Simuelewi huyu demu

Simuelewi huyu demu

Unapata wapi mda wa kufata mademu unaacha kupiga msuli? Soma kwanza mapenzi baadae,mie nimeamua kuweka mapenz pemben hadi nimalizie masters yangu sasa wewe bweteka na haya mapenz ya watoto wa mujini uanze kulialia baadae! Shtuka ukiona manyoya ujue imeliwa
 
Unapata wapi mda wa kufata mademu unaacha kupiga msuli? Soma kwanza mapenzi baadae,mie nimeamua kuweka mapenz pemben hadi nimalizie masters yangu sasa wewe bweteka na haya mapenz ya watoto wa mujini uanze kulialia baadae! Shtuka ukiona manyoya ujue imeliwa

HA HA MKUU KWA MWENDO HUU KUKUFIKIA NI KAZI SANA NAWEZA ISHIA PgD
 
aah kibish unahonga afu unakula mzigo vingine unajiongeza mbelembele

ha ha ha ha hiyo ni kawaida yangu ya kuhonga nakusepa, ila nimeona inanipeleka loss , nilikuwa na pesa kama 900,000/ nilivyokuwa first semester kuja kuangalia nina 200,000/ , tangu sku iyo nikaona ntapotea
 
ha ha ha ha hiyo ni kawaida yangu ya kuhonga nakusepa, ila nimeona inanipeleka loss , nilikuwa na pesa kama 900,000/ nilivyokuwa first semester kuja kuangalia nina 200,000/ , tangu sku iyo nikaona ntapotea

aah lak 7 nzima mbona mi nawad*nya sana hpa geto kwang(cnza)..tafta geto ni*ga ataingia king tu..atakua ankuja kila cku
 
WANA MMU NAOMBENI USHAURI KATIKA HILI MIMI NINA DEMU AMBAYE NIMEMTONGOZA MUDA MREFU LAKINI ANANIAMBIA KWAMBA NISUBIRI TUJUANE NDO ATAKUBALI TENA BAADAYE SANA SO ANATAKA TUWE MARAFIKI KWANZA NA MIMI NIMEKUBALI KWA SABABU ALISEMA HANA MPENZI HAPA CHUONI CHA AJABU KUNA JAMAA ANAMTOKEA NA KAKUBALIWA NILIAMBIWA NA MARAFIKI ZANGU SIKUAMINI KWA SABABU DEMU ALINIAMBIA HANA MTU HAPA CHUONI SIKU MOJA RAFIKI YANGU MMOJA AKAMUITA YULE JAMAA ANAYETOKA HUYU DEMU AKAMUULIZA DEMU WAKO HAJAMBO? AKAJIBU HAJAMBO AKAULIZWA JINA AKATAJA JINA LILELILE LA YULE DEMU NA NUMBER ZAKE AKATUONYESHA NA SMS ZAKE AKANIONYESHA SASA WAKUBWA NIFANYEJE NA DEMU NAMPENDA SANA SANA Naomba ushauri
Kusoma hujui, hata picha huoni..?? tafuta mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom