Simu zitakazopata android 5.0 aka lollipop

Mimi na ka s4 kangu mbona nimepata kitkat 4.4.2 japo sioni changes zozote baada ku -upate speed ni ile ile na mwonekano ni uleule tu

s4 wakati ina 4.2 na 4.3 kwenye ram yake ya 2gb kulikuwa na free ram kama 600mb tu, ila nilivyoiupdate kwenda kitkat free ram ikaongezeka now unapata hadi 900mb. nenda setting then apps then running utaona ilivyo efficient now
 
s4 wakati ina 4.2 na 4.3 kwenye ram yake ya 2gb kulikuwa na free ram kama 600mb tu, ila nilivyoiupdate kwenda kitkat free ram ikaongezeka now unapata hadi 900mb. nenda setting then apps then running utaona ilivyo efficient now

Asante mkuu ngoja nicheki nione hiyo kitu
 
s4 wakati ina 4.2 na 4.3 kwenye ram yake ya 2gb kulikuwa na free ram kama 600mb tu, ila nilivyoiupdate kwenda kitkat free ram ikaongezeka now unapata hadi 900mb. nenda setting then apps then running utaona ilivyo efficient now

Hiki ndio nilichokiona Chief ila alama tu ya betri imebadilika kutoka rangi ya kijani hadi rangi nyeupe haina mvuto kabisa kama zamani
 

Attachments

  • 1414065200361.jpg
    1414065200361.jpg
    64 KB · Views: 430
Nimeangalia maduka mawili ya mjini kati sijafanikiwa kuona hii simu na motorola nyingine mpya. Inaonekana kama watanzania wengi hawazijui sana, tofauti na brand za samsung, iphone na htc. Hata kupata simu kama lg g2 maduka ya kawaida ilikuwa shida sana. Ukipata taarifa tujulishane

Sio kwamba hawazijui ila moto soko lake liliangukaga so ikawa kama kapotea alaf watu wakapanda basi lingne
 
Sio kwamba hawazijui ila moto soko lake liliangukaga so ikawa kama kapotea alaf watu wakapanda basi lingne

Yeah ni kweli ila amini kuwa mtu anayejua simu atafanya maamuzi ataconsider brand zote. Kuna mtu alikuwa na budget ya 350,000 nikamshauri acheki kwanza moto g, mwisho wa siku mwenzangu akapata ushauri mwingine akaangukia kwenye tecno. Kwa mtu anayejua simu hizi ataelewa moto g pamoja na limitations zake inapata updates, processor nzuri, system ninkaribu na stock android. Ni mapenzi na mtazamo lakini kuna watanzania wengi mpaka aone simu inanunuliwa na wengi anajua ndo nzuri.
 
Yeah ni kweli ila amini kuwa mtu anayejua simu atafanya maamuzi ataconsider brand zote. Kuna mtu alikuwa na budget ya 350,000 nikamshauri acheki kwanza moto g, mwisho wa siku mwenzangu akapata ushauri mwingine akaangukia kwenye tecno. Kwa mtu anayejua simu hizi ataelewa moto g pamoja na limitations zake inapata updates, processor nzuri, system ninkaribu na stock android. Ni mapenzi na mtazamo lakini kuna watanzania wengi mpaka aone simu inanunuliwa na wengi anajua ndo nzuri.

Moto wako poa sana unaikumbuka l6 mkuu? nambie enzi zake.

Alaf nambie eaphone zake na mziki wake ulivokuwa mtamu.

Nataman sana moto awashe moto kama huawei au tecno yani ziwe kibao.

Nashachoka ma simu ya jezi najipanga kwenda sony au motorola, sitak nokia, samsung,wala nni.
 
s4 wakati ina 4.2 na 4.3 kwenye ram yake ya 2gb kulikuwa na free ram kama 600mb tu, ila nilivyoiupdate kwenda kitkat free ram ikaongezeka now unapata hadi 900mb. nenda setting then apps then running utaona ilivyo efficient now

Note 3 hiyo wakuu!
 

Attachments

  • Screenshot_2014-10-24-08-43-08.png
    Screenshot_2014-10-24-08-43-08.png
    39.7 KB · Views: 344
Moto wako poa sana unaikumbuka l6 mkuu? nambie enzi zake.

Alaf nambie eaphone zake na mziki wake ulivokuwa mtamu.

Nataman sana moto awashe moto kama huawei au tecno yani ziwe kibao.

Nashachoka ma simu ya jezi najipanga kwenda sony au motorola, sitak nokia, samsung,wala nni.

Yeah hata moto x ziko poa esp motox ya 2014. Ila reviewers kadhaa wanasema hazina camera nzuri sana kama za simu nyingine za level yake kama sony xperia, galazy s5, lg g2, g3, htc m8 n.k Vinginevyo maeneo mengine na design yako poa sana
 
http://i.imgur.com/jo9caIz.jpg Keep in mind that some of that free RAM is cached. And free RAM is a wasted RAM. Here's an example http://i.imgur.com/WvRKS30.jpg

sio mbaya ila nahisi kama simu za android za 512mb zitapotea.
 
sio mbaya ila nahisi kama simu za android za 512mb zitapotea.

Hata simu zenye 1 gig zinastruggle sasa hv. 2gigs should be standard. Had a Moto G for a while and loved the battery life but the lack of RAM for heavy user like me was a huge setback and i got back to my N5 and sold the G. Solid phone though.
 
kama unavyo jua bongo hakuna mtandao wa 4g, na eneo nililopo hakuna hata 3g ni hiyo edge tu

Mkuu Gambas acha kujipa moyo..
Hyo simu umeliwa,ni clone..
Hiyo 4g ilitakiwa isiwepo kabsa hapo,.

Pole mkuu,mjini shule..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom