Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Yani unatoa Elfu 30 kisa usafii tuu!???? Wee jamaa Una utaniii pesa yotee hiyoo huyo mwanamke kajua kuwa wewe pesa sio shida alafu mumewe itakuwa njaa kalii.... wanawakee sio poaa anaweza amiaa kwako kabisaa dadekiii anadai talaka anaolewa na weweee...mbele ya pesaa hawa Viumbe sio kabisaa
Labda itakuwa hivyo mkuu lakini hata mimi ni mtafutaji tu sio mambo safi
 
Mambo mengine mtu unaona kabisa haya matatizo yanakuja.

Halafu bado unataka kujiingiza kwakujishawishi tukwamba utayapangua.

Maisha ni mpangilio wa chaguzi nyingi, kila unalochagua, linawezakubadilisha maisha yakoyote yajayo, au hata kufupisha maisha yako usiwe namaisha ya baadaye tena.

Jambo la busara hapo ni kutoya entertain hayo mahusiano, kwa maana yanaonekana hayana mustakabali mzuri.
 
Mi siamini hadi nione screen shoot za hizo msg zake hapa
 
Mimi ni kijana niliyeanza kujitegemea baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikajifunza fani fulani mtaani ambayo kwa sasa inaendesha vizuri maisha yangu

Mwezi wa nne nilipanga chumba hapa mjini na niliwakuta wapangaji watatu wawili wakiwa wameoa na mmoja single kama mimi.

Baada ya kukaa kama wiki moja mke wa jirani yangu alinifuata na kuniambia shemu kuna suala la usafi wa choo na mazingira kwa ujumla hivyo nilitakiwa kushiriki au kuwapa wao hela waweze kunisaidia kama ntakuwa bize basi nilijifikiria japo sikuwa bize sana niliamua tu niwape hela nikatoa elf 30 nikampatia nikaona kashtuka kidogo akashukuru na kuondoka

Siku iliyofuata nikiwa sina hili wala lile yule mke wa mpangaji mwenzangu alinigongea asubuhi mume wake akiwa kaenda kazini akanikaribisha chai huku akisisitiza si vizuri kwa mimi kujipikia kila kitu hadi chai ambayo anaweza kuwa anapika tu kwan asubuhi hubaki peke yake mumewe akiwa kazini (fundi ujenzi) nilikataa kwa siku hiyo lakini jioni nikiwa ndani alinigongea tena akiniambia alikuwa anaosha vyombo na hivyo kama nilikuwa na vyombo vichafu nimpatie anisaidie nikampatia bila hiyana akaosha na kuniletea

Juzi aliniomba namba yangu akisema si vizuri kuwa nyumba moja bila mawasiliano akidai mume wake anakosa nafasi ya kuniomba namba hivyo ameamua achukue ampatie cha ajabu asubuhi alituma meseji nying akinichombeza kuwa tunaweza kutoka kwenda beach fulan hapa mjini kiutani nikajifanya kumuitikia ili asijisikie vibaya.

Usiku wa jana amenitumia mesej akisema kesho lazma tutoke nami nikashtuka kuona yupo serious nikamwambia si vizur kwan ni mke wa mtu na muda huo mumewe angeweza kuziona chat zake lakn akasisitiza kuwa hakuna tatizo kwani mumewe sio muelewa na muda wote yupo bize na mikazi migumu na hurud amechoka kama guruwe kuona mesej hiyo nikaacha kujibu txt zake akawa anatuma nyingi nyingi mimi nikawa kimya na leo asubuhi nimetoka mapema asubuhi amenitumia txt et mbona umekimbia chai yangu gwele leo, mara vipi ule mtoko jamani yaani nimechanganyikiwa sijua nifanyaje nataman kuhama lakin kodi yangu ya miezi iliyobak inaniuma halafu pia mwenye nyumba wa hapa ni muelewa sana na mazingira ni mazuri lakin kiukweli sina amani hapa namuheshimu kijana mwenzangu ndoa yake haina hata mwaka mmoja na bado hawajabahatika kupata mtoto lakini huyu mwanamke ananiweka majaribuni mno japo kiukweli ni binti mzuri hata sikudhani kama kweli ameolewa katka maisha kama yale.
Mkuu kama wewe umeshindwa kukamata hiyo fursa njoo PM unipe namba yake...."nikosee namba" nimnyooshe. Mbona wewe unatafuniwa chakula unashindwa kumeza? Wewe mwanaume wa Dar nini?
 
Acha usahmba wewe, chomoa hiyo mashine umt0mb3 huyo mwanamke hadi atapike sH@hAw@ we vipi? Mie kuna kipindi nilikuwa naishi Mwananyamala mke wa wa mpangaji mwenzangu akaingia kingi nikamjaza mashine hadi akawa anahemea juujuu kama chura aliyebanwa na mlango. Punguza uboya wa kike wewe, mnyooshe huyo mwanamke, ebo!
 
huyo mwanamke amefanya mazoea naye sababu ww umempa fursa hiyo,mkuu cheza na vitu vyote duniani lakini sio mke wa mtu-hata mwanaume awe dhaifu na goigoi utauoana uanaume wake pindi akijua kuna mtu anamla mke wake.
Dah
 
Japokuwa sina mke ila jaribu kuijenga hii picha ubongoni mwako na uitafakari kwa uyakinifu zaidi.

Mumewe anaondoka mapema asubuhi hata chai hajanywa ili awahi kibaruani kwa ajili ya kutafuta matunzo na kuihufumia familia yake kwa kadri awezavyo. Wewe unakunywa chai yake, anacheza na cement kutwa nzima ili mkewe apendeze na angalau aridhike ingawa haridhiki. Anatukanwa matusi mangapi na kudhihakiwa kwa namna gani ila hajali, anachojali yeye ni apate tu kumtimizia mkewe haja zake na aishi vizuri. Ingekuwa wewe unafanyiwa hivyo ungefanyaje?
 
Njia pekee ya kujinasua ni kuhama, na utakako hamia usimwambie maana akipajua atakuja na hutajizuia kufanya hayo maana kama hapo nyumbani kathubutu kuja kwako tena bila woga, sembuse huko atakapokuwa huru!
 
anza kutafuta dalali akutafutie nyumba mkuu..sidhani kama hyo aibu inayoenda kukupata hivi karibun utaweza kuishi nayo hapo ulipo
 
Njia pekee ya kujinasua ni kuhama, na utakako hamia usimwambie maana akipajua atakuja na hutajizuia kufanya hayo maana kama hapo nyumbani kathubutu kuja kwako tena bila woga, sembuse huko atakapokuwa huru!
Kweli mkuu nashukuru kwa huu ushauri
 
Japokuwa sina mke ila jaribu kuijenga hii picha ubongoni mwako na uitafakari kwa uyakinifu zaidi.

Mumewe anaondoka mapema asubuhi hata chai hajanywa ili awahi kibaruani kwa ajili ya kutafuta matunzo na kuihufumia familia yake kwa kadri awezavyo. Wewe unakunywa chai yake, anacheza na cement kutwa nzima ili mkewe apendeze na angalau aridhike ingawa haridhiki. Anatukanwa matusi mangapi na kudhihakiwa kwa namna gani ila hajali, anachojali yeye ni apate tu kumtimizia mkewe haja zake na aishi vizuri. Ingekuwa wewe unafanyiwa hivyo ungefanyaje?
Mkuu kweli inauma nimeliwaza sana hili ndio maana nashndwa kumshughulikia kama baadhi ya wadau wanavyoshauri
 
Acha usahmba wewe, chomoa hiyo mashine umt0mb3 huyo mwanamke hadi atapike sH@hAw@ we vipi? Mie kuna kipindi nilikuwa naishi Mwananyamala mke wa wa mpangaji mwenzangu akaingia kingi nikamjaza mashine hadi akawa anahemea juujuu kama chura aliyebanwa na mlango. Punguza uboya wa kike wewe, mnyooshe huyo mwanamke, ebo!
Mkuu hukuogopa endapo angegundua mwenye mke?
 
Back
Top Bottom