Simulizi: Mimi na Boss Wangu

Simulizi: Mimi na Boss Wangu

SEHEMU INAYOFUATA..........

Jambo ambalo lilikwamisha mpango wa Mimi na ESTA kuhusu biashara ya saloon,ni baada ya madam kusafiri kwa muda wa wiki nzima huku akiniahidi akirudi mipango itakuwa kama kawaida.

Matukio ya kununiana bila sababu ndani ya nyumba, mashtaka mbalimbali yalijitokeza ila ilikuwa ni kama kawaida tu kwakuwa wanawake ndivyo walivyo,

Kuna siku nikiwa ofisini nilipokea taarifa ya watu kuumizana Kati ya Dada yangu wa tumbo moja na ESTA , wakipigana kwa sababu zisizoelezeka huku mke wangu akiwa upande wa ndugu yangu.

Nilifikiria kuhusu ESTA, nikagundua wamepanga kumuhamisha kwa nguvu, lakini madam si atarudi siku si nyingi? nilijiuliza

Nikarudi nyumbani,nakumbuka dada yangu na mke wangu walichachamaa huku wote wakidai,Bora wote
Wote tuondoke mkoani ili wewe ukae na ESTA

Mtu gani Kila tukimwambia hatumtaki anang'ang'ania tu , mtoe nakwambia muondoe huyo malaya wako, alizungumza mke wangu,
Huku nikimtazama nikikumbuka urafiki wao wa siku ya kwanza namna walivyokuwa wanakaribishana.

Wakati hayo yakiendelea ESTA alikuwa kashika mkoba mdogo wa kike mkononi huku akiwa na begi dogo la mgongoni,

Leta begi hilo, la kwako ? Yaani mchana kweupe unaniibia,
Ni maneno toka kwa dada yangu wa tumbo moja ambaye alishindwa kuwa na hekima ni kwasababu tu yalifanana, ESTA akarudisha like begi ndani akachukua la kwake,

Muda huu anaenda wapi huyu ,lazima nisimame kama mwanaume huku nikihakikisha , Kila mmoja namdhibiti , sikuwa na maneno na dada yangu, jicho nililomwangalia lilitosha kumfanya akimbilie chumbani kwake , huku nikitoa ukali na msimamo wenye kutaka Kila mmoja aingie ndani si ESTA Wala na nani , niliingia chumbani huku mke wangu akiwa Hana hata neno la kuniambia ikabidi atoke aingie kwenye chumba Chake anacholala na mtoto kwa kipindi hicho.

Nakumbuka nililala bila kula, saa kumi alfajiri niliamka nikajiandaa fresh, Kisha nikawaamsha wote,
Nikasema yafuatayo,

Hii nyumba kiongozi ni nani? Niliuliza

Wote wakajibu ni wewe.

Sasa kuanzia Leo naomba ESTA tafuta pa kwenda sitaki migogoro na malumbano yasiyo ya lazima ndani kwangu, lakini pia wewe mke wangu na dada yangu naomba mniandalie majibu mazuri ni kwanini mmekosa heshima na adabu kwa Sasa, au kwakuwa mama kaondoka ?

Nawapa kutwa nzima Kila mmoja awe na majibu, niliongea huku nikionesha sura ambayo hakuna aliyenijibu,

Sasa shemeji namimi nikupe jibu gani maana Mimi sijui chochote, aliongeza dada wa kazi akijitetea

Wewe haupo naongea na Hawa, nikainuka kuwahi kazini kwangu, kama kawaida shughuli ziliendelea huku uzoefu ukiongezeka, kiasi Cha baadhi ya wafanyakazi kuwa wanajiuliza vitu vingi kwangu ilinipa heshima kubwa kwenye kampuni.

Kama kawaida Kuna mdada ana kiherehere sana pale ofisini, aliingia huku akiwa na taarifa mpya, ambayo kwangu ilinistua,

Mr Daniel, Kuna tetesi nazisikia kuwa yule mke mdogo wa boss atakuja kampuni hii, na hapa tunapoongea yupo South Africa kwa mumewe . Ambako yametokea mabadiliko kwamba mtoto wa boss hatahusika Tena hapa Bali atashughulikia habari zake za ufuatiliaji wa mizigo toka nchi za nje na kuiingiza humu,

Ni kazi ambayo alikuwa nayo zamani kabla hajapandishwa cheo, Sasa sijui yule mwanamke akija hapa itakuwaje maana ni ana majungu sijapata kuona Tena ni mchawi sana yule yaani huwa simpendi basi tu.
Japokuwa haijawekwa wazi kuwa hapa atakuwa nani,
Alimalizia yule dada.

Haina shida Mimi naona Mimi na wewe haituhusu kwasababu atakuja kukaa kwenye nafasi yake na sisi tutampa heshima anayostahili,
Nilijibu kwa kujikaza.

Niliwaza sana kama yule atakuja pale ofisini kwetu maana kiukweli ni mtu mzuri mkiwasiliana mkiwa mbalimbali lakini hayuko poa mkiwa sehemu moja.

Anyway hayanihusu haya nitaongeza tu umakini.

Kuja kushtuka kumbe simu kutoka kwa ESTA iliita sana , ikabidi nimpigie ESTA mtu ambaye hajui kususa maana Mimi nilidhanj pengine hatonitafuta Tena huyu mwanamama.

Samahani shemu Mimi nipo sehemu tu kwa mjumbe wa mtaa huu hapa kwako, lengo la kukupigia simu ni kuulizia ule mpango vipi, maana hata eneo na frem nimeshapata siku nyingi sana kwahiyo nakusikiliza.
Alimalizia.

Subiri nitakuja hapohapo ulipo baadae usitoke.
Nikakata simu,

Nikakumbuka ninavyotoka asubuhi nyumbani nilichimba mkwara ambao lengo nikuwatuliza tu wale ili wasinipande kichwani, nikampigia simu mke wangu ambaye alikuwa mpole sana mithili ya kuniogopa, ila nikamtuliza tu.

Nikapanga lazima niende kwa ESTA kwasababu ya ule mpango wangu, isingekuwa huu mpango pengine ningemuacha apambane na hali yake.Japokuwa huu mpango ni kama hauna uhakika sana kwasababu nilizokuwa naziona ila bado nilikuwa na IMANI, nilitoka kazini nikitembea maeneo ya city centre huku nikiangalia maduka mazuri yanayouzwa nguo za kike,

Nikanunua nguo fulani za mke wangu( jina kapuni)
Bangili na urembo urembo nikaweka kwenye pocket huyooo kutafuta daladala zinazoelekea nje ya jiji.

Nikashuka kwenye daladala huku nikielekea kwa mama mmoja mjane ambaye ndiye mjumbe wetu aliyempokea ESTA.
Nilifika tukasalimiana maongezi yakawaanza

Kwanza baba nikushukuru kwa ukarimu wako wa kumpokea huyu ukakaa naye sikuzote hizo, japo ulifanya kosa kutokuziona mamlaka ili wajue kuwa unahifadhi mgeni,
Huyu ni binadamu angekufa ungefanyaje,?

Nikakiri kosa hasa ukizingatia hata mama yangu mzazi alishasema kipindi fulani nikapuuzia.

Akaendelea yule mjumbe..

Sasa naweza kuwaacha mkaongea wenyewe maana kaniambia wewe ndiye anakutegemea kwa vitu vingi kwa sasa.

Akatupisha,

Nilizungumza mengi na ESTA alishauri angepanga chumba, nilifikiria kidogo nikaona ni wazo zuri Bora apange, lengo awe kwenye himaya yangu mpaka nitakapopiga hela kwa madam, nikashauri atafute chumba kesho yake.
Huku nikimuita yule mama mjumbe.

Kwanza mama Mimi nikushukuru kwa kumpokea huyu ndugu yangu ni kwamba si Mimi niliyemfukuza Bali kalazimika kutoka, nilijitetea

Wewe mwananguu (akiongea kwa sauti ya chini ESTA asisikie)
Mwanamke mzuri Kama huyu unampotezaje? Yaani ningekuwa na mtoto wa kiume ningemwambia amuoe kabisa mtoto kaumbika mtoto mashallah, hebu mpangie chumba basi na wewe hutaki kuwa na wanawake wawili?

Maana kutwa nzima nilimuhoji ananiambia hujawahi hata kutembea naye mwanangu,? Acha uzembe bwanaaa, unaniangusha.aliongea bila breki yule mama mjumbe mswahili kupitiliza mwenye kabila fulani maarufu mwambao wa bahari ya hindi

Sikumjibu neno zaidi ya kucheka tu, nikiwaza jinsi watu tulivyokuwa nyuma kwenye mambo mengi,

Kweli Elimu ni muhimu, yaani kusoma si lazima upate kazi kwanza unaongeza ufahamu, hebu fikiria mtu anafahamiana na mwanamke kwa Mara ya kwanza tayari anawaza angekuwa na mtoto wa kiume amuoe. Hawazi kuhusu magonjwa ya zinaa na ukimwi. Yaani waswahili tunarahisisha sana mambo.

Na ndiko magonjwa mengi ya ngono yaliko,niliwaza sana.

Sasa baba yanguuu nisikufiche niwe mkweli Sina kitu humu ñdani, unaniachaje?

Aliongea yule mama ambaye huenda kwenye ujana wake alikuwa shangingi na sijui, ujumbe aliupataje
Ikabidi nimpe Msimbazi mmoja.
Huku nikiwaza kweli wanaume tumeumbwa mateso,

Yaani muda wote lazima uwe na hela japo do lazima kutoa, lakini Kuna ile kujiepusha na lawama ndogo ndogo.
Tukaagana huku nikisisitiza ESTA atafute chumba. Najua ule mpango wa Mimi na madam Sina uhakika ila ESTA simwachi lazima nibeti hebu fikiria unaipata milioni tano kwa pamoja bila kutumia nguvu nyingi.
Weeee ESTA ninaye , nilijisemea

Nikafika nyumbani kila huku Kila akiwa mtu mnyonge mnyonge, nikamuita mke wangu nikambembeleza plus uongo mwingi huyoo kalainika, niwanawake tu Hawa wametoka kwenye mbavu zetu. Kama huwezi kubembeleza mwanamke basi utapata tabu sana kwenye ndoa yako, watu wengi wameshindwa kukaa na wake au wapenzi kwa kujitia misimamo ambayo baadaye iligeuka Majuto.

Lazima muda mwingine umpe ushindi hata asiostahili kwa ustawi wa penzi au NDOA.
Tuliendelea kutaniana na mke wangu Huku nikiwa namsoma vitu Fulani Mara tukaitwa na dada wa kazi, natoka nje nakutana na mke wa Shedy akiwa kama kakasirika hivi,.

MADAM nasikia tetesi kuwa huenda tukawa sehemu moja, Haina shida je mpango wangu kwa ESTA utafanikiwa? Na ESTA simuachi

Mke wa Shedy anatafuta Nini huyu maan anajua wazi Hawa hatuna uhusiano nao mzuri.

Sehemu ijayo Ina majibu.usichoke

Inaendeleaa.......
Hakuna wa kuchoka ndugu we endelea kushusha vtu tu
 
SEHEMU INAYOFUATA..........

Jambo ambalo lilikwamisha mpango wa Mimi na ESTA kuhusu biashara ya saloon,ni baada ya madam kusafiri kwa muda wa wiki nzima huku akiniahidi akirudi mipango itakuwa kama kawaida.

Matukio ya kununiana bila sababu ndani ya nyumba, mashtaka mbalimbali yalijitokeza ila ilikuwa ni kama kawaida tu kwakuwa wanawake ndivyo walivyo,

Kuna siku nikiwa ofisini nilipokea taarifa ya watu kuumizana Kati ya Dada yangu wa tumbo moja na ESTA , wakipigana kwa sababu zisizoelezeka huku mke wangu akiwa upande wa ndugu yangu.

Nilifikiria kuhusu ESTA, nikagundua wamepanga kumuhamisha kwa nguvu, lakini madam si atarudi siku si nyingi? nilijiuliza

Nikarudi nyumbani,nakumbuka dada yangu na mke wangu walichachamaa huku wote wakidai,Bora wote
Wote tuondoke mkoani ili wewe ukae na ESTA

Mtu gani Kila tukimwambia hatumtaki anang'ang'ania tu , mtoe nakwambia muondoe huyo malaya wako, alizungumza mke wangu,
Huku nikimtazama nikikumbuka urafiki wao wa siku ya kwanza namna walivyokuwa wanakaribishana.

Wakati hayo yakiendelea ESTA alikuwa kashika mkoba mdogo wa kike mkononi huku akiwa na begi dogo la mgongoni,

Leta begi hilo, la kwako ? Yaani mchana kweupe unaniibia,
Ni maneno toka kwa dada yangu wa tumbo moja ambaye alishindwa kuwa na hekima ni kwasababu tu yalifanana, ESTA akarudisha like begi ndani akachukua la kwake,

Muda huu anaenda wapi huyu ,lazima nisimame kama mwanaume huku nikihakikisha , Kila mmoja namdhibiti , sikuwa na maneno na dada yangu, jicho nililomwangalia lilitosha kumfanya akimbilie chumbani kwake , huku nikitoa ukali na msimamo wenye kutaka Kila mmoja aingie ndani si ESTA Wala na nani , niliingia chumbani huku mke wangu akiwa Hana hata neno la kuniambia ikabidi atoke aingie kwenye chumba Chake anacholala na mtoto kwa kipindi hicho.

Nakumbuka nililala bila kula, saa kumi alfajiri niliamka nikajiandaa fresh, Kisha nikawaamsha wote,
Nikasema yafuatayo,

Hii nyumba kiongozi ni nani? Niliuliza

Wote wakajibu ni wewe.

Sasa kuanzia Leo naomba ESTA tafuta pa kwenda sitaki migogoro na malumbano yasiyo ya lazima ndani kwangu, lakini pia wewe mke wangu na dada yangu naomba mniandalie majibu mazuri ni kwanini mmekosa heshima na adabu kwa Sasa, au kwakuwa mama kaondoka ?

Nawapa kutwa nzima Kila mmoja awe na majibu, niliongea huku nikionesha sura ambayo hakuna aliyenijibu,

Sasa shemeji namimi nikupe jibu gani maana Mimi sijui chochote, aliongeza dada wa kazi akijitetea

Wewe haupo naongea na Hawa, nikainuka kuwahi kazini kwangu, kama kawaida shughuli ziliendelea huku uzoefu ukiongezeka, kiasi Cha baadhi ya wafanyakazi kuwa wanajiuliza vitu vingi kwangu ilinipa heshima kubwa kwenye kampuni.

Kama kawaida Kuna mdada ana kiherehere sana pale ofisini, aliingia huku akiwa na taarifa mpya, ambayo kwangu ilinistua,

Mr Daniel, Kuna tetesi nazisikia kuwa yule mke mdogo wa boss atakuja kampuni hii, na hapa tunapoongea yupo South Africa kwa mumewe . Ambako yametokea mabadiliko kwamba mtoto wa boss hatahusika Tena hapa Bali atashughulikia habari zake za ufuatiliaji wa mizigo toka nchi za nje na kuiingiza humu,

Ni kazi ambayo alikuwa nayo zamani kabla hajapandishwa cheo, Sasa sijui yule mwanamke akija hapa itakuwaje maana ni ana majungu sijapata kuona Tena ni mchawi sana yule yaani huwa simpendi basi tu.
Japokuwa haijawekwa wazi kuwa hapa atakuwa nani,
Alimalizia yule dada.

Haina shida Mimi naona Mimi na wewe haituhusu kwasababu atakuja kukaa kwenye nafasi yake na sisi tutampa heshima anayostahili,
Nilijibu kwa kujikaza.

Niliwaza sana kama yule atakuja pale ofisini kwetu maana kiukweli ni mtu mzuri mkiwasiliana mkiwa mbalimbali lakini hayuko poa mkiwa sehemu moja.

Anyway hayanihusu haya nitaongeza tu umakini.

Kuja kushtuka kumbe simu kutoka kwa ESTA iliita sana , ikabidi nimpigie ESTA mtu ambaye hajui kususa maana Mimi nilidhanj pengine hatonitafuta Tena huyu mwanamama.

Samahani shemu Mimi nipo sehemu tu kwa mjumbe wa mtaa huu hapa kwako, lengo la kukupigia simu ni kuulizia ule mpango vipi, maana hata eneo na frem nimeshapata siku nyingi sana kwahiyo nakusikiliza.
Alimalizia.

Subiri nitakuja hapohapo ulipo baadae usitoke.
Nikakata simu,

Nikakumbuka ninavyotoka asubuhi nyumbani nilichimba mkwara ambao lengo nikuwatuliza tu wale ili wasinipande kichwani, nikampigia simu mke wangu ambaye alikuwa mpole sana mithili ya kuniogopa, ila nikamtuliza tu.

Nikapanga lazima niende kwa ESTA kwasababu ya ule mpango wangu, isingekuwa huu mpango pengine ningemuacha apambane na hali yake.Japokuwa huu mpango ni kama hauna uhakika sana kwasababu nilizokuwa naziona ila bado nilikuwa na IMANI, nilitoka kazini nikitembea maeneo ya city centre huku nikiangalia maduka mazuri yanayouzwa nguo za kike,

Nikanunua nguo fulani za mke wangu( jina kapuni)
Bangili na urembo urembo nikaweka kwenye pocket huyooo kutafuta daladala zinazoelekea nje ya jiji.

Nikashuka kwenye daladala huku nikielekea kwa mama mmoja mjane ambaye ndiye mjumbe wetu aliyempokea ESTA.
Nilifika tukasalimiana maongezi yakawaanza

Kwanza baba nikushukuru kwa ukarimu wako wa kumpokea huyu ukakaa naye sikuzote hizo, japo ulifanya kosa kutokuziona mamlaka ili wajue kuwa unahifadhi mgeni,
Huyu ni binadamu angekufa ungefanyaje,?

Nikakiri kosa hasa ukizingatia hata mama yangu mzazi alishasema kipindi fulani nikapuuzia.

Akaendelea yule mjumbe..

Sasa naweza kuwaacha mkaongea wenyewe maana kaniambia wewe ndiye anakutegemea kwa vitu vingi kwa sasa.

Akatupisha,

Nilizungumza mengi na ESTA alishauri angepanga chumba, nilifikiria kidogo nikaona ni wazo zuri Bora apange, lengo awe kwenye himaya yangu mpaka nitakapopiga hela kwa madam, nikashauri atafute chumba kesho yake.
Huku nikimuita yule mama mjumbe.

Kwanza mama Mimi nikushukuru kwa kumpokea huyu ndugu yangu ni kwamba si Mimi niliyemfukuza Bali kalazimika kutoka, nilijitetea

Wewe mwananguu (akiongea kwa sauti ya chini ESTA asisikie)
Mwanamke mzuri Kama huyu unampotezaje? Yaani ningekuwa na mtoto wa kiume ningemwambia amuoe kabisa mtoto kaumbika mtoto mashallah, hebu mpangie chumba basi na wewe hutaki kuwa na wanawake wawili?

Maana kutwa nzima nilimuhoji ananiambia hujawahi hata kutembea naye mwanangu,? Acha uzembe bwanaaa, unaniangusha.aliongea bila breki yule mama mjumbe mswahili kupitiliza mwenye kabila fulani maarufu mwambao wa bahari ya hindi

Sikumjibu neno zaidi ya kucheka tu, nikiwaza jinsi watu tulivyokuwa nyuma kwenye mambo mengi,

Kweli Elimu ni muhimu, yaani kusoma si lazima upate kazi kwanza unaongeza ufahamu, hebu fikiria mtu anafahamiana na mwanamke kwa Mara ya kwanza tayari anawaza angekuwa na mtoto wa kiume amuoe. Hawazi kuhusu magonjwa ya zinaa na ukimwi. Yaani waswahili tunarahisisha sana mambo.

Na ndiko magonjwa mengi ya ngono yaliko,niliwaza sana.

Sasa baba yanguuu nisikufiche niwe mkweli Sina kitu humu ñdani, unaniachaje?

Aliongea yule mama ambaye huenda kwenye ujana wake alikuwa shangingi na sijui, ujumbe aliupataje
Ikabidi nimpe Msimbazi mmoja.
Huku nikiwaza kweli wanaume tumeumbwa mateso,

Yaani muda wote lazima uwe na hela japo do lazima kutoa, lakini Kuna ile kujiepusha na lawama ndogo ndogo.
Tukaagana huku nikisisitiza ESTA atafute chumba. Najua ule mpango wa Mimi na madam Sina uhakika ila ESTA simwachi lazima nibeti hebu fikiria unaipata milioni tano kwa pamoja bila kutumia nguvu nyingi.
Weeee ESTA ninaye , nilijisemea

Nikafika nyumbani kila huku Kila akiwa mtu mnyonge mnyonge, nikamuita mke wangu nikambembeleza plus uongo mwingi huyoo kalainika, niwanawake tu Hawa wametoka kwenye mbavu zetu. Kama huwezi kubembeleza mwanamke basi utapata tabu sana kwenye ndoa yako, watu wengi wameshindwa kukaa na wake au wapenzi kwa kujitia misimamo ambayo baadaye iligeuka Majuto.

Lazima muda mwingine umpe ushindi hata asiostahili kwa ustawi wa penzi au NDOA.
Tuliendelea kutaniana na mke wangu Huku nikiwa namsoma vitu Fulani Mara tukaitwa na dada wa kazi, natoka nje nakutana na mke wa Shedy akiwa kama kakasirika hivi,.

MADAM nasikia tetesi kuwa huenda tukawa sehemu moja, Haina shida je mpango wangu kwa ESTA utafanikiwa? Na ESTA simuachi

Mke wa Shedy anatafuta Nini huyu maan anajua wazi Hawa hatuna uhusiano nao mzuri.

Sehemu ijayo Ina majibu.usichoke

Inaendeleaa.......
Nimekuwa mtumwa na story hi kila saa nachunguliaa Kama imeshushwa kipande kipya
 
Unatuangusha mkuu niko hapa na hanson's choice naifatilia kwa hamu
Kinywaji pendwa
IMG_20220523_223252.jpg
 
SEHEMU INAYOFUATA.........

Kila mtu alishangaa ujio wa mke wa Shedy nyumbani kwetu, tukiwa na shauku ya kutaka kujua anataka nini,

Si mgeni sana kwangu, labda kwa mke wangu,
Tumetoka mkoa mmoja, ni mwanamke ambaye ananiheshimu tu akitaka ila akiamua huwa ananisimanga kama mwanaye nikionesha mtazamo tofauti na yeye, labda kwakuwa tunafahamiana kitambo

Habari shemu, habari za utokako, nilimsalimia.

Kwema kiasi, au si kwema kabisa na naomba kwa kufupisha tu nilikuwa naomba tuzungumze wawili tu mi na wewe. Alizungumza mke wa Shedy.

Weeeeeeeeeh ishia hapohapo msipende kunigeuza mwendawazimu au mtu nisiyejitambua , yaani uongee na mume wangu wapi, mmezoea eeh?
Sasa nikwambie tu kuwa ongea hapahapa mbele yangu, kama hawezi uondoke, aling'aka mke wangu.

Ikabidi mke wa Shedy awe Mpole.

Jamani kwa nakuomba sana mdogo wangu nisamehe sana lakini lengo la kutaka kuzungumza faragha na mumeo si baya ila kwakuwa huna Imani basi nitaongea tu,
Bila kupoteza muda ni kwamba, nimekuja kwa lengo la kuwaomba sana mtusaidie jambo Mimi na mume wangu, ni kuhusu biashara na mambo yetu yaani hayaendi kabisa siku hizi. na Kila tunachokifanya hakiendi kabisa.

Lakini mume wangu Kuna ukweli ambao, kanieleza ni baada ya kuwa kila tukienda kwa wataalamu wanasema Kuna mtu Ana manung'unuko juu yake na ndiyo maana mambo hayaendi, aliweka kituo

Kwahiyo huyo mtaalamu kakuambia mume wangu au sisi ndiyo chanzo? Tena weee dada utukome, mbona mnatusingizia sisi? mke wangu alikuwa moto kiasi Cha kunishangaza ,

Hapana ndugu yangu siyo nyinyi nimembana mume wangu kaniambia Kuna mtu anaitwa ESTA na anaishi hapa, naomba kama yupo niitiwe Nina maongezi marefu sana, alimalizia.

Hapana shemu huyo mtu hapa kashahama muda tu, hatujui alipo labda nikupe namba zake, nilimjibu kwa mtego,

sawa nipe namba zake niwasiliane naye, alijibu.

Sawa,
Unajua shemu huwezi kuleta taarifa ya kwamba maisha yako yanashuka Kila kitu kinayumba halafu eti Kuna mtu anasababisha,

Hivi nakupatiaje hiyo namba mkiumizana je?

Hapo ulipo tu umekuja huku nikikuona ulivyo mshari, halafu nikupe namba ukiua?
Wewe mtafute kwa njia zingine kwangu Hilo halitawezekana
Nilimjibu.

Ujue shemu,tumefikia nyakati mbaya kimahusiano Kati yetu na sisi,siamini kama ni wale ambao tulikuwa tukitembeleana na kufurahi Mara kwa Mara yaani tumetengana, nasikia tu juu juu kuwa hata mkeo kajifungua,lakini jamani hata taarifa Mimi nadhani lazima wote wanne Mimi na mume wangu na nyinyi tukae chini tujue ni shetani gani anatuvuruga,...............

Shetani gani, malaya wakubwa nyie, yaani wewe wa kutafuta shetani?
Wakati mumeo kazi yake ni kutembea na watu kusudi aibe nyota za watu kwaajili ya kukuza biashara yake, hapa unamtafuta ESTA kwasababu gani,

Bila aibu wakati rafiki yake yupo mahabusu alinitaka nilale naye ndipo anisaidie,Sasa ndiyo nimejua,kumbe huwa anawatumia wanawake kama mtaji wake huyo malaya wako?
Kwa taarifa yenu kama ulimtuma alale na Mimi kusudi mkuze biashara yenu ,Mimi sipo hivyo wanaharamu wakubwa nyie,aliongea mke wangu kiasi Cha yule mgeni kuinuka,bila kuaga.

Nakumbuka mke wangu alizungumza mengi sana ambayo anayasikia kuhusu Shedy juu ya kuwatumia wanawake kama njia ya kupandisha nyota yake.

Nilicheka sana,usiku ule nikiwaza jinsi watu wanavyoamini ushirikina kupita kiasi ,hivi kweli mtu huwezi kupush biashara yako bila ndumba?

Mimi mwenyewe Nina mpango wa kuanzisha biashara yoyote kulingana na hali ya uchumi ilivyo lazima niwe na vitega uchumi kwahiyo natakiwa kuwa mshirikina tena,,,,hapaaaana

Siyo kihivyo mi naamini kwenye mipango na mikakati,na ndiyo maana yapo masomo yanayohusu biashara hata Kama Mimi sijui lakini nitatafuta wataalamu wabibezi wa business watanielewesha tu na si ushirikina.

Niliamka asubuhi nikiwa nachati kisiri na ESTA nikiuliza wapi tukutane nimpe hela ya Kodi,

Tukakutana alishukuru sana, japokuwa wanawake Wana udhaifu fulani baada ya kusaidiwa,alionesha mahaba ya wazi sana kwangu, pengine alihisi Yale nayoyafanya namtaka,kumbe siyo,

Sasa shemu Mimi naenda kulipa hii hela japo mwenye nyumba alikuwa anataka miezi sita lakini nilimwambia hali yangu akadai hata miezi mitatu poa tu,Sasa shemu nakuomba sana uje baadaye ukione chumba nitakacholipia lakini pia nitaenda kwa rafiki yangu mmoja kuchukua vitu vyangu ikiwemo kitanda ambavyo niliweka pale baada ya kufukuzwa nilikokuwa nimepanga, alizungumza kana kwamba anamwambia mpenzi wake,

Lakini nilikuwa imara kama ukuta wa Berlin juu ya vishawishi vyake,nikawahi kazini,

Huku nilikuta mapya tofauti na niliyoyaacha jana,ubize wa watu ukiongezeka huku mazingira yakiwa yanasafishwa kwaajili ya ujio wa boss kutoka South Africa, nikajisemea kweli kama boss mwanaume anakuja basi ile taarifa ya madam kuwa hapa huenda ikawa ya kweli.
Nikatulia zangu ofisini nikipangilia vitu kwenye desktop yangu, kujiandaa maana Mimi ni mfanyakazi mpya hapa licha ya kuwa mzee ananifahamu lakini huenda kukawa na maswali juu yangu.

Nakumbuka baada ya zoezi Lile mida ya saa tano aliingia,akitokea kwenye moja ya sehemu za kishua (jina kapuni) yalipo makazi yake

Tukaitwa wote kwenye ukumbi mdogo ambao sikuwa naufahamu, huku nikiwaza Jana tu , niliambiwa wapo na mkewe south Africa, Leo wapo hapa, lakini yalikuwa mawazo ya kimaskini kwangu,

Boss aliingia huku akiwa na vijana fulani wa kisomali pamoja na MADAM,

Madamu akiwa amependeza sana, macho yaligongana akatabasamu , hali iliyopelekea wafanyakazi wenzangu kushangaaa, lakini Mimi nilikuwa najua,

Kikao kidogo kilianza huku utani ukitawala kama mjuavyo wengi huwa tunatetemeka tukiwa na mtu mzito kwahiyo lazima akutanie kukutoa hofu.

Wewe mrefu kama mcheza kikapu huku umekuja lini tena? Aliuliza yule taita

Nikajieleza kana kwamba hajui ujio wangu, watu wakacheka sana.

Inabidi tuanzishe basketball au siyo manager? Tulitaniana Kisha akatueleza juu ya mabadiliko aliyofanya,

Kwanza kwenye ofisi yangu niliongezewa mtu tukawa wawili ni yule dada mwenye kiherehere huwa anapenda sana kuwa karibu na Mimi.

Pili tetesi juu ya kurudi kwa madamu haikuwa kweli ni , hali iliyopelekea nikafurahi sana,

Nilifikiria kamleta huyu hapa (madam)
Lakini mwenyewe kakataa kasema Bora abaki kwenye second company kwahiyo hapa mtakuwa na huyu akitutambulisha kijana fulani wa kisomali ambaye alichangamka sana huku akiwa analazimisha kiswahili ambacho hakuwa anakijua vizuri.

Tulimaliza kikao kile huku Kila mmoja akirudi kuwajibika kwa ofisi yake wakidai wao wanaelekea kwenye kampuni ya pili, kabla hawajaondoka madam aliniita..

Nambie tolu, habari za siku naona unazidi kunawiri mwenyewe,

Hapana madam, kawaida tu za safari, niliuliza.

Nzuri, ila sikwenda mbali nilikuwa hapa hapa ni baada ya kumpokea mume wangu nikawaambia watu kuwa nimesafiri kupunguza kero za simu, aliongea kwa kujiamini.

Sasa Kuna kiasi kidogo Cha pesa nimekuletea kwaajili ya ESTA nyingine nitakutumia kwenye account yako baadae nilimaliza mambo yangu , akamtuma msichana fulani kwenye gari amletee bahasha fulani akanipa ,

Si umesema ushapata fremu?
Aliuliza .Nikamjibu

Eee hiyo kalipe fremu na nyingine nitakutumia baadaye .

Kwahiyo madamu nikishalipa wewe utakuja lini kuliona,
Niliuliza kwa sababu nilizokuwa nazo.

Wewe toluuuu, kwani hiyo biashara ya kwangu Mimi? Wewe kalipe Mimi sihitaji hata kupajua, nimekuamini najua utamsadia yule dada, Tena sikia hakikisha unatumia ufundi wako wote kuhakikisha anakubali tupatane.tulikatisha mazunguzo baada ya mumewe kuja usawa wetu tayari kwa msafara wao.

Kuna baadhi ya wafanyakazi wenzangu walikuwa wakiniangalia sana juu ya ukaribu na yule Madam
Kwao ni mtu mzito wanamuogopa walishangaa akiongea na Mimi huku tukicheka , nilirudi ofisini huku nikiwa Nina shauku ya kuhesabu zile hela,

Niliingia ndani, nikafunga mlango, nikahesab nikapata kiasi Cha milioni nne na nusu, kwanza nilishangaa yaani hii ni hela ya frem tu?

Nikajiongeza labda alijua saloon itafunguliwa mitaa ya uzunguni ila hata kama.
Nikafikiria kuwa ESTA kaniambia fremu moja ni elfu sitini sabini kwa mwezi mahali alipopopata kwahiyo tukilipa miezi sita au mwaka, bado kiasi kikubwa kitabaki, Siyo mbaya

Niliendelea na kazi huku nikiwa natabasamu Kila saa kwa kufurahi, nilimaliza kazi zangu nijafunga ofisi nikaondoka huku nikiwa napanga maneno jinsi gani nitamwambia kuwa haya yote ninayofanya nimemkopesha au nimemsaidia?

ESTA ananiona kama ni wa kipekee kabisa, namna nilivyojitoa kwake, hajui kama Nina malengo yangu.anahisi namtaka

Madam anatoa kiasi Cha pesa kusaidia/au kuomba msamaha kwa ESTA kwa Yale waliyofanyiana kwenye usichana wao.

Mimi nipo katikati yao hakuna anayejua mawazo yangu.

Msichoke inaitwa
MIMI NA BOSS WANGU.

Inaendeleaa...................

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU INAYOFUATA.........

Kila mtu alishangaa ujio wa mke wa Shedy nyumbani kwetu, tukiwa na shauku ya kutaka kujua anataka nini,

Si mgeni sana kwangu, labda kwa mke wangu,
Tumetoka mkoa mmoja, ni mwanamke ambaye ananiheshimu tu akitaka ila akiamua huwa ananisimanga kama mwanaye nikionesha mtazamo tofauti na yeye, labda kwakuwa tunafahamiana kitambo

Habari shemu, habari za utokako, nilimsalimia.

Kwema kiasi, au si kwema kabisa na naomba kwa kufupisha tu nilikuwa naomba tuzungumze wawili tu mi na wewe. Alizungumza mke wa Shedy.

Weeeeeeeeeh ishia hapohapo msipende kunigeuza mwendawazimu au mtu nisiyejitambua , yaani uongee na mume wangu wapi, mmezoea eeh?
Sasa nikwambie tu kuwa ongea hapahapa mbele yangu, kama hawezi uondoke, aling'aka mke wangu.

Ikabidi mke wa Shedy awe Mpole.

Jamani kwa nakuomba sana mdogo wangu nisamehe sana lakini lengo la kutaka kuzungumza faragha na mumeo si baya ila kwakuwa huna Imani basi nitaongea tu,
Bila kupoteza muda ni kwamba, nimekuja kwa lengo la kuwaomba sana mtusaidie jambo Mimi na mume wangu, ni kuhusu biashara na mambo yetu yaani hayaendi kabisa siku hizi. na Kila tunachokifanya hakiendi kabisa.

Lakini mume wangu Kuna ukweli ambao, kanieleza ni baada ya kuwa kila tukienda kwa wataalamu wanasema Kuna mtu Ana manung'unuko juu yake na ndiyo maana mambo hayaendi, aliweka kituo

Kwahiyo huyo mtaalamu kakuambia mume wangu au sisi ndiyo chanzo? Tena weee dada utukome, mbona mnatusingizia sisi? mke wangu alikuwa moto kiasi Cha kunishangaza ,

Hapana ndugu yangu siyo nyinyi nimembana mume wangu kaniambia Kuna mtu anaitwa ESTA na anaishi hapa, naomba kama yupo niitiwe Nina maongezi marefu sana, alimalizia.

Hapana shemu huyo mtu hapa kashahama muda tu, hatujui alipo labda nikupe namba zake, nilimjibu kwa mtego,

sawa nipe namba zake niwasiliane naye, alijibu.

Sawa,
Unajua shemu huwezi kuleta taarifa ya kwamba maisha yako yanashuka Kila kitu kinayumba halafu eti Kuna mtu anasababisha,

Hivi nakupatiaje hiyo namba mkiumizana je?

Hapo ulipo tu umekuja huku nikikuona ulivyo mshari, halafu nikupe namba ukiua?
Wewe mtafute kwa njia zingine kwangu Hilo halitawezekana
Nilimjibu.

Ujue shemu,tumefikia nyakati mbaya kimahusiano Kati yetu na sisi,siamini kama ni wale ambao tulikuwa tukitembeleana na kufurahi Mara kwa Mara yaani tumetengana, nasikia tu juu juu kuwa hata mkeo kajifungua,lakini jamani hata taarifa Mimi nadhani lazima wote wanne Mimi na mume wangu na nyinyi tukae chini tujue ni shetani gani anatuvuruga,...............

Shetani gani, malaya wakubwa nyie, yaani wewe wa kutafuta shetani?
Wakati mumeo kazi yake ni kutembea na watu kusudi aibe nyota za watu kwaajili ya kukuza biashara yake, hapa unamtafuta ESTA kwasababu gani,

Bila aibu wakati rafiki yake yupo mahabusu alinitaka nilale naye ndipo anisaidie,Sasa ndiyo nimejua,kumbe huwa anawatumia wanawake kama mtaji wake huyo malaya wako?
Kwa taarifa yenu kama ulimtuma alale na Mimi kusudi mkuze biashara yenu ,Mimi sipo hivyo wanaharamu wakubwa nyie,aliongea mke wangu kiasi Cha yule mgeni kuinuka,bila kuaga.

Nakumbuka mke wangu alizungumza mengi sana ambayo anayasikia kuhusu Shedy juu ya kuwatumia wanawake kama njia ya kupandisha nyota yake.

Nilicheka sana,usiku ule nikiwaza jinsi watu wanavyoamini ushirikina kupita kiasi ,hivi kweli mtu huwezi kupush biashara yako bila ndumba?

Mimi mwenyewe Nina mpango wa kuanzisha biashara yoyote kulingana na hali ya uchumi ilivyo lazima niwe na vitega uchumi kwahiyo natakiwa kuwa mshirikina tena,,,,hapaaaana

Siyo kihivyo mi naamini kwenye mipango na mikakati,na ndiyo maana yapo masomo yanayohusu biashara hata Kama Mimi sijui lakini nitatafuta wataalamu wabibezi wa business watanielewesha tu na si ushirikina.

Niliamka asubuhi nikiwa nachati kisiri na ESTA nikiuliza wapi tukutane nimpe hela ya Kodi,

Tukakutana alishukuru sana, japokuwa wanawake Wana udhaifu fulani baada ya kusaidiwa,alionesha mahaba ya wazi sana kwangu, pengine alihisi Yale nayoyafanya namtaka,kumbe siyo,

Sasa shemu Mimi naenda kulipa hii hela japo mwenye nyumba alikuwa anataka miezi sita lakini nilimwambia hali yangu akadai hata miezi mitatu poa tu,Sasa shemu nakuomba sana uje baadaye ukione chumba nitakacholipia lakini pia nitaenda kwa rafiki yangu mmoja kuchukua vitu vyangu ikiwemo kitanda ambavyo niliweka pale baada ya kufukuzwa nilikokuwa nimepanga, alizungumza kana kwamba anamwambia mpenzi wake,

Lakini nilikuwa imara kama ukuta wa Berlin juu ya vishawishi vyake,nikawahi kazini,

Huku nilikuta mapya tofauti na niliyoyaacha jana,ubize wa watu ukiongezeka huku mazingira yakiwa yanasafishwa kwaajili ya ujio wa boss kutoka South Africa, nikajisemea kweli kama boss mwanaume anakuja basi ile taarifa ya madam kuwa hapa huenda ikawa ya kweli.
Nikatulia zangu ofisini nikipangilia vitu kwenye desktop yangu, kujiandaa maana Mimi ni mfanyakazi mpya hapa licha ya kuwa mzee ananifahamu lakini huenda kukawa na maswali juu yangu.

Nakumbuka baada ya zoezi Lile mida ya saa tano aliingia,akitokea kwenye moja ya sehemu za kishua (jina kapuni) yalipo makazi yake

Tukaitwa wote kwenye ukumbi mdogo ambao sikuwa naufahamu, huku nikiwaza Jana tu , niliambiwa wapo na mkewe south Africa, Leo wapo hapa, lakini yalikuwa mawazo ya kimaskini kwangu,

Boss aliingia huku akiwa na vijana fulani wa kisomali pamoja na MADAM,

Madamu akiwa amependeza sana, macho yaligongana akatabasamu , hali iliyopelekea wafanyakazi wenzangu kushangaaa, lakini Mimi nilikuwa najua,

Kikao kidogo kilianza huku utani ukitawala kama mjuavyo wengi huwa tunatetemeka tukiwa na mtu mzito kwahiyo lazima akutanie kukutoa hofu.

Wewe mrefu kama mcheza kikapu huku umekuja lini tena? Aliuliza yule taita

Nikajieleza kana kwamba hajui ujio wangu, watu wakacheka sana.

Inabidi tuanzishe basketball au siyo manager? Tulitaniana Kisha akatueleza juu ya mabadiliko aliyofanya,

Kwanza kwenye ofisi yangu niliongezewa mtu tukawa wawili ni yule dada mwenye kiherehere huwa anapenda sana kuwa karibu na Mimi.

Pili tetesi juu ya kurudi kwa madamu haikuwa kweli ni , hali iliyopelekea nikafurahi sana,

Nilifikiria kamleta huyu hapa (madam)
Lakini mwenyewe kakataa kasema Bora abaki kwenye second company kwahiyo hapa mtakuwa na huyu akitutambulisha kijana fulani wa kisomali ambaye alichangamka sana huku akiwa analazimisha kiswahili ambacho hakuwa anakijua vizuri.

Tulimaliza kikao kile huku Kila mmoja akirudi kuwajibika kwa ofisi yake wakidai wao wanaelekea kwenye kampuni ya pili, kabla hawajaondoka madam aliniita..

Nambie tolu, habari za siku naona unazidi kunawiri mwenyewe,

Hapana madam, kawaida tu za safari, niliuliza.

Nzuri, ila sikwenda mbali nilikuwa hapa hapa ni baada ya kumpokea mume wangu nikawaambia watu kuwa nimesafiri kupunguza kero za simu, aliongea kwa kujiamini.

Sasa Kuna kiasi kidogo Cha pesa nimekuletea kwaajili ya ESTA nyingine nitakutumia kwenye account yako baadae nilimaliza mambo yangu , akamtuma msichana fulani kwenye gari amletee bahasha fulani akanipa ,

Si umesema ushapata fremu?
Aliuliza .Nikamjibu

Eee hiyo kalipe fremu na nyingine nitakutumia baadaye .

Kwahiyo madamu nikishalipa wewe utakuja lini kuliona,
Niliuliza kwa sababu nilizokuwa nazo.

Wewe toluuuu, kwani hiyo biashara ya kwangu Mimi? Wewe kalipe Mimi sihitaji hata kupajua, nimekuamini najua utamsadia yule dada, Tena sikia hakikisha unatumia ufundi wako wote kuhakikisha anakubali tupatane.tulikatisha mazunguzo baada ya mumewe kuja usawa wetu tayari kwa msafara wao.

Kuna baadhi ya wafanyakazi wenzangu walikuwa wakiniangalia sana juu ya ukaribu na yule Madam
Kwao ni mtu mzito wanamuogopa walishangaa akiongea na Mimi huku tukicheka , nilirudi ofisini huku nikiwa Nina shauku ya kuhesabu zile hela,

Niliingia ndani, nikafunga mlango, nikahesab nikapata kiasi Cha milioni nne na nusu, kwanza nilishangaa yaani hii ni hela ya frem tu?

Nikajiongeza labda alijua saloon itafunguliwa mitaa ya uzunguni ila hata kama.
Nikafikiria kuwa ESTA kaniambia fremu moja ni elfu sitini sabini kwa mwezi mahali alipopopata kwahiyo tukilipa miezi sita au mwaka, bado kiasi kikubwa kitabaki, Siyo mbaya

Niliendelea na kazi huku nikiwa natabasamu Kila saa kwa kufurahi, nilimaliza kazi zangu nijafunga ofisi nikaondoka huku nikiwa napanga maneno jinsi gani nitamwambia kuwa haya yote ninayofanya nimemkopesha au nimemsaidia?

ESTA ananiona kama ni wa kipekee kabisa, namna nilivyojitoa kwake, hajui kama Nina malengo yangu.anahisi namtaka

Madam anatoa kiasi Cha pesa kusaidia/au kuomba msamaha kwa ESTA kwa Yale waliyofanyiana kwenye usichana wao.

Mimi nipo katikati yao hakuna anayejua mawazo yangu.

Msichoke inaitwa
MIMI NA BOSS WANGU.

Inaendeleaa...................

Sent using Jamii Forums mobile app
Kachukue Jack Daniel kwa Shedy Bill yote juu yangu.
 
Niko kwa mwamposa Happ wakti shuhud zinaendelea acha nipitie Uzi wako

Mwambie shedy aje achukue mafuta na maji ya upako mamb yatakah sawaa
 
SEHEMU INAYOFUATA.........

Kila mtu alishangaa ujio wa mke wa Shedy nyumbani kwetu, tukiwa na shauku ya kutaka kujua anataka nini,

Si mgeni sana kwangu, labda kwa mke wangu,
Tumetoka mkoa mmoja, ni mwanamke ambaye ananiheshimu tu akitaka ila akiamua huwa ananisimanga kama mwanaye nikionesha mtazamo tofauti na yeye, labda kwakuwa tunafahamiana kitambo

Habari shemu, habari za utokako, nilimsalimia.

Kwema kiasi, au si kwema kabisa na naomba kwa kufupisha tu nilikuwa naomba tuzungumze wawili tu mi na wewe. Alizungumza mke wa Shedy.

Weeeeeeeeeh ishia hapohapo msipende kunigeuza mwendawazimu au mtu nisiyejitambua , yaani uongee na mume wangu wapi, mmezoea eeh?
Sasa nikwambie tu kuwa ongea hapahapa mbele yangu, kama hawezi uondoke, aling'aka mke wangu.

Ikabidi mke wa Shedy awe Mpole.

Jamani kwa nakuomba sana mdogo wangu nisamehe sana lakini lengo la kutaka kuzungumza faragha na mumeo si baya ila kwakuwa huna Imani basi nitaongea tu,
Bila kupoteza muda ni kwamba, nimekuja kwa lengo la kuwaomba sana mtusaidie jambo Mimi na mume wangu, ni kuhusu biashara na mambo yetu yaani hayaendi kabisa siku hizi. na Kila tunachokifanya hakiendi kabisa.

Lakini mume wangu Kuna ukweli ambao, kanieleza ni baada ya kuwa kila tukienda kwa wataalamu wanasema Kuna mtu Ana manung'unuko juu yake na ndiyo maana mambo hayaendi, aliweka kituo

Kwahiyo huyo mtaalamu kakuambia mume wangu au sisi ndiyo chanzo? Tena weee dada utukome, mbona mnatusingizia sisi? mke wangu alikuwa moto kiasi Cha kunishangaza ,

Hapana ndugu yangu siyo nyinyi nimembana mume wangu kaniambia Kuna mtu anaitwa ESTA na anaishi hapa, naomba kama yupo niitiwe Nina maongezi marefu sana, alimalizia.

Hapana shemu huyo mtu hapa kashahama muda tu, hatujui alipo labda nikupe namba zake, nilimjibu kwa mtego,

sawa nipe namba zake niwasiliane naye, alijibu.

Sawa,
Unajua shemu huwezi kuleta taarifa ya kwamba maisha yako yanashuka Kila kitu kinayumba halafu eti Kuna mtu anasababisha,

Hivi nakupatiaje hiyo namba mkiumizana je?

Hapo ulipo tu umekuja huku nikikuona ulivyo mshari, halafu nikupe namba ukiua?
Wewe mtafute kwa njia zingine kwangu Hilo halitawezekana
Nilimjibu.

Ujue shemu,tumefikia nyakati mbaya kimahusiano Kati yetu na sisi,siamini kama ni wale ambao tulikuwa tukitembeleana na kufurahi Mara kwa Mara yaani tumetengana, nasikia tu juu juu kuwa hata mkeo kajifungua,lakini jamani hata taarifa Mimi nadhani lazima wote wanne Mimi na mume wangu na nyinyi tukae chini tujue ni shetani gani anatuvuruga,...............

Shetani gani, malaya wakubwa nyie, yaani wewe wa kutafuta shetani?
Wakati mumeo kazi yake ni kutembea na watu kusudi aibe nyota za watu kwaajili ya kukuza biashara yake, hapa unamtafuta ESTA kwasababu gani,

Bila aibu wakati rafiki yake yupo mahabusu alinitaka nilale naye ndipo anisaidie,Sasa ndiyo nimejua,kumbe huwa anawatumia wanawake kama mtaji wake huyo malaya wako?
Kwa taarifa yenu kama ulimtuma alale na Mimi kusudi mkuze biashara yenu ,Mimi sipo hivyo wanaharamu wakubwa nyie,aliongea mke wangu kiasi Cha yule mgeni kuinuka,bila kuaga.

Nakumbuka mke wangu alizungumza mengi sana ambayo anayasikia kuhusu Shedy juu ya kuwatumia wanawake kama njia ya kupandisha nyota yake.

Nilicheka sana,usiku ule nikiwaza jinsi watu wanavyoamini ushirikina kupita kiasi ,hivi kweli mtu huwezi kupush biashara yako bila ndumba?

Mimi mwenyewe Nina mpango wa kuanzisha biashara yoyote kulingana na hali ya uchumi ilivyo lazima niwe na vitega uchumi kwahiyo natakiwa kuwa mshirikina tena,,,,hapaaaana

Siyo kihivyo mi naamini kwenye mipango na mikakati,na ndiyo maana yapo masomo yanayohusu biashara hata Kama Mimi sijui lakini nitatafuta wataalamu wabibezi wa business watanielewesha tu na si ushirikina.

Niliamka asubuhi nikiwa nachati kisiri na ESTA nikiuliza wapi tukutane nimpe hela ya Kodi,

Tukakutana alishukuru sana, japokuwa wanawake Wana udhaifu fulani baada ya kusaidiwa,alionesha mahaba ya wazi sana kwangu, pengine alihisi Yale nayoyafanya namtaka,kumbe siyo,

Sasa shemu Mimi naenda kulipa hii hela japo mwenye nyumba alikuwa anataka miezi sita lakini nilimwambia hali yangu akadai hata miezi mitatu poa tu,Sasa shemu nakuomba sana uje baadaye ukione chumba nitakacholipia lakini pia nitaenda kwa rafiki yangu mmoja kuchukua vitu vyangu ikiwemo kitanda ambavyo niliweka pale baada ya kufukuzwa nilikokuwa nimepanga, alizungumza kana kwamba anamwambia mpenzi wake,

Lakini nilikuwa imara kama ukuta wa Berlin juu ya vishawishi vyake,nikawahi kazini,

Huku nilikuta mapya tofauti na niliyoyaacha jana,ubize wa watu ukiongezeka huku mazingira yakiwa yanasafishwa kwaajili ya ujio wa boss kutoka South Africa, nikajisemea kweli kama boss mwanaume anakuja basi ile taarifa ya madam kuwa hapa huenda ikawa ya kweli.
Nikatulia zangu ofisini nikipangilia vitu kwenye desktop yangu, kujiandaa maana Mimi ni mfanyakazi mpya hapa licha ya kuwa mzee ananifahamu lakini huenda kukawa na maswali juu yangu.

Nakumbuka baada ya zoezi Lile mida ya saa tano aliingia,akitokea kwenye moja ya sehemu za kishua (jina kapuni) yalipo makazi yake

Tukaitwa wote kwenye ukumbi mdogo ambao sikuwa naufahamu, huku nikiwaza Jana tu , niliambiwa wapo na mkewe south Africa, Leo wapo hapa, lakini yalikuwa mawazo ya kimaskini kwangu,

Boss aliingia huku akiwa na vijana fulani wa kisomali pamoja na MADAM,

Madamu akiwa amependeza sana, macho yaligongana akatabasamu , hali iliyopelekea wafanyakazi wenzangu kushangaaa, lakini Mimi nilikuwa najua,

Kikao kidogo kilianza huku utani ukitawala kama mjuavyo wengi huwa tunatetemeka tukiwa na mtu mzito kwahiyo lazima akutanie kukutoa hofu.

Wewe mrefu kama mcheza kikapu huku umekuja lini tena? Aliuliza yule taita

Nikajieleza kana kwamba hajui ujio wangu, watu wakacheka sana.

Inabidi tuanzishe basketball au siyo manager? Tulitaniana Kisha akatueleza juu ya mabadiliko aliyofanya,

Kwanza kwenye ofisi yangu niliongezewa mtu tukawa wawili ni yule dada mwenye kiherehere huwa anapenda sana kuwa karibu na Mimi.

Pili tetesi juu ya kurudi kwa madamu haikuwa kweli ni , hali iliyopelekea nikafurahi sana,

Nilifikiria kamleta huyu hapa (madam)
Lakini mwenyewe kakataa kasema Bora abaki kwenye second company kwahiyo hapa mtakuwa na huyu akitutambulisha kijana fulani wa kisomali ambaye alichangamka sana huku akiwa analazimisha kiswahili ambacho hakuwa anakijua vizuri.

Tulimaliza kikao kile huku Kila mmoja akirudi kuwajibika kwa ofisi yake wakidai wao wanaelekea kwenye kampuni ya pili, kabla hawajaondoka madam aliniita..

Nambie tolu, habari za siku naona unazidi kunawiri mwenyewe,

Hapana madam, kawaida tu za safari, niliuliza.

Nzuri, ila sikwenda mbali nilikuwa hapa hapa ni baada ya kumpokea mume wangu nikawaambia watu kuwa nimesafiri kupunguza kero za simu, aliongea kwa kujiamini.

Sasa Kuna kiasi kidogo Cha pesa nimekuletea kwaajili ya ESTA nyingine nitakutumia kwenye account yako baadae nilimaliza mambo yangu , akamtuma msichana fulani kwenye gari amletee bahasha fulani akanipa ,

Si umesema ushapata fremu?
Aliuliza .Nikamjibu

Eee hiyo kalipe fremu na nyingine nitakutumia baadaye .

Kwahiyo madamu nikishalipa wewe utakuja lini kuliona,
Niliuliza kwa sababu nilizokuwa nazo.

Wewe toluuuu, kwani hiyo biashara ya kwangu Mimi? Wewe kalipe Mimi sihitaji hata kupajua, nimekuamini najua utamsadia yule dada, Tena sikia hakikisha unatumia ufundi wako wote kuhakikisha anakubali tupatane.tulikatisha mazunguzo baada ya mumewe kuja usawa wetu tayari kwa msafara wao.

Kuna baadhi ya wafanyakazi wenzangu walikuwa wakiniangalia sana juu ya ukaribu na yule Madam
Kwao ni mtu mzito wanamuogopa walishangaa akiongea na Mimi huku tukicheka , nilirudi ofisini huku nikiwa Nina shauku ya kuhesabu zile hela,

Niliingia ndani, nikafunga mlango, nikahesab nikapata kiasi Cha milioni nne na nusu, kwanza nilishangaa yaani hii ni hela ya frem tu?

Nikajiongeza labda alijua saloon itafunguliwa mitaa ya uzunguni ila hata kama.
Nikafikiria kuwa ESTA kaniambia fremu moja ni elfu sitini sabini kwa mwezi mahali alipopopata kwahiyo tukilipa miezi sita au mwaka, bado kiasi kikubwa kitabaki, Siyo mbaya

Niliendelea na kazi huku nikiwa natabasamu Kila saa kwa kufurahi, nilimaliza kazi zangu nijafunga ofisi nikaondoka huku nikiwa napanga maneno jinsi gani nitamwambia kuwa haya yote ninayofanya nimemkopesha au nimemsaidia?

ESTA ananiona kama ni wa kipekee kabisa, namna nilivyojitoa kwake, hajui kama Nina malengo yangu.anahisi namtaka

Madam anatoa kiasi Cha pesa kusaidia/au kuomba msamaha kwa ESTA kwa Yale waliyofanyiana kwenye usichana wao.

Mimi nipo katikati yao hakuna anayejua mawazo yangu.

Msichoke inaitwa
MIMI NA BOSS WANGU.

Inaendeleaa...................

Sent using Jamii Forums mobile app
Kali sana hi story ilinibidi nisitishe kumfatilia mwamposa ili nisome tu sas acha niendelee na ibadaa asnt mkuu kma utaweka kipande kingine naomba unitag
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom