Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 464,001
ulikua wapi ungetuwekea ata 4 steve haujaonekana mda mrefuMimi hapa mama.
☆Steve
ulikua wapi ungetuwekea ata 4 steve haujaonekana mda mrefuMimi hapa mama.
☆Steve
Nisamehe Shunie mam. Natingwa tu.ulikua wapi ungetuwekea ata 4 steve haujaonekana mda mrefu
Mambo moto!Mjomba miraj ana ghazab sana,ngoja tumskilizie atachukua uamuzi gani.
Nshafika mkuu.leo naona kombolela, maana mpaka muda huu steve bado kajificha
Huu utaratibu, wa mbili mbili aseee kiufupi unauma mno
......
sana mwanzo steve alikua anaweka 4Huu utaratibu, wa mbili mbili aseee kiufupi unauma mno

Kila mtaa wa simulizi nakukuta,una vyumba vingi mnoosteve mida ndio hii ukuje
sana aisee naona na ww umeanza kupangaKila mtaa wa simulizi nakukuta,una vyumba vingi mnoo
Hahahaha japo kupanga kwenyewe nahisi vyumba vimejaasana aisee naona na ww umeanza kupanga
tutabanana humu humuHahahaha japo kupanga kwenyewe nahisi vyumba vimejaa