Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 4,055
- 16,903
- Thread starter
- #221
Fuatilia mkasa Hadi mwisho usijenge taswira yako mkuuAu kwann esta asiwe mchepuko wako
Fuatilia mkasa Hadi mwisho usijenge taswira yako mkuuAu kwann esta asiwe mchepuko wako
Tuko pamoja mkuuFuatilia mkasa Hadi mwisho usijenge taswira yako mkuu
Aiseee,yaani naifuatilia haswa, thanksSEHEMU INAYOFUATA..........
Siku hiyo nilirudi nyumbani nikiwa nimefurahi, nilitamani nimshirikishe mke wangu, kama ujuavyo Kuna vitu vidogo vidogo unamshirikisha mkeo ili mfurahi pamoja, lakini nisingefanya hivyo mke wangu alishanikataza hii mipango yangu.
Nikahifadhi mzigo wangu sehemu salama na isiyojulikana na mtu, Kisha nikataka kutoka,
Mume wangu naona juu juu tu unataka kwenda wapi,umefika nyumbani tulia, aliongea mke wangu
Nilimwangalia kwa macho ya huruma, yaani mtu sipo nyumbani kwa zaidi ya masaa kumi ningetaka kufanya ushenzi yeye angejuaje huyu ,niliwaza ni jinsi gani natakiwa niishi bila kumkera mke wangu .
Hapana mke wangu,we unajua namna ambavyo Nina muda mchache sana ,Mimi na kazini,kazini na Mimi, kwahiyo lazima Kuna nilazimishe vifanyike,Kuna fundi naenda kumuona anipe maelekezo fulani,umesahau ule ujenzi wetu?
Nilimaliza kwa swali.
Ahaaa hapo sawa,ila kuwa makini mume wangu ni usiku huu ujue.
Nilitoka moja kwa moja nikielekea kwa ESTA tukaongee jambo letu
Nilifika nikakaribishwa vizuri sana huku nikiangalia ile nyumba iliyoonesha Ina wapangaji wengi kupindukia yaani muda niliokaa pale dakika chache nilisikia matusi ya Kila aina .
Karibu ndani shemu,usifikie nje bwana njoo ndani,aliongea ESTA kwa sauti ya wizi wa mapenzi.
Hapana shemu hapa nje mbona pazuri tu,lakini pia shemu naomba mstari wa heshima Kati yetu unyooke na ubaki vile vile,niliongea kwa sauti ya kumaanisha.
Heeee dada,si tukajua huyu Ndiye shemeji ,Sasa mbona anafikia nje?aliongea mmoja wa wapangaji ambaye anaonekana mjuaji na muongeaji mzuri sana.
Hapana jamani huyu ni shemeji mume wa mdogo wangu tunaheshimiana sana,aliwajibu wale wanawake ambao ni kama wanafahamiana,nikajiuliza huyu ESTA hapa ni mgeni,Hawa wamezoeana saa ngapi?
Eeeh shemu nambie,karibu sana kwenye makazi mapya,
Ahsante na wewe hongera kwa kupata sehemu yako isiyokuwa na bughudha utajipangia mambo yako kadri utakavyo, nilimjibu
Nikaendelea
Shem lengo la kuja hapa ni kutaka nikwambie tu kuwa ile hela ya kulipia fremu na kununua vifaa imeshapatikana hivyo unaweza kunipa taratibu ni kitatakiwa kufanyika,
Waooh shemu ahsante kwa kunipigania na sijui nitakulipa Nini shemeji yangu,mpaka Sasa nashindwa kuelewa ni upendo gani uliokuwa nao wewe kwani Kila kitu unachofanya hujadai malipo yaani una moyo ambao nimepita kwingi sijawahi kumpata mtu mwenye kujitolea kwa dhati kama wewe,aliongea yote hayo akiwa kanikumbatia kwa nguvu kiasi Cha Mimi kujikuta kama nataka kuingia mkenge.
Nikamsukuma baada ya simu yangu kuita ,ni simu ya madamu nilitoka pale nikaongelee pembeni sikutaka ESTA asikie Wala ajue chochote kumuhusu madam.
Eh habari za muda huu tolu,
Samahani kwa usumbufu kukupigia usiku,
Bila samahani madam, nilimjibu.
Akaendelea,naomba kujua ni akaunti ya benki ipi nitumie ile pesa niliyokuahidi mchana.
Tuma kwenye,******
Nikitaja jina la benki akakata simu.
Nilirudi pale kwa ESTA huku nikisikia kejeli toka kwa wapangaji wasio na adabu hata kidogo.
Heheeeeeee mwanamke kujiongeza bwana,Sasa wewe unapokea mgeni badala ya uchakarike kuandaa Chakula ili mgeni ale ndipo aondoke ,weee unapiga naye stori,
Labda kungwi wa huyo mtu hakumfunda vyema,ndiyo maana tunaachika mwaya, wanaume wenyewe hamna ni wakushikilia kama muwashaji wa kibatari aliyebakiwa na njiti mbili za kiberiti mbele ya upepo mkali.
Waliongea wale wanawake kwa kupokezana Mimi na ESTA tukaangaliana.
Hawa wananisema Mimi shemu, alisema ESTA kwa manung'unuko.
Hapana shemu mi naamini kwenye mtu kuji keep busy na mambo yako usiyajali sana haya,Bali unapaswa uww na misimamo na aina nyingine ya maisha,sisemi udharai mtu Bali uyadharau Yale wanayoyaongea
Sasa hapa tumekaa hawajui Nini kinazungumzwa tayari mtu anakulaumu,dawa yao ni kuwapuuza Wala usioneshe umehuzunika we relax jifanye hujui kama walikuwa wanakuongelea wewe.
Nilimfariji ESTA baada ya kuona ananyongea.
Huku nikiwaza jinsi wanawake walivyokuwa kama watoto halafu ESTA mwenyewe haya maisha ya kiswahili plus udangaji mwingi kapitia sana, haya anajifanya yanamuumiza
Aache unafiki. Nilijiwazia moyoni.
Tulikubaliana kesho yake nimletee pesa kwaajili ya kufuata vifaa vyote vya saloon huku hela aliyonitajia pamoja na malipo ya frem ikiwa inabaki hela nyingi tu.
Lakini Dani umenisaidia mambo mengi, umenipangia chumba kama hivi, basi nakuomba uje ukione chumba ulicholipa kwa hela yako, njoo utie baraka basi.
Hilo halitawezekana na pia lazima tutafute sehemu nyingine ya kukutania kwasababu kwa hii aina ya wapangaji niliowaona wanaweza kumtafuta mkeo popote alipo ili wampe umbea nikajikuta najiharibia.
Niliongea Kisha tukaagana huku akiwa bado ana hamu ya kuongea na mimi, nikiwa njiani nilifikiria jinsi ESTA alivyokuwa akidharau miaka ile,
Ambapo nikiwa bado ile hali ya mkoani haijanitoka, siku moja tukiwa kanisani nilimuagiza , dada mmoja kuwa baada ya ibada kuisha anistulie ESTA, kweli ESTA akiwa bize na mambo yake alipata wito akaja mpaka kwangu nikiwa nyuma ya kanisa, akaja huku akionesha kunishangaa mithili ya mtu ambaye hajawahi kumuona,
Huku akinitaka niongee haraka haraka, nikafunguka mambo yangu ya moyoni , akacheeeeeeeka kidharau Kisha akaniambia , kama nataka hivyo niwasiliane na viongozi wa kanisa ili tufunge ndoa kabisa, niliona kanidharau mno nikakata tamaa hata yule mtu niliyekuwa nimemtuma aniitie nikasikie alitukwanwa sana kwa kumpotezea muda ESTA aliyekuwa hashikiki.
Lakini Leo hii kaishiwa Kawa mpoole eti niingie ndani , lengo nilale naye,
Haiwezekani kabisa, Nina familia inanitegemea alikopitapita ni kwingi hivyo lazima niwe makini.
Kwanza mpango wangu ukitiki tu ataona nitakavyokuwa mbali naye
Nilijiwazia.
Kesho asubuhi nikiwa kazini nilipokea simu toka kwa kijana wa kiume nisiyemfahamu akasema katumwa na madam anitumie hela, nikawa nimemkumbuka anajihusisha sana na mambo ya transactions, ni kijana anayetumiwa na MADAM kutuma hela ambazo si za kiofisi.
Nikapokea kiasi ambacho kilikuwa ni kingi kuliko nilivyotabiri, nilikosa Raha kutwa nzima hata yule mwanamke ambaye kwa Sasa Niko naye ofisi moja kwakuwa kazi zetu zinafanana, alinijua kuwa sipo sawa.
Mr Daniel, nakuona kama hauko sawa, kama unahisi mwili unasumbua usilazimishe kazi ni Bora uongee na uongozi wa kupe permission ukapumzike, aliongea yule dada.
Hapana mbona nipo sawa , nimejikuta nawaza tu kuhusu haya maisha.nilidanganya.
Kiasi Cha milioni ishirini ni nyingi mno, naamini ipo siku madam na ESTA watapatana ni lazima hili halipingiki Sasa nikijitoa ufahamu hapa nakuja kuaibika.
Ile hela aliyonipa Jana ,imetosha hela ya frem na vifaa Lakini pia hela niliyolipa Kodi alikopanga ESTA nilikata na bado chenji imebaki ya kutosha,
Sasa Leo imeingia hela nyingi kiasi hiki mmmmmmmh TAMAA ni mbaya yasije yakanitokea puani, niliwaza nikaendelea na kazi.
Simu ya dogo aliyenitumia hela iliingia,
Samahani kiongozi nilitaka nikuelekeze maagizo niliyopewa na madam,ni kwamba hicho kiasi alichotuma , asilimia ishirini na tano ni zako,na asilimia hamsini ni za nani sijui wewe unajua, nyingine Kaa nazo Hadi pale utakapofanikiwa kumshawishi huyo mtu,ukifanikiwa tu basi ni zako.
Nilishusha pumzi kwa nguvu huku nikitafakari juu ya umasikini ambapo nilikuwa Nina mawazo mabaya ya kumdhulumu ESTA.
Hii hela naenda kumpa ESTA,Lakini namwambiaje ,nitasema ni yaninj ikiwa kila kitu tayari kipo sawa.
Simu ya madam iliingia,
Bila Shaka umepata maagizo yangu,
Ndiyo nimepata madam,nilijibu kwa kuhema.
Sawa,naomba ujitahidi umshawishi bwana maana pengine nitapata nafuu maana Kila nikilala nahisj kudaiwa kitu na ESTA.
Alimalizia Kisha akakata simu.
Nilifikiri kidogo , akili ikaniambia lazima nimwambie ESTA ukweli maisha ya dhuluma , ukizingatia nafanya kazi kwenye kampuni inayomhusu MADAM halafu mwisho wa siku akasikia nilipiga hela zake atanionaje Mimi,
Lakini uoga umasikini,kwanza alishasema hawezi kufuatilia mipango ya ESTA,pengine naogopa bure tu ,kwani Mimi nu mahakama ya kupatanisha watu , kwanza sikumuomba , yeye ndiye aliyeanza Mara ooh nahisi namuonea ESTA.
Kumbe MUNGU anipe Nini , pengine hizi ni fadhila napewa na MUNGU baada ya kusaidia ESTA.
Kakaa nyumbani kipindi kirefu huku Kila kitu nikiwajibika Mimi , Leo hii napata hela naanza kuziogopa.
Naweza hata kukwambia madam kuwa nimeshindwa kumshawishi ESTA apatane na wewe,kwani lazima nionekane naweza ,walikoharibiana maisha na kurogana sijui,Mimi n nilikuwepo ,huyu madam vipi bwana Mimi na ESTA tumeshamalizana ,chumba kapata, pia yupo mbioni kukamilisha biashara yake MUNGU ampe Nini Tena hapa duniani?
Kama ni maisha mazuri aliyapata akachezea,pengine angekuwa mmoja wa malkia wa nguvu hapa mjini,
Leo hii Daniel napata riziki naanza kubanwa banwa .
Tena kesho ni weekend naenda kabisa kwa mganga ili awatengeneze wasije kunikumbuka.nilijiwazia kijinga sana
PESA acha iitwe PESA.
Baada ya kupokea mpunga tamaa ziliniingia nikajikuta nahalalisha uharamu huku nikiharamisha uhalali.
Ushirikina nao ukawa unaninyemelea, roho mbaya na ya kishetani iliniingia sikuwa tayari kubadili msimamo wangu.
Je, nitafanikiwa, sehemu ijayo Ina majibu,
zingatia kuwa inaitwa
MIMI NA BOSS WANGU.
Inaendeleaa very soon...............
Unafikiria pafupi sana mkuu either you haven't so far been following the thread from the beginning or you're lacking moral and virtue in your life.Au kwann esta asiwe mchepuko wako
Siyo siri.. Hadi nasisimkaSEHEMU INAYOFUATA............
Siku hiyo ya jumamosi ilikaribia kuisha, nikarudi nyumbani mapema tu, huku nikifikiria
Dah nilijua ESTA atakuwa mwepesi kwenye hili suala lakini ni kasheshe yaani kumbe ESTA akisikia madam amekufa atafurahi eeh, ndiyo siyo kwa moyo ule mgumu.
Nilifika pale home nikipokelewa na mwanangu mwenye kiswanglish kingi mdomoni kiasi Cha baadhi ya watu mle ndani wakawa hawamwelewi,.
Mume wangu, tatizo hushindi hapa nyumbani na hapa Kuna shida.
Shida gani? niliuliza
Ni huyu Dada wa kazi yaani amebadilika tena Kawa wamoto huwezi amini ananiletea ujeuri hata Mimi, hapa Mimi naona tumpe tu nauli aondoke maana Kila muda vijana wa kiume wanapishana hapa mbaya zaidi Jana usiku nasikia Kuna watu wameumizana hapa wakigombania huyu house maid wetu,hivyo Kila nikiongea naye ananijibu kijeuri sana
Naomba niitie, niongee naye
Nikamwomba mke wangu atupishe kidogo.
Ni msichana alikuja akiwa mdogo sana tumeishi naye vizuri kama mtoto wetu hivyo mabadiliko yanayojitokeza kwenye upande wake
Busara zinapaswa zitumike na si kumkaripia.
Enheee hebu niambie mnashindana Nini na dada yako, maana ninavyojua anakupenda sana, halafu Sasa hivi ni kipindi ambacho yeye ana mtoto mdogo huoni kama utakuwa unanionea Mimi mdogo wangu?
Na ujue kuwa Mimi ndiye nilikufuata mkoani huku ikiwa ni vigumu sana wazazi wako kukuachia wakidai kuwa malezi ya mjini Mara nyingi huharibu wasichana na kujikuta wanazalishwa watoto wasiokuwa na baba, hivyo naona kile walichokiwa hawataki wazazi wako ndicho unachokifanya. Ni kwanini?
Wewe hakukatazi mtu kuwa na mpenzi kwakuwa hapo ulipo tayari ni msichana mkubwa, sisi tunahitaji wewe mchumba atakaye tokea ututambulishe tumjue na tutakushauri kuwa huyu anafaa na huyu hafai.
Na hata kama tutaona anafaa zitatumika taratibu za wewe kuhalalishana awe mtu wako rasmi kama ni mipango ya ndoa ifanyike huku tukuwashifikisha wazazi wako kinyume na hapo utakuwa nje ya maadili.
Mbaya zaidi Kuna magonjwa mengi siku hizi,nilikuchukua ukiwa mzima wewe nitaonekanaje ukirudi una kasoro family yako itanionaje? Niliweka kituo.
Hapana kwanza Mimi Sina mchumba hata mmoja bali ni wao huwa wananifuatafuata nikitoka sokoni, na yule aliyepigwa Jana usiku ni mtu mzima ambaye aliniita akitaka nimuitie yule dada ESTA aliyeondoka ndipo kundi la vijana likajua labda huwa ananifuata Mimi na kuwaharibia wakaamua kumpiga.
Unamfahamu huyo mtu, niliuliza.
Hapana simjui.
Haya nenda kaendelee na kazi zako ,
Lakini nikisikia taarifa hizi kwa Mara nyingine jua kuwa tutakupandisha kwenye gari urudi mkoani. Nilimtishia.
Ni dada ambaye alitokea kutupenda sana sisi yaani ukimwambia nitakufudisha kwenu alikuwa anajisikia vibaya sana sijui kwanini .
Akaendelea na shughuli zake .
Ni Binti mkubwa kwa Sasa, anavutia kiasi Cha kuwagonganisha vijana, hayaepukiki kwa Yale afanyayo atafanya tu, hata hivyo lazima mikwara iwe mingi tusijeonekana tunabariki mambo yale .
Asubuhi siku ya jumapili hakuna aliyeenda sehemu tofauti
Na dada yangu mpenzi kwenda kanisani ambaye naye nilikuwa na mashaka kupenda kwake kanisani .
Nikiwa nafuatilia uchambuzi wa mpira kwe TV nilipokea ujumbe mfupi toka kwa ESTA uliouliza vipi siendi kumtembelea?
Nilimjibu kuwa nitaenda jioni, kwakuwa hata moyo wangu nilipanga kwenda kuendeleza mapambano dhidi yake, lakini ilikuwa lazima nishinde nyumbani kuiridhisha familia yangu, ukisikia mwanaume mateso siyo kuihangaikia familia tu, wakati mwingine Kuna Uhuru fulani unakosa yaani watu wanataka wawe wanakuona tu nyumbani.
Mume wangu gesi imeisha, Tena MUNGU saidia mkaa ulikuwepo kwahiyo nahitaji ukatuchukulie au ita yule kijana alete.
Weeee sikutaka kumuita kijana Wala nini ilikuwa point nzuri Mimi kutoka nilienda sehemu napochukuaga huku nikimsisitiza kuwa mtungi wa mwanzo ulikuwa na regulator mbovu hivyo ajitahidi kunichagulia mzuri Kisha aagize kijana anipelekee nyumbani. Mimi huyooo mpaka kwa ofisini kwa ESTA.
Ooooh shemu huyoo unajua sana kujali Hadi wivu yaani, mdogo wangu anafaidi sana.
Haaaaa da ESTA kwani huyu siyo mumeo !!!!! Aliuliza Binti fulani kwa mshangao.
Hapana ni shemeji yangu,kwani vipi
Waliulizana.
Unajua jana mlivyokaa mkipiga stori kila mtu hapa alijua mke na mume hata Mimi nilijua hivyo kabisaaa, ila mnaendana bwana hata kama .
Aliongea yule Binti mcharuko.
Nikajisemea kweli Hawa ni watu wa saloon yaani lazima umkute mtu anayeongea kupitiliza.
Weee koma , huyu mume wa mtu tunaendana vipi, aliongea ESTA huku wakicheka na kufurahi, nilichojua hata yeye kuambiwa vile alijisikia faraja sana.
Shemu hapa nimekuja kushinda tu ili pawe wazi na Leo natoa ofa mtu yoyote ambaye atakuja kawaida nywele chache itakuwa bure, na kama njia nyingi basi atachangia kiasi kidogo.
Sasa shemu unawezaje kukaa kutwa nzima ukifanya kazi ya bure? Niliuliza.
Hapana ni njia ya kuvutia wateja tu, mbona tangu asubuhi nipo hapa nishatoa huduma kwa watu wengi sana ujue,
Heeey tangu asubuhi kumbe yupo hapa Ina maana hata kanisani hajaenda huyu, ila sikutaka kujua,.
Hana muda huyu hata ulokole wake atauacha japo haitakuwa vizuri lakini ni njaa tu zilikuwa zinamsumbua.
Maneno ya kisaluni saluni yalitawala huku mabinti wakipishana pale michambo, masimango na lugha za mtaani zilitamalaki huku nikiwa namuona ESTA mwenyewe naye mjua ESTA ambaye alirudisha makucha kipindi kapigika Leo hii namuona namna anavyojuamini,
Nilimshukuru MUNGU kwa hatua ile maana angekaa kwangu ningezidi kujenga mpasuko kwenye familia, Bora kapata sehemu ya kushinda. Lakini nikichokisoma pale kwenye saloon nilipanga siku nikipanga biashara za kufanya mke wangu Ile ya saloon hata kwenye miamoja Bora haipo.
Sasa shemu ulisema Nini kimekosekana kwenye ofisi? Niliuliza
Vingi tu, Kuna kabati fulani bado lakini haya madude ya kuchomea nywele tungepata hata mawili Hadi matatu.
Sikia we orodhesha Kila kinachotakiwa niliongea kwa sifa huku mabinti waliosikia wakiniangalia kwa macho ya wivu sana, kama ningekuwa mgeni wa mji au ni mshenzi basi mabinti wangenikoma, bahati nzuri nahitaji heshima kwangu na kwa mke wangu pia.
ESTA mwenyewe safari hii alishangaa,
Shemu wee ni mtu wa ajabu sana nashindwa kujua Nini unatafuta kwangu baba, hii ni fadhila gani, we ni mtume? Maana unazidi kujitolea tu kwangu bila kujua unataka Nini
Alizidi kuhoji
Alikuwa sahihi nikaona ni muda wa kulipua bomu japo siyo kirahisi, tukaa Kaa sehemu fulani huku tukipiga stori za hapa na pale,.
Lakini shemeji ni vyema ukasamehe na kuachilia si ajabu maisha magumu kwako ni sababu ya vifungo vilivyo ndani ya roho yako, msamahe mwanamke mwenzio,
Ni binadamu tu mliyoyafanya kipindi hicho ni mambo ya kuwahiana tu hata wewe pengine uliwahi jaribu kumfanyia vibaya mwenzio, sema hukufanikiwa tu Mimi nawajua wanawake nyinyi,nilikazia
Weeee shemu Kila nilichofanya ilikuwa ni njia ya kujirudisha kwenye ramani nilienda kwa waganga wa Kila namna si kwaajili ya kuharibu nyota ya mtu Bali kutafuta umaarufu wangu lakini Cha ajabu mwenzangu alikuwa anaenda kwa wataalamu kuniharibia Mimi,.......aliongea huku uso Ukiwa unabadilika
Hapana shemu na ndiyo maana,
Tuko hapa kuzungumza hayo madam ni mtu ambaye ameona makosa yake na amejuta kwa dhati kabisa kiasi Cha kutaka kupatana na wewe ,kwani Kuna mtu kamlazimisha hapana,ni yeye tu kaona ana deni moyoni mwake.nilisisitiza
Lakini shemeji mbona umelishikilia sana hili jambo yaani tunashindwa kuongea mengine imekuwa Kila ukija lazima ugusie hili jambo kwanini?
Nafanya kile nachoagizwa nafanya kazi yangu kwa UAMINIFU yule ni boss wangu siwezi kumgomea,lakini kwa upande wako ungekuwa na maisha mazuri ningekuacha tu lakini kama mtu kajitolea kuwa atakusaidia na kwa jinsi maisha yako yalivyo huruma iliniingia naona kama unachezea shilingi chooni , niliweka kituo.
Shemu Kuna kitu nakiona,mbona kama Kuna picha inanijia?
Ahaaaaaaaa ndiyo maana Kuna mtu aliniambia kuwa hakuna mtu Duniani atakupa msaada wa bureeeee,hata mataifa makubwa pindi yakitoa msaada kwenye mataifa madogo huwa Kuna mikataba ya mabadilishano ya vitu hakuna kitu Cha bure Duniani.
Mimi nilijiuliza Daniel alinitongoza kipindi kile Lakini kutokana na matatizo yake ilishindikana kufanya tulicho kubaliana nikiwa najua Leo kesho tutafanya mambo yetu, lakini ikawa holaa Hadi nahamia kwako bado ilikuwa tofauti Leo hii Daniel ananisaidia kwa minajili ipi Sasa nimeshajua . alizungumza ESTA akiwa kanyongea Sana.
Je,Sasa itakuwaje saloon ndiyo hiyo hapo
ESTA dizaini kama kashtukia kuwa huenda msaada anaye toa ni madam siyo Mimi,je alithibitisha itakuwaje?
Itaendelea..........
Iko Moto wenyeweSiyo siri.. Hadi nasisimka
Yaaan ni motooo!!!
Naelekea arusha saa kumi jioni nitapitia kama umetupia kipande kingineSEHEMU INAYOFUATA............
Siku hiyo ya jumamosi ilikaribia kuisha, nikarudi nyumbani mapema tu, huku nikifikiria
Dah nilijua ESTA atakuwa mwepesi kwenye hili suala lakini ni kasheshe yaani kumbe ESTA akisikia madam amekufa atafurahi eeh, ndiyo siyo kwa moyo ule mgumu.
Nilifika pale home nikipokelewa na mwanangu mwenye kiswanglish kingi mdomoni kiasi Cha baadhi ya watu mle ndani wakawa hawamwelewi,.
Mume wangu, tatizo hushindi hapa nyumbani na hapa Kuna shida.
Shida gani? niliuliza
Ni huyu Dada wa kazi yaani amebadilika tena Kawa wamoto huwezi amini ananiletea ujeuri hata Mimi, hapa Mimi naona tumpe tu nauli aondoke maana Kila muda vijana wa kiume wanapishana hapa mbaya zaidi Jana usiku nasikia Kuna watu wameumizana hapa wakigombania huyu house maid wetu,hivyo Kila nikiongea naye ananijibu kijeuri sana
Naomba niitie, niongee naye
Nikamwomba mke wangu atupishe kidogo.
Ni msichana alikuja akiwa mdogo sana tumeishi naye vizuri kama mtoto wetu hivyo mabadiliko yanayojitokeza kwenye upande wake
Busara zinapaswa zitumike na si kumkaripia.
Enheee hebu niambie mnashindana Nini na dada yako, maana ninavyojua anakupenda sana, halafu Sasa hivi ni kipindi ambacho yeye ana mtoto mdogo huoni kama utakuwa unanionea Mimi mdogo wangu?
Na ujue kuwa Mimi ndiye nilikufuata mkoani huku ikiwa ni vigumu sana wazazi wako kukuachia wakidai kuwa malezi ya mjini Mara nyingi huharibu wasichana na kujikuta wanazalishwa watoto wasiokuwa na baba, hivyo naona kile walichokiwa hawataki wazazi wako ndicho unachokifanya. Ni kwanini?
Wewe hakukatazi mtu kuwa na mpenzi kwakuwa hapo ulipo tayari ni msichana mkubwa, sisi tunahitaji wewe mchumba atakaye tokea ututambulishe tumjue na tutakushauri kuwa huyu anafaa na huyu hafai.
Na hata kama tutaona anafaa zitatumika taratibu za wewe kuhalalishana awe mtu wako rasmi kama ni mipango ya ndoa ifanyike huku tukuwashifikisha wazazi wako kinyume na hapo utakuwa nje ya maadili.
Mbaya zaidi Kuna magonjwa mengi siku hizi,nilikuchukua ukiwa mzima wewe nitaonekanaje ukirudi una kasoro family yako itanionaje? Niliweka kituo.
Hapana kwanza Mimi Sina mchumba hata mmoja bali ni wao huwa wananifuatafuata nikitoka sokoni, na yule aliyepigwa Jana usiku ni mtu mzima ambaye aliniita akitaka nimuitie yule dada ESTA aliyeondoka ndipo kundi la vijana likajua labda huwa ananifuata Mimi na kuwaharibia wakaamua kumpiga.
Unamfahamu huyo mtu, niliuliza.
Hapana simjui.
Haya nenda kaendelee na kazi zako ,
Lakini nikisikia taarifa hizi kwa Mara nyingine jua kuwa tutakupandisha kwenye gari urudi mkoani. Nilimtishia.
Ni dada ambaye alitokea kutupenda sana sisi yaani ukimwambia nitakufudisha kwenu alikuwa anajisikia vibaya sana sijui kwanini .
Akaendelea na shughuli zake .
Ni Binti mkubwa kwa Sasa, anavutia kiasi Cha kuwagonganisha vijana, hayaepukiki kwa Yale afanyayo atafanya tu, hata hivyo lazima mikwara iwe mingi tusijeonekana tunabariki mambo yale .
Asubuhi siku ya jumapili hakuna aliyeenda sehemu tofauti
Na dada yangu mpenzi kwenda kanisani ambaye naye nilikuwa na mashaka kupenda kwake kanisani .
Nikiwa nafuatilia uchambuzi wa mpira kwe TV nilipokea ujumbe mfupi toka kwa ESTA uliouliza vipi siendi kumtembelea?
Nilimjibu kuwa nitaenda jioni, kwakuwa hata moyo wangu nilipanga kwenda kuendeleza mapambano dhidi yake, lakini ilikuwa lazima nishinde nyumbani kuiridhisha familia yangu, ukisikia mwanaume mateso siyo kuihangaikia familia tu, wakati mwingine Kuna Uhuru fulani unakosa yaani watu wanataka wawe wanakuona tu nyumbani.
Mume wangu gesi imeisha, Tena MUNGU saidia mkaa ulikuwepo kwahiyo nahitaji ukatuchukulie au ita yule kijana alete.
Weeee sikutaka kumuita kijana Wala nini ilikuwa point nzuri Mimi kutoka nilienda sehemu napochukuaga huku nikimsisitiza kuwa mtungi wa mwanzo ulikuwa na regulator mbovu hivyo ajitahidi kunichagulia mzuri Kisha aagize kijana anipelekee nyumbani. Mimi huyooo mpaka kwa ofisini kwa ESTA.
Ooooh shemu huyoo unajua sana kujali Hadi wivu yaani, mdogo wangu anafaidi sana.
Haaaaa da ESTA kwani huyu siyo mumeo !!!!! Aliuliza Binti fulani kwa mshangao.
Hapana ni shemeji yangu,kwani vipi
Waliulizana.
Unajua jana mlivyokaa mkipiga stori kila mtu hapa alijua mke na mume hata Mimi nilijua hivyo kabisaaa, ila mnaendana bwana hata kama .
Aliongea yule Binti mcharuko.
Nikajisemea kweli Hawa ni watu wa saloon yaani lazima umkute mtu anayeongea kupitiliza.
Weee koma , huyu mume wa mtu tunaendana vipi, aliongea ESTA huku wakicheka na kufurahi, nilichojua hata yeye kuambiwa vile alijisikia faraja sana.
Shemu hapa nimekuja kushinda tu ili pawe wazi na Leo natoa ofa mtu yoyote ambaye atakuja kawaida nywele chache itakuwa bure, na kama njia nyingi basi atachangia kiasi kidogo.
Sasa shemu unawezaje kukaa kutwa nzima ukifanya kazi ya bure? Niliuliza.
Hapana ni njia ya kuvutia wateja tu, mbona tangu asubuhi nipo hapa nishatoa huduma kwa watu wengi sana ujue,
Heeey tangu asubuhi kumbe yupo hapa Ina maana hata kanisani hajaenda huyu, ila sikutaka kujua,.
Hana muda huyu hata ulokole wake atauacha japo haitakuwa vizuri lakini ni njaa tu zilikuwa zinamsumbua.
Maneno ya kisaluni saluni yalitawala huku mabinti wakipishana pale michambo, masimango na lugha za mtaani zilitamalaki huku nikiwa namuona ESTA mwenyewe naye mjua ESTA ambaye alirudisha makucha kipindi kapigika Leo hii namuona namna anavyojuamini,
Nilimshukuru MUNGU kwa hatua ile maana angekaa kwangu ningezidi kujenga mpasuko kwenye familia, Bora kapata sehemu ya kushinda. Lakini nikichokisoma pale kwenye saloon nilipanga siku nikipanga biashara za kufanya mke wangu Ile ya saloon hata kwenye miamoja Bora haipo.
Sasa shemu ulisema Nini kimekosekana kwenye ofisi? Niliuliza
Vingi tu, Kuna kabati fulani bado lakini haya madude ya kuchomea nywele tungepata hata mawili Hadi matatu.
Sikia we orodhesha Kila kinachotakiwa niliongea kwa sifa huku mabinti waliosikia wakiniangalia kwa macho ya wivu sana, kama ningekuwa mgeni wa mji au ni mshenzi basi mabinti wangenikoma, bahati nzuri nahitaji heshima kwangu na kwa mke wangu pia.
ESTA mwenyewe safari hii alishangaa,
Shemu wee ni mtu wa ajabu sana nashindwa kujua Nini unatafuta kwangu baba, hii ni fadhila gani, we ni mtume? Maana unazidi kujitolea tu kwangu bila kujua unataka Nini
Alizidi kuhoji
Alikuwa sahihi nikaona ni muda wa kulipua bomu japo siyo kirahisi, tukaa Kaa sehemu fulani huku tukipiga stori za hapa na pale,.
Lakini shemeji ni vyema ukasamehe na kuachilia si ajabu maisha magumu kwako ni sababu ya vifungo vilivyo ndani ya roho yako, msamahe mwanamke mwenzio,
Ni binadamu tu mliyoyafanya kipindi hicho ni mambo ya kuwahiana tu hata wewe pengine uliwahi jaribu kumfanyia vibaya mwenzio, sema hukufanikiwa tu Mimi nawajua wanawake nyinyi,nilikazia
Weeee shemu Kila nilichofanya ilikuwa ni njia ya kujirudisha kwenye ramani nilienda kwa waganga wa Kila namna si kwaajili ya kuharibu nyota ya mtu Bali kutafuta umaarufu wangu lakini Cha ajabu mwenzangu alikuwa anaenda kwa wataalamu kuniharibia Mimi,.......aliongea huku uso Ukiwa unabadilika
Hapana shemu na ndiyo maana,
Tuko hapa kuzungumza hayo madam ni mtu ambaye ameona makosa yake na amejuta kwa dhati kabisa kiasi Cha kutaka kupatana na wewe ,kwani Kuna mtu kamlazimisha hapana,ni yeye tu kaona ana deni moyoni mwake.nilisisitiza
Lakini shemeji mbona umelishikilia sana hili jambo yaani tunashindwa kuongea mengine imekuwa Kila ukija lazima ugusie hili jambo kwanini?
Nafanya kile nachoagizwa nafanya kazi yangu kwa UAMINIFU yule ni boss wangu siwezi kumgomea,lakini kwa upande wako ungekuwa na maisha mazuri ningekuacha tu lakini kama mtu kajitolea kuwa atakusaidia na kwa jinsi maisha yako yalivyo huruma iliniingia naona kama unachezea shilingi chooni , niliweka kituo.
Shemu Kuna kitu nakiona,mbona kama Kuna picha inanijia?
Ahaaaaaaaa ndiyo maana Kuna mtu aliniambia kuwa hakuna mtu Duniani atakupa msaada wa bureeeee,hata mataifa makubwa pindi yakitoa msaada kwenye mataifa madogo huwa Kuna mikataba ya mabadilishano ya vitu hakuna kitu Cha bure Duniani.
Mimi nilijiuliza Daniel alinitongoza kipindi kile Lakini kutokana na matatizo yake ilishindikana kufanya tulicho kubaliana nikiwa najua Leo kesho tutafanya mambo yetu, lakini ikawa holaa Hadi nahamia kwako bado ilikuwa tofauti Leo hii Daniel ananisaidia kwa minajili ipi Sasa nimeshajua . alizungumza ESTA akiwa kanyongea Sana.
Je,Sasa itakuwaje saloon ndiyo hiyo hapo
ESTA dizaini kama kashtukia kuwa huenda msaada anaye toa ni madam siyo Mimi,je alithibitisha itakuwaje?
Itaendelea..........

Aaaah jmni sina la kusema zaid ila huu mzgo ni balaa aseeeSEHEMU INAYOFUATA............
Siku hiyo ya jumamosi ilikaribia kuisha, nikarudi nyumbani mapema tu, huku nikifikiria
Dah nilijua ESTA atakuwa mwepesi kwenye hili suala lakini ni kasheshe yaani kumbe ESTA akisikia madam amekufa atafurahi eeh, ndiyo siyo kwa moyo ule mgumu.
Nilifika pale home nikipokelewa na mwanangu mwenye kiswanglish kingi mdomoni kiasi Cha baadhi ya watu mle ndani wakawa hawamwelewi,.
Mume wangu, tatizo hushindi hapa nyumbani na hapa Kuna shida.
Shida gani? niliuliza
Ni huyu Dada wa kazi yaani amebadilika tena Kawa wamoto huwezi amini ananiletea ujeuri hata Mimi, hapa Mimi naona tumpe tu nauli aondoke maana Kila muda vijana wa kiume wanapishana hapa mbaya zaidi Jana usiku nasikia Kuna watu wameumizana hapa wakigombania huyu house maid wetu,hivyo Kila nikiongea naye ananijibu kijeuri sana
Naomba niitie, niongee naye
Nikamwomba mke wangu atupishe kidogo.
Ni msichana alikuja akiwa mdogo sana tumeishi naye vizuri kama mtoto wetu hivyo mabadiliko yanayojitokeza kwenye upande wake
Busara zinapaswa zitumike na si kumkaripia.
Enheee hebu niambie mnashindana Nini na dada yako, maana ninavyojua anakupenda sana, halafu Sasa hivi ni kipindi ambacho yeye ana mtoto mdogo huoni kama utakuwa unanionea Mimi mdogo wangu?
Na ujue kuwa Mimi ndiye nilikufuata mkoani huku ikiwa ni vigumu sana wazazi wako kukuachia wakidai kuwa malezi ya mjini Mara nyingi huharibu wasichana na kujikuta wanazalishwa watoto wasiokuwa na baba, hivyo naona kile walichokiwa hawataki wazazi wako ndicho unachokifanya. Ni kwanini?
Wewe hakukatazi mtu kuwa na mpenzi kwakuwa hapo ulipo tayari ni msichana mkubwa, sisi tunahitaji wewe mchumba atakaye tokea ututambulishe tumjue na tutakushauri kuwa huyu anafaa na huyu hafai.
Na hata kama tutaona anafaa zitatumika taratibu za wewe kuhalalishana awe mtu wako rasmi kama ni mipango ya ndoa ifanyike huku tukuwashifikisha wazazi wako kinyume na hapo utakuwa nje ya maadili.
Mbaya zaidi Kuna magonjwa mengi siku hizi,nilikuchukua ukiwa mzima wewe nitaonekanaje ukirudi una kasoro family yako itanionaje? Niliweka kituo.
Hapana kwanza Mimi Sina mchumba hata mmoja bali ni wao huwa wananifuatafuata nikitoka sokoni, na yule aliyepigwa Jana usiku ni mtu mzima ambaye aliniita akitaka nimuitie yule dada ESTA aliyeondoka ndipo kundi la vijana likajua labda huwa ananifuata Mimi na kuwaharibia wakaamua kumpiga.
Unamfahamu huyo mtu, niliuliza.
Hapana simjui.
Haya nenda kaendelee na kazi zako ,
Lakini nikisikia taarifa hizi kwa Mara nyingine jua kuwa tutakupandisha kwenye gari urudi mkoani. Nilimtishia.
Ni dada ambaye alitokea kutupenda sana sisi yaani ukimwambia nitakufudisha kwenu alikuwa anajisikia vibaya sana sijui kwanini .
Akaendelea na shughuli zake .
Ni Binti mkubwa kwa Sasa, anavutia kiasi Cha kuwagonganisha vijana, hayaepukiki kwa Yale afanyayo atafanya tu, hata hivyo lazima mikwara iwe mingi tusijeonekana tunabariki mambo yale .
Asubuhi siku ya jumapili hakuna aliyeenda sehemu tofauti
Na dada yangu mpenzi kwenda kanisani ambaye naye nilikuwa na mashaka kupenda kwake kanisani .
Nikiwa nafuatilia uchambuzi wa mpira kwe TV nilipokea ujumbe mfupi toka kwa ESTA uliouliza vipi siendi kumtembelea?
Nilimjibu kuwa nitaenda jioni, kwakuwa hata moyo wangu nilipanga kwenda kuendeleza mapambano dhidi yake, lakini ilikuwa lazima nishinde nyumbani kuiridhisha familia yangu, ukisikia mwanaume mateso siyo kuihangaikia familia tu, wakati mwingine Kuna Uhuru fulani unakosa yaani watu wanataka wawe wanakuona tu nyumbani.
Mume wangu gesi imeisha, Tena MUNGU saidia mkaa ulikuwepo kwahiyo nahitaji ukatuchukulie au ita yule kijana alete.
Weeee sikutaka kumuita kijana Wala nini ilikuwa point nzuri Mimi kutoka nilienda sehemu napochukuaga huku nikimsisitiza kuwa mtungi wa mwanzo ulikuwa na regulator mbovu hivyo ajitahidi kunichagulia mzuri Kisha aagize kijana anipelekee nyumbani. Mimi huyooo mpaka kwa ofisini kwa ESTA.
Ooooh shemu huyoo unajua sana kujali Hadi wivu yaani, mdogo wangu anafaidi sana.
Haaaaa da ESTA kwani huyu siyo mumeo !!!!! Aliuliza Binti fulani kwa mshangao.
Hapana ni shemeji yangu,kwani vipi
Waliulizana.
Unajua jana mlivyokaa mkipiga stori kila mtu hapa alijua mke na mume hata Mimi nilijua hivyo kabisaaa, ila mnaendana bwana hata kama .
Aliongea yule Binti mcharuko.
Nikajisemea kweli Hawa ni watu wa saloon yaani lazima umkute mtu anayeongea kupitiliza.
Weee koma , huyu mume wa mtu tunaendana vipi, aliongea ESTA huku wakicheka na kufurahi, nilichojua hata yeye kuambiwa vile alijisikia faraja sana.
Shemu hapa nimekuja kushinda tu ili pawe wazi na Leo natoa ofa mtu yoyote ambaye atakuja kawaida nywele chache itakuwa bure, na kama njia nyingi basi atachangia kiasi kidogo.
Sasa shemu unawezaje kukaa kutwa nzima ukifanya kazi ya bure? Niliuliza.
Hapana ni njia ya kuvutia wateja tu, mbona tangu asubuhi nipo hapa nishatoa huduma kwa watu wengi sana ujue,
Heeey tangu asubuhi kumbe yupo hapa Ina maana hata kanisani hajaenda huyu, ila sikutaka kujua,.
Hana muda huyu hata ulokole wake atauacha japo haitakuwa vizuri lakini ni njaa tu zilikuwa zinamsumbua.
Maneno ya kisaluni saluni yalitawala huku mabinti wakipishana pale michambo, masimango na lugha za mtaani zilitamalaki huku nikiwa namuona ESTA mwenyewe naye mjua ESTA ambaye alirudisha makucha kipindi kapigika Leo hii namuona namna anavyojuamini,
Nilimshukuru MUNGU kwa hatua ile maana angekaa kwangu ningezidi kujenga mpasuko kwenye familia, Bora kapata sehemu ya kushinda. Lakini nikichokisoma pale kwenye saloon nilipanga siku nikipanga biashara za kufanya mke wangu Ile ya saloon hata kwenye miamoja Bora haipo.
Sasa shemu ulisema Nini kimekosekana kwenye ofisi? Niliuliza
Vingi tu, Kuna kabati fulani bado lakini haya madude ya kuchomea nywele tungepata hata mawili Hadi matatu.
Sikia we orodhesha Kila kinachotakiwa niliongea kwa sifa huku mabinti waliosikia wakiniangalia kwa macho ya wivu sana, kama ningekuwa mgeni wa mji au ni mshenzi basi mabinti wangenikoma, bahati nzuri nahitaji heshima kwangu na kwa mke wangu pia.
ESTA mwenyewe safari hii alishangaa,
Shemu wee ni mtu wa ajabu sana nashindwa kujua Nini unatafuta kwangu baba, hii ni fadhila gani, we ni mtume? Maana unazidi kujitolea tu kwangu bila kujua unataka Nini
Alizidi kuhoji
Alikuwa sahihi nikaona ni muda wa kulipua bomu japo siyo kirahisi, tukaa Kaa sehemu fulani huku tukipiga stori za hapa na pale,.
Lakini shemeji ni vyema ukasamehe na kuachilia si ajabu maisha magumu kwako ni sababu ya vifungo vilivyo ndani ya roho yako, msamahe mwanamke mwenzio,
Ni binadamu tu mliyoyafanya kipindi hicho ni mambo ya kuwahiana tu hata wewe pengine uliwahi jaribu kumfanyia vibaya mwenzio, sema hukufanikiwa tu Mimi nawajua wanawake nyinyi,nilikazia
Weeee shemu Kila nilichofanya ilikuwa ni njia ya kujirudisha kwenye ramani nilienda kwa waganga wa Kila namna si kwaajili ya kuharibu nyota ya mtu Bali kutafuta umaarufu wangu lakini Cha ajabu mwenzangu alikuwa anaenda kwa wataalamu kuniharibia Mimi,.......aliongea huku uso Ukiwa unabadilika
Hapana shemu na ndiyo maana,
Tuko hapa kuzungumza hayo madam ni mtu ambaye ameona makosa yake na amejuta kwa dhati kabisa kiasi Cha kutaka kupatana na wewe ,kwani Kuna mtu kamlazimisha hapana,ni yeye tu kaona ana deni moyoni mwake.nilisisitiza
Lakini shemeji mbona umelishikilia sana hili jambo yaani tunashindwa kuongea mengine imekuwa Kila ukija lazima ugusie hili jambo kwanini?
Nafanya kile nachoagizwa nafanya kazi yangu kwa UAMINIFU yule ni boss wangu siwezi kumgomea,lakini kwa upande wako ungekuwa na maisha mazuri ningekuacha tu lakini kama mtu kajitolea kuwa atakusaidia na kwa jinsi maisha yako yalivyo huruma iliniingia naona kama unachezea shilingi chooni , niliweka kituo.
Shemu Kuna kitu nakiona,mbona kama Kuna picha inanijia?
Ahaaaaaaaa ndiyo maana Kuna mtu aliniambia kuwa hakuna mtu Duniani atakupa msaada wa bureeeee,hata mataifa makubwa pindi yakitoa msaada kwenye mataifa madogo huwa Kuna mikataba ya mabadilishano ya vitu hakuna kitu Cha bure Duniani.
Mimi nilijiuliza Daniel alinitongoza kipindi kile Lakini kutokana na matatizo yake ilishindikana kufanya tulicho kubaliana nikiwa najua Leo kesho tutafanya mambo yetu, lakini ikawa holaa Hadi nahamia kwako bado ilikuwa tofauti Leo hii Daniel ananisaidia kwa minajili ipi Sasa nimeshajua . alizungumza ESTA akiwa kanyongea Sana.
Je,Sasa itakuwaje saloon ndiyo hiyo hapo
ESTA dizaini kama kashtukia kuwa huenda msaada anaye toa ni madam siyo Mimi,je alithibitisha itakuwaje?
Itaendelea..........