Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

sijakuona mda ww mtu kwenye foleni ya kusubilia
Mama wa Fursa, sauti yako siku hizi imekua ya kukwarua? Mbona Steve haitikii wito? Hebu kunywa maji mengi bhana, kama ni juice chukua naja kuilipia.
 
Mama wa Fursa, sauti yako siku hizi imekua ya kukwarua? Mbona Steve haitikii wito? Hebu kunywa maji mengi bhana, kama ni juice chukua naja kuilipia.
hahahaahh mzee wa fursa huyu steve sijui nan kamkamata
 
kwangu mzee wa fursa sehemu ya pm hamna kabisa
Hapo ndipo tunaposhindwanaga, sijui PM kwangu kuna moto? Njoo bhanah, wala sina mkono w mtoto. Nilikua nakuzinguaga tu
 
Hapo ndipo tunaposhindwanaga, sijui PM kwangu kuna moto? Njoo bhanah, wala sina mkono w mtoto. Nilikua nakuzinguaga tu
hahahh hamna ila kwangu hakuna option ya pm
 
kuhusu vifo...
hivi pius mbwambo kifo chake kilikuwaje..??..naomba mnikumbushe..... kama tupo makini..??
nakumbuka...mtemvu,raheem,filbert na katende walivyouwawa....
Kumbee na wewe umeliona mkuu, mie nilihisi kuna episode nimeruka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom