Simulizi: Mimi na Boss Wangu

Simulizi: Mimi na Boss Wangu

Safi sana,maana hiyo mikasa mi mwenyewe huwa nikifkiria hapa nilipo aisee ni Mungu tu.
Maana nikisimulia ni matukio bandika bandua toka Baba amefariki niko 11 mpaka leo.
Duuuh umri wangu na matukio haviendani.nafukuzia 50 ila ni km nimeishi miaka 90+ kwa matukio.
Nashkuru Mungu aisee Uhai haninyanganyi.
Ni km wewe tu napigwa matukio mwisho baada ya kulia na kusota sana napata upenyo natoboa.
Nipo kijiweni nasubiri uzi wa History ya Maisha Yako babukijana "Story of My Life"
 
Honorable Jack Daniel Daniel ,kweli niseme umeandika vyema kabisa uhalisia wenye funzo katika maisha,hii itasaidia wengi kujifunza namna ya kuishi na watu hasa Hawa wanawake,pia kingine story Ina ujumbe wa kutosha yote ayo m nimejifunza kutokata tamaa katika maisha+ kuchuja mawazo mbalimbali kabla ya utelekezaji.

#big up sana Kwa kutumia muda wako kuburudisha na kuelimisha jamii.
 
Honorable Jack Daniel Daniel ,kweli niseme umeandika vyema kabisa uhalisia wenye funzo katika maisha,hii itasaidia wengi kujifunza namna ya kuishi na watu hasa Hawa wanawake,pia kingine story Ina ujumbe wa kutosha yote ayo m nimejifunza kutokata tamaa katika maisha+ kuchuja mawazo mbalimbali kabla ya utelekezaji.

#big up sana Kwa kutumia muda wako kuburudisha na kuelimisha jamii.
Moyo wa shukrani big up mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom