Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Pamoja sana mkuu shunie nimefaidi vingi humu kwenye hii stori ,,, AsanteImekwisha tafuta usinisaliti Juliet mpya
Shunie asee nimekuvulia kofia mkuu. Sijawahi kuona uzi wa simuliz humu jf af akakosekana Shunie aisee hahahahaMbona sijawahi kukuona huku jamani
Nilikuwa sijaangalia vizur lkn nilipoendelea kukodoa macho,hilo pia likasababisha niuboreshe mshangao wanguMbona hushangai mm ndio niliyeleta hiyo simulizi mkuu uzi wangu huu