Mahimbo Jr
Member
- Apr 2, 2015
- 51
- 43
Ila kusema kweli Team Mzee Komba hatujaridhishwa na mwisho wa hii hadithi, ni kwanini Mzee kabudi atudhalilishe kiasi cha kumpa Mimba mwanetu na Mke wetu?
Mani Fabian njoo usikie uku😅😅😅Ila kusema kweli Team Mzee Komba hatujaridhishwa na mwisho wa hii hadithi, ni kwanini Mzee kabudi atudhalilishe kiasi cha kumpa Mimba mwanetu na Mke wetu?
Miana hao (timu mabudi na timu komba) walete msikitini tuwasomee Dua roho ya visasi iwatoke. mwenyekiti wa baraza nimesemaMani Fabian njoo usikie uku
😅 Musijali pia nitaleta link humuAbou Shaymaa usisahau kun tag kwenye KIFO CHA HAWARA
Nyie wawili majin yenu yana nichanganyaga sana🤣🤣🤣akinisahau utanihadithia ww
Yule Mzee kwa alichotufanyia hakuna Sheikh wala Mchungaji yeyote yule anayeweza kufanya Roho yetu ya kisasi dhidi ya Mzee kabudi ife.Maina hao (timu mabudi na timu komba) walete msikitini tuwasomee Dua roho ya visasi iwatoke. mwenyekiti wa baraza nimesema
Inatakiwa kusamehe ili kuishi kwa amaniYule Mzee kwa alichotufanyia hakuna Sheikh wala Mchungaji yeyote yule anayeweza kufanya Roho yetu ya kisasi dhidi ya Mzee kabudi ife.
miana na la nani?Nyie wawili majin yenu yana nichanganyaga sana
Inatakiwa kusamehe ili kuishi kwa am
Uzuri mwenye jina lake hapa mwishoni kashaijua haki na kukiri kilichosabisha madhara kwake niyeye mwenyeweHiyo Amani sisi Team Mzee Komba hatuitaki kaka, hapa kwetu mbwai mbwai tu.
Uzuri mwenye jina lake hapa mwishoni kashaijua haki na kukiri kilichosabisha madhara kwake niyeye mwenyewe
Komando njogopa kashahama na kijiji baada ya kufumaniwaHujawahi kusikia Peer pressure kaka
Mani Fabianmiana na la nani?
😅😅😅Nyie wawili majin yenu yana nichanganyaga sana
Kijana mpole aka Mani Fabianmiana na la nani?
🤣🤣🤣mwamba njogopa mzee wakimoko chaliKomando njogopa kashahama na kijiji baada ya kufumaniwa
ana wivu mke kujipatia Soraya wangu kah! achana nao haoDaudi1 Mwenyekiti njoo umusikie Mani Fabian 🤣🤣🤣
weee muache mahi wanguMahii mwenyewe hamsikilizi MY wake
Timu Komba wivu ndo umewafikisha pabayaIla kusema kweli Team Mzee Komba hatujaridhishwa na mwisho wa hii hadithi, ni kwanini Mzee kabudi atudhalilishe kiasi cha kumpa Mimba mwanetu na Mke wetu?