Simuelewi huyu demu

Simuelewi huyu demu

mkuu umenena demu kanikaushia tangu jumamosi kwa sababu nilikuwa sina pesa za kumpeleka kwenye party na badala yake akatoka na msela nkaja kuambiwa
Umeonae.. huyo si wako potezea kabisa, hata huyo jamaa namuonea huruma sana, nae anaweza kulizwa hapo2 chuo.
Hizo ndizo challenge za vyuoni, komaa mwanangu, piga shule..
 
quote_icon.png
By j 20a
fuata kilichokupeleka chuo hayo mapenzi yapo tu
lakini mapenzi ni ya muhimu manake nilikuwa nataka kutengeneza future naye
acha ubishi mpigamsuli
kama yanaumuhimu mapadre na makasis wangekufa mapena
unaendekeza mapenzi tena na wadada wa chuo?utakufa taratibu,,,
soma kwanza mbona wanakuja 2 wenyewe wewe,endekeza tu uyo temu kama hujadisc
 
Kwa id yako bila shaka we ni kipanga hapo chuo. Huyo dada ànataka kubenefit kimasomo na kwa kuwa kaona wewe ushakuwa mdoli wake utapata tabu sana. Sasa cha kufanya we endeleza urafiki tu ukiona penzi limekuzidi tumia ukipanga wako kupata ukitakacho. Usipoangalia utakuwa mtumwa for life.
 
lakini mapenzi ni ya muhimu manake nilikuwa nataka kutengeneza future naye
Pole ndugu. Ni wachache sana wanaonzisha future vyuoni, mtakuja achana tu somewhere.. mke wako yupo na humjui lakini huyo siyeee....
 
iiiiiiii kumbe huna ata hela? afu unakomaa kukaa na mdada huyo?
fikiria wazazi wako wamekuagiza nini,kama wamekwambia uhakikishe unampata uyo dem al the
 
WANA MMU NAOMBENI USHAURI KATIKA HILI MIMI NINA DEMU AMBAYE NIMEMTONGOZA MUDA MREFU LAKINI ANANIAMBIA KWAMBA NISUBIRI TUJUANE NDO ATAKUBALI TENA BAADAYE SANA SO ANATAKA TUWE MARAFIKI KWANZA NA MIMI NIMEKUBALI KWA SABABU ALISEMA HANA MPENZI HAPA CHUONI CHA AJABU KUNA JAMAA ANAMTOKEA NA KAKUBALIWA NILIAMBIWA NA MARAFIKI ZANGU SIKUAMINI KWA SABABU DEMU ALINIAMBIA HANA MTU HAPA CHUONI SIKU MOJA RAFIKI YANGU MMOJA AKAMUITA YULE JAMAA ANAYETOKA HUYU DEMU AKAMUULIZA DEMU WAKO HAJAMBO? AKAJIBU HAJAMBO AKAULIZWA JINA AKATAJA JINA LILELILE LA YULE DEMU NA NUMBER ZAKE AKATUONYESHA NA SMS ZAKE AKANIONYESHA SASA WAKUBWA NIFANYEJE NA DEMU NAMPENDA SANA SANA Naomba ushauri

soma kwanza mkuu na isitoshe atakuwa anamatatizo ya kifedha halafu wewe unakuja na ngonjera tafuta mwingine fasta huyo iga chini mbona rahisi tu..
 
kwa id yako bila shaka we ni kipanga hapo chuo. Huyo dada ànataka kubenefit kimasomo na kwa kuwa kaona wewe ushakuwa mdoli wake utapata tabu sana. Sasa cha kufanya we endeleza urafiki tu ukiona penzi limekuzidi tumia ukipanga wako kupata ukitakacho. Usipoangalia utakuwa mtumwa for life.

yani hats msuli sipig sababu yake nimefeli test huyu demu akiwa na shida ndo ananikumbuka namuazimia mpaka vitabu library kwa kutumia kitambulisho changu coz yeye kapoteza cha kwake dah
 
acha ubishi mpigamsuli
kama yanaumuhimu mapadre na makasis wangekufa mapena
unaendekeza mapenzi tena na wadada wa chuo?utakufa taratibu,,,
soma kwanza mbona wanakuja 2 wenyewe wewe,endekeza tu uyo temu kama hujadisc

ukiwa unangia maeneo ya vyuoni huwa kuna bango kubwa sana limeandikwa haya maneno "Graduate with A's and not AIDS" itakuwa halioni hilo au labda anatafuta experience..
 
endelea kupiga msuli,wanawake wapo wengi sana. hela yako tu.
 
ukiwa unangia maeneo ya vyuoni huwa kuna bango kubwa sana limeandikwa haya maneno "graduate with a's and not aids" itakuwa halioni hilo au labda anatafuta experience..

ahsante mkuu
 
Ukicheka na nyani utavuna mabua........kuna faida anayoipata toka kwako nje ya mapenzi unayoyataka wewe.
Unampenda lakini mwenzio nae kampenda mwingine,mpotezee na ufanye kilichokupeleka.
 
Nilikuwa nasoma sana zamani now now hata sisomi
 
Nilikuwa nasoma sana zamani now now hata sisomi

Sababu ni hiyo au kuna lingine linalokufanya usisome?
Soma kaka weee....watakucheka watu baadae.Mimi nilipata tatizo chuo watu wakanisikilizia course work zitasoma vp walikoma wenyewe walivyoona marks.
 
WANA MMU NAOMBENI USHAURI KATIKA HILI MIMI NINA DEMU AMBAYE NIMEMTONGOZA MUDA MREFU LAKINI ANANIAMBIA KWAMBA NISUBIRI TUJUANE NDO ATAKUBALI TENA BAADAYE SANA SO ANATAKA TUWE MARAFIKI KWANZA NA MIMI NIMEKUBALI KWA SABABU ALISEMA HANA MPENZI HAPA CHUONI CHA AJABU KUNA JAMAA ANAMTOKEA NA KAKUBALIWA NILIAMBIWA NA MARAFIKI ZANGU SIKUAMINI KWA SABABU DEMU ALINIAMBIA HANA MTU HAPA CHUONI SIKU MOJA RAFIKI YANGU MMOJA AKAMUITA YULE JAMAA ANAYETOKA HUYU DEMU AKAMUULIZA DEMU WAKO HAJAMBO? AKAJIBU HAJAMBO AKAULIZWA JINA AKATAJA JINA LILELILE LA YULE DEMU NA NUMBER ZAKE AKATUONYESHA NA SMS ZAKE AKANIONYESHA SASA WAKUBWA NIFANYEJE NA DEMU NAMPENDA SANA SANA Naomba ushauri

Naomba kujua...
Huyo unayemwita demu ulitoka naye kwenu?
Ni chuo gani hicho chenye mwanamke mmoja?

Acha ubwege mapenzi yanajengeka kwa mtu yeyote.
Tafuta mwingine mbona wanawake wako wengi sana kwenye hii dunia tena wazuri kuliko huyo.
 
Haaa kwan wewe pamja na kuwa chuo huon mtu anayekudanganya anakuwaje???? mpaka uje kuhangaika kuliza majib,emb fanya hv!

Uruhusu moya wako kumshahau kwa lengo la kuwa mpenz wako bt ucmchukie wala kuacha kuongea nae we kuwa kawaida 2, polepole anza kutoa expectation ,zako kwake

kwan upo chuo gan kijana wanagu, kama ucpojal PM me
 
Shikilia pembe! Sisi maplay boy huwa tunamsikilizia demu siku tatu tu zinatosha.
Huwa atupendi, bali tunatamani tu. Hawa mademu wa siku hizi, ukiweka moyo wako eti unampenda. Utapata majanga kwenye akilli yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom