ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,095
- 2,291
TECNO vipi?
Sahau, kuhusu update. Otherwise ni kununua tecno mpya yenye Lolipop
TECNO vipi?
Sio updates zote zinabadili version na kitkat zipo nyingi mfano unaweza kuwa na 4.4.2 then ukapata updates kwenda 4.4.4nimeapdate galaxy core prime but sijaona any changes. Ktk android version bado inasoma 4.4.4
shida ni nini?
model no. Sm-G360H
Haaa haaa haa haaa sema usikate tamaa iko siku mtakumbukwa😁😁
Shukran. Ila nazungumzia updates za lollipop? Kuna fununu mtandaoni kwamba core prime zinapata lollipopSio updates zote zinabadili version na kitkat zipo nyingi mfano unaweza kuwa na 4.4.2 then ukapata updates kwenda 4.4.4
Shukran. Ila nazungumzia updates za lollipop? Kuna fununu mtandaoni kwamba core prime zinapata lollipop
Note 3 hiyo wakuu!
Sye wa sm za toch vp
Mie cjui maana ya technological terms kama hizi jamani: jelly bean,kitkat,CPU,RAM,ROM,1.2GHz/1.3GHz,cjui 3G,2G,4G n.k
Wataalam kina chief Mkwawa and the like p'se nisaidieni make jf darasa tosha.
Aksanteni.
One ilikuwa na chip ya tegra hivyo update ziliishia jelly bean same na s2 iliishia jelly bean