bombom
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 614
- 228
Naitwa Bonny Mokiwa (Bombom). Nina mpenzi wangu wa muda mrefu ambaye nategemea kufunga ndoa naye hivi karibuni. Utata uliojitokeza na kupelekea kutengua uamuzi wangu wa kufunga ndoa ni kwamba, kwa mara tatu katika nyakati tofauti, tulipokuwa kwenye sita kwa sita (ingawaje hairuhusiwi kwa wachumba) akizidiwa kumahaba anaweweseka na kumtaja mtu mwingine anayeitwa Muddy badala ya kunisifu mimi.
Suala hili lilileta mtafaruku hadi likasuluhishwa na mshenga. Tatizo ni kwamba amerudia tena kutaja hilo jina.
Nimeamua kumtosa, ingawa harusi imepangwa mwezi ujao.
Sijui kama nimefanya uamuzi mbaya.
Suala hili lilileta mtafaruku hadi likasuluhishwa na mshenga. Tatizo ni kwamba amerudia tena kutaja hilo jina.
Nimeamua kumtosa, ingawa harusi imepangwa mwezi ujao.
Sijui kama nimefanya uamuzi mbaya.