Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 4,650
- 18,937
- Thread starter
-
- #601
Usijali mambo mazuri yanakuja,daaah imeisha cjui tutaamia wap sasa
Safi mkuu Nina ndgu yangu hapo Yuko Arusha anitwa engineer Sunday yey ndie alikuwa msimamiz wa hyo Barbara ya njia nne hapo Arusha je wawez kumfahamuNi ukweli usiopingika
hongera kwa utabiri.
Ukianza naomba unitag mkuu engineerUsijali mambo mazuri yanakuja,
Mapokezi ya simulizi hii yamenifanya nione naweza kufanya kitu.
Hivyo ipo simulizi ya kufikirika inapikwa.
Ahsante Sana, kwanza natumia I'D fake hivyo nisingependa kuainisha baadhi ya faragha za watu kama ambavyo mimi mwenyewe sipendi.Safi mkuu Nina ndgu yangu hapo Yuko Arusha anitwa engineer Sunday yey ndie alikuwa msimamiz wa hyo Barbara ya njia nne hapo Arusha je wawez kumfahamu
Inaandaliwa itachukua muda ili iwe kwenye viwango vya kisasa.Ukianza naomba unitag mkuu engineer
Nipo kijiweni nasubiri uzi wa History ya Maisha Yako babukijana "Story of My Life"Safi sana,maana hiyo mikasa mi mwenyewe huwa nikifkiria hapa nilipo aisee ni Mungu tu.
Maana nikisimulia ni matukio bandika bandua toka Baba amefariki niko 11 mpaka leo.
Duuuh umri wangu na matukio haviendani.nafukuzia 50 ila ni km nimeishi miaka 90+ kwa matukio.
Nashkuru Mungu aisee Uhai haninyanganyi.
Ni km wewe tu napigwa matukio mwisho baada ya kulia na kusota sana napata upenyo natoboa.
Moyo wa shukrani big up mkuuHonorable Jack Daniel Daniel ,kweli niseme umeandika vyema kabisa uhalisia wenye funzo katika maisha,hii itasaidia wengi kujifunza namna ya kuishi na watu hasa Hawa wanawake,pia kingine story Ina ujumbe wa kutosha yote ayo m nimejifunza kutokata tamaa katika maisha+ kuchuja mawazo mbalimbali kabla ya utelekezaji.
#big up sana Kwa kutumia muda wako kuburudisha na kuelimisha jamii.
Mkuu,i wish siku nitaandika kabisa ipo kwenye to do list.Nipo kijiweni nasubiri uzi wa History ya Maisha Yako babukijana "Story of My Life"
Kwa hayo macho yako kwenye iyo avater yako nimeyapenda sana,basi wacha nimpokelee hiyo shukran huyu muhashimiwaMkuu iko poa, shukran sana.
Huyu sande nampataSafi mkuu Nina ndgu yangu hapo Yuko Arusha anitwa engineer Sunday yey ndie alikuwa msimamiz wa hyo Barbara ya njia nne hapo Arusha je wawez kumfahamu
Hahahahaaaa,hata Mimi niliwaza hivyo.Wee jamaaa utakuwa unafanya Kaz tanroad tu hkn namna
Kwa kweli sijui tuhamie kwenye simulizi ipi,maana nyingi hazifiki mwishodaaah imeisha cjui tutaamia wap sasa
Tabu juu ya tabu!Kwa kweli sijui tuhamie kwenye simulizi ipi,maana nyingi hazifiki mwisho
Samahani mkuu, kuna sehemu ulisema hii story siyo yako, je ni kweli ay ni wenge langu ama nimechanganya madawa?Tangu mwaka 2013 hadi sasa
Copy hiyo sehemu niliyosema hivyo iweke hapaSamahani mkuu, kuna sehemu ulisema hii story siyo yako, je ni kweli ay ni wenge langu ama nimechanganya madawa?
Muwe mnakunywa supu kabla ya kusomaSamahani mkuu, kuna sehemu ulisema hii story siyo yako, je ni kweli ay ni wenge langu ama nimechanganya madawa?
hahahahaaKwa hayo macho yako kwenye iyo avater yako nimeyapenda sana,basi wacha nimpokelee hiyo shukran huyu muhashimiwa
Powa moneytalk asante kwa shukran yako