nae nyumbani kwake, japo taarifa hizi zilikuwa ni maumivu makubwa sana kwa mama Hilda na binti yake Hilda, ambae aliwafanya vijana wa walaumu sana kuondoka kwake pale kijijini, maana ni kama mwenye nyumba alilishia ng’ombe Tembele lote la uwani, ambalo lilikuwa lina wasaidia sana vijana.
Mwezi mmoja mbele yaani mwezi wanne toka mwezi wa tukio, Higgno na Soraya walifunga ndoa kwenye msikiti wa mkoa na sasa wanaendelea kusimamia kampuni mpya ya mabasi yaendayo mikoani, ambayo Mahamud alimfungulia mwanae Soraya, aliwajengea jumba moja kubwa sana kule Mahilo kwenye eneo la kina Higgno, na sasa Soraya alikuwa mjamzito na wao ndio walikuwa wanasaidia malezi ya mtoto wa Hilda aliezaa na Talib, ambae alikuwa amechukuliwa na mzee Frank kwaajili ya kulelewa.
Hakika maisha yalikuwa mazuri kwa Higgno na Soraya ambao walipendana sana na waliishi kwa raha mustarehe, hapo ndio mwisho wa hadithi hii ya TEMBELE LA UWANI pengine kuna mambo nimeyapunguza kutokana na kazi nyingi ambazo zinasubiri na kuondoa ladha ya muwa ambayo hupatikana kwenye fundo, asanteni sana kwa kuwa pamoja na mimi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii, najua mapungufu hayakosekani kwa maoni ushauri na mapendekezo basi unaweza kunifahamisha hapa au kwa
WhatsApp number 0743 632 247
Na yeyote anaetaka kutoa sapoti yake kwa mwandishi kwa chochote alichojaaliwa basi number ni 0743 632 247 mchango wako utampa motisha ya kuandika simulizi mzuri zaid na kugharamia vifaa, Ahsante sana wote ambao tulikuwa pamoja mwanzo hadi mwisho, kuisha kwa simulizi hii ndio kuanza kwa simulizi nyingie hapa hapa Jamii Forums, Kigongo kinakwenda kwa jina la KIFO CHA HAWARA (mkono wa jini)
MUWE NA USIKU MWEMA
Haya jamaa ila musimsahau mtunzi kwa chochote kituMkuu kwanza kabisa Asante sana Kwa simulizi hii jadidi,ukweli huna deni
Kama umewahi kupitia INSIDER MAN nayo si haba.Eti wadau kuna nyuzi gani tena kali inaendelea hapa JF, Tupeane link
Hongera sana Abou Shaymaa kwa utunzi wako huu. Mimi sii mtu wa story lkn hii ilikamataTEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA TISINI NA MOJA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA TISINI “jamani jamani, hebu njooni muone huyu mtu, kweli unaweza kufanya hivi kwa ndugu yako” alilalamika mama Soraya, huku wakiwaita wakina mzee Frank nao wasogee, nao wakavutika pamoja Higgno na wakina Soraya, “huyu ni muuwaji mkubwa, na hiyo ya mwisho aliwaambia kuhusu funguo si munaona” alisema Soraya kwa sauti iliyojawa na msisitizo, “kaka atanisamehe kwahili, huyu namfunga akaozee jela maisha yake yote” alisema mama Soraya huku wanainuwa nyuso zao kumtazama Talib pale alipokuwa amesimama, hakika mtu sio panzia ya kwamba unalifunua unavyotaka………ENDELEA………
Maana wote walishangaa kuona pale alipokuwa amesimama Talib muda wote hakuwepo kabisa, ile wana tazama mlangoni ndio kwanza wakamuona Talib akimalizikia mlangoni, na kwa kasi ya ajabu akaokota viatu ambavyo sidhani kama vilikuwa vya kwake, alichojali yeye ni viatu vya kiume kisha akatokomea upande wa getini, mlinzi mgeni ambae aliwekwa pale baada ya Ndolite kuwa hospital akishindwa kumzuia kijana huyu wa mwenye nyumba akimuacha toke nje, sekunde chache wakifuatia wakina mzee Mahamud nao wakija mbio, mlinzi mzuie huyo asikimbie” alipiga kelele Mahamud, ambae alionyesha hasira za wazi kabisa juu ya Talib, “ameshaondoka mzee, alisema mlinzi huku anatoka nje na kumtazama Talib ambae alimuona akiwa anamalizikia upande wa kulia, ambako jana alikimbilia Idd, yaani kule ambako wakina Soraya jana usiku walikuwa wameegesha gari “yuleeee, alipiga kelele mlinzi, huku akimtazama Talib ambae alikuwa anapandisha upande wa kushoto kuelekea upande wa mtini pub na kutokomea zake, hata wakina Mahamud walipofika pale hawakuweza kumuona tena, zaid wali weza kuliona gari la polisi likiingia pale nyumbani kwao, likitokea upande wa soko kuu yaani upande wa kushoto wa jumba lile la kifahari la bwana Mahamud na kusimama nje ya geti, akashuka polisi kiongozi mwenye nyota moja, ambae ni Joanes Kiwili na kuwa salimia wote, kisha akeleza shida yake, samahani bwana Mahamud kuna kijana unaishi nae hapa nyumbani kwako anaitwa Talib?” aliuliza Kiwili swali ambalo lilimshangaza hata Higgno, kwasababu Talib na Kiwili walikuwa darasa moja kipindi wanahitimu elimu yao ya kidato cha nne, “ndiyo tena ametoka sasa hivi hapa munge tokea huku mungekutana nae hapo” alisema mama Soraya kwa sauti iliyojaa jazba na chuki juu ya huyu mtoto wa kaka yake, “ok! wacha tumfukuzie, kama tutamkamata tuta wajulisha, ila kwa kifupi ni kwamba yeye ni mmoja wa wanaohusika walioshiriki kupanga mipango ya kuvamia hapa nyumbani kwako jana usiku, akishirikiana na wenzie saba, mmoja ni kijana Idd Mahadhi ambae tume mkamata muda mfupi uliopita, alifafanua Kiwili wakati anataka kuingia kwenye gari ili waelekee upande ule alioelekea Talib, “bwana Polisi, naomba ufanye juu chini umkamate huyo mshenzi na mumpige haswa, maana yeye ndie aliepanga mpango wa kumteka mwanangu Soraya week iliyopita, tena alikuwa anasisitiza wamuuwe kabisa, na mukimkamata munijulishe nije nimuone kwanza sura yake, maana nahisi sikuwahi kumtazama usoni huyu muuwaji” alisema mama Soraya, kwa sauti ambayo wakina Higgno na wazazi wake na wakina Soraya, waliitafsiri kama hasira ya hali ya juu, “usiwe na wasi wasi mama yangu lazima tutamnasa” alisema Kiwili, huku anaingia kwenye gari na dereva akaondoa kuelekea upande ule, “jamani sijawahi kuona mtu kama huyu, kweli bangi ni mbaya, yaani anapanga kabisa kumuuwa dada yake, tume mvumilia kwa mengi, tume msaidia mengi leo anataka kunilipa machungu yasio na kifani, hapana lazima aende jela, hata kama atashinda kesi nitatumia gharama yoyote ile aende jela” alisemam mama Soraya wakati wanarudi ndani****
Hilda alikaa kwa muda wa dakika kumi nzima pale chini, huku anasikia watu wakijadili kuhusu tukio la mzee Frank na mke wake kufundishwa gari na wale waschana, huku habari za chini chini zikianza kuenea kuwa mmoja wa wale waschana ni mchumba wa Higgno, tena alitajwa yule mwarabu, pia moja kati ya yale magari ni la bwana Frank, wapo waliong’amua kuwa gari lile jingine alilopanda Higgno na yule mscha wa kiarabu ni la binti wa Mahamud, ambae ilidaiwa ndie mchumba wa Higgno, habari hizi ziliuchanganya moyo wa Hilda na kuivuruga akili yake, ukweli aliumia sana ungesema Higgno aliwahi kuwa mpenzi wake, na kwamba Soraya ndie aliemnyang’anya “ndio maana aliamua kumuacha Tembele kwasababu alikuwa amepata mtoto wa kiarabu” hayo yalikuwa ni maneno ya baadhi ya watu ambao hawakuwa wanajuwa ukweli wa mambo kuhusu Higgno na Hilda, “wewe hujui kitu, Tembele hakuwahi kuwa demu wa Higgno, kuna yule jamaa anaekaa kwa Mahamud aliingilia kati na kumpa mimba” alisema mwingine na hapo mwingine akauliza kwa mshangao, “ni yule jamaa mvuta bangi” swali ambalo lilizidi kumuumiza Hilda ambae mpaka muda huo alianza kuona kijiji kichungu, “ndiyo bwana nime kumbuka, tena mzee Komba na mke wake walimchezea mchezo wa ndoa ya mkeka Higgno na wakafanikiwa, sema aliekuja Kuharibu ni tembele mwenyewe, alikuja na yule mvuta bangi wake nyumbani kwa mzee Frank tena usiku, hapo mzee Frank akamtimua Tembele” alisema mmoja huku na mwingine akadakia, “halafu mama yake jana amefumaniwa, dah! yaani ametembezwa uchi uchi, yaani kumbe Tembele amerithi kwa mama yake wote Malaya” kauli hii ndio kama ilimgutusha Hilda na kuigundua tabia yake kuwa ni adui ya jamii, “lakini si huwa munaponea kwa Tembele? halafu nasikia anatoa mpaka mgongo” alisema mmoja na wote wakacheka, na hapo Hilda akainua uso wake kuwatazama wale vijana, ambao ni kama hawa kuwa wamemuona, akawaona watatu kati yao walishawahi kumuingizia dudu, nao walishamfanyia kitendo hicho kinyume na maumbile ya kawaida ya kupeana dudu, “kweli bwana yaani kama mbele tu” alisema mmoja na wote wakacheka tena.
Kwa kifupi maongezi yale yalimuumiza sana Hilda ambae aliamua kugeuka na kurudi nyumbani kwao, huku njia nzima akiwaza ataiweka wapi sura yake na ataanzaje kuingia pale na kukaa na shangazi yake, ambae lazima angemsimanga kutwa nzima kwa kitendo cha kumtelekeza baba yake, “sijui mama atakuwa bado yupo kwenye ofisi ya mwenyekiti?” alijiuliza Hilda ambae baada ya kuwaza sana akapata wazo la kwenda kukaa kwa babu mabudi kwa siku kadhaa ili kijijini papoe kidogo.
Hilda alipofika nyumbani hakuweza kumkuta shangazi yake wala mwanae, akajuwa tayari shangazi yake ameenda Zahanati kumtazama mgonjwa, hivyo akafungua mlango ambao alikuwa anaufahamu vizuri na kuchukua alichokiona kinamfaa kama vile nguo za kubadilisha zikiwepo kanga na gauni mbili, pia na shuka yake chakavu, kisha akaondoka zake kuelekea upande wa kusini wa kijiji kwa lengo la kuikamata njia ya kuelekea linjumbwi pasipo kujuwa mama yake yupo wapi.*******
Baada ya kutoka kituo cha polisi Mahadhi alienda moja kwa moja kwa mwenyekiti wa baraza la wazee na kuweleza kuhusu tukio la uvamizi jana usiku nyumbani kwa Mahamud, akaeleza kila kitu kilivyo mtokea na gari likikutwa eneo la tukio ambalo kijana wake idd amehusika moja kwa moja na sasa anashikiriwa na jeshi la polisi pamoja na wenzake, huku yeye akihojiwa na kuachiwa kwa makubarliano ya kwamba ataitwa pale atakapohitajika, “naomba unisaidie kwenda kwa Mahamud ukaongee nae yaishe, ukiachilia kuwa yeye ndie mtendewa lakini pia ni mtu mkubwa sana, ambae anaweza kuwashawishi na haya mambo yakaisha, ukichukulia mmoja kati ya watu waliopanga mpango huo ni mpwa wake Talib” alisema Mahadhi akiwa anamaliza simulizi yake, “lakini bwana Mahadhi, ifikie wakati waache walipie kwa maovu yao, kwanini waliamua kupanga tukio baya kama hili na hauoni kama itadhihirika kuwa wewe na mwanao mulipanga mambo mengi sana mabaya kuhusu familia ya Mahamud, muache ajifunze kutokana na makosa yake”alisema Mwenyekiti, akionyesha wazi kuwa hakupendezwa na kile kilichofanywa na Idd na wenzake, “lakini mzee wangu, swala hili litanichafua mimi pia litatuchafuwa sote tuliowahi kukaa na kuongea na Mahamud” alisema Mahadhi, akijaribu kumshawishi mwenyekiti, ambae alionekana kuelewa alichoambiwa, “ok! baadae saa saba tuna kikao na Mahamud, tutaongea nae ajaribu kuongea na polisi, wafunike swala hili tuje kuliongea nyumbani” alisema Mwenyekiti na wakakubaliana wakutane saa saba kule msikitini.*********
Naam kitu ambacho Hilda alikuwa hakijui ni kwamba jana usiku mama yake alitoka ofisini kwa mwenyekiti wa kijiji na kwenda nyumbani kwao ambako aliambulia kipigo na kuamua kukimbia pale nyumbani akienda kulala kwenye majengo ya shule ya msingi Luhila juu, na kuondoka pale mapema sana akielekea Linjumbwi, ambako aliamini kuwa ndio sehemu salama kwake kwa kipindi hiki kigumu kinacho mkabili, na huko Linjumbwi sio sehemu nyingine zaidi ya kwa babu Mabudi, akiwa tayari kukabiliana na chochote kitakacho mkuta kule Linjumbwi, maana alijuwa fika kuwa kwa siku atakazo kaa kule kwa Mabudi kitacho mtokea ni zaidi ya hatari kama ile siku moja tu alishindwa kutembea sasa kama akikaa siku zaidi ya moja itakuwaje, “sina la kufanya nitavumilia tu!” alisema mama Hilda ambae alitumia masaa matatu kufika nyumbani kwa Mabudi, ambako alipokelewa kwa furaha na matabasamu ya uchu na kwakuonyesha kwamba mabudu alikuwa anaisubiri bahati hii kwa hamu, ukweli hakumpa nafasi ya kupumzika mama huyu, mara moja akamchemshia viazi kisha akaingia porini kuandaa dawa yake ile ile tamu tamu, ambayo mama Hilda hupenda kuiita Juice.******
Upande wa pili nyumbani kwa Mahamud, licha ya wanafamilia walio ungana kujadili kwa kina juu ya tukio la kina Talib, pia walipanga kuhusu swala la ujenzi wa nyumba na maduka makubwa ya bwana Frank uanze mara moja, pia walijadili swala la dini kwa Soraya na Higgno, huku Soraya akiwa wa kwanza kusema kuwa yupo tayari kwa maamuzi ya Higgno, na Higgno akaomba kwa wazazi wake na kwa wazazi wa Soraya kuwa apewe muda na mwalimu ili aweze kumfundisha kuhusu dini ya kiislam, na hapo ndipo Mahamud akapiga simu kwa mwenyekiti na kumueleza kuwa asingeweza kwenda kwenye kikao walicho panga kutokana na mambo yaliyomtokea jana usiku, huku akiwaeleza kuwa kuhusu dini kijana Higgno alishaamua kubadili dini na kuwa muislam.*****
Talib baada ya kukimbia nyumbani kwa mjomba wake hakufika mbali kabla hajakamatwa na polisi na kupelekwa kituoni akifungiwa na wenzake wakina Idd, akikabiliwa na kesi ya kupanga njama za kuvamia kwa mjomba wake, pia kwa kosa la kupanga na kumteka Soraya.*****
Hilda alifika nyumbani kwa Mabudi akipokelewa na miguno ya mahaba na alipochungulia ndani ya kibanda akakutana na mziki mzito ambao mama yake alikuwa anapewa na kibabu kile chenye meno kama muhindi uliokosa mbolea, lakini hakuwa na ujanja na yeye alisubiri mpaka walipo maliza na kuingia ndani, ambapo alipokelewa kama alivyo pokelewa mama yake na kukubali maisha ya kuwa mke mwenzake na mama yake, huku wakigundua mbinu mpya ya kuweza kumkabili mzee Mabudi ambayo ni kufanya mapenzi kwa pamoja, iliwalazimu kwasababu hawakuwa na sehemu ya kwenda, miezi miwili mbele walijigunduwa kuwa walikuwa wana ujauzito.******
Miezi mitatu mbele Talibu na wenzake walihukumiwa kwenda jela miaka sita kila mmoja, huku mzee Komba akitoka zahanati akiwa amepooza mkono mmoja na mguu mmoja, matibabu yake yalisimamiwa na kugharamiwa na mzee Frank, ambae kwa sasa alikuwa ni mmoja wa watu wenye fedha upande wa songea mashariki, aliendelea kuwa mkarimu na msikivu kwa kila mtu, alimsaidia mwenyeshida na alijitolea kwa wenye uhitaji, pia alikuwa anamsaidia kwa hali na mali mzee Komba ambae alimtafutia mschana wa kazi na kuhakikisha kuwa anampatia kila kitu kama mahitaji yake ya kila siku pamoja na kumlipa mschana wa kazi, pia alimchukuwa mjukuu wa mzee Komba na kukaa nae nyumbani kwake, japo taarifa hizi zilikuwa ni maumivu makubwa sana kwa mama Hilda na binti yake Hilda, ambae aliwafanya vijana wa walaumu sana kuondoka kwake pale kijijini, maana ni kama mwenye nyumba alilishia ng’ombe Tembele lote la uwani, ambalo lilikuwa lina wasaidia sana vijana.
Mwezi mmoja mbele yaani mwezi wanne toka mwezi wa tukio, Higgno na Soraya walifunga ndoa kwenye msikiti wa mkoa na sasa wanaendelea kusimamia kampuni mpya ya mabasi yaendayo mikoani, ambayo Mahamud alimfungulia mwanae Soraya, aliwajengea jumba moja kubwa sana kule Mahilo kwenye eneo la kina Higgno, na sasa Soraya alikuwa mjamzito na wao ndio walikuwa wanasaidia malezi ya mtoto wa Hilda aliezaa na Talib, ambae alikuwa amechukuliwa na mzee Frank kwaajili ya kulelewa.
Hakika maisha yalikuwa mazuri kwa Higgno na Soraya ambao walipendana sana na waliishi kwa raha mustarehe, hapo ndio mwisho wa hadithi hii ya TEMBELE LA UWANI pengine kuna mambo nimeyapunguza kutokana na kazi nyingi ambazo zinasubiri na kuondoa ladha ya muwa ambayo hupatikana kwenye fundo, asanteni sana kwa kuwa pamoja na mimi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii, najua mapungufu hayakosekani kwa maoni ushauri na mapendekezo basi unaweza kunifahamisha hapa au kwa
WhatsApp number 0743 632 247
Na yeyote anaetaka kutoa sapoti yake kwa mwandishi kwa chochote alichojaaliwa basi number ni 0743 632 247 mchango wako utampa motisha ya kuandika simulizi mzuri zaid na kugharamia vifaa, Ahsante sana wote ambao tulikuwa pamoja mwanzo hadi mwisho, kuisha kwa simulizi hii ndio kuanza kwa simulizi nyingie hapa hapa Jamii Forums, Kigongo kinakwenda kwa jina la KIFO CHA HAWARA (mkono wa jini)
MUWE NA USIKU MWEMA
Duh! Unaijua juice ya mzee mabudi wewe na mzizi wake?Naona Watu mnatusema sana Team Mzee Komba, sikieni sasa hapo Kitandani hatukai maisha wazee lazima tuamke tumlipizie yule Sangoma.
Ahsant nawe pia, jiandaeni kwa simuliz nyngneshukran sana Abou,ubarikiwe mno
Na Sisi tuna mizizi yetu.Duh! Unaijua juice ya mzee mabudi wewe na mzizi wake?
Ushajulikana hatakusahauAbou Shaymaa usisahau kun tag kwenye KIFO CHA HAWARA
🤣🤣🤣akinisahau utanihadithia wwUshajulikana hatakusahau