na wewe una umri gani? Umeolewa au unaishi na bwana?Nadhani atakua na miaka 20 na kitu hivi. Ni mwalimu wa shule ya msingi hajaolewa bado
na wewe una umri gani? Umeolewa au unaishi na bwana?Nadhani atakua na miaka 20 na kitu hivi. Ni mwalimu wa shule ya msingi hajaolewa bado
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.
Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
Hahaha.Sina jamani na me ni chief cooker.tatizo ni je utameet vigezo vyangu?
Sidhani kama huku kuna suluhisho ungeanza na yeye mwenyewe hapo nyumbani ukajua shida ni nini ukikwama ndio uje kuomba ushauri?Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.
Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
try me Cynthia Chriss , hakuna kinachoshindikana.
ndugu, mi nikikutana na hii avata yako naumiza mbavu sana.Ama kweli akili unazo
to be frank, kama angelikuwa ni sister wako yupo hapo nyumbani kwa muda huo wa siku tatu au nne hajaingia jikoni, ungelikuja kushataki hapa jf? yaani kuna wanawake wanachuki za waziwazi kwa ndugu wa upande wa mume.
Badilikeni wadada!
Ebu kesho liamshe lipge deki ndani,alafu akimaliza anywe chai, baadaye mpe surufia ya pilau au wali apike,asilete uhayawani kwenye hamna,kama hatak aende kwake au kwao! Usipende stres kwenye maisha mpendwa,hilo ni livivu
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................
Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
to be frank, kama angelikuwa ni sister wako yupo hapo nyumbani kwa muda huo wa siku tatu au nne hajaingia jikoni, ungelikuja kushataki hapa jf? yaani kuna wanawake wanachuki za waziwazi kwa ndugu wa upande wa mume.
Badilikeni wadada!
Sure?haya bana though some things are difficulty to explain
Wanawake mna malalamiko kila kitu..huyo ni mtu mstarabu nyumbani kwako jikoni kwako, unataka aingie anze kupika ili nini, akipika vzr kuliko ww utanuna, akipika anacho taka ww utasrma anakupangia ratiba ya chakupika..km mtu kaja kwako anakula inachopika na kujilalia zake huoni ni ustarabu..tumia akili ya ziada na ya maisha kwenye ndoa si kila kitu unafikiria negativeWifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.
Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
ndugu, mi nikikutana na hii avata yako naumiza mbavu sana.
Wanawake mna malalamiko kila kitu..huyo ni mtu mstarabu nyumbani kwako jikoni kwako, unataka aingie anze kupika ili nini, akipika vzr kuliko ww utanuna, oakipika anacho taka ww utasrma anakupangia ratiba ya chakupika..km mtu kaja kwako anakula inachopika na kujilalia zake huoni ni ustarabu..tumia akili ya ziada na ya maisha kwenye ndoa si kila kitu unafikiria negative
sema usikike basi mpendwa..........