Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.

Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.

mwambie kaka yake
 
sasa na wewe kichwani mwako unadhani anaweza akaingia jikoni tu na kuanza kupika wakati hujamuonyesha mazingira hata sufuria inakaa wapi. Naona tatizo liko kwa upande wako zaidi kuliko kwake ninavyoona.
 
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.

Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
Sidhani kama huku kuna suluhisho ungeanza na yeye mwenyewe hapo nyumbani ukajua shida ni nini ukikwama ndio uje kuomba ushauri?
 
to be frank, kama angelikuwa ni sister wako yupo hapo nyumbani kwa muda huo wa siku tatu au nne hajaingia jikoni, ungelikuja kushataki hapa jf? yaani kuna wanawake wanachuki za waziwazi kwa ndugu wa upande wa mume.
Badilikeni wadada!
 
Ebu kesho liamshe lipge deki ndani,alafu akimaliza anywe chai, baadaye mpe surufia ya pilau au wali apike,asilete uhayawani kwenye hamna,kama hatak aende kwake au kwao! Usipende stres kwenye maisha mpendwa,hilo ni livivu
 
mamii mbona huna kifuaa hivyo? je angekua mama mkwe kaletwa hapo anaumwa labda ugonjwa unaohitaji attention yako sana,HUYO NI WIFI AKO NA SIO DADA WA KAZI HAYA MAMBO YA MJINI LOOH
 
to be frank, kama angelikuwa ni sister wako yupo hapo nyumbani kwa muda huo wa siku tatu au nne hajaingia jikoni, ungelikuja kushataki hapa jf? yaani kuna wanawake wanachuki za waziwazi kwa ndugu wa upande wa mume.
Badilikeni wadada!

yaan aibu hayupo kind kabisa looh
 
Ebu kesho liamshe lipge deki ndani,alafu akimaliza anywe chai, baadaye mpe surufia ya pilau au wali apike,asilete uhayawani kwenye hamna,kama hatak aende kwake au kwao! Usipende stres kwenye maisha mpendwa,hilo ni livivu

Weeeeeeee wifi kama hana manenoo unamuachaa kwan kuna tatizo gani kumpikiaa kila siku kumbuka wifi ni kama mume wako
Mi kwa hilo sina shida maana hajaja kunifanyia kaziii kaja kusalimiaaa
ila kama amekuja kishariii ni kumpelekeshaa mpaka atakomaa akiondoka tu kaka yakee vitimbi hivyo hatasahauuuu
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

wanawake bana! wengi wao wanapendaga ndg zao tu ndo waje, daah tunashida hizi ndoa zetu!!!
 
to be frank, kama angelikuwa ni sister wako yupo hapo nyumbani kwa muda huo wa siku tatu au nne hajaingia jikoni, ungelikuja kushataki hapa jf? yaani kuna wanawake wanachuki za waziwazi kwa ndugu wa upande wa mume.
Badilikeni wadada!

Wanawake wengi wanatakaga wa kwao tu ndo waje, wanaume wengi wanajitahidiga ku-balance, ila wa dada khaaa!
 
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.

Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
Wanawake mna malalamiko kila kitu..huyo ni mtu mstarabu nyumbani kwako jikoni kwako, unataka aingie anze kupika ili nini, akipika vzr kuliko ww utanuna, akipika anacho taka ww utasrma anakupangia ratiba ya chakupika..km mtu kaja kwako anakula inachopika na kujilalia zake huoni ni ustarabu..tumia akili ya ziada na ya maisha kwenye ndoa si kila kitu unafikiria negative
 
Mumeo ana hasara, chukua ushauri wa wadau comments zilizotangulia ubadili tabia.
 
Wanawake mna malalamiko kila kitu..huyo ni mtu mstarabu nyumbani kwako jikoni kwako, unataka aingie anze kupika ili nini, akipika vzr kuliko ww utanuna, oakipika anacho taka ww utasrma anakupangia ratiba ya chakupika..km mtu kaja kwako anakula inachopika na kujilalia zake huoni ni ustarabu..tumia akili ya ziada na ya maisha kwenye ndoa si kila kitu unafikiria negative

Aisee Leo ndo nimegundua wanaume mnawajua wanawake kwa undani yani mnaandika yanayotokea in reality
 
Back
Top Bottom