SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Daudi1 Kwanza ulinitelekeza kwenye ofisi ya mwenyekiti
Umeonaeeh! unajua alipoenda? huko akikoenda, kwenda kutengeneza mazingira ni uongo, inasemekana alitaka kuiba ng`ombe wenyenayo wakamuona naye akachoropoka na kukimbilia kijiji cha jilani sasa anaishi na komando njogopa
 
Umeonaeeh! unajua alipoenda? huko akikoenda, kwenda kutengeneza mazingira ni uongo, inasemekana alitaka kuiba ng`ombe wenyenayo wakamuona naye akachoropoka na kukimbilia kijiji cha jilani sasa anaishi na komando njogopa
Aiseeee anani dhalilisha mm jmn kheee bora ata asirudi kwanza akae uko uko
 
abuu shaymaa hadithi zake zimekaa vizuri sana na haombi hela.
e bana hapa mchango ukitaka weka hapo tukupe tuletee viroja tu sio yule bwege episode moja huku anaomba hela sana
 
Back
Top Bottom