Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Sasa tuanze kazi na wabunge wetu bila kusubiri.
Wabunge wa wetu upinzani hasa CHADEMA watahitaji taarifa kwa wingi yaani wawe informed kuliko maelezo.
Tujipange jinsi tutakavyowasaidia kuwasiliana nao kwa lolote tunalodhani wanahitaji kama taarifa. Tukusanye namba zao za simu na mkikubali JF iweke forum inayoonyesha namba za simu za wapinzani.
Vilevile kuwe na email zao za yahoo, hotmail yaani zile ambazo haziingiliwi na Internet Provider yeyote wa Tanzania {mfano: slaa@yahoo.com na hatutaki zenye slaa@bunge.co.tz}.
Hebu tujikumbushe thread ifuatayo tulivyohangaika kuwatafuta CHADEMA kuwajulisha matukio mbalimbali ya kuwanufaisha:
(https://www.jamiiforums.com/matukio/82217-pokea-namba-za-chadema-wajulishe-ya-kituoni.html).
Tusiogope watakaotumia vibaya namba hizo kwani hata kwenye kampeni tumeona namba zisizosajiliwa zikitutumia simu zetu bila utashi wetu:
Mimi naijua ya John Mnyika tu nimeijaza kama ifuatavyo na wengine tusaidie kupata za wengine:
***
01: John Mnyika: { Simu: 075-4694553, 078-4222222}: {Email(s): mnyika@yahoo.com}, {Jimbo: Ubungo}
02: Zitto Kabwe: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Kigoma Kaskazini}
03: Halima Mdee: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Kawe}
04: Tundu Lissu: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
05: John Shibuda: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
06: Ezekeh Wenje: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Nyamagana}
07: Joseph Mbilinyi: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
08: Vincent Nyerere: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Musoma Mjini}
09: Joseph Selasini: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Rombo}
10: Peter Msigwa: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Iringa Mjini}
11: Hyness Kiwia: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Ilemela}
12: Salvatory Machemuli: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Ukerewe}
13: David Silinde: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Mbozi Magharibi}
14: Anthoni Mbasa: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Biharamuro Magharibi}
***
Wabunge wa wetu upinzani hasa CHADEMA watahitaji taarifa kwa wingi yaani wawe informed kuliko maelezo.
Tujipange jinsi tutakavyowasaidia kuwasiliana nao kwa lolote tunalodhani wanahitaji kama taarifa. Tukusanye namba zao za simu na mkikubali JF iweke forum inayoonyesha namba za simu za wapinzani.
Vilevile kuwe na email zao za yahoo, hotmail yaani zile ambazo haziingiliwi na Internet Provider yeyote wa Tanzania {mfano: slaa@yahoo.com na hatutaki zenye slaa@bunge.co.tz}.
Hebu tujikumbushe thread ifuatayo tulivyohangaika kuwatafuta CHADEMA kuwajulisha matukio mbalimbali ya kuwanufaisha:
(https://www.jamiiforums.com/matukio/82217-pokea-namba-za-chadema-wajulishe-ya-kituoni.html).
Tusiogope watakaotumia vibaya namba hizo kwani hata kwenye kampeni tumeona namba zisizosajiliwa zikitutumia simu zetu bila utashi wetu:
Mimi naijua ya John Mnyika tu nimeijaza kama ifuatavyo na wengine tusaidie kupata za wengine:
***
01: John Mnyika: { Simu: 075-4694553, 078-4222222}: {Email(s): mnyika@yahoo.com}, {Jimbo: Ubungo}
02: Zitto Kabwe: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Kigoma Kaskazini}
03: Halima Mdee: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Kawe}
04: Tundu Lissu: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
05: John Shibuda: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
06: Ezekeh Wenje: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Nyamagana}
07: Joseph Mbilinyi: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: }
08: Vincent Nyerere: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Musoma Mjini}
09: Joseph Selasini: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Rombo}
10: Peter Msigwa: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Iringa Mjini}
11: Hyness Kiwia: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Ilemela}
12: Salvatory Machemuli: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Ukerewe}
13: David Silinde: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Mbozi Magharibi}
14: Anthoni Mbasa: { Simu: }: {Email(s): }, {Jimbo: Biharamuro Magharibi}
***