sonnita JF-Expert Member Feb 11, 2014 1,787 1,910 Mar 9, 2015 #61 Dddddaaah.aendelee na bite basi.ndo pakufuta machoz.duh!inaskitisha kwel
mapengo junior JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,137 275 Mar 9, 2015 #62 Duuuuh big up mizambwa. ...kweli nimeamini km ipo ipo tu and vise versa.
mchecheto JF-Expert Member Oct 30, 2014 1,532 1,452 Mar 9, 2015 #63 jamani inasikitisha ila nimefurahoshwa nayo
mchecheto JF-Expert Member Oct 30, 2014 1,532 1,452 Mar 9, 2015 #64 ila ni kwa nini adam alisahau kufungua kioo cha gari mapema??? ni kwann wasinge ongozana wote jamani???
ila ni kwa nini adam alisahau kufungua kioo cha gari mapema??? ni kwann wasinge ongozana wote jamani???
M mkazahau11 Member Jan 13, 2015 11 2 Mar 9, 2015 #66 Ahsante mizambwa jamaniiiii...lol hadithi nzuri sana
mizambwa JF-Expert Member Oct 8, 2008 4,422 1,790 Mar 10, 2015 Thread starter #67 mchecheto said: ila ni kwa nini adam alisahau kufungua kioo cha gari mapema??? ni kwann wasinge ongozana wote jamani??? Click to expand... Si kwamba alisahau kufungua kioo. Isipokuwa walikuwa wamepanga kufanya SUPRISE kwa ndugu wa Adam.
mchecheto said: ila ni kwa nini adam alisahau kufungua kioo cha gari mapema??? ni kwann wasinge ongozana wote jamani??? Click to expand... Si kwamba alisahau kufungua kioo. Isipokuwa walikuwa wamepanga kufanya SUPRISE kwa ndugu wa Adam.
M MwalimuMkuu Member Oct 10, 2012 59 12 Mar 10, 2015 #68 very interesting story ila very bad ending sikutaka Reshmail apoteze maisha
M miss nuru JF-Expert Member Oct 16, 2014 513 190 Mar 10, 2015 #69 Roho umeniuma sana kwa kifo cha resh
Ayanda85 JF-Expert Member May 13, 2014 626 562 Mar 10, 2015 #70 mizambwa Reshmail kaenda na bikira yake?..too bad Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mizambwa JF-Expert Member Oct 8, 2008 4,422 1,790 Mar 11, 2015 Thread starter #72 Ayanda85 said: mizambwa Reshmail kaenda na bikira yake?..too bad Click to expand... Alijitahidi kuitunza lakini ndio imebidi yatokee. Ni wasichana wachache sana katika ulimwengu wetu wa sasa wenye uvumilivu kiasi hiki wa kuitunza. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ayanda85 said: mizambwa Reshmail kaenda na bikira yake?..too bad Click to expand... Alijitahidi kuitunza lakini ndio imebidi yatokee. Ni wasichana wachache sana katika ulimwengu wetu wa sasa wenye uvumilivu kiasi hiki wa kuitunza.
jonnie_vincy JF-Expert Member Feb 8, 2014 341 300 Mar 11, 2015 #73 Maskini..Kafa kama muwa kunyauka na utamu wake..
NGANU JF-Expert Member Oct 18, 2012 1,919 393 Mar 11, 2015 #76 Kweli inauzunisha jamani, Christian hajakaa na baba yake,
Prisss JF-Expert Member Jan 30, 2013 233 735 Mar 12, 2015 #77 Asante kwa hadithi nzuri pia tunasubiri nyingine
Prisss JF-Expert Member Jan 30, 2013 233 735 Mar 12, 2015 #78 Kama una nyingine zilipita ni pm pls ntazisoma