Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu amani ya MUNGU WA MBINGUNI IWE PAMOJA NANYI. Kuna jamaa yangu ana mwanamke wake ambae hawana muda mrefu kwenye mahusiano, kuna ka mgogoro kalitokea ni kama kwao na mwanamke wanamsema vibaya jamaa yangu sa juzi jamaa akamuita mwanamke akamuuliza kutokana na maneno maneno ya huko kwenu je unadhan tunaweza endelea kuwa wapenzi na mipango yetu ya kmaisha iendelee? Yule demu akamjbu jamaa kwamba maneno yameshakuwa mengi sn kwaiyo bora tu tufike mwsho. Jamaa anasema alikubali na akamshukuru yule demu kwa ushrikiano na mema yote aliyowaimtendea jamaa. Na akamwambia kuanzia wakati huo wawe dada na kaka tu kama hatojari. Sasa changamoto imejtokeza usku wa sku iyo yule mdada akaanza mtext mshkaji sms kama zote akdai ameumia sn mpk anaumwa kchwa na uwenda hata anasubiri tu kujifia kwa presha. Jamaa akamjbu mbona maamuz ya kuachana ye mdada ndo kaamua sa haya mengne yanatoka wapi? Sasa wakuu ndugu yetu anaomba ushauri afanyaje na je yule mdada alikuwa na maana gani kusema waachane halafu anaanza kutuma sms za hivo