Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,097
- 37,619
Na naamini tutarudi kule kwa MWENDOKASInataka kujua insp.vitallis anarudije kwenye game...
maana tumehama kabisa kutoka kwa kina mtenvu,k square,pius na wenzake......
Na naamini tutarudi kule kwa MWENDOKASInataka kujua insp.vitallis anarudije kwenye game...
maana tumehama kabisa kutoka kwa kina mtenvu,k square,pius na wenzake......
Pamoja sana ndugu hongeraNshapost tatu.
Endelea tena steve
nataka kujua insp.vitallis anarudije kwenye game...
maana tumehama kabisa kutoka kwa kina mtenvu,k square,pius na wenzake......
mwaga vitu mkuu steve leo ndo leo
Tushamaliza, ongeza dozi Mkuu!
Nakaza macho vizurii sichezi mbali Steve
mkuu endelea basi
Nishafanya yangu. Tukitane tena saa tatu usiku.tupo pamoja mkuu
poa steveNishafanya yangu. Tukitane tena saa tatu usiku.
☆Steve
Mia mkuu Steve ,good job.Nishafanya yangu. Tukitane tena saa tatu usiku.
☆Steve
Muendelezo tayar mkuu.Jamani saa tatu ya usiku kwa majira yapi mbona inaelekea saa nne!!?
Nasubiri mwendelezo wa ambush ya kisiwani make tayari mchungwa, madege3 wapo chini bado mtu wa mbao(sijui ndo jitu jeusi!), tik tok tik tok na wafuasi wenyewe!
Patamu hapo...!
Bampa to bampa. Nitachelewa tu ila si kwamba situmi!daah safi mkuu steve burdaani itaendelea saa tatu leo hakuna kulala
Nshakuja mama angu.steve njoo bas
Hahaha nsharudi!steve hujarudi tu kutoka kwa alwatan kombo?
Mkuu soma kazi hiyo.Mia mkuu Steve ,good job.
Ila daaah,alwatan Kombo arobaini yake imefika ,sioni akichomoka hapa.
weka bas steve tupate za kulaliaMuendelezo tayar mkuu.
☆Steve
Bampa to bampa. Nitachelewa tu ila si kwamba situmi!
☆Steve
Nshakuja mama angu.
☆Steve
Hahaha nsharudi!
☆Steve
Mkuu soma kazi hiyo.
☆Steve