



Acha umbea basi..Ndiwoooo
Au wewe umemchoka
Naanzaje kwa mfanoNdiwoooo
Au wewe umemchoka
Duh!Kufa mkuu hii story ina arosto kama huwezi kuvumilia basi
Nimemuona ndg yangu nampenda mm hivyohivyo
Ewaaaaa hili sasa ndo neno ndugu yangu,mjue tu mimi nawapenda sanaNaanzaje kwa mfano
Asinichoshe kabisa toka mwanzo nilisema hii story ninapoitoa haijaisha tuvumiliane kukiwa na arosto ya apa na pale
nakupendaMfyuuuuu